Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 71
    1. #1
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Mmie naomba mnijibu kama mnamajibu nilikuwa nataka kujua tu kwa sababu naona Mbowe na Slaa wanazunguka miko yote kila kukicha wakishirikiana na wabunge wengine wa CHADEMA lakini sijawahi kumuona Zitto kwenye hii mikutano badala yake yeye alianda kale ka tamasha ka LEKATUGIGIDE sijui nini vile.

      Je kama kweli ni kiongozi wa chadema si anatakiwa awe kwenye hii movement for change? au ama call sick??

      Mie naomba sababu ili nijue kabla sijaanza kumlaumu kwa mambo fulani fulani kama nionavyo kwenye mitandao manake nisije nikawa namuonea tu wakati ana sababu zza kutoshiriki M4C
      Last edited by Chilisosi; 8th September 2012 at 23:11.
      Invisible likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2011
      Posts : 2,449
      Rep Power : 950
      Likes Received
      1197
      Likes Given
      237

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Mbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?

    4. #3
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Ukiona ashiriki m4c ujue ana majukumu mengine kichama ambayo sio lazma ww utangaziwe kaka fungukeni mbona kila siku zitto?

    5. #4
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      tumesha yachoka haya maswali humu, wewe sio wakwanza kuuliza hii kitu kuna wenzako kama 50 elfu ivi walishauliza, sasa mtafuteni mwenye huyo zito atawajibu kwanza wengine tulishamsahau kabisaa! yani mkuu kusoma huwezi hata picha nayo uioni tu. mfute tu kwenye fikira zako usije patwa presha tu mkuu
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    6. #5
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,243
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Kazi za chama ziko nyingi. mnakumbuka wakati wa mchakato wa ubunge Arumeru, yeye alikuwa huko kiwira na kwingine akikampenia madiwan, na wakashinda. mnakumbuka?
      Beware of a sucker punch

    7. Study Abroad

    8. #6
      Ulukolokwitanga's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,586
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By Chasha
      Mbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?
      ZZK ametangaza nia ya kugombea urais, ili aweze kuupata lazima apate kura kutoka Nyololo, Ikengeza, Sanga Mwalugeshi, Kantalamba na maeneo mengi ya vijijini ambako M4C inafika na kufungua matawi na kujiongezea nafasi ya kupata kura za vijijini ambazo ndio mtaji wa ccm. Rais gani ambaye hataki kushiriki kutengeneza njia ya kuupata urais, au labda anataka kuwa rais wa LEKE TUTIGITE...

      Anyway, its Andy Murray against Thomas Berdych right now!

    9. #7
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Inaweza akawa anapangiwa majukumu mengine ya Chama.

    10. #8
      kazikubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 600
      Rep Power : 557
      Likes Received
      137
      Likes Given
      7

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Zitto jembe la ukweli hata kama hamtaki wafitini. Mtaweka uzi ili watu wamchambe, kafie mbali FEBRUARY KAMBA MINYUZI
      mpiganaji86 likes this.

    11. #9
      Nzenzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 826
      Rep Power : 558
      Likes Received
      155
      Likes Given
      38

      Default

      Quote By Chasha
      Mbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?
      Zitto ni figure!

    12. #10
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chasha
      Mbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?
      chadema hatuchonganishwi, zitto ni jembe letu, kwani huko ccm mmeishiwa majembe??
      Last edited by Chilisosi; 8th September 2012 at 23:09.

    13. #11
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By kazikubwa
      Zitto jembe la ukweli hata kama hamtaki wafitini. Mtaweka uzi ili watu wamchambe, kafie mbali FEBRUARY KAMBA MINYUZI
      Chadema hatuchonganishwi hata iweje. Zitto ni jembe letu,
      Kazi za chama ni nyingi na anaweza kuwa kapewa majukumu mengine kikazi. kama vile wabunge wengine walivyo na majukumu mengine.
      Tukumbuke huyu ni waziri kivuli na mwenyekiti wa tume ya hesabu za mashirika ya umma hivyo ni kwamba ana majukumu mengi tayari. ile ya kigoma ni kuwahamasha wasanii waone wanathaminiwa
      mpiganaji86 likes this.

    14. #12
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,244
      Rep Power : 885
      Likes Received
      759
      Likes Given
      1431

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Nzenzu
      Zitto ni figure!
      Nadhani kuna talent nyingi kwenye chama zimekuwa identified na wengine wamekuwepo humo kutokana na kazi ya Zito hivyo anawaachia na wao waonyeshe mchango wao kwa chama huku akifanya mambo mengine ya chama ila kwa sasa yupo Colombo kwenye mambo ya CPA akiwa sehemu ya ujumbe wa Spika wa bunge

    15. #13
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,148
      Rep Power : 12554
      Likes Received
      5726
      Likes Given
      742

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Chilisosi, naona umejichanganya Multple ID's at work.

    16. #14
      Domy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Location : EARTH
      Posts : 1,861
      Rep Power : 1738
      Likes Received
      437
      Likes Given
      36

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Chezea magamba wewe......,utalala nje.

    17. #15
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Chilisosi, naona umejichanganya Multple ID's at work.
      Mbona sikuelewi mtani wangu?
      Vipi unakuja kwenye mkutano wetu?
      naona chama chenu kimekosa majembe mpaka mnatamani kutuibia yetu

    18. #16
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Ritz unasema umeishi UK?
      Mitaa gani manake MK nimekaa sana kule

    19. #17
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 537
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chilisosi
      Ritz unasema umeishi UK?
      Mitaa gani manake MK nimekaa sana kule
      chilisosi nasikia bei ya kadi ya chama ni paundi-20, ya kweli haya ama watu wameshaanza uzushi?

    20. #18
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Zinjathropus
      chilisosi nasikia bei ya kadi ya chama ni paundi-20, ya kweli haya ama watu wameshaanza uzushi?
      Mpigie mwenyekiti atakufafanulia au katibu wake nazani namba zao ziko hewani

    21. #19
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,696
      Rep Power : 722
      Likes Received
      872
      Likes Given
      123

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Zitto si CHADEMA. Kwanini muogope kusema ukweli? Ni kibaraka na wa madaraka ya kupewa na CCM na TISS...

    22. #20
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 537
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chilisosi
      Mpigie mwenyekiti atakufafanulia au katibu wake nazani namba zao ziko hewani
      Nilidhani unayajua hayo anyway ntapita kumuona Linah huko barking leo ntamuuliza chris brotherman bei na pengine ......... lakini si kwa bei hiyo.

    23. Miaka 50
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...