Mti huu ni kumbukumbu kwamba umetutoka kimwili lakini ungali nasi kiroho hadi tutakapoungana nawe katika makazi ya Baba wa milele.
Dr. Slaa alipofika kwenye msiba wa familia ya hayati Daud Mwangosi kuwapo pole.
Mjane wa Daud Mwangosi, ameacha mjane na watoto wanne.
Mtoto wa hayati Daud Mwangosi akimsalimia Dr. Slaa kwa uchungu alipofika kuwapa pole.
Picha kwa hisani ya Mjengwa blog






Reply With Quote




Follow Us Here