Source: Amka na BBC (20/8/2012) monday
...anasema viongozi wa upinzani ndio wanaoongelea maswala ya vita dhidi ya wanyasa concern mgogoro.
AMESEMA KATU TANZANIA HAITAPIGANA NA MALAWI.
My take:
Lowassa, Membe, Sitta ni Wapinzani?
Source: Amka na BBC (20/8/2012) monday
...anasema viongozi wa upinzani ndio wanaoongelea maswala ya vita dhidi ya wanyasa concern mgogoro.
AMESEMA KATU TANZANIA HAITAPIGANA NA MALAWI.
My take:
Lowassa, Membe, Sitta ni Wapinzani?
Last edited by Emeka Anyaoku; 20th August 2012 at 21:27.
Haya unayoyasema ndiyo ambayo wamalawi kwenye blog zao walimuandaa Joyce Banda kumkabili Jakaya Kikwete. Joyce angeonyesha unyenyekevu basi angeshambuliwa kuliko maelezo ukilinganisha kwamba walimlaumu kwamba amezoea kuwanyenyekea heads of state wenzake hasa pale alipoinama kumsujudu Queen Elizabeth of UK wakati wako level moja ya heads of state.
Kilichompa ujasiri na kinachompa ujasiri mtut yeyote hata wewe unapokuwa mahakamani ni ukweli wa hoja yako.
Kama hoja yako ni ya kuungaunga kwa kuongozwa na vijazba viwili vitatu kama vya humu JF basi kamwe huwezi kuwa jasiri. Utakuwa jasri kwa statement mbili za kwanza. Journalist wakitandika maswali critical ujasiri wote unayeyuka kama barafu ambayo wazungu wanaita melt away.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
Mimi naamini watanzania wengi hatuipendi nchi yetu.
Wala huitaji kuitisha kura ya maoni kujua hilo,
angali tunavyoharibu na kufuja pesa na mali ya uuma.
Mtanzania anashirikiana ana mgeni kumwelekeza namna ya kuliibia
au kulihujumu taifa kimapato. Hili sijawahi kuona nchi yeyote yenye
kusaka maendeleo dunia hii. Tembelea shanghai uone mapenzi yao na kujivunia
kwao juu ya nchi yao. Sasa hivi pale ndio kuna bandari kubwa duniani, kuanzia
mjini hadi mitaani raia wa pale wanazungumzia na kusifia namna gani wanayashinda
majiji mengine tena yaliyokuwa yametangulia kimaendeleo.
Tungekuwa na mapenzi na nchi yetu, tusingeruhusu hata raisi wetu hawe na kauli
zilizokosa mashiko nje na ndani ya nchi. Hii ni kama kuudhihirishia ulimwengu kuwa
sisi tu wa kiwango cha chini. Raisi anasema serikali haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe,
raisi yuyo huyo anasema wapinzani wanachochea vita wakati waziri wake wa mambo ya nje na mwenyekiti
wa kamati ya bunge ye usalama na mambo ya nje ndio waliotoa kauli zinazoashiria vitisho na vita.
His this MAN on top of his game??????
Does he really pay attention to developments of various events in the country leave alone the rest of the world.
Is this a consequence of too much travel that he has become a stranger in his own country?
Bora daraja kuliko kivuko.
One day our grandchildren will look at us and be amazed of what kind of people we must have been.
Bora daraja kuliko kivuko.
Tukiambiwa tuna rais msanii tunakuja juu! haya ni maneno ambayo usingetegemea kutoka kwa kiongozi wa nchi anaejua kabisa waliotamka ni wenzie kwenye serikali na chama
Nashindwa kuelewa ni nini kinalisibu taifa langu.
Nikija nyumbani naona maendeleo kiasi kule ukanda wa mjini na
wa pwani kuanzia seaview mpaka bahari beach.
Nikija ule ukanda wa uwanja wa ndege kuzunguka mpaka bandarini nabaki nimeduwaa.
Yaani pako vile vile nilivopaacha yaani ni DUNI, na sasa hapa kipande cha kulia mwa barabara ya
Nyerere mpaka ubungo napo kuna makazi yameibuka, nimeambiwa ni tabata na kibangu.
Mji wetu umejipanga na kudhihirisha matabaka yaliyopo.We are brewing a social crisis kama yaliyojitokeza
kule Rio de Janero
Bora daraja kuliko kivuko.
Rais pamoja na waziri mkuu wote ni waongo sana, kila wafanyapo mahojiano lazima waongope kitu. Naona hili ni fundisho kwetu ili wakati tunapochagua viongozi wapate midahalo ya kutosha ili japo kubaini nani ana uwezo mzuri hata wa kujieleza tu na mingineyo mhimu
Napendekeza kile kitengo cha kurugenzi ya habari IKULU kipanguliwe
ama kivunjwe kabisa. Mpaka sasa sijaona kazi walioifanya kwa ustadi na weledi.
Sitaki hata kuzungumzia zile press release zenye email ya ... @yahoo.com
sitaki hata kujivunia zile picha za Rais & David Beckham, Rais na Boyz II Men
na hata zile za safari kwenye mabembea, na za juzi juzi kwenye mashamba ya mananasi
Bora daraja kuliko kivuko.
Tatizo kubwa ni kuwa kila kitu sasa hivi Tazania tunageuza kuwa siasa, matokeo yake ni kukosa mwelekeo wa pamoja kama nchi maana kila mmoja anakuja na lake, bila kujali madhara yake kwa taifa, ila maslahi binafsi ya msemaji ie umaarufa kwa kuwa tu na wewe umesema na watu wakakukuunga mkono kwa ushabiki tu na siyo kwa kuelewa faida na hasara za suala husika.
Duuuuh JK bana khaaa!
Life without problems never make a strong and good person!
Hata mimi nimesikia, kakuongeza hapo, ... Eti ni wapinzani wenye uchu wa madaraka... Binafsi sijawasikia wapinzani wakitoa matamko kuhusu huo mgogoro na malawi au labda JK anazungumzi wapizani wake kisiasa ndani ya chama chake anacho kiongoza. Mimi nimesikia na kusoma katika magazeti kauli za makada wa chama chake ambao ni Sita, Membe na Lowasa. Na hawa nao wapizani?
Kwa sababu viongozi wetu ni dhaifu, wazembe, silly, watu wa kulalamika, watu wa kutafuta mchawi wetu, watu wa kutembeza bakuli, watu wa kufadhiliwa hadi suti, watu wakuchekacheka,
watu wa kukanusha ya ndani na
kukubali ya nje,
watu wa kulialia,
watu wa kusema uongo,
watu wa safari,
watu wa kusinzia bungeni na baadaye
kuunga mkono hoja kwa asilimia 100.... All in all, watu
![]()
![]()
"JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"
Janga Kuu. Mwelewa umeelewa.
ni kwa nini mgazeti yote ya tanzania yaliyoripoti hii ktu jana yaliruka kipengere hicho alichosema jk kwamba ni wapinzani na wenye uchu wa madaraka....kwa nini hawakuandika.....bli vyombo vya habari vya nje ndio vimeandika na kusema hilo!!!
I'm Naturaly Evasive..
Mkuu,
Ni kweli haikuandikwa kama bolded headline lakini Ansbert Ngurumo jana kwenye Tanzania Daima aliiweka kama sehemu ya article yake. (Click Here)
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
President wetu anasumbuliwa na jinamizi la upinzani yaani ata wale wa CCM wamekuwa wapinzani?.
JK asipoboil kwa muda huwa anaweza kupasuka hivyo mwacheni apumue jamani. Kupumua kwa JK lazima kutoe harufu yenye maswali kama tunayoyajadili. Jiulize aliposema hayo alikuwa anafikiri nini?
Follow Us Here