Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)
Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)
Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
Last edited by Msanii; 6th September 2012 at 14:44.
kuna mjinga mmoja anasema eti slaa alipe damu..hivi wewe huna akili? Wa kulipa damu ni slaa au hao wanaomshambulia ndugu mwangosi..you are very poor indeed
Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)
Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)
Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
Mkuu, Huyo Jamaa ukimuangalia vizuri ni Mmoja wao PoliCCM, si unaona hiyo Picha hapo chini ameshika Bastola Mkono wake wa Kulia, Ngoja nisisendelee kuandika maana nawezapigwa BAN kwa kuwa tusi Vibaya POLICCM
Hii picha backgroud yake inaonyesha wazi kuwa siyo ya pale kwenye tukio.
Kwanza hata ukiangalia rangi ya ardhi inatofautiana na zile za kwanza, pili hii nyumba ina bati juu wakati zile za kwanza ni kama tiles vile, then hapakuwa na Polisi mwenye uniform hizi za huyo anayeonekana nyuma yake kwenye picha za mwanzo, wote walikuwa wamevalia zaidi za FFU. Aina ya miti na majani ni pia ni tofauti sana.
Chunguzeni zaidi mtaona kuwa mwenye kuileta hii picha hapa anataka kupotosha ukweli tu Jambo ambalo si zuri.
Umesha-conclude kufananisha vitu viwili tofauti kisha vionekane kuwa ni sawa kwa kila kitu. Haiwezekani. Kumbuka kuwa hapa unazungumzia series of events, ambayo hayakutokea exactly at one and the same point kaka. Lakini nimependa hiyo spirit ya kuhoji kutaka kujua...curious to know. Safi sana.Katika hili polisi wanapaswa kujua tu kuwa wanazidi kuharakisha kukataliwa kwa serikali ya CCM.
"Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King
No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni
Msanii katuingiza mjini kama jina lake. Hii picha ilichukuliwa tukio tofauti kabisa. Ni huko Chunya Mbeya
Follow Us Here