Tetesi: Membe kuwania urais 2015... - Page 4 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 24th June 2009, 10:06 PM  
Membe kuwania urais 2015...
Sungi Sungi is offline 24th June 2009, 10:06 PM

Kuna tafrani ya kutupiana maneno kati ya mzee Mudhihiri na Membe kuhusu kujengwa kwa kiwanda cha saruji kilomita 35 kutoka eneo lenye malighafi ambalo ni Mchinga ambapo Mudhihiri ndio Mbunge.

Kitu ambacho kinanishangaza ni hili la kwamba Membe anania ya kugombea urais mwaka 2015 (ana haki kama mtanzania kufanya hivyo). Alipoulizwa (Membe) iwapo anahisi matamshi ya Mudhihir yana msukumo wa maadui wake kisiasa ambao wanahisi anaweza kugombea urais 2015, Membe alisema kwa vyovyote itakuwa hivyo.

Hivi kuwa waziri wa mambo ya nje ndio ticket Tanzania kuwa rais?

(Source: Mwananchi Mwananchi Communications Ltd)

Last edited by Sungi; 24th June 2009 at 10:16 PM..

 
Sungi's Avatar
Sungi
Senior Member
Points: 107,264, Level: 100 Points: 107,264, Level: 100 Points: 107,264, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Wed Apr 2009
Posts: 90
Thanks: 3
Thanked 2 Times in 2 Posts
Views: 4359
Reply With Quote
  #31  
Old 25th June 2009, 11:36 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 426 Times in 179 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Hivi Freeman alimaliza ile degree yake au ndio bado yuko kwenye kifungo cha plaigarism
Reply With Quote
  #32  
Old 25th June 2009, 12:30 PM
Mshiiri's Avatar
Mshiiri Mshiiri is offline
Mshiiri researching to update
JF Premium Member
Points: 313,658, Level: 100 Points: 313,658, Level: 100 Points: 313,658, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Jun 2008
Location: Sillicon Valley - USA
Posts: 818
Thanks: 12
Thanked 32 Times in 16 Posts
Rep Power: 63
Mshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the roughMshiiri is a jewel in the rough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Mimi ningependekeza kama na mbwai na iwe mbwai. Kwa kuwa nchi imekumbatia ubepari uliokithiri kwa viongozi wetu na hali ni mbaya sana kwa wanyonge, na kwa kuwa kuzuia hali hiyo nguvu ni kidogo, ningependekeza fomu ya urais mwaka ujao ada yake iwe ya kifisadi yaani bilioni 220 za kitanzania. Ili kama mbwai na iwe mbwai. Ama! Hapa nchi ni Masokorokwinyo tuuu, kila kukicha!
__________________
"Absence of evidence is not evidence of absence" - No win-win situation
Reply With Quote
  #33  
Old 25th June 2009, 01:57 PM
Bill Bill is offline
Bill says: Kukumbatia ufisadi pia ni ufisadi
JF Senior Expert Member
Points: 196,857, Level: 100 Points: 196,857, Level: 100 Points: 196,857, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Oct 2007
Posts: 631
Thanks: 32
Thanked 31 Times in 20 Posts
Rep Power: 24
Bill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enoughBill will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Integrity ya gazeti hili lililoandika hii habari nina wasiwasi nayo, ni yale yale ya wanaopigana vikumbo kuelekea Urais 2015 na hata ikilazimu 2010.
Reply With Quote
  #34  
Old 25th June 2009, 02:18 PM
Mkandara Mkandara is offline
Mkandara Aviator
JF Premium Member
Points: 580,633, Level: 100 Points: 580,633, Level: 100 Points: 580,633, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Thu Mar 2006
Location: T dot
Posts: 7,289
Thanks: 463
Thanked 747 Times in 325 Posts
Rep Power: 80
Mkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the rough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
Jamani,Membe na mudhihir wote wanajuana..hapa kuna issue moja tu...Kiwanda cement.Membe ana watu wake wanataka kujenga Mtwara mjini hicho kiwanda...Mudhihir nae ana watu wake (TioT)wanataka wajenge Mchinga,ila malighafi iko mchinga.....sasa hapo wanatakiwa kwenda na hoja zao kwenye kamati ya mkoa...sio bungeni.......ila mwaka ujao MM hana lake...ubunge anataka labda atokee hapo....kwenye kiwanda
Mkuu bado hata hii haileti mantiki.. Membe akijenga kiwanda cha saruji Mtwara na Mudhihir akijenga kwao Mchinga kuna ubaya gani kuwa na viwanda viwili.. Hii ni dunai aya utandawazi ambapo soko ndilo linatawala supply kisha hakuna mipaka kwani saruji inahitajika kusini kote kwa Afrika iweje Membe amzuie mtu kujenga kiwanda cha saruji wakati sii cha serikali..
Membe hatoi vibali vya ujenzi, walla huu sii mradin wa kitaifa kusema kwamba kuna mkopo hawa jamaa wanagombania..ndio maana nikasema huyo Mudhihir atueleze vizuri Membe anahusiaka vipi na kuzuia mradi huo, pengine mimi nachjoweza kufikiria ni wapi kiwanda kijengwa kati ya wilaya mbili wanazowakilisha watu hawa.. ndipo utata ulipoanza kwani kila mmoja wao anataka kura za wananchi wake..Na ugonvi kama huu bungeni Hilo linawezekana kabisa, ni jambo la kawaida fahari wawili kugombea uwekezaji ktk wilaya zao..
__________________
Exploration of reality
Reply With Quote
  #35  
Old 25th June 2009, 02:43 PM
Edson Edson is offline
Edson has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 103,555, Level: 100 Points: 103,555, Level: 100 Points: 103,555, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Mar 2009
Posts: 602
Thanks: 80
Thanked 131 Times in 83 Posts
Rep Power: 23
Edson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Membe hafai kuwa kiongozi wa nchi hii maa hana sifa yoyote ile. ni mnafiki mkubwa, hajiamini,hana uwezo wa kuongea mbele ya watu, anatumia akiliza za wenzie kufanya maamuzi.
kuwa waziri wa mambo ya nje si kigezo. kwa hali tuliyonayo hv sasa akishika nchi 20015 hakuna jipya.
Kuwa Mkatoliki hakusaidii kuwa rais,hana sifa kabisa maana ana tofauti kidogo sana na huyu wa sasa. unafiki mwingi sana nchi hii.MEMBE HAFAI
Reply With Quote
  #36  
Old 25th June 2009, 02:52 PM
Simoni Simoni is offline
Simoni has no status.
Senior Member
Points: 61,986, Level: 100 Points: 61,986, Level: 100 Points: 61,986, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Fri Oct 2008
Posts: 67
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Simoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enoughSimoni will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

The point is hiyo limestone iko wilaya nzima ya Lindi. Ndiyo maana Mudhihir haelewi kama andiko la mradi lilisema kiwanda kijengwe jinbo la Mchinga kwa nini lihamishiwe sehemu nyingine? Hata mimi sielewi na siamini kama Membe anaweza kufanya kitu kama hicho. Ninahisi Mudhihir ana agenda nyingine. Na yeye ameishakatika mkono bado hajajifunza tu? Akae kimya na ashukuru kiwanda kuja Lindi iwe jimbo la Mtama au Mchinga bado ni Lindi.
Reply With Quote
  #37  
Old 25th June 2009, 03:53 PM
Mwana va Mutwa's Avatar
Mwana va Mutwa Mwana va Mutwa is offline
Mwana va Mutwa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 71,615, Level: 100 Points: 71,615, Level: 100 Points: 71,615, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jun 2009
Posts: 308
Thanks: 7
Thanked 55 Times in 29 Posts
Rep Power: 21
Mwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enoughMwana va Mutwa will become famous soon enough
Default Re: Nani alisema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ndio Ticketi ya kugombea au kuwa Rais Tz

Quote:
View Post
Lakini ni kwa ajili ya zile big,big,fat bags wanazopitisha airports. Umeyaona mabego yao hawa diplomats? It is xxxxx unbelievalable,yale mabegi yalivyokuwa makubwa.
kunani humo mkuu???????
Reply With Quote
  #38  
Old 25th June 2009, 03:56 PM
Chakaza's Avatar
Chakaza Chakaza is offline
Chakaza mchukia mafisadi
JF Premium Member
Points: 108,860, Level: 100 Points: 108,860, Level: 100 Points: 108,860, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Posts: 906
Thanks: 56
Thanked 126 Times in 90 Posts
Rep Power: 25
Chakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enoughChakaza will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
Hivi Freeman alimaliza ile degree yake au ndio bado yuko kwenye kifungo cha plaigarism
Mjadala ni Membe kuwania Urais 2015 hayo mengine ni yako,
__________________
Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi
Reply With Quote
  #39  
Old 25th June 2009, 05:03 PM
MgonjwaUkimwi MgonjwaUkimwi is offline
MgonjwaUkimwi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 132,643, Level: 100 Points: 132,643, Level: 100 Points: 132,643, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Abroad
Posts: 346
Thanks: 23
Thanked 21 Times in 11 Posts
Rep Power: 25
MgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enoughMgonjwaUkimwi will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to MgonjwaUkimwi
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
Mkandara,

..Membe anataka kumzidi mahesabu mwenzake kwa kulazimisha kiwanda kijengwe jimboni kwake -- Mtama.

unaendelea.
Joka Kuu, huu Uongo 100%. Kiwanda kitarajiwa kujengwa Lindi mjini, Lindi mjini sio jimbo la Membe wala la Mdhihiri. Na ni Membe aliyefanikisha ujenzi huu.

Mdhihiri ni mfa maji na anatumiwa na mafisadi. CCM haimtaki kwani uchaguzi uliomweka Kikwete madarakani alishindwa vibaya sana katika jimbo lake na kusababisha JK kupata 3% ya kura zote kwenye jimbo la Mdhihir. Mchinga ni jimbo la CUF na CCM wanakiri kuiba kura na Mdhihir anajuwa hili fika.
__________________
Mwendawazimu ni binadamu mwenye Uhuru bila Nidhamu, na Mtumwa ni binadamu mwenye Nidhamu bila Uhuru.
Reply With Quote
  #40  
Old 25th June 2009, 05:27 PM
JokaKuu JokaKuu is offline
JokaKuu has no status.
JF Premium Member
Points: 967,820, Level: 100 Points: 967,820, Level: 100 Points: 967,820, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Mon Jul 2006
Posts: 3,389
Thanks: 298
Thanked 432 Times in 244 Posts
Rep Power: 111
JokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of lightJokaKuu is a glorious beacon of light
Default Re: Membe kuwania urais 2015...

Quote:

Joka Kuu, huu Uongo 100%. Kiwanda kitarajiwa kujengwa Lindi mjini, Lindi mjini sio jimbo la Membe wala la Mdhihiri. Na ni Membe aliyefanikisha ujenzi huu.
Mgonjwa,

..what i wrote was my own interpretation of what was on the newspapers. thanks for the correction.

..Mudhihiri analilia kiwanda kijengwe jimboni kwake, na anahisi Membe "nyoka wa mdimu" anamuwekea roho mbaya ktk suala hilo.

..kwa tafsiri yangu wanamtandao ni mafisadi, na Membe kuwa kinara ktk kundi hilo ni fisadi pia.

..hizi mbinu anazotumia Mudhihiri sasa hivi ndiyo mbinu alizotumia Membe na wanamtandao wenzake kuwachafua wenzao kabla ya uchaguzi wa 2005.

..it is now Membe's turn to taste his own medicine.

..kwa upande mwingine sidhani...sidhani kama Bernard Camilius Membe is a Presidential material.

..inawezekana kwamba Mudhihir anatumiwa na mafisadi, lakini ktk hili la kumshughulikia Membe, nadhani mafisadi wanafanya jambo la mbolea kwa taifa letu.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tanzania National Identities Mwanagenzi Jamii Intelligence 1686 5th March 2010 01:07 PM
The road towards 2010 Elections Alfa na Omega Habari na Hoja mchanganyiko 1581 29th June 2009 12:35 AM
Endapo Kampeni ya kumzuia JK kugombea 2010... Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 127 17th May 2009 06:08 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:47 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com