Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 168
    1. #1
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)












      Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)












      Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

      Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
      Last edited by Msanii; 6th September 2012 at 14:44.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #21
      muhogomtamu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Location : Gezaulole
      Posts : 230
      Rep Power : 405
      Likes Received
      29
      Likes Given
      16

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Ningekuwa mshauri wa WAOEM, ningeshauri waachane na mkakati wa kuwazuia CDM kuandamana na kufungua matawi, kwa kuwa kwa kutokujua, wanawaongezea sana umaarufu CDM na hasa wakati huu wa kuelekea 2015! hili liko wazi sana na nahisi CDM wanafurahi sana! huhutaji kuwa na digrii nne kama zangu kuliona hili.
      Nawasilisha.

    4. #22
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,451
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      457
      Likes Given
      928

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      leta picha ziwe ushahindi maana wanasema amani kumbe uhuni tu na uropokaji

    5. #23
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      hivi ina maana bado wahusika tuko nao mitaani?

    6. #24
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,637
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      722
      Likes Given
      585

      Default

      Quote By assuredly4
      safari hii policeccm wameruka majivu wamekanyaga moto, watakiona cha mtema kuni
      Wajanja sana policcm ndio maana wametaka uchunguzi ufanyike ndani ya mwezi mmoja maana ili watu watoe details zote maana wakitoa mapema picha kama hizi zitawaumbua na report yao.

    7. #25
      Curriculum Specialist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2007
      Posts : 1,895
      Rep Power : 1600
      Likes Received
      560
      Likes Given
      183

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By assuredly4
      safari hii policeccm wameruka majivu wamekanyaga moto, watakiona cha mtema kuni
      Damu za watu siyo mchezo, tusubiri kidogo tu wataanza kuvua nguo hadharani kwa kurukwa na akili!

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      sterling's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 520
      Likes Received
      27
      Likes Given
      27

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      mbona sasa kama idadi ya watu ilikuwa ndogo kiasi hicho kulikuwa na sababu gani za msingi polisi kutumia nguvu kubwa kiasi hicho,,, sina hakika kama hawa polisi walikuwa na akili nzuri... binafsi sioni kama hayo yalikuwa maandamano ama mkusanyiko mkubwa uliohitaji polisi kutoka morogoro, dodoma na mbeya...

    10. #27
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,162
      Rep Power : 1530
      Likes Received
      756
      Likes Given
      591

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By ZeMarcopolo
      Hivi wakati haya yanatokea kina Slaa walikuwa wapi? Mbona hakuna picha hata moja wanayoonekana kina Slaa?
      Tueleze
      Ukweli utakuweka huru daima

    11. #28
      tenende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2012
      Posts : 1,077
      Rep Power : 586
      Likes Received
      206
      Likes Given
      485

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By sterling
      mbona sasa kama idadi ya watu ilikuwa ndogo kiasi hicho kulikuwa na sababu gani za msingi polisi kutumia nguvu kubwa kiasi hicho,,, sina hakika kama hawa polisi walikuwa na akili nzuri... binafsi sioni kama hayo yalikuwa maandamano ama mkusanyiko mkubwa uliohitaji polisi kutoka morogoro, dodoma na mbeya...
      Lengo ni kuua!.. Haikutegemewa mambo yatakuwa wazi kiasi hiki.. Polisi tunao mtaani siku zote!.. Wasipothamini maisha yetu, hatutathamini maisha yao!.. Aliyeuawa si CDM hivyo kila mtu yuko hatarini kuuawa!...

    12. #29
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By Curriculum Specialist
      Damu za watu siyo mchezo, tusubiri kidogo tu wataanza kuvua nguo hadharani kwa kurukwa na akili!
      Kama police wa Afande Shilogile (Morogoro) nao walishiriki kama ilivyofichuka leo, basi haya mauaji yalitegemewa kwa sababu huko Moro walikuwa wameshaonja damu ya mtu. KUMBUKA nukuu za mwalimu: "ukishaonja nyama ya mtu utaendelea kuila" .......mwisho wa kunukuu

    13. #30
      Katufu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 187
      Rep Power : 391
      Likes Received
      77
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Msanii
      Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)











      Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)
      Yaani hao watu wachache ndo policcm waliita mkutano wa hadhara, kweli wana akili za mbwa maana yeye akiambiwa tu kamata anakamata tu hata kama mtu hana kosa maana mbwa hawazi, je, na polisi ni mbwa?

    14. #31
      Nsabhi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 542
      Likes Received
      69
      Likes Given
      121

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Hakika kusingekuwa na ushahidi wa hizi picha POLICCM wangekuja na longolongo nyingine mara ooh marehemu alipigwa na tofali mara ooh alishambuliwa na wananchi.Lakini MUNGU YU mwema amewaumbua POLICCM na unyama wao na hakika MUNGU ataendelea kuwalaani.Pumzika kwa amani Daud
      Quote By KIJOME
      Tunazisubiri mkuu...Mungu amewaumbua wauwaji hawa.
      Josephine likes this.

    15. #32
      assuredly4's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 739
      Likes Received
      135
      Likes Given
      135

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      hivi unatarajia tume ya nchimbi iwe nzuri na safi wakati yy sio msafi

    16. #33
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,583
      Rep Power : 1088
      Likes Received
      682
      Likes Given
      374

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By ZeMarcopolo
      Hivi wakati haya yanatokea kina Slaa walikuwa wapi? Mbona hakuna picha hata moja wanayoonekana kina Slaa?
      Ina maana pamoja na kumwona mkuu wa opereshen M4C Kigaila bado huridhiki ? Slaa unamtakia nini ?Ushabiki mwingine unafaa kupeleka stendi ya bodaboda siyo hapa.

    17. #34
      utantambua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 1,267
      Rep Power : 648
      Likes Received
      272
      Likes Given
      752

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Police wali incite hizo fujo waliwachokoza ili wawadunde vizuri...hakuna sehemu picha zinaonesha dalili zozote za wanachadema waliohudhuria kuanzisha fujo...

    18. #35
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 979
      Rep Power : 620
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By Ulimakafu
      Hivi yule askari aliyemuua Mwangosi anaitwa nani?
      Mkuu kuutaratibu nimesikia hawa jamaa hufanya kazi zao kwa kufuata amri waliyopewa... wako kama mashine hivi ambayo inasubiri maelekezo kutoka kwa mtumiaji... sasa hapa cha muhimu si kujua jina lake wala anaishi wapi... cha muhimu ni kujua nani alimpa amri ya kufanya hivyo kama ikidhibitika yalifanywa hivyo.......kinyume cha hayo hatutakuwa tunatatua matatizo tuliyo nayo bali tutaongeza matatizo huko mbeleni.....
      Ukifanya jambo la werevu utaitwa mwerevu, ukifanya jambo la kijinga basi utaitwa mjinga pia

    19. #36
      Pelekaroho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Bugula
      Posts : 437
      Rep Power : 527
      Likes Received
      63
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By assuredly4
      safari hii policeccm wameruka majivu wamekanyaga moto, watakiona cha mtema kuni
      Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa mara zote hao policcm wanapofanya mauwaji huwa wanakuwa 'rewarded' kuliko kuwa 'purnished' kwa hiyo tutarajie watu kupandishwa vyeo kwa sababu lengo la kuwadhibiti waandishi wa habari pamoja na wapinzani litafikiwa tu kwa kuwahujumu kama hivo.

    20. #37
      KIJOME's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,323
      Rep Power : 0
      Likes Received
      244
      Likes Given
      220

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By Nsabhi
      Hakika kusingekuwa na ushahidi wa hizi picha POLICCM wangekuja na longolongo nyingine mara ooh marehemu alipigwa na tofali mara ooh alishambuliwa na wananchi.Lakini MUNGU YU mwema amewaumbua POLICCM na unyama wao na hakika MUNGU ataendelea kuwalaani.Pumzika kwa amani Daud
      Mkuu Nsabhi umemaliza kila kitu....huyu Mungu tunaemlilia hatatuacha kamwe.

    21. #38
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,170
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2410
      Likes Given
      2224

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By MVUMBUZI
      Ina maana pamoja na kumwona mkuu wa opereshen M4C Kigaila bado huridhiki ? Slaa unamtakia nini ?Ushabiki mwingine unafaa kupeleka stendi ya bodaboda siyo hapa.
      Swali ni Slaa alikuwa wapi? Yeye ndio kiongozi wa¨msafara. Linapotokea lolote kama kiongozi wa msafara anawajibika kuwepo katika jitihada za kuweka mambo sawa. Hii tabia ya Slaa kuingia mitini na kuacha wanachama wake wakivunja sheria inabidi ijadiliwe.
      mkomatembo likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    22. #39
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Post ya kwanza updated....
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    23. #40
      Curriculum Specialist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2007
      Posts : 1,895
      Rep Power : 1600
      Likes Received
      560
      Likes Given
      183

      Default Re: Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

      Quote By msanii
      mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu mwangosi (rip)












      picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)

      Attachment 64092


      Attachment 64093

      Attachment 64094

      Attachment 64095

      Attachment 64096

      wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza.
      Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

      Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
      huyo aliyevaa kiraia amejitokeza mara mbili akiwa na askari mmoja kwenye gari karibu na ofisi ya chadema na pale eneo la tukio! Huyu anajua kabisa huo mlipuko ulitokeaje!

    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...