Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 29 of 29
    1. #1
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 471
      Likes Received
      71
      Likes Given
      7

      Default Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Ni katika vikao vya bunge lililoisha ambapo aliuliza swali kwa nishati na madini,kwanini Tanzania taifa dogo tusisitishe ndoto ya kutumi nishati ya nucrear wakati mataifa makubwa yanataka kuachana nayo.mfano Japani.Muongo alisema sio kweli.
      Naleo Japani kuachana na Nucrear ni moja ya habari za Deutsche Welle.
      BIG UP LISU.


    2. #21
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Lissu aliongelea ukweli nchi nyingi sana zina mpango wakuacha kutumia nuclear kama leo japan wametoa tamko ndani ya miongo 3 watakuwa wameshaacha kutumia nuclear akiifuata ujeruman

    3. #22
      Noboka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 511
      Rep Power : 2256
      Likes Received
      161
      Likes Given
      23

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Huyu Lissu si ndiye baadhi ya wabunge wa CCM walisema hana akili akapimwe na wanashangaa alisoma shule gani ya sheria? Kaaaaaaaazi kweli kumbe mwehu anaweza akamuona mtu mzima kuwa ndiyo mwehu, hapa inabidi kumbe wale wabunge wa CCM wakaangaliwe vizuri akili zao

    4. #23
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,174
      Rep Power : 17255
      Likes Received
      1663
      Likes Given
      1188

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Moony View Post
      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
      Pinda alishapinda hawezi urais, kama sasa na uPM wake anasema mafisadi wakikamatwa nchi itatetemeka unategemea nini hapo?
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    5. #24
      Cartoons's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 79
      Rep Power : 364
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Moony View Post
      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
      Pinda hawezi kitu , ndio maana sa hiv yupo mwanza anazurura.

    6. #25
      Mcjoe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 374
      Likes Received
      10
      Likes Given
      57

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Hapa Austria mtambo ulijengwa miaka kumi na mbili iliyopita, mpaka leo haujafunguliwa kwasababu wananchi na wataalamu wao wamepinga mtambo wa namna hiyo kwa kujua madhara yake


    7. #26
      HByabatto jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 126
      Rep Power : 403
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      tundu LISU ni kisiki cha mpingu

    8. #27
      MpendaTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 1,078
      Rep Power : 729
      Likes Received
      146
      Likes Given
      543

      Default Re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Noboka View Post
      Huyu Lissu si ndiye baadhi ya wabunge wa CCM walisema hana akili akapimwe na wanashangaa alisoma shule gani ya sheria? Kaaaaaaaazi kweli kumbe mwehu anaweza akamuona mtu mzima kuwa ndiyo mwehu, hapa inabidi kumbe wale wabunge wa CCM wakaangaliwe vizuri akili zao
      Mkuu hapa ndipo huwa nashangaa sana, niliwahi kupata hamu ya kwenda kusomea upasuaji vichwa maana aliyesema Tundu Lisu hana akili akapimwe, yeye alihitaji kupasuliwa kichwa haraka kumtoa matatizo aliyo nayo. Bila hivyo haponi!

    9. #28
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,581
      Rep Power : 1817
      Likes Received
      2522
      Likes Given
      2549

      Default Re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Moony View Post
      Hafai kuwa Rais, labda PM
      Unaonaje Kikwete akiongezewa awamu ya tatu.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    10. #29
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,111
      Rep Power : 636
      Likes Received
      261
      Likes Given
      279

      Default Re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Mag3 View Post
      Unaonaje Kikwete akiongezewa awamu ya tatu.
      Hawezi

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...