|
Quote: |
|
 |
|
|
Joka Kuu, huu Uongo 100%. Kiwanda kitarajiwa kujengwa Lindi mjini, Lindi mjini sio jimbo la Membe wala la Mdhihiri. Na ni Membe aliyefanikisha ujenzi huu.
|
|
|
|
|
Mgonjwa,
..what i wrote was my own interpretation of what was on the newspapers. thanks for the correction.
..Mudhihiri analilia kiwanda kijengwe jimboni kwake, na anahisi Membe "nyoka wa mdimu" anamuwekea roho mbaya ktk suala hilo.
..kwa tafsiri yangu wanamtandao ni mafisadi, na Membe kuwa kinara ktk kundi hilo ni fisadi pia.
..hizi mbinu anazotumia Mudhihiri sasa hivi ndiyo mbinu alizotumia Membe na wanamtandao wenzake kuwachafua wenzao kabla ya uchaguzi wa 2005.
..it is now Membe's turn to taste his own medicine.
..kwa upande mwingine sidhani...sidhani kama Bernard Camilius Membe is a Presidential material.
..inawezekana kwamba Mudhihir anatumiwa na mafisadi, lakini ktk hili la kumshughulikia Membe, nadhani mafisadi wanafanya jambo la mbolea kwa taifa letu.