Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

    Report Post
    Page 9 of 9 FirstFirst ... 789
    Results 161 to 168 of 168
    1. #1
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)












      Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)












      Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

      Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
      Last edited by Msanii; 6th September 2012 at 14:44.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #161
      Tuvako's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 78
      Rep Power : 368
      Likes Received
      11
      Likes Given
      22

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By mkomatembo
      very sad, ...damu ya huyu muandishi slaa lazima ailipe ! Poleni sana familia nasikia kulia kabisa
      wewe naona unahitaji kutukanwa..naomba sana usinipandishe hasira

    4. #162
      THE GAME's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2010
      Posts : 202
      Rep Power : 496
      Likes Received
      8
      Likes Given
      71

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      ukweli unajionesha dhahiri waliohusika,mkuu wa kikosi kilichoshambulia raia anajua kilakitu,yeye ndio wakukamatwa.

    5. #163
      Tuvako's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 78
      Rep Power : 368
      Likes Received
      11
      Likes Given
      22

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      kuna mjinga mmoja anasema eti slaa alipe damu..hivi wewe huna akili? Wa kulipa damu ni slaa au hao wanaomshambulia ndugu mwangosi..you are very poor indeed

    6. #164
      Bramo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2009
      Location : Mtimbwani
      Posts : 1,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      445
      Likes Given
      300

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By Msanii
      Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)












      Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)












      Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

      Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
      Mkuu, Huyo Jamaa ukimuangalia vizuri ni Mmoja wao PoliCCM, si unaona hiyo Picha hapo chini ameshika Bastola Mkono wake wa Kulia, Ngoja nisisendelee kuandika maana nawezapigwa BAN kwa kuwa tusi Vibaya POLICCM

    7. #165
      Tumaini Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,061
      Rep Power : 8907
      Likes Received
      2231
      Likes Given
      768

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By MpendaTz


      Hii picha backgroud yake inaonyesha wazi kuwa siyo ya pale kwenye tukio.
      Kwanza hata ukiangalia rangi ya ardhi inatofautiana na zile za kwanza, pili hii nyumba ina bati juu wakati zile za kwanza ni kama tiles vile, then hapakuwa na Polisi mwenye uniform hizi za huyo anayeonekana nyuma yake kwenye picha za mwanzo, wote walikuwa wamevalia zaidi za FFU. Aina ya miti na majani ni pia ni tofauti sana.
      Chunguzeni zaidi mtaona kuwa mwenye kuileta hii picha hapa anataka kupotosha ukweli tu Jambo ambalo si zuri.

      Umesha-conclude kufananisha vitu viwili tofauti kisha vionekane kuwa ni sawa kwa kila kitu. Haiwezekani. Kumbuka kuwa hapa unazungumzia series of events, ambayo hayakutokea exactly at one and the same point kaka. Lakini nimependa hiyo spirit ya kuhoji kutaka kujua...curious to know. Safi sana.Katika hili polisi wanapaswa kujua tu kuwa wanazidi kuharakisha kukataliwa kwa serikali ya CCM.
      "Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King

    8. FemaTV & Radio

    9. #166
      Azipa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 933
      Rep Power : 547
      Likes Received
      226
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By aritoine
      No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni



      Msanii katuingiza mjini kama jina lake. Hii picha ilichukuliwa tukio tofauti kabisa. Ni huko Chunya Mbeya

      http://mbeyayetu.blogspot.com/2012/03/wananchi-wawafanyia-vurugu-polisi.html?m=1

    10. #167
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 959
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      kazi kweli kweli.

    11. #168
      CT SCan Mchina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th March 2013
      Posts : 254
      Rep Power : 360
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Imeishia wapi. Mbona kimya mno.

    Page 9 of 9 FirstFirst ... 789

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...