Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 48 of 48
    1. #1
      mlaizer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 225
      Rep Power : 466
      Likes Received
      39
      Likes Given
      90

      Default Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      Pamoja kuwa Nape Nnauye aliahidi kuwa angeweka hadharani mpango wa CHADEMA kupokea pesa za misaada ktoka nje kwa siri,lakini baada ya kuhojiwa na kituo cha redio cha magic FM ameendeleza porojo;
      fuatilia hapa:

      smgsmg likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 556
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default

      Quote By Daudi mchambuzi
      kuwa katibu mwenezi wa CCM inahitaji uwe na akili ya mvuta bange.
      Yethuuu lanywe!!
      Daudi Mchambuzi likes this.

    4. #42
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      Quote By Twasila
      Serikali yako inayo majibu. Ccm na Epa. Meremeta,.......
      EPA sio haramu, walifanya haramu wananyea debe!

      Tuambieni waliowachangia wanafanya kazi gani?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #43
      london's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th September 2010
      Posts : 148
      Rep Power : 470
      Likes Received
      70
      Likes Given
      30

      Default Re: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      mbona watangazaji hawakumwuliza Nape kwa nini hajataja wafadhili wa ccm na mapato ya miradi ya ccm? mbona Nape anataka wachangiaji wa chadema tu waanikwe majina yao ili wawadhibiti siyo? wawajue ni akina nani halafu waanze kuwaandama kupitia serikali ya ccm na vyombo vya usalama?

    6. BAK
      #44
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,666
      Rep Power : 44978
      Likes Received
      8396
      Likes Given
      8376

      Default Re: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      Ni mbabaishaji tu huyu ambaye anaweza kuropoka lolote lile ili kulinda kibarua chake.

      Quote By Advocate Jasha
      Katika mahojiano yake na majibu yake ni kinyume na matarajio yetu tuliokua tunafuatilia katika maswali aliyotumiwa kupitia JF.Hakuna chochote cha maana alichojibu au kuzungumzia mbali na porojo NAUJUTIA MUDA WANGU!MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    7. #45
      MpendaTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 1,073
      Rep Power : 725
      Likes Received
      146
      Likes Given
      537

      Default Re: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      Quote By BAK
      Ni mbabaishaji tu huyu ambaye anaweza kuropoka lolote lile ili kulinda kibarua chake.
      BAK, Kibarua kikianza kukuvua nguo mbele za watu kama kinavyomvua Mizengwe P ni afadhali nikakiacha na kurudi kijijini nikalime! Kuna maana gani kuishi hapa duniani without a mm of self pride. Huku ni kudhalilishana au kujidhalilisha. Nchi ikiongozwa na watu wa namna hiyo hata siku moja haiwezi kupanga wala kuchagua yanayowafaa wananchi wake. Kinyume chake ni kuwa mambo muhimu huamuliwa na watu wasio na uchungu na nchi.
      Je akiambiwa aeleze tangu CCM imeanzishwa imeshapata kiasi gani kutoka nchi zilizojifanya marafiki wa CCM ataweza kutaja? Siamini kama anafahamu ukubwa wa jambo analojaribu kuanzisha. Na sijui kama anafahamu kuwa wapo watu wanafahamu mambo mengi ambayo hataweza hata kuyasikiliza licha ya kuyaelewa.
      This position needs matured politician. i am sorry but that is my position. Enough is enough! hatuwezi kuendelea kusikiliza pumba nyingi kiasi hiki. Muda mwingi sana unapotea wakati Taifa linazidi kutumbukia katika lindi la umaskini.
      I can't take this anymore! Tunawaomba waandishi na wanahabari waache kutoa na kusambaza habari kama hizi kama vile ni habari muhimu sana. Watume watoto wa chuo walioko mazoezini wakahojiane naye. Arudhishwe dawatini huyu loh!

      This is too cheap!
      BAK likes this.


    8. #46
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4318
      Likes Given
      1310

      Default

      Nadhani daktari wako wa kichwa kasafari kwa sasa!
      Quote By t2015ccm
      Jukwaa la watoto hili,hakuna la maana zaidi ya matusi,kejeli na mipasho.siku ya mwisho nape ndio baba yenu

    9. #47
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 558
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By msnajo
      Baada ya 2015, hii ID yako itatoweka huku ghafla!!
      Haswaaa!

    10. #48
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,296
      Rep Power : 693
      Likes Received
      186
      Likes Given
      248

      Default Re: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA

      Nape yupo vizuri sana ila ni kazi sana kutetea uovu, uongo, ufisadi, umalaya na kuiteteea ccm ambapo mambo sasa yapo hadharani hata mtoto anajua kuwa ccm ndio inayo tutesa. mfano angevaa gwanda atetee maslahi ya wananchi mngeona kuwa nape ni kichwa. nape yupo vzr ila ccm ndiyo inamfanya aonekane chizi mfano kusimama kwenye umati wa watu na kusema maisha bora yameletwa na ccm hapo lazima uwe huna akili timamu kidogo ndio unaweza kuongea
      Chezea nguvu ya umma wewe; utaumia

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...