Tetesi: Membe kuwania urais 2015... - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 24th June 2009, 10:06 PM  
Membe kuwania urais 2015...
Sungi Sungi is offline 24th June 2009, 10:06 PM

Kuna tafrani ya kutupiana maneno kati ya mzee Mudhihiri na Membe kuhusu kujengwa kwa kiwanda cha saruji kilomita 35 kutoka eneo lenye malighafi ambalo ni Mchinga ambapo Mudhihiri ndio Mbunge.

Kitu ambacho kinanishangaza ni hili la kwamba Membe anania ya kugombea urais mwaka 2015 (ana haki kama mtanzania kufanya hivyo). Alipoulizwa (Membe) iwapo anahisi matamshi ya Mudhihir yana msukumo wa maadui wake kisiasa ambao wanahisi anaweza kugombea urais 2015, Membe alisema kwa vyovyote itakuwa hivyo.

Hivi kuwa waziri wa mambo ya nje ndio ticket Tanzania kuwa rais?

(Source: Mwananchi Mwananchi Communications Ltd)

Last edited by Sungi; 24th June 2009 at 10:16 PM..

 
Sungi's Avatar
Sungi
Senior Member
Points: 107,264, Level: 100 Points: 107,264, Level: 100 Points: 107,264, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Wed Apr 2009
Posts: 90
Thanks: 3
Thanked 2 Times in 2 Posts
Views: 4356
Reply With Quote
  #21  
Old 25th June 2009, 10:11 AM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,342, Level: 100 Points: 176,342, Level: 100 Points: 176,342, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,555
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
TUSIINGILIANE, natoa ONYO!!!!
Mkuu mbona mkali ghafla?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #22  
Old 25th June 2009, 10:13 AM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 743,352, Level: 100 Points: 743,352, Level: 100 Points: 743,352, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,159
Thanks: 82
Thanked 98 Times in 65 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
Hii habari wala haikukaa sawa zaidi ya kuzungumzia maudhi ya Mudhihir..
Yes Membe anaweza kuwa na mapungufu yake kama kiongozi...
I'm for Membe....
Ni kweli kuwa habari hii ni malicious. Hakuna kiongozi asiye na mapungufu, na inawezekana kuwa mapungufu ya Membe ni afadhali kuliko hao wengine.
Reply With Quote
  #23  
Old 25th June 2009, 10:21 AM
Geoff's Avatar
Geoff Geoff is offline
Geoff geoff@jamiiforums.com
JF Premium Member
Points: 666,167, Level: 100 Points: 666,167, Level: 100 Points: 666,167, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Location: CHAWOTE BAR!
Posts: 6,971
Thanks: 1,891
Thanked 2,039 Times in 1,375 Posts
Rep Power: 35
Geoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enough
Send a message via MSN to Geoff Send a message via Yahoo to Geoff
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Kama kweli atagombea,basi ni pandikizi la 'uovu'
membe-kama-membe is not independent of his own!watakuwa wamemuweka wahuni hawa,ili asijekufikiria kuirevise katiba!

tunamtaka rais ambae akiingia tu,anaanza na kuirevise katiba
__________________
''... MORE COMMERCIAL..''
Reply With Quote
  #24  
Old 25th June 2009, 10:29 AM
ganesh's Avatar
ganesh ganesh is offline
ganesh has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 158,114, Level: 100 Points: 158,114, Level: 100 Points: 158,114, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 414
Thanks: 0
Thanked 26 Times in 21 Posts
Rep Power: 22
ganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enoughganesh will become famous soon enough
Default Re: Nani alisema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ndio Ticketi ya kugombea au kuwa Rais Tz

Lakini Membe hawezi kugumbea Urais,kwa sababu ana uhusiano na Kikwete,uhusiano wa aina fulani,shemeji or something.
Inashangaza kuona kwamba Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania sasa anakuwa Crown Prince.Lakini ni kwa ajili ya zile big,big,fat bags wanazopitisha airports. Umeyaona mabego yao hawa diplomats? It is xxxxx unbelievalable,yale mabegi yalivyokuwa makubwa.
Reply With Quote
  #25  
Old 25th June 2009, 10:44 AM
Barubaru Barubaru is offline
Barubaru has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Apr 2009
Location: Doha, Qatar
Posts: 1,315
Thanks: 255
Thanked 248 Times in 185 Posts
Rep Power: 23
Barubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Makubwa hayo. Kila la Kheir Membe katika mbio zako.........



Dr Hamza.
Doha
Reply With Quote
  #26  
Old 25th June 2009, 10:45 AM
Barubaru Barubaru is offline
Barubaru has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Apr 2009
Location: Doha, Qatar
Posts: 1,315
Thanks: 255
Thanked 248 Times in 185 Posts
Rep Power: 23
Barubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Kila la kheir Mh Membe katika mbio zako ................2015

Dr Hamza
Reply With Quote
  #27  
Old 25th June 2009, 10:48 AM
Eliaona Eliaona is offline
Eliaona has no status.
Member
Points: 54,360, Level: 100 Points: 54,360, Level: 100 Points: 54,360, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Jun 2009
Posts: 25
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Eliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enoughEliaona will become famous soon enough
Default Re: Nani alisema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ndio Ticketi ya kugombea au kuwa Rais Tz

Quote:
View Post
Hao ndio aina ya watu wanaotaka kutuongoza katika nchi hii. Tutaendelea kusema pasipo vitendo hadi kiama. Jamaa kapania kuwa Rais kwa gharama yoyote ile. Lakini tukikataa asiwe Rais nani kwa mtazamo wako unadhani anafaa kuwa Rais wetu ajaye ndani ya CCM.
Hili ni Swali zuri sana ma tunatakiwa tuwe tunauliza maswali haya mapema kabla muda haujatufikia usoni. Nani tunamtaka awe rais wetu? Na kwa nini tunazungumzia 2015, kwani hatuna uchaguzi 2010, au ndo kusema...?
__________________
Home is Where the Heart is!
Reply With Quote
  #28  
Old 25th June 2009, 11:23 AM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 364
Thanks: 34
Thanked 61 Times in 33 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Mie nina khabari kuwa mheshimiwa hana 'digrii', sasa CCM si hawaitaki hiyo kitu ya kutokuwa na angala shahada1!!! itakuwaje? au ameisha andaa ya chonga!!?
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #29  
Old 25th June 2009, 11:33 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 424 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

kwani kuba ubaya Membe kugombania urais?

mbona Mbowe tayari keshajipitisha kugombea Urais na hakuna anayetia neno?
Reply With Quote
  #30  
Old 25th June 2009, 11:33 AM
Masatu Masatu is offline
Masatu Is Magumashi
JF Senior Expert Member
Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jan 2007
Location: Mbagala, Jeshini
Posts: 3,741
Thanks: 0
Thanked 88 Times in 66 Posts
Rep Power: 0
Masatu is infamous around these parts
Default Re: Membe akiri kuwania urais 2015

Quote:
View Post
Mie nina khabari kuwa mheshimiwa hana 'digrii', sasa CCM si hawaitaki hiyo kitu ya kutokuwa na angala shahada1!!! itakuwaje? au ameisha andaa ya chonga!!?

Leeelele amba!
__________________
Mkulima kala Mbegu......
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tanzania National Identities Mwanagenzi Jamii Intelligence 1686 5th March 2010 01:07 PM
The road towards 2010 Elections Alfa na Omega Habari na Hoja mchanganyiko 1581 29th June 2009 12:35 AM
Endapo Kampeni ya kumzuia JK kugombea 2010... Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 127 17th May 2009 06:08 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:32 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com