Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kipindi kigumu jimboni Kawe

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 165
    1. #1
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,418
      Rep Power : 452
      Likes Received
      296
      Likes Given
      60

      Default Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

      Tangu amechaguliwa:
      1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
      2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
      3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
      4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
      5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
      6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

      Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

      Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.

    2. Miaka 50

    3. #2
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 586
      Rep Power : 458
      Likes Received
      62
      Likes Given
      0

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Ww c cuf na ccm hata kula hukumpa mdee. kaa pembeni then kula G.

    4. #3
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 586
      Rep Power : 458
      Likes Received
      62
      Likes Given
      0

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Zigo kushinda jk?

    5. BAK
      #4
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,607
      Rep Power : 44966
      Likes Received
      8365
      Likes Given
      8341

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      ...We kweli akili magamba!!!....unamuona Halima Mdee zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe...lakini wakati huo huo humuoni DHAIFU alivyo zigo kwa wapiga kura na kujisaidia mwenyewe, mafisadi wenzake, wageni wanaojifanya wawekezaji na familia yake!!!! Ama kweli Nyani haoni......

      Quote By MAFILILI
      Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

      Tangu amechaguliwa:
      1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
      2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
      3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
      4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
      5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
      6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

      Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

      Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
      Asprin likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    6. #5
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,465
      Rep Power : 28585
      Likes Received
      8069
      Likes Given
      5870

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Anatunisha kwanza mfuko wake nyumbani.
      Msijali atakuja tu.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 609
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Tunasubiri 2015 tumkabidhi jimbo KIPE,ni wendawazimu anachokifanya huyu dada tena hana adabu anafanya utumbo kwenye jimbo analoishi katibu mkuu wake.

    9. #7
      ijoz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Location : HAPA NILIPO
      Posts : 223
      Rep Power : 402
      Likes Received
      66
      Likes Given
      12

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      sasa kwanini tunapenda kujustfy udhaifu wa mtu kwa kulinganisha na udhaifu wa Jk? Nafikiri mleta mada kaeleweka,tatizo hapa baadhi tunapenda au kuchukia mada bila kuwa na sababu.
      "sikiliza shauri na kupokea mafundisho upate hekima ya kukufaa siku zijazo" (Meth 19:20)
      Sir M.D.Andrew likes this.

    10. #8
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 980
      Rep Power : 622
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      dah.... kumbe wabunge wana kazi nyingi sana....

    11. #9
      T 2015 CDM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th September 2012
      Location : El Kharasikit, SOMALIA
      Posts : 37
      Rep Power : 345
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By MAFILILI
      Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

      Tangu amechaguliwa:
      1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
      2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
      3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
      4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
      5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
      6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

      Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

      Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
      Gombea basi wewe tukupe. We unataka mbunge ashugulikie kila kitu? hao wabunge wengine wamefanya nini? Magamba mna shida sana,, hizo pesa za jimbo waulize magamba wenzio maana wao ndo wanajua ziko wapi,,, wala usimlaumu Mdee. Na aliyekutuma mwambie huku JF tuko vizuri magorofani hatujadili hoja zisizo na mshiko. Huwezi anza kumlaumu mbunge wakati bado ana miaka miwili na ushee. Haya zile ahada 77 za mheshimiwa sana mbona huuliziii? kuna meli ngapi zimeshatengenezwa? Je kigoma imekuwa kama Dubai? Reli je? Nakushauri ukiwa bored badala ya kupost vitu kama hivi ingia hapa www.theudaku.blogspot.com:A S-coffee:
      "We must Accept Finite Disappointment but Never Loose Infinite Hope" , LIWALO NA LIWE

    12. #10
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,418
      Rep Power : 452
      Likes Received
      296
      Likes Given
      60

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By T 2015 CDM
      Gombea basi wewe tukupe. We unataka mbunge ashugulikie kila kitu? hao wabunge wengine wamefanya nini? Magamba mna shida sana,, hizo pesa za jimbo waulize magamba wenzio maana wao ndo wanajua ziko wapi,,, wala usimlaumu Mdee. Na aliyekutuma mwambie huku JF tuko vizuri magorofani hatujadili hoja zisizo na mshiko. Huwezi anza kumlaumu mbunge wakati bado ana miaka miwili na ushee. Haya zile ahada 77 za mheshimiwa sana mbona huuliziii? kuna meli ngapi zimeshatengenezwa? Je kigoma imekuwa kama Dubai? Reli je? Nakushauri ukiwa bored badala ya kupost vitu kama hivi ingia hapa www.theudaku.blogspot.com:A S-coffee:
      Punguza JAZBA hoja ni kuhusu mbunge wetu usipende kuficha udhaifu wake kwa kuleta hoja isiyo na tija. Msaada kwake ni kupokea mawazo na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya wakazi wa Kawe
      Mtumpole likes this.

    13. #11
      Inaniuma Sana's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 14th September 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 337
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Hamia mchinga

    14. #12
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,476
      Rep Power : 1115
      Likes Received
      469
      Likes Given
      954

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake

    15. #13
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 609
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By Mwanaweja
      hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
      Hivi kukutana na wanachi na kuwajulia shida zao nalo linahitaji jitihada za serikali ya ccm? mbona katika muda mfupi wa uchaguzi aliweza kuzungukia kata,kaya,mitaa yote ya jimbo lake na kutoa ahadi lukuki zenye matumaini.Any way tutakachokifanya hatoamini majicho yake atabakia kulalamika kuibiwa kula baada ya wananchi kughairi 2015.

      MAFILILI likes this.

    16. #14
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By Mwanaweja
      hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
      hapana mkuu ni bora ange kuwa anafanya hata mikutano ya hadhara jimboni mwake kama wenzake wanapotoka bungeni tu inasaidia sana kuepusha maneno kama haya
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    17. #15
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,340
      Rep Power : 3366
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      770

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Hahahah
      “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
      Arsenal My heart Juventus My soul

    18. #16
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      38
      Likes Given
      14

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Hakuna tofauti yoyote ya kimaendeleo jimbo la kawe tangu aingie halima.labda anajipanga kwa 2015 ndio ataleta maendeleo

    19. #17
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      38
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Mwanaweja
      hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
      hapo manake hatoshi.inabidi uchaguzi ujao tumpe mbunge wa chama kilichopo madarakani ili aweze kutekeleza

    20. #18
      PROSPER MALLYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 11
      Rep Power : 405
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Watu makini wanaona anayoyafanya,hatummiss MLAKI

    21. #19
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14547
      Likes Given
      22033

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By MAFILILI
      Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

      Tangu amechaguliwa:
      1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
      2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
      3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
      4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
      5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
      6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

      Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

      Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
      Mkuu wa Wilaya amefanya nini?
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    22. #20
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,825
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default re: Kipindi kigumu jimboni Kawe

      Quote By MAFILILI
      Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

      Tangu amechaguliwa:
      1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
      2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
      3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
      4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
      5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
      6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

      Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

      Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
      Ni afadhali na bora ww umesema, mie niliisha andika humu zaidi ya mara 10 ahadi na ulaghai wa HM kwa wananchi wa kawe, mpaka sasa hajafanya chochote, yeye ni kwenye kumbi za starehe tu ndio utamuona, halafu tukisema mnasema anaonewa. HM ni janga la sie wana kawe, nadhani katika katiba ijayo kuwe na kipengele cha mbunge akishindwa kazi basi , mtu mwingine atoke kwenye chama chake aje achukue hiyo nafasi. Mie sina shida eti kwa kuwa ametoka cdm , ila cdm next election wamlete mtu makini sio HM hawezi kitu


    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...