Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1847
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

      My take:

      Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

      Source: Mwananchi
      Sikonge, Remmy, bagamoyo and 2 others like this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    2. Miaka 50

    3. #2
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,279
      Rep Power : 969
      Likes Received
      618
      Likes Given
      0

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      Wala Tusimshangae mkuu wa wilaya Hata ungekuwa ni mkutano wa kikwete ungevunjika tu. Jamani hiki kimbunga si cha kuzuia kwa mkono!
      Kipigi likes this.

    4. #3
      Facilitator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Osoit l'embijata
      Posts : 1,445
      Rep Power : 724
      Likes Received
      572
      Likes Given
      1234

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      True, huo mkakati ni mzuri. Navutiwa sana na watu makini wanaoweza kuandaa na kutekeleza vitu kama hivi
      Ame likes this.
      I'm only responsible for what I say; NOT for what you understand.

    5. #4
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,675
      Rep Power : 967
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      heheheh kwa hili la serikali mbadala n izuri sana litasaidia kama wananchi watatoa ushirikiano
      Kweli kuishi Tanzania kuona mengi

    6. #5
      kbosho's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,596
      Rep Power : 0
      Likes Received
      202
      Likes Given
      33

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      do tazania bhana....mwisho wa siku kale kauchaw ka ccm 2015 watakapulza na kuchukua nch krahc

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,457
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      426

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      Wao wana dola sisi wanyonge tuna Mungu.

    9. #7
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 856
      Rep Power : 966
      Likes Received
      545
      Likes Given
      604

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      Quote By Marire
      Wala Tusimshangae mkuu wa wilaya Hata ungekuwa ni mkutano wa kikwete ungevunjika tu. Jamani hiki kimbunga si cha kuzuia kwa mkono!
      Inanikumbusha mikutano miwli wakati wa kampeni ya uchaguzi jimbo la Nyamagana. Siku hiyo Lawrence Masha alikuwa na Jakaya Kikwete pale Sahara kukawa na watu kiduchu kwani wengi walikimbilia viwanja vya Nyakabungo alikokuwa Ezekiah Wenje.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    10. #8
      Mkwe21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 912
      Rep Power : 759
      Likes Received
      212
      Likes Given
      165

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      Mbona Pinda alisema ni wenyeviti wateule wa Magamba wa wilaya?? Mbona mnasema Mkuu wa wilaya, wilaya au Mwenyekiti wa CCM Wilaya?

    11. #9
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 558
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By only83
      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

      My take:

      Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

      Source: Mwananchi
      A very good strategy 4the CDM GVT.

    12. #10
      Lekakui's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Wa hapa hapa
      Posts : 170
      Rep Power : 394
      Likes Received
      34
      Likes Given
      25

      Default Chadema yasambaratisha mkutano wa DC


      Venance George, Morogoro
      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

      Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

      Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

      Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi

    13. #11
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,177
      Rep Power : 810
      Likes Received
      251
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      siku hizi kuna wagonjwa wengi sana wa akili humu jamvini

    14. #12
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 500
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      Quote By Makupa
      siku gizi kuna wagonjwa wengi sana wa akili humu jamvini

      Ya ni kweli cuz hata wahalili na wamiliki wa magazeti kama mwananchi pia......source Mwananchi la tar 20.08.2012 Mwandishi ni Venance George,

      Chadema yasambaratisha mkutano wa DC Send to a friend
      Monday, 20 August 2012 09:02

      Venance George,Morogoro
      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

      Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

      Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

      Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

    15. #13
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 500
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC



      Mon 20 Aug 1:25PM











      RSS








      Home Habari Habari za Siasa Chadema yasambaratisha mkutano wa DC


      BOOKMARK THIS PAGE






      Chadema yasambaratisha mkutano wa DC Send to a friend
      Monday, 20 August 2012 09:02

      Venance George, Morogoro
      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

      Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

      Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

      Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.
      Add this page to your favorite Social Bookmarking websites


      Add comment

      Tumia jukwaa ili kutoa maoni ambayo yatasaidia kulijenga taifa letu. Kumbuka, maoni yako yatapitiwa kwanza kabla hayajarushwa hewani!!!!!!
      Name (required)
      E-mail

      7000 symbols left
      Notify me of follow-up comments

      Send

      Cancel

























































      © 2007 - 2011 Mwananchi. All Rights Reserved. A product of Mwananchi Communications Ltd.


      Created by Affordable Webdesign company

    16. #14
      bagamoyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Posts : 1,308
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      301
      Likes Given
      358

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      Nukuu toka kwenye posti ya mdau only83

      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.
      Nimependa kuona wananchi wa vijijini na miji midogo wameanza kuelewa somo la M4C na kuwa CHADEMA ndiyo mtetezi wa kweli wa wananchi wote wa Tanzania.

    17. #15
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,911
      Rep Power : 5961
      Likes Received
      809
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By only83
      CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


      Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


      Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


      Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

      Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

      My take:

      Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

      Source: Mwananchi
      CDM na wananchi CCM na mafisadi/matajiri chukueni matatizo ya wananchi waacheni sisiem wakalie majungu na propoganda za kijinga.

    18. #16
      makundi4619's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Posts : 485
      Rep Power : 443
      Likes Received
      135
      Likes Given
      388

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      Hapa inaonesha wazi ni jinsi gani serikali ya CCM isivyo makini imechoka. Hivi kweli uongozi wa wilaya umeshindwa kupanga ratiba illi mikutano yote ifanyike bila kugongana? Honestly it is time for CCM to go.

    19. #17
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Ngoma inogile: Chadema yasambaratisha mkutano wa mkuu wa wilaya kilosa....

      Quote By Nikupateje
      Inanikumbusha mikutano miwli wakati wa kampeni ya uchaguzi jimbo la Nyamagana. Siku hiyo Lawrence Masha alikuwa na Jakaya Kikwete pale Sahara kukawa na watu kiduchu kwani wengi walikimbilia viwanja vya Nyakabungo alikokuwa Ezekiah Wenje.
      Mkuu, yaani uko mulemule, nakumbuka dhaifu alishushwa na helikopita uwanja wa nyamagana halafu wakampeleka pale sahara walipoandaa mkutano wao, watu walio kuwa pale nyakabungo hata hawakushituka, matokeo yake waliokuwa sahara ndo wakaanza kwenda nyakabungo baada ya dhaifu kuwasili. umesahau pia alikuwepo Diallo, Nape pamoja na wasanii wao kina bushoke, hafsa kazinja, wanaume tmk wote walidoda. halafu unakumbuka lile timbwili lililozuka baada ya wanachama waliokuwa wanatoka Nyakabungo kwa Wenje na wale wa Sahara kwa dhaifu kukutana pale pamba road?? F.F.U kama kawa walichafua hewa. duh!! kuna scenes zingine sio za kusahau katika maisha.

    20. #18
      Emeka Anyaoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 430
      Rep Power : 443
      Likes Received
      134
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      Nanukuu 'KWA UPANDE WAKE 'KADA' WA CHADEMA Aly Bananga,hatuna makada,chadema tuna Kamanda ama MAKAMANDA

    21. #19
      Sir Wily's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th July 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 345
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

      Hii ya 2015 itakuwa ni zaidi ya russia revolution, chineese revlution na french revolution enzi hizooooo

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...