Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 88
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,800
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1019
      Likes Given
      163

      Default MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Mbunge wa Morogoro Mjini-CCM,Aziz Abood amekaririwa akisema kuwa vitendo vinavyoendelea kufanywa na Polisi Jimboni mwake,kurindimisha mabomu ya machozi na risasi ni kumpora Jimbo lake.

      Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!


    2. #41
      siyabonga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 125
      Rep Power : 399
      Likes Received
      33
      Likes Given
      2

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Kuna mtu aliniambia kwa falsafa kidogo, kuwa JK ni CDM, NIKABISHA!

      Lakini kadiri muda unavyokwenda, na vitendo vinavyofanyika, nazidi kuamini pengine upo ukweli fulani.

      Muache yeye na Serikali yake waendeleze vitendo vyao,

      madhara yake watayaona,soon. Kadi yake, hatapewa!

    3. #42
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By DALLAI LAMA View Post
      Huyu kwanza si yule aliyekuwa na kashfa ya kuzika wahanga wa ajali la basi lake la ABOOD pale MDAULA kuficha kashfa ya mabasi yake ya ajali dhidi ya mshindani wake HOOD.Atulie
      ni kweli,,,,by then mabas yake yakawa yanaitwa CHINJACHINJA

    4. #43
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By DALLAI LAMA View Post
      Huyu kwanza si yule aliyekuwa na kashfa ya kuzika wahanga wa ajali la basi lake la ABOOD pale MDAULA kuficha kashfa ya mabasi yake ya ajali dhidi ya mshindani wake HOOD.Atulie
      ni kweli,,,,by then mabas yake yakawa yanaitwa CHINJACHINJA

      ila siamini kama abood hakujua hili swala,maskini aliusotea ubunge kwa miaka LUKUKI huyu jamaa,mkapa alikua akimfyeka tuuuuu,,,,,,

    5. #44
      Man 4 M4C's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 507
      Rep Power : 839
      Likes Received
      74
      Likes Given
      15

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Aache unafiki huo ndio mtindo wao

    6. #45
      Zimamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 434
      Likes Received
      89
      Likes Given
      33

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Kama kweli anakerwa, atangaze kujiuzulu, tofauti na hapo aache danganya toto. Huwezi kutakata kwa kuogelea ndani ya tope.


    7. #46
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By siyabonga View Post
      Kuna mtu aliniambia kwa falsafa kidogo, kuwa JK ni CDM, NIKABISHA!

      Lakini kadiri muda unavyokwenda, na vitendo vinavyofanyika, nazidi kuamini pengine upo ukweli fulani.

      Muache yeye na Serikali yake waendeleze vitendo vyao,

      madhara yake watayaona,soon. Kadi yake, hatapewa!
      naomba huyo mtu pia umuulize je na nape nae ni chadema????

    8. #47
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2943
      Likes Given
      5072

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Siasa zetu zimekuwa za hovyo sana siku hizi. Ni fujo na kuuana tu kama hatuna kazi nyingine za kufanya.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    9. #48
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By siyabonga View Post
      Kuna mtu aliniambia kwa falsafa kidogo, kuwa JK ni CDM, NIKABISHA!

      Lakini kadiri muda unavyokwenda, na vitendo vinavyofanyika, nazidi kuamini pengine upo ukweli fulani.

      Muache yeye na Serikali yake waendeleze vitendo vyao,

      madhara yake watayaona,soon. Kadi yake, hatapewa!
      nape je?????

    10. #49
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,859
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5655
      Likes Given
      3878

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Siwashauri Chadema kuendelea kuwa chama cha siasa, tunahitaji chama mbadala cha ukombozi na siyo chama cha siasa, serikali ya kigaidi ya CCM hakuna namna ya kuiondowa madarakani zaidi ya Military option.

      Natowa wito kwa kila mpenda haki tupeleke kwa wingi vijana wetu kwenye mafunzo ya mgambo na JKT liwalo na liwe 2015 CCM lazima wangoke kwa njia yoyote hata ikiwezekana kwa nguvu za kijeshi la raia na siyo jeshi hili la kina Shimbo.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    11. #50
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,859
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5655
      Likes Given
      3878

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Huyu Reporter wa BBC Tanzania David Eric Nampesya mbona anashindwa kuripoti vizuri tukio la Mauwaji la Morogoro? hivi sisi Watanzania ni taaluma ipi hasa tunaimudu? nimesikiliza coverage nzuri kwa Gaidi lililouwa Mombasa na habari inasisimuwa kusikiliza lakini huyu mtangazaji wa kwetu hovyo kabisa.

      Ndio maana CNN huwa hawana time na habari za Tanzania maana kama watangazaji wenyewe ndio hawa unategemea wataripoti nini!!??
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #51
      real thinker's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 358
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Mungu amlaze mahali pepapeponi ally kwani amekufa kwa kutetea wanyonge wenzake kutoka serikal dhalimu ya magamba

    13. #52
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,353
      Rep Power : 2049
      Likes Received
      466
      Likes Given
      2768

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Magamba bana wana team inayojitangazia kutawala maisha!!

      Yaani mtu anayeitetea magamba ujue anafaidika nayo big time!!
      Zogolo Dangu Dawika Miye! - Safari_ni_Safari wa JF

      e-mail: [email protected]

    14. #53
      miss strong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 924
      Rep Power : 534
      Likes Received
      208
      Likes Given
      62

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Wameua tena?Nchi inakwenda wp?Inackitisha mno!

    15. #54
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,206
      Rep Power : 875
      Likes Received
      310
      Likes Given
      123

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Walichofanya leo Polisi ni kuwatangaza Chadema hata asiyejua Chadema ameijua leo kwa yale Mabomu
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    16. #55
      Kingmairo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Location : In the Palace
      Posts : 875
      Rep Power : 538
      Likes Received
      268
      Likes Given
      87

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Wale wafuasi wakina-zomba na mwenzie Riz wamekimbilia wapi? Jitokezeni acheni tabia ya kuweka mkia tumboni kama dog.

    17. #56
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,690
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      1158
      Likes Given
      1601

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Kazi wanayo wana thithimwewe!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    18. #57
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 583
      Rep Power : 630
      Likes Received
      107
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Lu-ma-ga View Post
      Amegundua jinsi walivyo-miss calculate.Linear programming yao imewapo wrong feasible region.
      Kaka lugha ya kimahesabu namna hivi tutaelewana kweli humu ndani? Anyway nitakumegea Like yangu baadaye usiku ntakaposwitch to Jf desktop

    19. #58
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Amesema anaenda kulalamika wapi??? Hawa watu wanaishi katika sayari yao wenyewe.
      only83 likes this.

    20. #59
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,297
      Rep Power : 672
      Likes Received
      284
      Likes Given
      117

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      Kazi ipo
      Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....

    21. #60
      mwaxxxx's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 420
      Likes Received
      69
      Likes Given
      0

      Default Re: MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

      nguvu ya umma haizuiliki kwa RISASI

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...