Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 83
    1. #1
      Fitinamwiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : Bagamoyo
      Posts : 1,591
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      421
      Likes Given
      555

      Default Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
      Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa


    2. #61
      CHIEF MVUNGI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 383
      Likes Received
      13
      Likes Given
      4

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Jamani huyu M***** msiwe mnatanguliza neno mh mkiwamnamjadili humu

    3. #62
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 880
      Rep Power : 559
      Likes Received
      164
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By MARCKO View Post
      Jifunze kumuelewa mtu! Hapo anamaanisha ma-lecturer wa UD wanamfundisha mtu na hatimae mtu kubadilika hadi matendo na siyo kufaulu tuu mitihani !!. Mtu unatakiwa kuwa critical towards occations, then count ten before you decide. Sio kukurupuka na kufanya vitu vyenye ishara tosha ya Emotional and behavioral dis order.
      Sasa we ndo umekurupuka, mwenzio ameangalia Content and not the Structure! Akili zako unatumia muda wa kunywa maji tu

    4. #63
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 880
      Rep Power : 559
      Likes Received
      164
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By TUMBIRI View Post
      Majeruhi waliokosa admission UDSM utawajua tu.

      Kama kuna mtu amesoma elimu ya juu bila kupitia UDSM consider yourself kilaza (Rejao, 2012)

      wewe umenena

    5. #64
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 880
      Rep Power : 559
      Likes Received
      164
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Fitinamwiko View Post
      Kweli ukiwa si miongoni mwa Great Thinker! Lakini wengi wanailewa nini kilichomaanishwa
      Acha kutuhadaa we victim uliyekosa Udsm! Habari yako imekaa kinafiki sana

    6. #65
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,911
      Rep Power : 1169
      Likes Received
      1056
      Likes Given
      804

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By Desi Mangola View Post
      Ha! Mwigilu kawashika sehemu mbaya
      labda kakushika wewe! he is a pathetic fool!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!


    7. #66
      Fitinamwiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : Bagamoyo
      Posts : 1,591
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      421
      Likes Given
      555

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By Az 89 View Post
      Acha kutuhadaa we victim uliyekosa Udsm! Habari yako imekaa kinafiki sana
      Kama wewe ni mchawi, kazi imekushindwa, na Tubu kwa Mola wako. Nilipata nafasi na kumaliza UDSM, Kama ulienda Chuo, basi hauta kuwa na shida kunielewa

    8. #67
      Fitinamwiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : Bagamoyo
      Posts : 1,591
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      421
      Likes Given
      555

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By gimmy's View Post
      kama huna hoja ni bora ukae kimya!
      Nenda kafute kipengele cha freedom of speech ndani ya katiba ya nchi, then nitakaa kimya.

    9. #68
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,779
      Rep Power : 22095
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      857

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Haja elimika licha ya kusoma

    10. #69
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 675
      Rep Power : 551
      Likes Received
      80
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By t2015ccm View Post
      we ni kilaza kweli,vipi kuhusu mwalim wake kityila mkumbo na vibaraka wake walioenda kuua huko ndago?vp kuhusu huyo mhuni/chizi wa ubungo aliewatukana watanzania wote bungeni?au ndio mkuki kwa nguruwe?mwigulu lazima akutieni adabu mana hamjafunzwa na mama zenu.
      Ndugu siasa ni kuvumiliana anachofanya mchemba hakina tofauti na unachokifanya,akiri ya mtu kwa kiasi kikubwa inapimwa na matendo yake,sasa km unatukana watu hivyo inamaana gani? Anyway siku zote hoja hujibiwa na hoja ,lkn anachofanya mchemba ni kujidhalilisha kwani hata ambao tuliokuwa hatujui tabia zake sasa tunamdharau
      mchakachuaji1 likes this.

    11. #70
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Naombeni msiwe mnaleta habari za huyu jamaa hapa
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    12. #71
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,974
      Rep Power : 1977
      Likes Received
      466
      Likes Given
      4496

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By Lokissa View Post
      acha porojo zako walimu wa UDSM hawako pale kufundisha siasa
      labda kwa wale wa political science
      nchi hii imejengwa na wengi waliopitia pale
      Na ndio sababu iko hivi kisiasa. Poor tanganyika.
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    13. #72
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,775
      Rep Power : 25659
      Likes Received
      3353
      Likes Given
      2881

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By TUMBIRI View Post


      Kama kuna mtu amesoma elimu ya juu bila kupitia UDSM consider yourself kilaza (Rejao, 2012)

      Hahahaahaha... TUMBIRI...umenikumbusha hii post ya siku nyingi sana!! But huu ndio ukweli!!
      If you can't convince them, confuse them.
      M-4-C - Movement for Chagaz

    14. #73
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By Rejao View Post
      Hahahaahaha... TUMBIRI...umenikumbusha hii post ya siku nyingi sana!! But huu ndio ukweli!!

      Pamoja Kamanda. Lakini umepotea sana now days mtu wangu!
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    15. #74
      MwanaHaki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2006
      Posts : 1,415
      Rep Power : 1008
      Likes Received
      156
      Likes Given
      91

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By Fitinamwiko View Post
      Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
      Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa
      Nakumbuka ilishawahi kuandikwa kwamba jina lake halisi SIO Mwigulu Mchemba, bali alilirithi baada ya mwanafunzi mwenye jina hilo aliyefaulu Darasa la Saba kushindwa kuendelea. Kwa hiyo, kwa mujibu wa mtoa taarifa, mtu huyu SIO huyo Mwigulu halisi. Kwa hiyo msishangae kauli zake, kwani yeye "amedandia" jina. Mwigulu mwenyewe asingeweza kutoa kauli za kipumbavu na kuwa na matendo ya KIMBUMBUMBU kama huyu!
      Speaking Openly, without fear!

    16. #75
      Kanazi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 5
      Rep Power : 408
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Kuna yoyote humu ndani anayejua mwigulu alimaliza chuo akiwa na ufaulu kiasi gani pale UDSM? Huwa nawasikia vipanga wa UDSM lkn sijawahi kumsikia Mwigulu akitajwa,nadhani alikuwa mtu wa kawaida sana
      mchakachuaji1 likes this.

    17. #76
      Amka Mtz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Wee mbiga mwigulu, wee wa namna gani? Wee hujifunzi uungwana kwa waungwana? Wee kila mtu anakupaka mbovu hujioni kuwa wewe ni kituko? Fahamu kuwa mkeo anapata shida kubwa kupitia hili, watoto pia wanapata taabu kwa hili! Na kisaikolojia wewe ni pure kichaa, kasoro tu hujaanza kuokota tu makopo makopo!! Serikali yetu ebu imsaidie mwigulu akachekiwe afya ya ubongo wake ili kumuokoa, mengi ya ajabu ameshayafanya, kuna siku atakuja afanye jambo la kuvunja rekodi zake halafu tukamshangaa wakati sasa hivi tunamtizama tu, haya subirini!!!!

    18. #77
      mwakaboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 657
      Rep Power : 575
      Likes Received
      146
      Likes Given
      907

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By TUMBIRI View Post
      Majeruhi waliokosa admission UDSM utawajua tu.

      Kama kuna mtu amesoma elimu ya juu bila kupitia UDSM consider yourself kilaza (Rejao, 2012)

      kwani wewe kwa uelewa ulionao CHUO KIKUU KWA HAPA TANZANIA NI UDSM TU? tupe maoni yako REJAO PAMOJA NA TUMBIRI TUPENI MAELEZO. NA vile vingine tunavyovijua tuviweke kundi gani WATZwenzangu? nipeni jibu

    19. #78
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      Quote By mwakaboko View Post
      Kwani wewe kwa uelewa ulionao CHUO KIKUU KWA HAPA TANZANIA NI UDSM TU? Tupe maoni yako. REJAO PAMOJA NA TUMBIRI TUPENI MAELEZO. NA vile vingine tunavyovijua tuviweke kundi gani WATZ wenzangu? nipeni jibu
      Ukiondoa special Universities (Institute) ambazo ni MUHAS, SUA, NIT na ARDHI chuo bora kilichobaki Tanzania ni UDSM. Vingine zaidi ya hapo navyo ni vyuo lakini huwezi kuvilinganisha na UDSM au hizo Special Universities (Institute).

      Nakala: Rejao.

      TUMBIRI (PhD - In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2nd Overall Best Student in Form six National Exams).
      [email protected]
      Last edited by TUMBIRI; 26th August 2012 at 15:37. Reason: Extension
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    20. #79
      investa.tz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st October 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 384
      Likes Received
      68
      Likes Given
      28

      Default

      Huyu jamaa anaonekana ni mtu hatari sana! Attitude yake si nzuri, labda atakuwa kajifunza kitu huko JKT
      Quote By Fitinamwiko View Post
      Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
      Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa

    21. #80
      selase80's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th March 2013
      Posts : 15
      Rep Power : 318
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

      ni mbwa wa mfalme bandia,

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...