Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 61
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8471

      Default Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Bila Kamanda Kamuhanda kusimamishwa kazi na kuunganishwa katika kesi ya mauaji ya Daud Mwangosi hatua yoyote dhidi ya askari waliokuwa chini yake itakuwa ni ya uonevu. Na yeye apandishwe kizimbani kama mshirika wa mauaji. Ni mtu pekee aliyekuwepo eneo la tukio ambaye angeweza kuzuia mauaji lakini hakufanya hivyo.

      Alitakiwa awe na yeye amesimamishwa kazi na kutokuwa sehemu ya uchunguzi wa polisi isipokuwa kama mtuhumiwa na mshukiwa wa mauaji ya Mwangosi. Kutomshtaki au kujaribu kutengeneza mashtaka nje ya yale yanayowakabili askari waliokuwa chini yake.

      Naweza hata kwenda mbali zaidi - mtu pekee ambaye anatakiwa awe wa kwanza kutiwa pingu na kushtakiwa kijeshi kwanza ni Kamanda Kamuhanda. Avuliwe kwanza vyeo vyake vyote halafu atiwe pingu kusimamishwa katika mahakama ya kiraia...
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #21
      KALEBE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 426
      Likes Received
      17
      Likes Given
      46

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      mimi mwenyewe naunga mkono ya kuwa kamhanda naye anatakiwa aende polisi ijapokuwa na yeye ni askari kwani amefanya maovu makubwa najiuliza tume iliyoundwa ni kweli ni tume iliyo huru kiasi kwamba sisi wananchi tuiamini kwa upande wangu ni kitu ambacho hata siafiki kwani watuhumiwa wanafahamika na wanaonekana kwenye picha je hapo tume ya nini kikubwa ni kuawa wakamatwe na wafikishwe kwenye vyombo husika kama walivyo watuhumiwa wngine
      jamani watz wenzangu kumbe siku hiyo yanatokea mauaji huko ilinga ccm pia ilikuwa na mkutano wao wa chama na hakuna aliyewaingilia kwenye kikao chao au ndo kusema kuwa wao wako juu ya sheria kuliko vyama vingine pia siku hiyo nasikia kuwa tindu lisu alikuwa arusha kwenye mkutano wa hadhara lakini fujo haikutikea kwa nini iwe ilinga peke yake hapo bado mimi bado sijaelewa na kama suala lilikuwa ni sensa mbona wao walifanya mkutano je suala la sensa ni kuwa lilikuwa ilinga peke yake kwa nchi ambazo zinafuata utawala wa sheria sual hili waliohusika wangekuwa tayari wamekwisha kwenye vyombo husika lakini kwa kuwa ni tz ndo maana linapigwa danadana kila kukicha
      kuna suala la waandishi wengine watatu ambao hadi sasa tunasikia kuwa wanatafutwa na polisi kama watuhumiwa je wamekosa nini mbele ya hawa polisi dhalimu mmoja wa hawa waandishi wa habari alipokwenda mwenyewe kujisalimisha kwa polisi polisi walikana ya kuwa walikuwa hawamtafuti lakini ukweli ni kuwa walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba
      lakini pia ilithibitika ya kuwa polisi wenyewe walikiri kwa vinywa vyao ya kuwa walikuwa wanashinikzwa na wakuu kutoka juu bila ya matakwa yao wenyewe
      jambo jingine ni kuwa RPC wa wa mkoa alitaarifiwa na mmoja wa raia ya kuwa anayepigwa si mwanaharakati bali ni mwandishi wa habari lakini polisi waliendelea kumpiga hadi kumtoa uhai
      kwa namna hii tutafika kweli

    4. #22
      Nzenzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      155
      Likes Given
      38

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Ni muuaji huyu bwana!

    5. #23
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1122
      Likes Given
      649

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Ina-aminika nae alipokea maagizo toka juu sasa hapa MMM itakuwaje, watu wa juu wamkandamize ama wampongeze kwa kutekeleza maagizo yao. hii ni ndoto! kama Kamuhanda akipanda inabidi na IGP,Chagonja na Nchimbi wawe wa kwanza. ( watoa maagizo)
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    6. #24
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Ndo kawaida yetu kufanya mambo kinyumenyume!Yani tunaanzia chini kwenye uwajibikaji kama tatizo liktokea,only in Tanzania hilo linaonekana kuwa ni kawaida.Aliyetoa order yuko kazini na aliowatuma wanashitakiwa,halafu tunakubali kabisa kuwa itatendeka ama imetendeka.Sijui ni kufikiri kwa aina gani huku.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    7. #25
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,462
      Rep Power : 757
      Likes Received
      125
      Likes Given
      67

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Quote By Ndibalema
      Si ajabu na yeye akaongezwa kwenye kamati ya uchunguzi, yaani akawa mwanakamati.
      Kwa mimi navojua atavikwa nishani na amiri jeshi mkuu kwa utumishi uliotukuka. Inji tamu hii
      Ndibalema likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,626
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      1392
      Likes Given
      1541

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Quote By Kassim Awadh
      Hiyo ngumu Mzee Mwanakijiji,kwa tz hii bado sana! Mikono yake ina damu ya watu wale wa Songea,haikuchukuliwa hatua yoyote akahamishwa Mkoa tu.
      siyo ngumu, ni rahisi.... as long as tunasimamia misingi sahihi
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    10. #27
      Bahati Risiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 593
      Likes Received
      87
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Bila Kamanda Kamuhanda kusimamishwa kazi na kuunganishwa katika kesi ya mauaji ya Daud Mwangosi hatua yoyote dhidi ya askari waliokuwa chini yake itakuwa ni ya uonevu. Na yeye apandishwe kizimbani kama mshirika wa mauaji. Ni mtu pekee aliyekuwepo eneo la tukio ambaye angeweza kuzuia mauaji lakini hakufanya hivyo.

      Alitakiwa awe na yeye amesimamishwa kazi na kutokuwa sehemu ya uchunguzi wa polisi isipokuwa kama mtuhumiwa na mshukiwa wa mauaji ya Mwangosi. Kutomshtaki au kujaribu kutengeneza mashtaka nje ya yale yanayowakabili askari waliokuwa chini yake.

      Naweza hata kwenda mbali zaidi - mtu pekee ambaye anatakiwa awe wa kwanza kutiwa pingu na kushtakiwa kijeshi kwanza ni Kamanda Kamuhanda. Avuliwe kwanza vyeo vyake vyote halafu atiwe pingu kusimamishwa katika mahakama ya kiraia...
      Kamuhanda aliorder wale askari wamuue na akasimamia mauaji hadi mwisho. Picha zinaonyesha vizuri sana kuanzia David alivyokuwa anamjoji.
      Tanzania kwa sasa hakuna sheria wala nini. Ameua na anasonga mbele kuuwa wengine kama alivyoanzia huko Songea na kwingineko. Kama ana dhamira na anaamini kuwa kuna Mungu wa wanyonge, ajisalimishe na awajibishwe. Kama kwake mwisho wa Yote ni Mwema na Kikwete, basi anaendelea kudunda na kuuwa watanzania wasio na kosa ilimradi watawala wa nchi wanafaidi chini ya CCM.
      Mimi ninamshauri aangalie mbali zaidi kwani siku yake ya hukumu haiko mbali. Mungu aliyewaumba hao anaowaua atamkuta angali bado kazini. Anaijua leo haijui kesho. Kwake kifo kitakuwa kigumu kuliko hao wote ambao ameshawaua na kuwatesha kwa kutumia nguvu ya walipakodi. Watanzania hatujalala kiasi hicho. Tunamlilia Mungu na atajibu kilio chetu na cha hizi familia alizoziliza kiasi hiki! Mungu ibariki Tanzania.

    11. #28
      Shembago's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2011
      Posts : 294
      Rep Power : 451
      Likes Received
      41
      Likes Given
      26

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Hatua kubwaaaa itakayochukuliwa kwa kamuhanda itakuwa kumrudishaa makao makuu akastafu vizuri,nchi hii bwana chini ya ccm ni balaa tupu na laana!

    12. #29
      Mghaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 304
      Rep Power : 475
      Likes Received
      113
      Likes Given
      34

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Waziri Nchimbi ni tatizo kuliko ukoma katika siasa`za nchi hii, ana umafya na hila na IGP asipoangalia itakula kwake kama atafanyia maelekezo yake bila tahadhali.

    13. #30
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,909
      Rep Power : 5960
      Likes Received
      808
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Bila Kamanda Kamuhanda kusimamishwa kazi na kuunganishwa katika kesi ya mauaji ya Daud Mwangosi hatua yoyote dhidi ya askari waliokuwa chini yake itakuwa ni ya uonevu. Na yeye apandishwe kizimbani kama mshirika wa mauaji. Ni mtu pekee aliyekuwepo eneo la tukio ambaye angeweza kuzuia mauaji lakini hakufanya hivyo.

      Alitakiwa awe na yeye amesimamishwa kazi na kutokuwa sehemu ya uchunguzi wa polisi isipokuwa kama mtuhumiwa na mshukiwa wa mauaji ya Mwangosi. Kutomshtaki au kujaribu kutengeneza mashtaka nje ya yale yanayowakabili askari waliokuwa chini yake.

      Naweza hata kwenda mbali zaidi - mtu pekee ambaye anatakiwa awe wa kwanza kutiwa pingu na kushtakiwa kijeshi kwanza ni Kamanda Kamuhanda. Avuliwe kwanza vyeo vyake vyote halafu atiwe pingu kusimamishwa katika mahakama ya kiraia...
      Usishange ukisikia alisha staafu.....wapi Zombe?

    14. #31
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 392
      Rep Power : 441
      Likes Received
      140
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Bila Kamanda Kamuhanda kusimamishwa kazi na kuunganishwa katika kesi ya mauaji ya Daud Mwangosi hatua yoyote dhidi ya askari waliokuwa chini yake itakuwa ni ya uonevu. Na yeye apandishwe kizimbani kama mshirika wa mauaji. Ni mtu pekee aliyekuwepo eneo la tukio ambaye angeweza kuzuia mauaji lakini hakufanya hivyo.

      Alitakiwa awe na yeye amesimamishwa kazi na kutokuwa sehemu ya uchunguzi wa polisi isipokuwa kama mtuhumiwa na mshukiwa wa mauaji ya Mwangosi. Kutomshtaki au kujaribu kutengeneza mashtaka nje ya yale yanayowakabili askari waliokuwa chini yake.

      Naweza hata kwenda mbali zaidi - mtu pekee ambaye anatakiwa awe wa kwanza kutiwa pingu na kushtakiwa kijeshi kwanza ni Kamanda Kamuhanda. Avuliwe kwanza vyeo vyake vyote halafu atiwe pingu kusimamishwa katika mahakama ya kiraia...
      "Sin by omission", anaangukia hapo huyo Kamuhanda!
      Yani dhambi kwa kutokutimiza wajibu.
      Na atendewe kama inavyostahili!

    15. #32
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Anayeua polisi, anayepeleleza polisi na anayefikisha jalada kwa Feresi ni nani? Conflict of interest! hakuna kitu hapo
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    16. FJM
      #33
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,182
      Rep Power : 2570
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Nothing will make sense kwenye huu uchunguzi wa mauaji ya Daudi Mwangosi kama RPC Kamuhunda atabakia ofisini. Nothing. Na kadri siku zinavyopita na huyu mkubwa bado yuko ofisini ndivyo jeshi la polisi na serikali nzima inazidi kuchafuka.

    17. #34
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,349
      Rep Power : 693
      Likes Received
      652
      Likes Given
      385

      Default The only solution:Waandishi nchi nzima susieni mpaka Nchimbi,IGP,Chagonda na Kamuhanda wajiuzulu

      Waandishi wa habari, njia pekee ya kuhakikisha viongozi wakuu wa jeshi la polisi nchini na waziri Nchimbi wanawajibika ni kususia kuandika habari zote za jeshi hilo nchi nzima.

      Huu mkakati wenu wa kutoa siku 40 si dawa hata kidogo, kwani siku 40 si nyingi na zitakwisha na baada ya hapo mtaendelea kuandika.

      Sasa hapo nani atakuwa mshindi?Polisi au wanahabari?

      Msitarajie watawajibishwa.Jiulizeni hawa walifanywa nini
      1.Jairo.
      2.RPC wa Arusha.
      3.Watekaji wa Dr.Ulimboka.
      4.RPC wa Morogoro.
      5.Wezi wa fedha za EPA,kagoda,richmond,meremeta n.k.

      Hii ndio sera ya watawala wetu.

      Na msisahau kuwa wana uzoefu wa kutosha wa kufunika kombe mwanaharamu apite.

    18. #35
      Chuck j's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Location : DAR ES SALAM/KINONDONI
      Posts : 444
      Rep Power : 490
      Likes Received
      53
      Likes Given
      5

      Default Yaliyofanyika songea yafanyika iringa je rpc Kamuhanda tujibu,,,

      Ni mwaka huu miezi ya mwanzo,yalitokea mauaji songea,police kuua raia,kamanda wa mkoa akiwa ni Kamuhanda,tume ikaundwa akahamishiwa Iringa, Iringa nako mauaji yametokea akiwa kamanda wa mkoa,,je ni nini hiki? Atahamishiwa wapi baada ya mauaji ya Iringa?

    19. #36
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,661
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Yaliyofanyika songea yafanyika iringa je rpc Kamuhanda tujibu,,,

      Hata IGP yalipotokea mauaji ya mahabusu kule Rujewa kapandishwa na cheo, Na Mahita alipompiga mabomu Mrema kapata Ukuu wa polisi, Haka kamchezo kakukuua kanapandisha cheo Tanzania

    20. #37
      Percival's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2010
      Posts : 499
      Rep Power : 563
      Likes Received
      62
      Likes Given
      23

      Default Re: Yaliyofanyika songea yafanyika iringa je rpc Kamuhanda tujibu,,,

      Huyo ndio apelekwe mahakamani sababu alikuwepo wakati mauaji yanatokea.

    21. #38
      Curriculum Specialist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2007
      Posts : 1,921
      Rep Power : 1605
      Likes Received
      564
      Likes Given
      183

      Default RPC Kamuhanda naye Aburuzwe Kotini. ile kamati ya NCHIMBI isimamishwe!

      Ni sawa yule askari kuburuzwa kotini maana ndo tulichokuwa tunakitaka, lakini hakuwa mwenyewe, alikuwa na kundi la askari wengine. Lakini Muuaji mkuu RPC Kamuhanda anapaswa kuburuzwa kotini mapema, yeye ndiye aliye mchochea yule police kumlipua Mwangosi. Kamati ya Nchimbi haiwezi kuendelea kuchunguza jambo lililoko mahakamani, wananchi walisema wauaji wanajulikana tume ya nini?

    22. #39
      Shoo Gap's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 186
      Rep Power : 623
      Likes Received
      48
      Likes Given
      87

      Default Re: Ni LAZIMA Kamanda Kamuhanda naye apande kizimbani...

      Kesi hii itakuwa kiini macho iwapo atashitakiwa mtu mmoja tu.

    23. #40
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Chuck j
      Ni mwaka huu miezi ya mwanzo,yalitokea mauaji songea,police kuua raia,kamanda wa mkoa akiwa ni Kamuhanda,tume ikaundwa akahamishiwa Iringa, Iringa nako mauaji yametokea akiwa kamanda wa mkoa,,je ni nini hiki? Atahamishiwa wapi baada ya mauaji ya Iringa?
      atahamishiwa mwanza kwenye upinzani

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...