Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 71
    1. #1
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Mmie naomba mnijibu kama mnamajibu nilikuwa nataka kujua tu kwa sababu naona Mbowe na Slaa wanazunguka miko yote kila kukicha wakishirikiana na wabunge wengine wa CHADEMA lakini sijawahi kumuona Zitto kwenye hii mikutano badala yake yeye alianda kale ka tamasha ka LEKATUGIGIDE sijui nini vile.

      Je kama kweli ni kiongozi wa chadema si anatakiwa awe kwenye hii movement for change? au ama call sick??

      Mie naomba sababu ili nijue kabla sijaanza kumlaumu kwa mambo fulani fulani kama nionavyo kwenye mitandao manake nisije nikawa namuonea tu wakati ana sababu zza kutoshiriki M4C
      Last edited by Chilisosi; 8th September 2012 at 23:11.
      Invisible likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Raia Fulani
      Kazi za chama ziko nyingi. mnakumbuka wakati wa mchakato wa ubunge Arumeru, yeye alikuwa huko kiwira na kwingine akikampenia madiwan, na wakashinda. mnakumbuka?
      Hii itasaidia sana watu kuacha majungu na kuwa negative
      Tatizo ukiishakuwa jembe kila ufanyalo watu hulitafsiri kwa miono yao
      Kuna kitu kinaitwa division of labour, katika kazi hata ukienda hospitali kila mtu ana kazi yake
      Kuna madakitari wa vichaa , wa meno , wa uzazi nk
      Huwezi kumlaumu daktari wa meno kwa nini amempita mgonjwa wa moyo bila kumsaidia eti kwa sababu yeye ni dakitari.
      Raia Fulani likes this.

    4. #22
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Zinjathropus
      Nilidhani unayajua hayo anyway ntapita kumuona Linah huko barking leo ntamuuliza chris brotherman bei na pengine ......... lakini si kwa bei hiyo.
      Linah anapiga leo?
      Ngoja nivae nguo zangu za disco

    5. #23
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 538
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chilisosi
      Linah anapiga leo?
      Ngoja nivae nguo zangu za disco
      ina maana hujui na uwanja wa kwenu.

    6. #24
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Zinjathropus
      ina maana hujui na uwanja wa kwenu.
      mkuu nilikuwa sijui si unajua nilikuwa bize na boxi

    7. #25
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 538
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chilisosi
      mkuu nilikuwa sijui si unajua nilikuwa bize na boxi
      OK pengine tutakutana huko hila kwakuwa hatujuani pengine tukapishana. Siku njema and enjoy the show kama utakwenda.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Hon.MP's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 372
      Likes Received
      66
      Likes Given
      30

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Anyway, its Andy Murray against Thomas Berdych right now![/QUOTE] Andy is the winner; thread nyingine kama hizi tutasema anajianzishia mwenyewe ebu tujadili ya maana kuliko hasara ya anayeamua kutumikia "mabwana wawili"

    10. #27
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,626
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      1392
      Likes Given
      1541

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      swali la kitoto

    11. #28
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Zinjathropus
      OK pengine tutakutana huko hila kwakuwa hatujuani pengine tukapishana. Siku njema and enjoy the show kama utakwenda.
      Nakufahamu na unanifahamu vizuri
      ok ukiingia ukumbini wewe ita chiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiii?
      na mimi nitajibu zinjaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    12. #29
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,354
      Rep Power : 12596
      Likes Received
      5871
      Likes Given
      781

      Default

      Quote By Chilisosi
      Ritz unasema umeishi UK?
      Mitaa gani manake MK nimekaa sana kule
      Bletchley, Loughton, Shenley, kote maeneo yangu kuna watu wangu kibao lakini wamejilipua kuna wengine walijifanya raia wa Somalia, wengine Sudan, wana mikoba ya UK...vipi wewe ujajilipua kweli wewe.

    13. #30
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 538
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Chilisosi
      Nakufahamu na unanifahamu vizuri
      ok ukiingia ukumbini wewe ita chiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiii?
      na mimi nitajibu zinjaaaaaaaaaaaaaaaaaa
      mhhh, anyway usiku mwema

    14. #31
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,354
      Rep Power : 12596
      Likes Received
      5871
      Likes Given
      781

      Default

      Quote By Chilisosi
      mkuu nilikuwa sijui si unajua nilikuwa bize na boxi
      Umepona kweli Milton Keynes watu kibao walipunguzwa kazi lakini walilipwa, au unapiga box London.

    15. #32
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Bletchley, Loughton, Shenley, kote maeneo yangu kuna watu wangu kibao lakini wamejilipua kuna wengine walijifanya raia wa Somalia, wengine Sudan, wana mikoba ya UK...vipi wewe ujajilipua kweli wewe.
      hahahaah
      mjomba mie sio kama unavyozani mkuu ila kama mtu kajilipua mie namfagilia sana kwa sababu ndio maisha ya huku na ndio ujanja, wewe mwenyewe unajua hilo na watu wameamua kujilipua kwa sababu hawawezi kurudi home hali mbaya, hivi unazani kama home kungekuwa bomba watu wangejibatua?

    16. #33
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Umepona kweli Milton Keynes watu kibao walipunguzwa kazi lakini walilipwa, au unapiga box London.
      Mie nilihama kabla ya hilo fagio kwa sasa niko london napiga boksi kiume mkuu

    17. #34
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,354
      Rep Power : 12596
      Likes Received
      5871
      Likes Given
      781

      Default

      Quote By Chilisosi
      Mie nilihama kabla ya hilo fagio kwa sasa niko london napiga boksi kiume mkuu
      Vizuri ndio maisha nikupe kazi mkuu uje upige hela bongo?

    18. #35
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Vizuri ndio maisha nikupe kazi mkuu uje upige hela bongo?
      poa kaka mie napiga kazi zote nina uzoefu sana kwenye boksi

    19. #36
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Vizuri ndio maisha nikupe kazi mkuu uje upige hela bongo?
      naomba namba yako nikupigie

    20. #37
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,354
      Rep Power : 12596
      Likes Received
      5871
      Likes Given
      781

      Default

      Quote By Chilisosi
      poa kaka mie napiga kazi zote nina uzoefu sana kwenye boksi
      Kumbuka nguvu zinaisha huwezi kubeba box miaka yote, nikipata muda taku-PM vitu vya kuleta bongo upige hela...Gwanda wewe.

    21. #38
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Zitto ni popo. He is undefined at all. Anyway anajijua mwenyewe!

    22. #39
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By Ritz
      Kumbuka nguvu zinaisha huwezi kubeba box miaka yote, nikipata muda taku-PM vitu vya kuleta bongo upige hela...Gwanda wewe.
      nitashukuru sana mkuu
      mie sitaki kuleta mafriji tena lakini nataka kazi ya kuajiriwa kama udereva nk

    23. #40
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,703
      Rep Power : 0
      Likes Received
      375
      Likes Given
      459

      Default re: Nauliza tu: Kwanini Zitto hashiriki kwenye M4C? Kwanini yupo karibu sana na CCM?

      Quote By MNYISANZU
      Zitto ni popo. He is undefined at all. Anyway anajijua mwenyewe!
      Mkuu mie nazani watu tunamjaji mtu kabla ya upelelezi haujakamilika.
      Tusiwe paranoid kuanza kutafuta mchawi kabla hata mambo hayajakamata kasi.
      Mie nina imani na zitto nazani ni njama za ccm kupandikiza chuki ili tugombane.
      Last edited by Chilisosi; 9th September 2012 at 00:34.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...