Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Kuchasoni Kuchawangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2012
      Posts : 286
      Rep Power : 401
      Likes Received
      60
      Likes Given
      18

      Default Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Wakuu nimekuwa na maswali mengi sana juu ya polisi kupiga mabomu ya machozi mpaka ndani ya ofisi kule nyololo Iringa.
      1:je lengo lilikuwa kwa waliokuwemo ndani ya ofisi?
      2:nini kilikusudiwa watoke ndani wakimbie?
      3:nini maana yakutawanya watu,walio nje au walio ndani ya ofisi?
      4:je ni agizo la RPC Kamuhanda kuwa wafanye hivyo,maana alikuwepo eneo la tukio akitoa amri.

      Na maswali mengine mengi ambayo unaweza kuyaongezea.Wakuu haya ndiyo mafunzo ya jeshi letu la polisi juu ya kutawanya watu.Hata kama wametawanyika ni halali kupiga bomu la machozi ndani ya nyumba walizokimbilia? Kama hii si haki kwanini viongozi wa juu wa jeshi la polisi wasichukuliwe hatua?

      Nawasilisha.
      Uwezo Tunao likes this.


    2. #2
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,451
      Rep Power : 708
      Likes Received
      359
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Police na ccm wanafikiri kwa kutumia masaburi

    3. #3
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 558
      Likes Received
      190
      Likes Given
      179

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    4. #4
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 444
      Likes Received
      160
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Quote By mansakankanmusa View Post
      piga kura acha kulalama
      Ulishaambiwa wale hawakuwa polisi ila green guard ya Ccm na haikwenda pale kutawanya watu ilikwenda kuua wafuasi wa chadema kwa amri ya Ccm na kamuhanda ndo maana hata ukigoogle jana la pacificus cleophus Simon haonekani kama aliwahi hata kusoma shule tu ya secondary manaake ni kibaka tu wa mtaani ambaye haelewi hata taaluma ya mabomu wala amri za kipolisi na ndo maana wakawa wanapiga mabomu mpaka ndani ya nyumba kama wanafukuza mbu kwa dawa ya rungu
      Fekifeki likes this.

    5. #5
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,451
      Rep Power : 708
      Likes Received
      359
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Police na ccm wanafikiri kwa kutumia masaburi


    6. #6
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Polisi wanapiga mpaka ndani ya misikiti hayo mabomu ya machozi, wala siyo issue. Leo wajivuni wachache wanapotiwa adabu inakuwa issue?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. #7
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,621
      Rep Power : 960
      Likes Received
      707
      Likes Given
      131

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Waliambiwa wasubiri amri, ila waende kwenye target. Unajua target ilikuwa ni nani? Ni yule waliyemshuku kuwa yupo ndani! Na walipomkosa, hasira zao zikahamia kwa waandishi.

      Mungu akisema siyo hata ukeshe uchi kwenye barafu na kutoa makafara kwa ibilisi haiwezi kuwa ndiyo.
      Manager likes this.

    8. #8
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,802
      Rep Power : 721
      Likes Received
      448
      Likes Given
      336

      Default

      Quote By zomba View Post
      Polisi wanapiga mpaka ndani ya misikiti hayo mabomu ya machozi, wala siyo issue. Leo wajivuni wachache wanapotiwa adabu inakuwa issue?
      Zomba we naona ni mpagani kila uchangiapo 90% ni lazima utaje kanisa au msikiti.

    9. #9
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,908
      Rep Power : 1614
      Likes Received
      579
      Likes Given
      1538

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Hizo ganister ni zile walizoziingiza nchini kinyume cha sheria na ndio maana Nape kasema wao hawatakwenda mahakamani kushtaki akijua ukweli kuwa wataumbuka.
      I am a Democratic Figure,Opposer of Non reality Proposers.
      Thanda Similane

    10. #10
      Jagarld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2011
      Posts : 794
      Rep Power : 573
      Likes Received
      193
      Likes Given
      140

      Default

      Quote By zomba View Post
      Polisi wanapiga mpaka ndani ya misikiti hayo mabomu ya machozi, wala siyo issue. Leo wajivuni wachache wanapotiwa adabu inakuwa issue?
      Niemöller is perhaps best remembered for the quotation:
      First they came for the Socialists, and I did not speak out--
      Because I was not a Socialist.

      Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out--
      Because I was not a Trade Unionist.
      Then they came for the Jews, and I did not speak out--
      Because I was not a Jew.
      [I]Then they came for me--and there was no one left to speak for me.
      Unaweza ukashangilia lakini hakuna ajuaye kesho na keshokutwa zamu ya nani,jambo baya likitokea itikadi,ukanda,ukabila au dini ni vitu ambavyo havitakiwi kujionesha dhahili mlengo wa kushoto.

    11. #11
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,690
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      1158
      Likes Given
      1601

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Tatizo ni shule ndo maana busara ya walio wengi ni ndogo!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    12. #12
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,382
      Rep Power : 868
      Likes Received
      719
      Likes Given
      75

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Kazi kweli kweli !!!!

      Name:  Iringa_mandani ya ofisibomu kwenda.jpg
Views: 0
Size:  88.5 KB
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    13. #13
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,890
      Rep Power : 1549
      Likes Received
      833
      Likes Given
      460

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Quote By zomba View Post
      Polisi wanapiga mpaka ndani ya misikiti hayo mabomu ya machozi, wala siyo issue. Leo wajivuni wachache wanapotiwa adabu inakuwa issue?
      Mbona siku ile nje ya Wizara ya Mambo ya ndani walipoandamana bila hata ya kibali, tena mbele ya kamanda Kova POLISI hawakurusha hata karatasi. weeeeee....

      Click image for larger version. 

Name:	DSC_0253.jpg 
Views:	0 
Size:	123.9 KB 
ID:	65036

      Click image for larger version. 

Name:	Iringa.jpg 
Views:	0 
Size:	88.5 KB 
ID:	65037
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    14. #14
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,955
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      1517

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      ... unao umakini wa hali yaa juu sana mkuu!!!

      Quote By KUCHASONI KUCHAWANGU View Post
      Wakuu nimekuwa na maswali mengi sana juu ya polisi kupiga mabomu ya machozi mpaka ndani ya ofisi kule nyololo Iringa.
      1:je lengo lilikuwa kwa waliokuwemo ndani ya ofisi?
      2:nini kilikusudiwa watoke ndani wakimbie?
      3:nini maana yakutawanya watu,walio nje au walio ndani ya ofisi?
      4:je ni agizo la RPC Kamuhanda kuwa wafanye hivyo,maana alikuwepo eneo la tukio akitoa amri.

      Na maswali mengine mengi ambayo unaweza kuyaongezea.Wakuu haya ndiyo mafunzo ya jeshi letu la polisi juu ya kutawanya watu.Hata kama wametawanyika ni halali kupiga bomu la machozi ndani ya nyumba walizokimbilia? Kama hii si haki kwanini viongozi wa juu wa jeshi la polisi wasichukuliwe hatua?

      Nawasilisha.

    15. #15
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,555
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By segwanga View Post
      Police na ccm wanafikiri kwa kutumia masaburi
      mkuu polisi ni CCM

    16. #16
      Capt Tamar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 1,843
      Rep Power : 1066
      Likes Received
      448
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By kibogo View Post
      Zomba we naona ni mpagani kila uchangiapo 90% ni lazima utaje kanisa au msikiti.
      Heri kama na wewe umeona

    17. #17
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,555
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      polisi na sisiemu wote ni wale wale. Kova na Nape nafasi moja ya progaganda

    18. #18
      Bartazar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Posts : 444
      Rep Power : 478
      Likes Received
      67
      Likes Given
      29

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Quote By zomba View Post
      Polisi wanapiga mpaka ndani ya misikiti hayo mabomu ya machozi, wala siyo issue. Leo wajivuni wachache wanapotiwa adabu inakuwa issue?
      Zomba, Hivi Lumumba wanakulipa bei gani kwa kazi unayoifanya humu jf, na unajishughulisha na kazi gani nyingine?

    19. #19
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 919
      Rep Power : 818
      Likes Received
      140
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Polisi siyo wabaya hasa wale wa ngazi za chini.polisi anafanya kile ambacho bosi anahitaji akifanye.akitumika vibaya ndivyo hivyo atakavyo fanya halafu ukamgeuza polisi huyohuyo uliemtumia vibaya akafanya mabaya ukamtumia ili afanye vizuri atafanya vizuri sana.tatizo liko kwa wakubwa ambao wanalazimika kupigana kufa na kupona ilikulinda nyazifa zao.wanaelewa fika kuwa ccm itakapoondoka nao kwa heri.kuliko askari wadogo wanaoelewa kuwa hakunawatakachopoteza.ije cdm,tlp,nccr wao watakuwepo tu.ukizingatia kuwa hakuna chama kitakacho kuja na askari wake baada ya kupata madaraka vyote vina wategemea askari hawahawa.jibu chaguwa viongozi bora wawatumie askari vizuri wafanye kazi zuri.

    20. #20
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 919
      Rep Power : 818
      Likes Received
      140
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabomu ya machozi ndani ya ofisi

      Polisi siyo wabaya hasa wale wa ngazi za chini.polisi anafanya kile ambacho bosi anahitaji akifanye.akitumika vibaya ndivyo hivyo atakavyo fanya halafu ukamgeuza polisi huyohuyo uliemtumia vibaya akafanya mabaya ukamtumia ili afanye vizuri atafanya vizuri sana.tatizo liko kwa wakubwa ambao wanalazimika kupigana kufa na kupona ilikulinda nyazifa zao.wanaelewa fika kuwa ccm itakapoondoka nao kwa heri.kuliko askari wadogo wanaoelewa kuwa hakunawatakachopoteza.ije cdm,tlp,nccr wao watakuwepo tu.ukizingatia kuwa hakuna chama kitakacho kuja na askari wake baada ya kupata madaraka vyote vina wategemea askari hawahawa.jibu chaguwa viongozi bora wawatumie askari vizuri wafanye kazi zuri.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...