Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 101
    1. #1
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi aona kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Sasa napata sababu kwa nini serikali haishtuki hata madaktari wakigoma, na pia napata maana ya kauli ya Mizengo Pinda ya Liwalo na Liwe.

      Waziri mwenye dhamana ya afya Hussein Mwinyi akihojiwa BBC leo asubuhi na mtangazaji wa kipindi cha haba na haba Noel Mwakalindile ambaye alitaka kujua kauli ya serikali juu ya upungufu wa madaktari bingwa, waziri akasema kwa sasa focus yao kubwa ni kusomesha wataalamu wa afya wa ngazi ya cheti na diploma kwa kuwa wao ndio wanahitajika zaidi. Amesema kusomesha daktari bingwa ni gharama kubwa kwani daktari bingwa anasoma miaka minne mpaka mitano. Kwanza huu ni uzushi, vyuo vyote tanzania madaktari bingwa wa fani zote wanasoma kwa miaka mitatu tu, isipokuwa KCMC ambako wanasoma kwa miaka minne. Hakuna hata chuo kimoja ambacho daktari bingwa anasoma kwa miaka mitano. Hii inanipa wasiwasi kuona kuwa waziri wetu hajui hata madaktari bingwa wanasoma miaka mingapi, Je waziri wa aina hii anawezaje kutuambia anajua gharama ya kumsomesha huyu daktari bingwa?

      Hivi kweli huduma bora za afya Tanzania zitaimarika kwa kusomesha maafisa tabibu? Hii serikali inayojali afya ya watu wake inawezaje kweli kuona gharama kusomesha madaktari bingwa na badala yake kusomesha maafisa tabibu. Au inatumia ujinga wa watanzania kwamba mtu yeyote anaevaa koti jeupe ni daktari na hivyo wananchi watajua serikali yao imewapelekea madaktari wakati ni maafisa tabibu ambao tiba yao ni ya huduma ya kwanza?

      Nchini kenya kwa sasa madaktari bingwa wako katika ngazi ya hospitali ya wilaya, na wanamkakati wa kuhakikisha kwamba kila mtu anatibiwa na daktari bingwa ili apate tiba ya uhakika na hivyo afya yake kuboreka. Kwetu hata hospitali za rufaa hazina madaktari bingwa wa kutosha achana na hospitali za mikoa ambazo zenye bahati zina bingwa mmoja tu, na tunawaza kuongeza maafisa tabibu. Hivi kwa nini nchi hii badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma?

      No wonder mwaka jana walipunguza budget ya kusomesha madaktari bingwa na hata wale waliopata udahili walikosa udhamini, nilijua serikali haina pesa kumbe kwa mtazamo wao daktari bingwa si muhimu. Namuomba Hussein Mwinyi akiumwa awe wa kwanza kwenda kwa afisa tabibu kutibiwa aone kama hatapewa ppf injection hata kama ana malaria. Waziri Mwinyi ufikiri kwanza kabla ya kukejeli watanzania.

      Naomba kuwakilisha.
      Last edited by kapotolo; 19th August 2012 at 08:07.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Hawajali afya ya mwananchi wa kawaida, wao wanatibiwa nje ya nchi,
      Kichuguu and Mtumishi Wetu like this.

    4. #3
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,495
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      603
      Likes Given
      446

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Hii ndio serikali inayo jali maslahi yake kuliko ya wananchi.

    5. #4
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Lakini hili tumelichochea watanzania wenyewe, kwani hatukuonyesha hisia zetu halisi pale madaktari walipogoma. Nafikiri wao hawawahitaji Madaktari bingwa kwani Apollo wapo wa kutosha.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    6. #5
      Kiyoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Location : Murutsi
      Posts : 245
      Rep Power : 409
      Likes Received
      35
      Likes Given
      25

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      "Ma Dr. Mnajua haki zenu yaan mna shitak had UN hii haikubiliki" Kwa wagonjwa wao wanataka kupata nafuu tu na sio kupona!

    7. Miaka 50

    8. #6
      adolay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 1,646
      Rep Power : 773
      Likes Received
      493
      Likes Given
      501

      Default

      Quote By Lyimo
      Lakini hili tumelichochea watanzania wenyewe, kwani hatukuonyesha hisia zetu halisi pale madaktari walipogoma. Nafikiri wao hawawahitaji Madaktari bingwa kwani Apollo wapo wa kutosha.

      Mkuu Lymo

      Hili lina mwisho wake japo si leo wala kesho.

      Ni matokeo ya kurithishana madaraka, huon kule mjengon? Akina malima, akina kawawa, mwinyi, akina makamba, akina karume na kwa nje kwenye makampun akina mkapa, akina riziwan, nk.

      Kupeana madaraka kwa kujuana hushusha sana nidham ya kazi maana nikubebana kwa kwenda mbele hatakama nikwakuiangamiza inchi.

      Watanzania wa jana sio wa leo ni suala la muda tu.
      Lyimo, Kichuguu, distazo and 2 others like this.

    9. #7
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 547
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Dah! siku yangu imeshaharibika

    10. #8
      TROJUN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 13
      Rep Power : 383
      Likes Received
      2
      Likes Given
      6

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi aona kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Sina hakika kama ni kweli wazir anafahamu hata huyo ghalama ya kumsomesha huyo bingwa fahamu haya ndo matatizo ya kupeana nafasi katika uongozi kwa kuzingatia ujamaa zaidi badala ya utendaji na uwezo zaidi matokeo yake mwisho wa siku ndo tunapata wapokea mishahara wasio na faida kama hawa labda kama hawa na kama hajui vitu vya kawaida kama hivyo je atajuaje vile vya ndani?

    11. #9
      LUCIFER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 361
      Likes Received
      32
      Likes Given
      41

      Default

      Quote By kapotolo
      Sasa napata sababu kwa nini serikali haishtuki hata madaktari wakigoma, na pia napata maana ya kauli ya Mizengo Pinda ya Liwalo na Liwe.

      Waziri mwenye dhamana ya afya Hussein Mwinyi akihojiwa BBC leo asubuhi na mtangazaji wa kipindi cha haba na haba Noel Mwakalindile ambaye alitaka kujua kauli ya serikali juu ya upungufu wa madaktari bingwa, waziri akasema kwa sasa focus yao kubwa ni kusomesha wataalamu wa afya wa ngazi ya cheti na diploma kwa kuwa wao ndio wanahitajika zaidi. Amesema kusomesha daktari bingwa ni gharama kubwa kwani daktari bingwa anasoma miaka minne mpaka mitano. Kwanza huu ni uzushi, vyuo vyote tanzania madaktari bingwa wa fani zote wanasoma kwa miaka mitatu tu, isipokuwa KCMC ambako wanasoma kwa miaka minne. Hakuna hata chuo kimoja ambacho daktari bingwa anasoma kwa miaka mitano. Hii inanipa wasiwasi kuona kuwa waziri wetu hajui hata madaktari bingwa wanasoma miaka mingapi, Je waziri wa aina hii anawezaje kutuambia anajua gharama ya kumsomesha huyu daktari bingwa?

      Hivi kweli huduma bora za afya Tanzania zitaimarika kwa kusomesha maafisa tabibu? Hii serikali inayojali afya ya watu wake inawezaje kweli kuona gharama kusomesha madaktari bingwa na badala yake kusomesha maafisa tabibu. Au inatumia ujinga wa watanzania kwamba mtu yeyote anaevaa koti jeupe ni daktari na hivyo wananchi watajua serikali yao imewapelekea madaktari wakati ni maafisa tabibu ambao tiba yao ni ya huduma ya kwanza?

      Nchini kenya kwa sasa madaktari bingwa wako katika ngazi ya hospitali ya wilaya, na wanamkakati wa kuhakikisha kwamba kila mtu anatibiwa na daktari bingwa ili apate tiba ya uhakika na hivyo afya yake kuboreka. Kwetu hata hospitali za rufaa hazina madaktari bingwa wa kutosha achana na hospitali za mikoa ambazo zenye bahati zina bingwa mmoja tu, na tunawaza kuongeza maafisa tabibu. Hivi kwa nini nchi hii badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma?

      No wonder mwaka jana walipunguza budget ya kusomesha madaktari bingwa na hata wale waliopata udahili walikosa udhamini, nilijua serikali haina pesa kumbe kwa mtazamo wao daktari bingwa si muhimu. Namuomba Hussein Mwinyi akiumwa awe wa kwanza kwenda kwa afisa tabibu kutibiwa aone kama hatapewa ppf injection hata kama ana malaria. Waziri Mwinyi ufikiri kwanza kabla ya kukejeli watanzania.

      Naomba kuwakilisha.
      mwinyi ni daktar bingwa aliyesomea ugiriki..unfortunantly he z not accustomed with local figures(fees..etc)bt he knwz kusomesha dr bingwa its too expensive bcoz yeye ni dr bingwa..

    12. #10
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,723
      Rep Power : 4192
      Likes Received
      999
      Likes Given
      415

      Default

      Quote By LUCIFER
      mwinyi ni daktar bingwa aliyesomea ugiriki..unfortunantly he z not accustomed with local figures(fees..etc)bt he knwz kusomesha dr bingwa its too expensive bcoz yeye ni dr bingwa..
      Mkuu kuitwa jina la Ibilisi is an abomination, ushindwe kwa Jina La Yesu.
      tutaweza likes this.

    13. #11
      artorius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 506
      Rep Power : 473
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Mimi sishangai kama mh.mbunge margaret sitta akichangia hotuba ya wizara ya afya alisema "kuwe na crash program kwa vijana waliomaliza form 4 na 6 wakatibu malaria na diarrhoea vijijini".Ndio maana wakenya waliamisha wale majeruhi fasta pale MNH
      Sumba-Wanga and tutaweza like this.

    14. #12
      Mo-TOWN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 1,135
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      222
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By kapotolo
      Sasa napata sababu kwa nini serikali haishtuki hata madaktari wakigoma, na pia napata maana ya kauli ya Mizengo Pinda ya Liwalo na Liwe.

      Waziri mwenye dhamana ya afya Hussein Mwinyi akihojiwa BBC leo asubuhi na mtangazaji wa kipindi cha haba na haba Noel Mwakalindile ambaye alitaka kujua kauli ya serikali juu ya upungufu wa madaktari bingwa, waziri akasema kwa sasa focus yao kubwa ni kusomesha wataalamu wa afya wa ngazi ya cheti na diploma kwa kuwa wao ndio wanahitajika zaidi. Amesema kusomesha daktari bingwa ni gharama kubwa kwani daktari bingwa anasoma miaka minne mpaka mitano. Kwanza huu ni uzushi, vyuo vyote tanzania madaktari bingwa wa fani zote wanasoma kwa miaka mitatu tu, isipokuwa KCMC ambako wanasoma kwa miaka minne. Hakuna hata chuo kimoja ambacho daktari bingwa anasoma kwa miaka mitano. Hii inanipa wasiwasi kuona kuwa waziri wetu hajui hata madaktari bingwa wanasoma miaka mingapi, Je waziri wa aina hii anawezaje kutuambia anajua gharama ya kumsomesha huyu daktari bingwa?

      Hivi kweli huduma bora za afya Tanzania zitaimarika kwa kusomesha maafisa tabibu? Hii serikali inayojali afya ya watu wake inawezaje kweli kuona gharama kusomesha madaktari bingwa na badala yake kusomesha maafisa tabibu. Au inatumia ujinga wa watanzania kwamba mtu yeyote anaevaa koti jeupe ni daktari na hivyo wananchi watajua serikali yao imewapelekea madaktari wakati ni maafisa tabibu ambao tiba yao ni ya huduma ya kwanza?

      Nchini kenya kwa sasa madaktari bingwa wako katika ngazi ya hospitali ya wilaya, na wanamkakati wa kuhakikisha kwamba kila mtu anatibiwa na daktari bingwa ili apate tiba ya uhakika na hivyo afya yake kuboreka. Kwetu hata hospitali za rufaa hazina madaktari bingwa wa kutosha achana na hospitali za mikoa ambazo zenye bahati zina bingwa mmoja tu, na tunawaza kuongeza maafisa tabibu. Hivi kwa nini nchi hii badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma?

      No wonder mwaka jana walipunguza budget ya kusomesha madaktari bingwa na hata wale waliopata udahili walikosa udhamini, nilijua serikali haina pesa kumbe kwa mtazamo wao daktari bingwa si muhimu. Namuomba Hussein Mwinyi akiumwa awe wa kwanza kwenda kwa afisa tabibu kutibiwa aone kama hatapewa ppf injection hata kama ana malaria. Waziri Mwinyi ufikiri kwanza kabla ya kukejeli watanzania.

      Naomba kuwakilisha.
      Hiyo ndio serikali ya JK...totally disconnected na wananchi. Viongozi wanaongea anyhow wanatoa maamuzi kufuatana na mawazo yao binafsi...hakuna kuwajibika kwa kauli wa matendo yao.

    15. #13
      Acha Uvivu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 412
      Rep Power : 490
      Likes Received
      103
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By masopakyindi
      Mkuu kuitwa jina la Ibilisi is an abomination, ushindwe kwa Jina La Yesu.
      Kumbe ujumbe wako mzuri lakini unaanza tena na Mkuu, nawe hee!

    16. #14
      Acha Uvivu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 412
      Rep Power : 490
      Likes Received
      103
      Likes Given
      13

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Ndo yale yale, kwamba hutaki kuthamini watu wanaofanya wa chini wawepo. Kwa kiasi kikubwa madaktari bingwa ndio husomesha hawa wa shahada (hasa interns). Hii haina utofauti na dharau ya Jk kwa walimu mwaka 2010, maana kwa kufanya vile alidharau wengi.

    17. #15
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,580
      Rep Power : 3330
      Likes Received
      1218
      Likes Given
      458

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      viongozi aina ya Mwinyi ni janga la taifa, tatizo wenyewe hawaishi kama watanzania wanajiona miungu watu.!

    18. #16
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      kwa attitude ya namna hii nategemea yule mtoto wa mkuu wa kaya anayesomea udaktari bingwa wa meno kule uk atafutiwa udhamini wa serikali.

    19. #17
      Acha Uvivu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 412
      Rep Power : 490
      Likes Received
      103
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By artorius
      Mimi sishangai kama mh.mbunge margaret sitta akichangia hotuba ya wizara ya afya alisema "kuwe na crash program kwa vijana waliomaliza form 4 na 6 wakatibu malaria na diarrhoea vijijini".Ndio maana wakenya waliamisha wale majeruhi fasta pale MNH
      Mmmh nimekusoma, kumbe wanatujua. Tanzania hatuthaminiwi kweli, unaweza anza kulia.
      Now I can trust my own saying that the progressive decline of leaders with high IQs leads to progressive increase in partial professionals.

    20. #18
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,362
      Rep Power : 759
      Likes Received
      229
      Likes Given
      39

      Default Re: Hawa Ndio Mawaziri wa JK; Waziri Mwinyi asema kwa sasa Madaktari bingwa si muhimu!!!

      Sioni ajabu kwa mwinyi kusema hayo. hata kwenye milipuko ya mabomu alikuwa analeta mizaha!

    21. #19
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By Sometimes
      Sioni ajabu kwa mwinyi kusema hayo. hata kwenye milipuko ya mabomu alikuwa analeta mizaha!
      mzanzibar aliyeshika wizara isiyo ya muungano.

    22. #20
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,225
      Rep Power : 668
      Likes Received
      251
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By artorius
      Mimi sishangai kama mh.mbunge margaret sitta akichangia hotuba ya wizara ya afya alisema "kuwe na crash program kwa vijana waliomaliza form 4 na 6 wakatibu malaria na diarrhoea vijijini".Ndio maana wakenya waliamisha wale majeruhi fasta pale MNH
      'SUBIRI NA TUTAONA'....Hayo ni maneno ya mzee mmoja kijijini kwetu aliyoyasema wakati kijana mdogo wa miaka 10 alipopewa zawadi ya baiskeli mpya aina ya Swala ikiwa ni baiskeli ya pili kumilikiwa na mwanakijiji enzi hizo.
      Siku tano baada ya kijana huyo kupata zawadi hiyo alipatwa na mauti yaliyotokana na ajali ya baiskeli hiyo, hakufundishwa sehemu zilipo breki za baiskeli!
      Wana jf subiri muone maafa ya hao half cooked nurses, clinician,nk. UPE ya afya ni mbaya sana.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...