Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 222
    1. #1
      Tumaini Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,061
      Rep Power : 8907
      Likes Received
      2231
      Likes Given
      768

      Default Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Wakuu

      Jana Jumanne, timu kadhaa zinazounda timu moja ya Operesheni Sangara-M4C ilikuwa inamalizia kiporo cha Mvomero, ambako kabla ya mapumziko ya siku mbili kwa ajili ya Siku Kuu ya Eid-El-Fitr, kata kadhaa zilibaki katika mashambulizi makali ya Jumamosi. Mashambuzi hayo yamemng'oa Amos Makalla kutoka huko Dar es Salaam kuja jimboni kusalimia wananchi! Anakumbuka shuka kumekucha...

      Katika mikutano aliyofanya jana na timu yake, Dkt. Slaa alitoa more facts juu ya zile tuhuma nzito alizotoa juzi kwenye press conference kuwa CCM wamekuwa wakiingiza nchini silaha bila vibali wala kulipia leseni, kisha wanawapatia vijana wao wanaowekwa kwenye makambi mbalimbali (kama ile ya Ulemo, Iramba, Singida, wakati wa uchaguzi mdogo Igunga) ambayo hutumika kuandaa na kufundisha vijana kwa ajili ya kufanya utekaji, utesaji na hata kuua...

      Katika hatua ya mbele zaidi, amesisitiza kuwa kama ambavyo hawajawahi kuchomoka katika mtego mwingine wowote ule hasa katika masuala ya ufisadi na kuhujumu maendeleo ya watu wa nchi hii, katika hili la kuingiza silaha nchini kwa nia ya kudhibiti CHADEMA na kudhuru viongozi wake (wapinzani wao wa kisiasa) "CCM hawatachomoka pia".

      "Kwa hili pia CCM hawachomoki, wamo kwenye mtego wetu tena kwa mara nyingine, leo naanza kwa kutoa kidogo tu, wakiendelea kuja na maneno matupu nitatoa facts na nyaraka zingine zaidi, na sasa katika hatua hii suala hili linamhusu Kikwete akiwa kama Mwenyekiti wa CCM na Amiri Jeshi Mkuu, ndiye anayehusika na masuala haya, afanyie kazi suala hili ili Watanzania wapate majibu ya kina na ukweli.

      "Wakati wa uchaguzi mdogo Igunga waliweka vijana kwenye makambi kama pale Ulemo, Iramba mkoani Singida, wakifundishwa mbinu za kuteka, kutesa na kuua, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya CCM kudhibiti wapinzani wao kisiasa, wakilenga CHADEMA na hasa kudhuru viongozi wake. Waliwapatia bunduki, mojawapo ni silaha iliyotengenezwa China, yenye uwezo wa kubeba risasi 8 kwenye magazine yenye namba J137, walikuwa nayo vijana hao kambini.

      "Tunamtaka Kikwete, kama Amiri Jeshi Mkuu na pia akiwa Mwenyekiti wa CCM atuambie, silaha hii iliingiaje nchini na kwa nini ilikuwa mikononi mwa CCM, tutashusha nondo zaidi, kuendelea kuivua nguo CCM na mikakati ya kumaliza wananchi wa nchi hii wasiokuwa na hatia," alisema Dkt. Slaa katika vijiji mbalimbali vya Kata za Langali na Mlali, Mvomero, Morogoro.
      "Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mkulima wa Kuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 707
      Rep Power : 564
      Likes Received
      240
      Likes Given
      207

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      longa mkuu longa, tumsubiri Nape na majibu yake hovyo

    4. #3
      mambomengi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2009
      Posts : 449
      Rep Power : 599
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Inakuwa vigumu kuamini hizo tuuma ama ni propaganda.

    5. #4
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,305
      Rep Power : 2018
      Likes Received
      591
      Likes Given
      76

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Nakubaliana na Dr Slaa kwa 100%. CCM wamekuwa AL QAEDA mno !

    6. #5
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 429
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Na bado mengi yatafichuliwa ifikapo 2015 . Halita salia jiwe juu ya jiwe.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Fitinamwiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : Bagamoyo
      Posts : 1,477
      Rep Power : 1996
      Likes Received
      393
      Likes Given
      529

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Labda hao ndio baadhi ya wahuni walioshiriki kumteka Dr. Ulimboka. Aibu kubwa kwa CCM kuanzisha kundi la kigaidi chini ya ulezi wa Mwigulu.
      Choi likes this.

    9. #7
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,612
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3831
      Likes Given
      12203

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Akimaliza muhula wake tumpeleke Kikwete moja kwa moja The Hague.
      MAPE2012 likes this.

    10. #8
      ungonella wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 2,202
      Rep Power : 800
      Likes Received
      302
      Likes Given
      0

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Jamani kama ni kweli hiyo ni kashfa nzito sana kwa taifa letu, lakini kama siyo ni hatari pia! Ni muhimu vyombo vya usalama vikachunguza!

    11. #9
      Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Location : Kalenga
      Posts : 608
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      692
      Likes Given
      383

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Nape anachezea moto natamani aendelee kuchemka wanaume wamshukie boss wake mazima. Nape jana kabeep leo Dr kapiga simu.

      Nape atuamnbie je hiyo bunduki waliitoa wapi na nani aliisajili kwa nini ilikwenda kwenye makambi yao. Nape akumbuke alikubali kuwa huwa CCM wana makambi ya kufundisha vijana wao vita na kuteka sasa aseme bunduki za nini wakati kuna polisi, mgambo, nk na kama wanahitaji bunduki kwanini wasisajili wakati ni ruksa mtu kumiliki silaha???

      Nape akumbuke CCM wameteka, wameua na wanatoa kauli chafu na za dharau kama zile za Igunga sasa wanalia.
      Mahakama zikifanya kazi vizuri Tanzania tutaheshimiana na wehu watapungua.
      Kilasara and zaleo like this.
      Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.

    12. #10
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,944
      Rep Power : 1658
      Likes Received
      1106
      Likes Given
      191

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Bunduki za nini?
      Mbona yeye alikamatwa na mbili mfukoni kule Arusha?
      Hivi ile kesi iliishia wapi?
      Keeping quiet is a war crime.

    13. #11
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 414
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Endelea kuwa Tomaso lkn umeshatajiwa na namba ya silaha husika J137, na Kikwete ndio mdau mkuu namba1.
      Quote By mambomengi
      Inakuwa vigumu kuamini hizo tuuma ama ni propaganda.

    14. #12
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 414
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Hawatachunguza kwa7bu watajiumbua wao wenyewe.
      Quote By ungonella wa ukweli
      Jamani kama ni kweli hiyo ni kashfa nzito sana kwa taifa letu, lakini kama siyo ni hatari pia! Ni muhimu vyombo vya usalama vikachunguza!

    15. #13
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1828
      Likes Given
      3343

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      CCM au Chama Cha Mafioso wamekuwa wakifanya vitu bila kujali kuwa kuna kubadilika kwa wakati. Ule mfumo uliowazaa na kuwapa kiburi wa chama kimoja ulishakufa ingawa wao wanadhani bado uko hai. Heri wangekuwa na akili wakatumia japo moja ya common sense wangejifunza kilichojiri Kenya mwaka 2002 KANU ilipodondoshwa na kufurushwa madarakani. Kwa vile CCM ni Chama Cha Mafedhuli hawana uwezo wa kujifunza hadi yawakute.
      zaleo likes this.

    16. #14
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default

      Mbona hapa kuna upuuzi mtupu.
      Andiko lote haluna fact hata moja kusubstantiate hizi serious allegations.

      Ndo matatizo ya monologue, wanakijiji watshangilia tu Dr Slaa.
      Leo akija mtu akasema CDM wameficha mabomu sehemu fulani kwa kujiandaa na uchaguzi , bila vielelezo si mtaamini ? Au siyo

    17. #15
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 414
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Alikutwa bastola halali anayoimiliki kisheria, kila kitu kipo wazi. Wekeni wazi na nyie hiyo silaha namba J137 yenye risasi 8.
      Quote By Kobello
      Bunduki za nini?
      Mbona yeye alikamatwa na mbili mfukoni kule Arusha?
      Hivi ile kesi iliishia wapi?
      POMPO likes this.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Reply With Quote


    19. Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      925

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Quote By mambomengi
      Inakuwa vigumu kuamini hizo tuuma ama ni propaganda.
      wewe usiwe mtumwa wa mawazo namba ya siraha (bunduki) iko hapo waitolee ufafanuzu wala sio siasa
      mambomengi and assuredly4 like this.

    20. #18
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kobello
      Bunduki za nini? Mbona yeye alikamatwa na mbili mfukoni kule Arusha? Hivi ile kesi iliishia wapi?
      ni zake na anazimiliki kihalali na sheria inamruhusu,Una swali jingine?

    21. #19
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default re: Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

      Hili zito na kubwa!
      Who Jah bless, No one Curse!

    22. #20
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default

      Quote By Mwanaweja
      wewe usiwe mtumwa wa mawazo namba ya siraha (bunduki) iko hapo waitolee ufafanuzu wala sio siasa
      Ni mtu mjinga mjinga tu anaweza kuamini hii trend of thoughts, kuwa silaha moja ndo ina wawinda viongozi wa CDM wakati mwenyewe DrSlaa alikutwa ana mbili!

      Wakuu April Fools day ilishapita!

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...