Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

    Report Post
    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 195
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      ======================

      Tokana na wingi wa picha Update zote zimewekwa mwanzo wa habari ili kuhakikisha ujumbe unasomeka kwa wote
      wenye niya ya kutambua nini kinaendelea katika msiba wa Marehemu D. Mwambosi

      ========================

      Quote By Domy
      Wakiongea kwenye mazishi ya mwandishi wa habari aliyeuwawa na polisi.kwa nyakati tofauti Mbunge wa Rungwe Profesa MARK MWANDOSYA na Katibu mkuu wa Chadema Dk W.P.SLAA wameahidi kuwasomesha watoto wa marehemu Daud Mwangosi.

      Akianza Prof Mark Mwandosya amesema anajitolea kumsomesha mtoto wa kwanza alie kidato cha nne mpaka chuo kikuu.

      Naye katibu mkuu wa Chadema amesema kwa kuanzia wameshatoa kiasi cha fedha na vile vile wameahidi kumsomesha mtoto wa pili ambaye sasa yuko darasa la saba.

      Source.Eborn Fm





      Wawakilishi Mbalimbali wakitoa salam za Pole kwa ndugu wa Marehemu


      Mwakilishi wa Chanel Ten Hamis akitoa pole katika msiba huu muda huu






      Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akitoa pole zake kwa wafiwa


      Mwanaharakati Francis Godwin akielezea Jinsi Mauti yalivyo mkuta Mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi






      Rais wa UTPC Kenny Simbaya ambaye pia ni kiongozi wa msafala wa kuleta Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa anatoa salam za Pole kwa wafiwa.


      Dr Slaa akitoa pole kwa wafiwa wote Muda huu










      Wakina mama wakiwa wenye majonzi makubwa sana na huzuni muda huu

      Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akilia kwa Uchungu Muda huu

      Maelfu ya watu wakiongezeka kuja katika Mazishi ya mwandishi wa habari wa Chanel 10 Daudi Mwangosi Muda huu

      Mheshimiwa Mark Mwandosya ambaye ni Waziri ofisi ya Rais na pia Mbunge wa Rungwe Mashariki akitoa salam kwa Niaba ya Serikali

      Watu wakiwa wengi na wenye utulivu wakisikiliaza watu mbalimbali wakitoa salam zao kwa ndugu wa Marehemu

      Mjane Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi aliye jishika, akiwa na uchungu muda huu




      Ibada ikiwa inakaribia kuanza

      Ibada ya mazishi ndio imeanza muda huu

      Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa wenye majonzi Makubwa

      Waandishi wa Habari wakiwa katika msiba wa kwanza kutoka kulia ni Ndugu Joseph Mwaisango ambaye ni mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Rais wa UTPC Keny Simabaya, pamoja na Felix Mwakyembe .


      Endelea kufuatilia Moja kwa moja hapa


      PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG

      Updates; Forever Bold, RIP D. M, Tuonane Mtoni Mkuu!!



      Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini

      Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko

      Hapa wakiwa wanashusha mwili wa marehemu katika Nyumba yake ya milele

      Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa Tayari katika Kaburi

      Shughuri za kuzika zimeanza

      Mazishi yanaendelea

      Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwa machungu

      Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe

      Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa

      Ni ngumu sana Kuamini kwa mke wa Marehemu lakini hali ndivyo ilivyo kuwa akiwa na huzuni kubwa

      Dr Slaa akiweka Shada la Mauwa

      Dr Slaa Baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho

      Mh. Mark Mwandosya akiweka Taji la maua pamoja na mke wake

      Rais wa UTPC akiweka shada la Maua
      Ndugu wa Marehemu akiweka shada la Maua

      Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua


      Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu, Ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi

      Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi

      Waandishi wa Habari wakichukua Tukio Live `

      Na huu Ndio Mwisho wa tukio zima la Mazishi ya Ndugu yetu, Mwanaharakati, Mpiganaji Daudi Mwangosi aliyekuwa Mwandishi wa Chanel 10.


      Last edited by Kiganyi; 4th September 2012 at 17:32.
      Lyimo, BAK, August and 29 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,578
      Rep Power : 948
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: Chadema,Mwandosya,kusomesha watoto wa marehemu Mwangosi.

      Hawa nyamafu polisi ndo wawajibike! Dah, hadi utumbo nje? Hatuwezi kufarijiwa na kuwasomesha watoto au nini nini kwa familia. Dawa ni hawa nyamafu wanajiona ndo wamiliki wa Tanzania nao watolewe utumbo.
      Unstoppable likes this.

    4. #42
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 694
      Likes Received
      209
      Likes Given
      81

      Default Re: Chadema,Mwandosya,kusomesha watoto wa marehemu Mwangosi.

      Quote By Domy
      Wakiongea kwenye mazishi ya mwandishi wa habari aliyeuwawa na polisi.kwa nyakati tofauti Mbunge wa Rungwe Profesa MARK MWANDOSYA na Katibu mkuu wa Chadema Dk W.P.SLAA wameahidi kuwasomesha watoto wa marehemu Daud Mwangosi.

      Akianza Prof Mark Mwandosya amesema anajitolea kumsomesha mtoto wa kwanza alie kidato cha nne mpaka chuo kikuu.

      Naye katibu mkuu wa Chadema amesema kwa kuanzia wameshatoa kiasi cha fedha na vile vile wameahidi kumsomesha mtoto wa pili ambaye sasa yuko darasa la saba.

      Source.Eborn Fm
      ile picha ya Dr Slaa akimfariji yule mtoto wa marehemu imeniuma sana. wamefanya jambo la maana sana kuchukua jukumu la kuwasomesha hao watoto. ALLAH awazidishie na waliohusika wote wafikishwe mbele ya fatou bensouda ndio haki itatendeka.. RIP DAVID.
      Ogah likes this.

    5. #43
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,567
      Rep Power : 2550
      Likes Received
      2140
      Likes Given
      1862

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Akionekana Polisi mtieni humo kaburini atangulie na Mpendwa wetu. Madaktari walimkosakosa mmoja kipindi kile cha Ully

    6. #44
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,990
      Rep Power : 3110
      Likes Received
      1363
      Likes Given
      5758

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Its sad!

    7. DCM
      #45
      DCM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Posts : 75
      Rep Power : 374
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Tunaanza kuzalisha kizazi chenye chuki na visasi ndani ya nchi yetu na hii ni hatari sana!!!Hakuna mtu anayeweza kuvumilia baba yake kuuawa kinyama namna ile bila kosa lolote.
      Unstoppable likes this.

    8. Miaka 50

    9. MTK
      #46
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 936
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      333

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Asante kutuweka karibu na tukio, RIP David Mwangosi

    10. #47
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,830
      Rep Power : 736
      Likes Received
      180
      Likes Given
      0

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Okambole nyerere okote ekiso ekenunu eke akelekile kyonangike

    11. #48
      Facilitator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Osoit l'embijata
      Posts : 1,443
      Rep Power : 722
      Likes Received
      572
      Likes Given
      1234

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Quote By Barubaru
      Poleni sana wafiwa Mola ailaze pahala panapostahikhi roho ya marhum.
      Navutiwa sana na jinsi unavyotumia lugha. Huwa nasoma posts zako, wewe mkareeeeee aisee!!
      I'm only responsible for what I say; NOT for what you understand.

    12. #49
      unknown animal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Location : iringa
      Posts : 317
      Rep Power : 408
      Likes Received
      46
      Likes Given
      137

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      thanx for the pics,endelea kutujulisha tafadhali

    13. #50
      Gedeli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 189
      Rep Power : 400
      Likes Received
      47
      Likes Given
      116

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Quote By Smile
      ni kweli pr mwandosya kajitolea kusomesha familia?
      R.I.P Mwangosi, Mkuu ahsante kwa kutuwezesha kujua yanayojiri!!
      Mwadosya alikuwa anawalilisha serikali Je ahadi aliyeitoa ni yakwake mwenyewe au ni ya serikali ? hebu tujulisheni wazee
      Jk kisha tuahidi ahadi kibao bado tunasubiri sijui mpaka lini?

    14. #51
      kiteu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th September 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      R.I.P - D.Mwangosi

    15. #52
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,650
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5004
      Likes Given
      5174

      Default

      Prof Mark Mwandosya
      amesema anajitolea kumsomesha
      mtoto wa kwanza alie kidato cha
      nne mpaka chuo kikuu.
      Smile likes this.

    16. #53
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 437
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Pumzika kwa
      amani Marehemu
      Daudi MWANGOSI.

    17. #54
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,650
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5004
      Likes Given
      5174

      Default

      Quote By Gedeli
      R.I.P Mwangosi, Mkuu ahsante kwa kutuwezesha kujua yanayojiri!!
      Mwadosya alikuwa anawalilisha serikali Je ahadi aliyeitoa ni yakwake mwenyewe au ni ya serikali ? hebu tujulisheni wazee
      Jk kisha tuahidi ahadi kibao bado tunasubiri sijui mpaka lini?
      Mwandosya ndio Mbunge wa Jimbo ambalo Mwangosi amezaliwa. Ahadi ni kama mbunge

    18. #55
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Godamn you KILLER COPS

    19. #56
      Kwayu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2007
      Posts : 235
      Rep Power : 637
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Wadau kwa nn tusianzishe movement ya kuwaadabisha hawa polisi. ukimkut a hata bar anakunywa unamwekea hata sumu ya panya afe.

    20. #57
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      726
      Likes Given
      147

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Quote By DCM
      Tunaanza kuzalisha kizazi chenye chuki na visasi ndani ya nchi yetu na hii ni hatari sana!!!Hakuna mtu anayeweza kuvumilia baba yake kuuawa kinyama namna ile bila kosa lolote.

      Yaani inasikitisha sana naona kawekwa kwenye kifurushi maalumu sio sanduku nadhani ni kwa sababu mwili ulikuwa vipande vipande hii picha iatwaumiza watoto,mke ndugu jamaa kwa kipindi kirefu sana inauma kwa kweli

    21. #58
      Gedeli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 189
      Rep Power : 400
      Likes Received
      47
      Likes Given
      116

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Quote By Nicas Mtei
      Mwandosya ndio Mbunge wa Jimbo ambalo Mwangosi amezaliwa. Ahadi ni kama mbunge
      kwa hiyo karo itatoka katika mfuko wa jimbo!!

    22. #59
      morenja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 294
      Rep Power : 427
      Likes Received
      56
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By LINCOLINMTZA
      Mpaka lini? Options zimezingatiwa kweli?
      R.I.P Mwangosi kwa damu yako iliyomwaka cdm haitaonewa tena .tutakukumbuka jina lako siku ya Uhuru wa pili.kama moja wa mashuja wa nchi hi .amen

    23. #60
      Ngigana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2010
      Posts : 331
      Rep Power : 528
      Likes Received
      55
      Likes Given
      164

      Default re: Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

      Quote By watu8
      ukaghone gwa m'yitu....
      mmbule KYALA inyali syosa isi CCM bikubhomba...

      Ukaghone Nkamu!! Tufulele fijo! Lelo Kyala amenye! Tukusibhika syosa mundumbula! Ukaghone!
      A life that influences no one is not worth living! By B B Shonga

    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...