Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 155
    1. #1
      Mndengereko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : DAR-ES-SALAA
      Posts : 780
      Rep Power : 569
      Likes Received
      106
      Likes Given
      67

      Default Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

      Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

      Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

      Nawasilisha wadau
      zomba, Mahesabu, Kimbweka and 2 others like this.
      ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,847
      Rep Power : 2330
      Likes Received
      2855
      Likes Given
      5504

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.

      Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?

      Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.

      Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.

      HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.
      Jasusi, BAK, Hofstede and 8 others like this.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    4. #3
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,566
      Rep Power : 1630
      Likes Received
      379
      Likes Given
      552

      Default

      Quote By Sikonge
      HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.

      Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
      zomba and Kimbweka like this.

    5. #4
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By Mndengereko
      ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
      Wewe sio mwanachama wa chama chochote ila umetumwa na wanachama wa CCM!

      Rudi kajipange upya!
      kaangwa and kapachiro like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    6. #5
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,148
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Eti mie siyo mnazi!!!??? Kumbe ni mchongoma! ubongo uliokufa huu!

    7. Miaka 50

    8. FJM
      #6
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Fujo hutokea pale tu polisi wanapokuwepo kwenye mikutano ya CHADEMA.

      Kwenye tukio la jana, haingii akilini kwa nini polisi wengi walikuwa wanamzunguka mwandishi mmoja tu wa habari?

    9. #7
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By Ecoli
      Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
      Hii ni dunia......hakuna binadamu wa kawaida anayeweza kushangilia mauaji hata kama ni ya adui yake......kumbuka leo ni kwa Daudi(R.I.P) .....kesho inaweza kuwa kwako au kwa ndugu yako wa karibu......hutakufa kwenye maandamano ya CDM manake wewe sio mwanachama wao ila utauliwa hata na majambazi.......narudia tena hii ni dunia!
      BAK, Sikonge and Rogie like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    10. #8
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 582
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By ecoli
      sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
      wewe mwehu uliyetoroka matibabuni,wanaopigwa wala hawahusiki na cdm.ila polis wenu wanamakengeza.

    11. #9
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By FJM
      Fujo hutokea pale tu polisi wanapokuwepo kwenye mikutano ya CHADEMA.

      Kwenye tukio la jana, haingii akilini kwa nini polisi wengi walikuwa wanamzunguka mwandishi mmoja tu wa habari?
      Wanatii sheria bila shuruti kutoka kwa mkubwa wao JK!
      Life without problems never make a strong and good person!

    12. #10
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,847
      Rep Power : 2330
      Likes Received
      2855
      Likes Given
      5504

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Nani analia? Umesoma popote hapa mie NINALIALIA? Hebu soma kama nimejadili chochote kuhusu hili.

      Muda wa kuendelea kujadili haya mauwaji umekwisha. Njia mbadala inabidi zianze kutafutwa.
      Quote By Ecoli
      Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    13. #11
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 907
      Rep Power : 530
      Likes Received
      174
      Likes Given
      235

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By Mndengereko
      ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
      Wewe nafikiri una matatizo ya ubongo!! Kazi ya jeshi la polisi ni nini?
      Hivi polisi wakiua watu wasiokuwa na makosa kwa risasi ni nani wa kulaumiwa!!
      Kumbuka Arusha maandamano yaliruhusiwa na kuzuiliwa dakika za mwisho!! kwa sababu za "kiintelijensia".
      Angalia kote utauona mkono mchafu wa serikali. Unasisitiza waache kukutana na wakutane kwa matakwa ya wakubwa, huku wenzao wa CCM wakifurahia ulinzi madhubuti wa jeshi hilo hilo kipindi hicho hicho.
      Double standard ndiyo inayoudhi.
      Jeshi la polisi na CCM wamedhamiria kuzuia mageuzi kwa nguvu za risasi za moto!! hili ni wazi. Kwa sasa mawazo na mtizamo wako hauna nafasi tena.
      Muangila likes this.

    14. #12
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 619
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Kazi ya kichwa sio kufuga nywele.........mtoa mada naona kichwa chako unatumia kufuga nywele...mikutano ya cdm yote huwa na amami tatizo ni ccm na serekali ambazo siku zao zinahesabika.....gamba huonekana kwenye mavi yaliyokauka kumbe nawewe ni gamba loooooo!

    15. #13
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      unasema sio mnazi wa chama chochote lakini utakuwa unajua fika kuwa baada ya polisi kusababisha vifo pale Arusha na kusumbua sana cdm walifanya maandamano na mkutano bila hata chembe ya ulinzi wa polisi na kilichotokea kila kitu kiliisha bila hata chembe ya vurugu.
      Tokea hapo wenye akilki zao wakajua na kama wewe hujajua hilo muulize mwenzio lakini utakuwa umechelewa sana kujua chanzo cha vurugu!

    16. #14
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,148
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By Ecoli
      Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
      Tunajua kati yetu lipo kundi linalofaidika na huu mfumo uliopo na pengine na wewe pia ni miongoni mwao!! kwa hiyo ni lazima mtu kama wewe kufurahia kwa kila kinachotokea hivi sasa hapa nchini! Sikushangai!
      Lakini kinachotokea leo ni mbegu tu mbaya inapandikizwa ipo siku kama utakuwa hai utajuta kwa kinachokuja kutokea mbele!
      Kama hutokuwa hai basi itamhusu, mwanao au mjukuu wako ama vyovyote vile lakini itakuwa mbaya sana.


    17. #15
      Mndengereko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : DAR-ES-SALAA
      Posts : 780
      Rep Power : 569
      Likes Received
      106
      Likes Given
      67

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      haingi akilini kuamini kwamba mara zote polisi hawawatendei haki chadema na pia ni ngumu kwa mimi kuamini kwamba chadema wapo sahihi mara zote yaani hawakosei kuna kitu wankipandikiza jamnai tufunguke nilijua mtaniita mimi gamba lakinii huu ndio ukweliambao mimi naudhania
      Navoyne likes this.
      ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!!

    18. #16
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4402
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default

      Quote By Sikonge
      UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.

      Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?

      Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.

      Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.

      HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.
      Haki inaambatana na wajibu mkuu na hakuna uhuru usio na mipaka

      Kazi ya polisi haiishii kupokea taarifa tu na kuleta ulinzi, ni lazima pia waangalie hali halisi ya kiusalama inaruhusu hicho kinachotakiwa kufanyika kifanyike
      Sasa kama polisi wataona kunasababu za msingi hicho kilichotaarifiwa kufanyka kitasababisha kukosekana kwa usalama ambao wao kama chombo cha kazi hiyo wanaona iwapo kikitokea na wakijaribu kizima inaweza kuleta mdhara basi wanawajibu wa kusitisha au kubadili utaratibu

      Ingawa maranyingi Polisi wanakuwa wanatoa maamuzi ya kionevu na kibabe dhidi ya CDM lakini pia CDM nao wakati mwingine wawe wanaangalia pia, maana kuwashawishi tu watu kufanya kitu ambacho kinapelekea vifo na pengine kupeleke kukipa umaarufu zaidi chama tu sio busara nzuri pia

      Na most of time ni maandamano/matembezi ndio yanaleta tabu na si mikutano
      Naamini wanaweza kabisa kufanya mikutano yao vizuri na wananchi wakawasikia na kuwaelewa bila kuanza kuandamana mabarabarani
      Kimbweka, grndossy and kapachiro like this.

    19. #17
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,434
      Rep Power : 719
      Likes Received
      307
      Likes Given
      84

      Default Re: Wazo langu:hivi haiwezekani chadema ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By mndengereko
      ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
      mndengereko kwa taarifa yako polisi wamekuwa wakivamia mikutano ya chadema na kuanzisha vurugu kulikuwa na haja gani kutumia polisi kwa mkutano wa kufungua tawi kijijini??chaguzi za chama zinazofanyika kwenye matawi mpaka watu kutishiana bastola mbona polisi hawafanyi uvamizi kama ule wanaofanya kwenye mikutano ya chadema??kwa hakika nchi inakwenda autopilot daudi mwangosi anapigwa bomu la tumbo rpc anaangalia polisi wamemshikilia ilijamaa washoot tumbo bado unaongea ujinga mndengereko???polisi watakanusha sana lakini awamu hii na huko tunakokwenda hali yao itakuwa mbaya sana.wameamua kutekeleza mikakati ya ccm kuvuruga vyama vya upinzani kwa bahati mbaya muda ndio unatoa hukumu.
      TUSIRUHUSU AKILI NDOGO IONGOZE AKILI KUBWA BY MCH.PETER MSIGWA

    20. #18
      Mndengereko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : DAR-ES-SALAA
      Posts : 780
      Rep Power : 569
      Likes Received
      106
      Likes Given
      67

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      kwa arusha ninajua kwamba kabisa polisi walichemka lakini vipi seemu nyingine ambapo chadema waliambiwa kuna sensa na wenyewe wakanagania kufanya mkutano
      ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!!

    21. #19
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,847
      Rep Power : 2330
      Likes Received
      2855
      Likes Given
      5504

      Default Re: Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Ndiyo matatizo ya kula kabla hujapiga mswaki.

      Pitia habari hizi na angalia kama kulikuwa na MKUTANO WA NJE au maandamano.

      Safari hii POLISI wamedai lazima kuwe na mikutano ya NDANI TU na si ya nje.

      Ila hapohapo, Mwanza wameruhusiwa kufanya FIESTA (TAMASHA).

      Na hata hivyo, sababu ya KUPIGA waandishi wa habari ni nini?

      Kumbuka aliyeuawa alikwenda kuuliza kwa nini wanampiga Mwandishi mwingine.

      Anyway, sikujua kuwa Waandishi wa habari walikuwa wanaandamana jana huko Iringa.
      Quote By paulss
      Haki inaambatana na wajibu mkuu na hakuna uhuru usio na mipaka

      Kazi ya polisi haiishii kupokea taarifa tu na kuleta ulinzi, ni lazima pia waangalie hali halisi ya kiusalama inaruhusu hicho kinachotakiwa kufanyika kifanyike
      Sasa kama polisi wataona kunasababu za msingi hicho kilichotaarifiwa kufanyka kitasababisha kukosekana kwa usalama ambao wao kama chombo cha kazi hiyo wanaona iwapo kikitokea na wakijaribu kizima inaweza kuleta mdhara basi wanawajibu wa kusitisha au kubadili utaratibu

      Ingawa maranyingi Polisi wanakuwa wanatoa maamuzi ya kionevu na kibabe dhidi ya CDM lakini pia CDM nao wakati mwingine wawe wanaangalia pia, maana kuwashawishi tu watu kufanya kitu ambacho kinapelekea vifo na pengine kupeleke kukipa umaarufu zaidi chama tu sio busara nzuri pia

      Na most of time ni maandamano/matembezi ndio yanaleta tabu na si mikutano
      Naamini wanaweza kabisa kufanya mikutano yao vizuri na wananchi wakawasikia na kuwaelewa bila kuanza kuandamana mabarabarani
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    22. #20
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 418
      Rep Power : 431
      Likes Received
      149
      Likes Given
      1

      Default Re: Wazo langu:hivi haiwezekani chadema ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

      Quote By Mndengereko
      ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
      Kama sikosei wewe ni aidha ni punguani.Maana swali la kwanza ulipaswa kujiuliza wewe mwenyewe ni kwamba nini kazi ya jeshi la polisi na nini kazi ya chama cha siasa na chama cha siasa ni kitu gani..Ujiulize kwanini jeshi la polisi liombwe na kwanini kila likiombwa na CDM lazima likatae!!!Kisha ungejiuliza kwani jeshi la polisi haliwezi kuwalinda chadema kwa amani?Ukishapata hayo majibu ndo uje hapa jamvini soi unaanza ooh mimi sio mnazi wa siasa alafu unaleta pumba zako za kitoto hapa!Watu kama ninyi ndo mnadhani mtanzania sana ni yule aliye CCM na Chadema sio watanzania na hawana haki ya kuishi...Sasa ujue tu kwamba CDM sio mbowe wala wilbroad slaa wala kabwe chadema ni watanzania wote wenye haki ya kukutanika kusikiliza sera za kila chama na neno chama ni jina tu ila ni watanzania haohao sio kama unavyotaka kutufikirisha ujinga wako kwamba labda chama ni jitu fulani lililotoka maporini au mbinguni au baharini!Emu muulize hata mtoto wako wa chekechea kwanini polisi wauwe watu ambao hawana uhusiano na wanasiasa wanauwa mara muuza magazeti mara mwandishi wa habari tena wako rundo yeye mmoja tu na hana silaha!!!Sasa kwa upunguani utakuta mke wako siku katolewa utumbo na polisi na wala hajui hata siasa kama ulivowewe huijui Kilaza wewe!!!

    23. Study Abroad
    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...