Mwangwi wa mauaji ya kinyama na kikatili yaliyofanywa na jeshi la polisi mkoani Iringa sasa umeenea dunia nzima.
Shirika la habari la Marekani CNN limeripoti tukio hilo kwa kina na uhalisia wa pekee.Shirika hilo pia limeelezea matukio yote ya mauji ya kinyama yaliyowahi kufanywa huko nyuma ambayo yote yalikuwa ni kuidhibiti demokrasia na kutaka kukifunga mdomo chama kikuu cha upinzani CDM.
Shirika hilo pia limeeleza kushangazwa na ukimya wa tume ya haki za binadamu nchini Tanzania kufumbia unyama huu.
Habari kamili soma link ifuatayo:
http://ireport.cnn.com/docs/DOC-8364...feeds%2Flatest

Reply With Quote


Follow Us Here