Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema badilikeni!

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 77 of 77
    1. #1
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,395
      Rep Power : 447
      Likes Received
      290
      Likes Given
      58

      Default Chadema badilikeni!

      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      grndossy likes this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Mercyless's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 449
      Rep Power : 448
      Likes Received
      90
      Likes Given
      575

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      Ni wewe pekee ndiye mwenye nia nzuri na nchi yetu (Mafisadi). Endelea kutumia tumbo kufikiri.

    4. #62
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      Mkuu hivi unatumia dozi gani ya ugonjwa wako wa pepopunda?

    5. #63
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,885
      Rep Power : 3594
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2108

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      Mbona kama ni porojo tuu CCM nao wasingezishindwa.Pengine hujapenda elewa CDM ipo hatua kibao mbele ya CCM.So nadhani ungesema vyema kama ungesema kasi yao ya ukuaji na uwezo wao wa kufanya vitu huku wakiwa wapinzani haujaweza imagine .Pengine ingekuwa fair analysis.Ila kuongea kijuju tuu na kuhitimisha kama hivi ni upofu,ambao upo karibukwa kila mwanaCCM asiyekuwa na muda wa kusikiliza habari na kuelewa yote yanayofanyika na CDM katika siasa za nchi.


      Propaganda za CCM mbona zinawaloga wanaCCM zaidi ya wengine?
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    6. #64
      Muangila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 808
      Rep Power : 630
      Likes Received
      185
      Likes Given
      493

      Default

      Quote By Makupa
      Naichukia sana simba sport club inafuatia chadema
      na inachukua nchi 2015 cjui utahamia wapi?

    7. #65
      Hakikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 1,097
      Rep Power : 2651
      Likes Received
      147
      Likes Given
      18

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Yaani mtoa mada hii umenichekesha sana, muono wako juu ya CHADEMA siyo sahihi, kwani wanaoleta vurugu kwenye mikusanyiko ya chadema ni nani kama sio police wa ccm? Acha unazi ndugu nchi hii ipo katika hali mbaya inayo sababishwa na ccm.Hivyo toa mawazo ya msingi kuikomboa nchi toka kwa manyang'au na sio kuleta hoja zisizo na mantiki.

    8. Study Abroad

    9. BAK
      #66
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,533
      Rep Power : 44950
      Likes Received
      8273
      Likes Given
      8280

      Default Re: Chadema badilikeni!

      ...Akili magamba kazini....Propaganda zenu hazitafua dafu mbele ya CDM...Watanzania wengi tumeshaustukia upumbavu wenu unaoweza kusababisha umwagaji damu mkubwa nchini.

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    10. #67
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Kawaambie wananchi, sie wenzio tmesoma, tuna macho yanaona. Wala usijisumbue humu.

    11. #68
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,479
      Rep Power : 11220
      Likes Received
      599
      Likes Given
      446

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Mafilili umewa attack CDM kwa hoja theoretical zisizo na mashiko.
      Shame on you!

    12. #69
      KIMU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 377
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      Inatia huruma kweli. Kwa mwenye akili kidogo bila za mbayuway hahitaji kuelezwa huu uzandiki hapa.

    13. #70
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4278
      Likes Given
      906

      Default

      Hivi unaongelea cdm ya nchi gani wewe? Sidhani kama uumwi!

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu

    14. #71
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,193
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Ukiona vibaraka wa CDM wanamshambulia mtoa mada na sio mada yenyewe basi ujue wameshikwa pabaya.

    15. #72
      Jakowili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 353
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MAFILILI
      Wafuasi na wanachama wa CHADEMA wanapenda kusifiwa badala ya kuambiwa ukweli. Kwetu sisi, TUTASEMA KWELI DAIMA
      Ukweli gani huo ambao unaosema wewe kilaza,mbona jana amkuwapiga mabomu ya machozi na virungu wahandamanaji wa kiislam waliohandamana bila kibali?imedhihirika kuwa polisi mnawatumia vibaya,badala ya kulinda usalama wa raia na mali zao mnawaua raia wasiokuwa na hatia kuhofia nguvu ya umma,mwisho utafika mbivu na mbichi zitajulikana,mafisadi wakubwa nyie
      Last edited by Jakowili; 8th September 2012 at 17:00.

    16. #73
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default

      Quote By MAFILILI
      CHADEMA kimezidi kujikaanga na kupoteza mvuto miongoni mwa wananchi tulio makini katika siasa za TZ. Hiki chama kipo mstari wa mbele kupingamana na mamlaka za nchi. Hiki chama kimejingengea umaarufu siku za karibuni kuwa vinara wa VURUGU kila kunapokuwa na mikusanyiko yao.

      Hizi ni dalili mbaya kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, pia ni ishara tosha ya kutokuwa na uongozi wa kitaasisi ndani ya chama. CHADEMA imedhihirika ni genge la wapiga porojo kupitia majukwaa ya siasa wakiwa ni vinara vya kuchochea misuguano miongoni mwa wananchi wakiwa na lengo la KUHAKIKISHA NCHI haitawaliki!

      Hitimisho wananchi tukae chonjo na CHADEMA kwa vile hawana nia nzuri na nchi yetu
      kwa kuwa cdm wanaleta vurugu nchini kwa harakati zao, unashauri nini kifanyike. Wakae kimya? Waendeshe vipi harakati zao? Mbinu mbadala toka kwako zitakuwa na manufaa sana

    17. #74
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,193
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default

      Quote By Raia Fulani
      kwa kuwa cdm wanaleta vurugu nchini kwa harakati zao, unashauri nini kifanyike. Wakae kimya? Waendeshe vipi harakati zao? Mbinu mbadala toka kwako zitakuwa na manufaa sana
      Kabla ya yote anzeni kufuta hii tabia yenu ya udini na ukabila halafu mpumzisheni mzee Slaa, mbowe na Zitto wanauwezo mzuri zaidi kuendeleza chama. Uvumilivu na busara za Slaa zimepotea zote, amekua mzee wa lolote na liwe.

    18. #75
      MGOME's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th December 2011
      Posts : 31
      Rep Power : 382
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Kwa kweli mafilili na wenzako mna roho ngumu! Yaani roho ya paka!

    19. #76
      A Town massive's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 340
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: Chadema badilikeni!

      Huo usisiem wako utakuuuuwa

    20. #77
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,601
      Rep Power : 818
      Likes Received
      278
      Likes Given
      51

      Default Re: Chadema badilikeni!

      haya kimbia haraka sana pale rumumba utaambulia japo ka elfu mbili kakusindikizie haka kaweekend ..........
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    21. FemaTV & Radio
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...