Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 83
    1. #1
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2814
      Likes Given
      1608

      Default Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
      Aliuliza;
      Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
      Waziri akajibu;
      Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
      Hii imekaaje?. mia
      Arushaone likes this.


    2. #2
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      285
      Likes Given
      0

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Alimuandaa ili aulize hilo swali!! Fedha za miradi ya maji kutoka kwa wafadhili ndio wanagawana kinyemela na kufanyia propaganda za kisiasa!!!
      Arushaone likes this.

    3. #3
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,973
      Rep Power : 761
      Likes Received
      284
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By Honolulu View Post
      Alimuandaa ili aulize hilo
      swali!! Fedha za miradi ya maji kutoka kwa wafadhili ndio wanagawana
      kinyemela na kufanyia propaganda za kisiasa!!!
      ni wapi huko?
      Arushaone likes this.

    4. #4
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 690
      Likes Received
      580
      Likes Given
      600

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Quote By figganigga View Post
      Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
      Aliuliza;
      Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
      Waziri akajibu;
      Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
      Hii imekaaje?. mia
      Huko ndo kujitekenya mwenyewe afu unacheka. Waacheni wahangaike tu. very soon wataanza kujifinya wenyewe afu wanalia!

    5. #5
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,510
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6280
      Likes Given
      1088

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Milioni 200 kwa mipango gani? Maneno kamili na halisi aliyosema Waziri Mkuu Pinda yako wapi?

      Pinda kasahau habari za pesa ni matokeo?

      Bila mipango hata milioni elfu mbili zitaungua bila matokeo, kwani "Mali bila daftari, hupotea bila habari"
      Sangarara and Arushaone like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.



    6. #6
      Pelekaroho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Bugula
      Posts : 442
      Rep Power : 532
      Likes Received
      63
      Likes Given
      22

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Walikuwa wanahalalisha safari allowances zao. Hayo matatizo ya maji mama Pinda kayajuwaje kama mumewe hayajui? Kwani mh. Pinda alishindwa nn kulizungumzia hilo katika hotuba yake? Hawa wanatapatapa kwani wanajua, WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.
      Arushaone likes this.

    7. #7
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,100
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Ana uhakika gani kuwa kiasi kinachohitajika ni M200 kamili? Giving solution without plan!
      Mwanyasi and Arushaone like this.

    8. #8
      Gaza and Israel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Location : The West Bank
      Posts : 660
      Rep Power : 509
      Likes Received
      129
      Likes Given
      61

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Nywele za katikati????????????????
      Mwanyasi likes this.
      "Tanzania has every Thing in Nature, Except Valid Technology and Politics"

    9. #9
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      kazi kweli ccmyetu ina mambo kama wachawi kuwanga mchana kweupe!
      Arushaone likes this.

    10. #10
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,398
      Rep Power : 9005
      Likes Received
      852
      Likes Given
      340

      Default

      Quote By mlalilaN View Post
      Nywele za katikati????????????????
      Yaaa, ni katikati ya kichwa, utosini!
      Arushaone likes this.

    11. #11
      SURUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,571
      Rep Power : 732
      Likes Received
      381
      Likes Given
      477

      Default

      Quote By mlalilaN View Post
      Nywele za katikati????????????????
      Haahaahaahaa:-). Kazi kweli kweli!
      HANDO and Arushaone like this.

    12. #12
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,554
      Rep Power : 1606
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      hana Tunu yoyote, naye kapinda tu kama mumewe
      Arushaone likes this.

    13. #13
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,360
      Rep Power : 990
      Likes Received
      634
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kookolikoo View Post
      ni wapi huko?
      ni MAGU alikuwa na msafara wa magari kama mia na kitu. Pia aliulizwa swali na mama mmoja kuhusu serekali kutangazia wananchi huduma za kujifungua ni bure ili hali hospt hakuna hata glovis na pamba,Pinda hakuweza kumjibu
      Arushaone likes this.

    14. #14
      Nzenzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 827
      Rep Power : 562
      Likes Received
      155
      Likes Given
      38

      Default

      Quote By figganigga View Post
      Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
      Aliuliza;
      Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
      Waziri akajibu;
      Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
      Hii imekaaje?. mia
      Sio ajabu! MAISHA YA VIONGOZI WENGI WA BONGO YAPO KIMAIGIZO IGIZO TU! Tunu Pinda na Mizengwe Pinda wake walikuwa wanatekeleza Comedy yao!
      Arushaone likes this.

    15. #15
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      665
      Likes Given
      0

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Hawa nao wanajipanga kwa ujasirimali wakistaafu...wale mafao yao bila shida!ila iliwasaidia hao wanakijiji maana uoga huu sijui utaisha lini!
      Arushaone likes this.

    16. #16
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,722
      Rep Power : 981
      Likes Received
      641
      Likes Given
      262

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Hahahaaa!

      Hilo onesho la hao mabingwa wa sanaa Tanzania lilifanyika wapi jamani?
      Arushaone likes this.

    17. #17
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default tunu pinda kamuuliza Mizengo pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Hii hutokea tanzania tu.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Arushaone likes this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    18. #18
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,445
      Rep Power : 931
      Likes Received
      844
      Likes Given
      1599

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Quote By TANMO View Post
      Ana uhakika gani kuwa kiasi kinachohitajika ni M200 kamili? Giving solution without plan!
      Hizi ndio siasa za Tanzania ukitaka kufanikiwa au eneo lako lifikiwe na huduma za jamii kiurahisi wewe cheza na wanasiasa, unazisha event yoyote hata kama mna kikundi cha watu 20 cha kilimo cha nyanya alafu unamwalika waziri katika risala yenu mnachomeka na matatizo mbalimbali yanayowakabili na kama kawa tamko litatolewa na mkuregenzi wa halmashauri au manispaa au jiji itabidi akomae kutekeleza ahadi ya waziri hata kama ilikuwa sio priority (na hapo ujue wakati wanatekeleza kuna wananchi wengine wamelia kwa hela zao za maendeleo kukatwa bila kujua au watazua sababu nyingine ya kwanini mradi wao haujatekelezwa)
      Arushaone likes this.

    19. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Alikuwa hajasikia swali aliloulizwa na mmoja ya waliopo mkutanoni, Tunu kalirudia tu.
      Arushaone likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #20
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,160
      Rep Power : 643
      Likes Received
      201
      Likes Given
      31

      Default Re: Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

      Na uhakika huwa wanatembea tu kuona tz lakini wakija wanauliza maswali wanatuacha na shida zetu wanarudi kwenye viyoyozi dsm.
      nilimuona kule ukerewe eti anamuuliza maswali mkurugenzi mtendaji hadharani ....utafikiri hawana ofice huu mtindo pia alikuwa nao jk yeye kesha usahau
      Arushaone likes this.
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...