Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      TumainiEl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Posts : 513
      Rep Power : 582
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Ni jambo ambalo kila mtanzania mwenye mapenz mema na taifa hili anayasubiria.

      Leo napenda kuandika juu ya mabadiliko makubwa ktk siasa za tanzania hasa pale chama tawala cc kitashindwa ktk uchaguzi wa urais baada ya uchaguzi kurudiwa. Watanzania tutegeme mabadiliko makubwa ktk uchumi wa Taifa hili maana ndipo ule wakati wa kila mtu kula kwa jasho lake, kutakuwa na ajira zakutosha,mfumuko wa bei utashuka.

      Na kila mtanzania atapata staiki ya jasho lake. 2016, kutakuwa na kupandishwa mahakaman kwa watawala wengi kutokana nakutumia viti vyao vibaya.

      Kwakweli ni mabadiliko makubwa sana Mungu atutangulie.
      Dark City and Ame like this.


    2. #2
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Tunaomba yaje kwa amani tu, atakaeshindwa akubali kushindwa (Kihalali lakini) na tusifikie kutumia 'Binduki'.....

    3. #3
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,919
      Rep Power : 1704
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      284

      Default

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Tunaomba yaje kwa amani tu, atakaeshindwa akubali kushindwa (Kihalali lakini) na tusifikie kutumia 'Binduki'.....
      mabadiliko ni lazima.asiyetaka ataondoka yeye!
      Jasusi and Ame like this.

    4. #4
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 496
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Tunaomba yaje kwa amani tu, atakaeshindwa akubali kushindwa (Kihalali lakini) na tusifikie kutumia 'Binduki'.....
      Bunduki muhimu usitegemee magamba wataachia nchi kilaini hilo sahau kabisa mkuu

    5. #5
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Micro E coli View Post
      Bunduki muhimu usitegemee magamba wataachia nchi kilaini hilo sahau kabisa mkuu
      Mkuu umewahi kutembelea nchi zilizopitia mambo ya Bunduki? Ni bora kutumia nguvu ya umma mara elfu kuliko hiyo kitu mzee, bora kila kitu, migomo, maandamano whatever lakini bunduki tusiombee wakuu
      Msalagambwe likes this.


    6. #6
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,919
      Rep Power : 1704
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      284

      Default

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Mkuu umewahi kutembelea nchi zilizopitia mambo ya Bunduki? Ni bora kutumia nguvu ya umma mara elfu kuliko hiyo kitu mzee, bora kila kitu, migomo, maandamano whatever lakini bunduki tusiombee wakuu
      unadhani walioamua kutumia mtutu walipenda?nchi zote zenye maendeleo zilipitia hiyo hatua.hakuna utamu usioanza na uchungu.

    7. #7
      TumainiEl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Posts : 513
      Rep Power : 582
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Naimani hakutokuwa na vita that is God plan 4us

    8. #8
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,919
      Rep Power : 1704
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      284

      Default

      Quote By TumainiEl View Post
      Naimani hakutokuwa na vita that is God plan 4us
      hata israeli walipigana vita ili kujikomboa.

    9. #9
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 496
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Mkuu umewahi kutembelea nchi zilizopitia mambo ya Bunduki? Ni bora kutumia nguvu ya umma mara elfu kuliko hiyo kitu mzee, bora kila kitu, migomo, maandamano whatever lakini bunduki tusiombee wakuu
      Mkuu SOKWE MJANJA nguvu ya umma tukiitumia 2015 baada ya kuchakachuliwa na magamba ndio itakayozua mtutu wa bunduki polisi ccm wataamuliwa kuuawaandamanaji ndipo kitumbua kitakuwa kimetumbukia mchanga kwa vyovyote vile wananchi watajihami kwa kujibu mapigo timbwili likiwa kubwa na polisi kuzidiwa na nguvu ya umma wataamua kujiunga na nguvu ya umma hapo magamba watakuwa wameshindwa mkuu.

    10. #10
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Micro E coli View Post
      Mkuu SOKWE MJANJA nguvu ya umma tukiitumia 2015 baada ya kuchakachuliwa na magamba ndio itakayozua mtutu wa bunduki polisi ccm wataamuliwa kuuawaandamanaji ndipo kitumbua kitakuwa kimetumbukia mchanga kwa vyovyote vile wananchi watajihami kwa kujibu mapigo timbwili likiwa kubwa na polisi kuzidiwa na nguvu ya umma wataamua kujiunga na nguvu ya umma hapo magamba watakuwa wameshindwa mkuu.
      Sawa kiongozi wangu, tuungane tu kuombea tusifike hali hiyo. Vita ikiingia huwa ni ishu sana kiongozi na madhara yake huwa ni makubwa kuliko wengi wetu tunavyofikiria. Ila hakuna cha kufanya kama atakaeshindwa kihalali akakataa kutoka basi tena hamna jinsi.
      Micro E coli likes this.

    11. #11
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 414
      Likes Received
      32
      Likes Given
      26

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Micro E coli View Post
      Mkuu SOKWE MJANJA nguvu ya umma tukiitumia 2015 baada ya kuchakachuliwa na magamba ndio itakayozua mtutu wa bunduki polisi ccm wataamuliwa kuuawaandamanaji ndipo kitumbua kitakuwa kimetumbukia mchanga kwa vyovyote vile wananchi watajihami kwa kujibu mapigo timbwili likiwa kubwa na polisi kuzidiwa na nguvu ya umma wataamua kujiunga na nguvu ya umma hapo magamba watakuwa wameshindwa mkuu.
      Ingawaje huo ndio ukweli lakini unatisha!!!!!!!!!!!!! Watakaoponda ndio watakaofaidi matunda ya ukombozi.

    12. #12
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,341
      Rep Power : 2645
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      846

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      and the transition of power will be diplomatically and amicably

    13. #13
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 446
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By TumainiEl View Post
      Ni jambo ambalo kila mtanzania mwenye mapenz mema na taifa hili anayasubiria.

      Leo napenda kuandika juu ya mabadiliko makubwa ktk siasa za tanzania hasa pale chama tawala cc kitashindwa ktk uchaguzi wa urais baada ya uchaguzi kurudiwa. Watanzania tutegeme mabadiliko makubwa ktk uchumi wa Taifa hili maana ndipo ule wakati wa kila mtu kula kwa jasho lake, kutakuwa na ajira zakutosha,mfumuko wa bei utashuka.

      Na kila mtanzania atapata staiki ya jasho lake. 2016, kutakuwa na kupandishwa mahakaman kwa watawala wengi kutokana nakutumia viti vyao vibaya.

      Kwakweli ni mabadiliko makubwa sana Mungu atutangulie.
      umesomeka mkuu, kwa vyovyote iwavyo, mabadiliko lazima yaje kipindi hiki. JAPO HAKUNA BEI YA DAMU, damu itakayomwagika kwa sasa ni kidogo kuliko damu itakayomwagika siku zijazo. hawa majambazi a.k.a mafisadi ccm hawaoneshi hata dalili ya kubadilika, ndo kwanza wanajifanya hawasikii, kila tasnia ina matatizo, hakuna haki mahakamani wala polisi kwa masikini, rushwa kila mahali, uozo wa kutisha kwenye taasisi za serikali, YET, wanaojiita serikali sikivu wapo, AND THEY ARE JUST LOOKING, amaaa kweli sikio la kufa halisikii dawa.

    14. #14
      MKANKULE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 709
      Likes Received
      20
      Likes Given
      19

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      hayo mabadiliko makubwa ni matamanio kwa kila mtanzania mpenda maendeleo.tuzidi kumwomba Mungu kwani imenenwa kuwa sio kila vita ni 12 For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places. 13 Wherefore take unto you the whole armour of God, that ye may be able to withstand in the evil day, and having done all, to stand. 14 Stand therefore, having your loins girt about with truth, and having on the breastplate of righteousness; 15 And your feet shod with the preparation of the gospel of peace; 16 Above all, taking the shield of faith, wherewith ye shall be able to quench all the fiery darts of the wicked. 17 And take the helmet of salvation, and the sword of the Spirit, which is the word of God: 18 Praying always with all prayer and supplication in the Spirit, and watching thereunto with all perseverance and supplication for all saints; EFFESSIANS 6:12-18

    15. #15
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 496
      Rep Power : 472
      Likes Received
      99
      Likes Given
      284

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Kila mtanzania amepigika sana na kila mtu anatamani mabadiliko ila kuna unajimu unafanyika katika nchi hii huwezi kuamini. Sijui tunasafirishwa na ule mwenge wa Uhuru. Maana badala ya mwenge kuwa wa uhuru(freedom) umekuwa ni mwenge wa kuwapumabaza,kuwatisha, kueneza ngono zembe kwa watanzania.

    16. Ame is offline
      Ame
      #16
      Ame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Location : Global Citizen
      Posts : 1,516
      Rep Power : 1189
      Likes Received
      651
      Likes Given
      2615

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Tunaomba yaje kwa amani tu, atakaeshindwa akubali kushindwa (Kihalali lakini) na tusifikie kutumia 'Binduki'.....
      Kuta kuwa na kavita kadogo, alafu itafuatia utulivu na kila mtu kula kwa jasho lake then baraka itaonekana wazi kwani ardhi yetu imebarikiwa na kilimo ndicho kitakacho tutoa katika dimbwi hili la umasikini naziona nyumba nzuri nzuri na mitaa iliyo pangika sawia baada ya muda fulani.....Wakati huo wengine tuta ibuka kama wimbi la tsunami baharini...Uvumilivu huu sikuwahi kuuona as a promise was given in 1994 na confirmation was made 2007 leo hii navyoona mambo yakitokea kwa mtiririko ule ule I cant believe my eyes and am eagerly awaiting for that day when I will sing a great halleluja! Kaskazini jiandaeni kutoa Rais safari hii hakuna wakuchakachua! Mafisadi wekeni nyumba zenu sawa ugonjwa huu hautawaacha wazima....Says the Prince of this land Ame!

    17. #17
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,554
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2288

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Na mabomba yote yatakuwa yanatoa maji. Rami zitajengwa kila mtaa. Shule itakuwa bure mpaka form six, afya bure na ushuru wa kuingiza magari utashushwa, ushuru wa bidhaa za akinamama utaondolewa. Cement itakuwa sh. elfu tano. Umeme utafika kila kijiji. Watumishi wa umma wote watapandishiwa mishahara. Mafisadi wote watakamatwa na viongozi wote wa serikali watakuwa safi.
      "To greed, all nature is insufficient"

    18. #18
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 574
      Rep Power : 464
      Likes Received
      189
      Likes Given
      557

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Walipigana wenyewe kwa wenyewe?

      Sisi tukipigana ni wenyewe kwa wenyewe.
      CCM wamepandikiza chuki ili Vyama vya upinzani vionekane ni maadui.

      Watanzania hawaijui vita,
      Ndiyo maana wakisikia risasi zinarindima wengi hukimbilia huko,
      eti waone kuna nini.
      nchi za wajuao ubaya wa bunduki risasi zikipigwa kila mtu ana lala chini,
      na kutafuta pa kujihifadhi.

      kukimbilia kunako milindimo ya risasi ni dalili kubwa ya kushindwa kuelewa ubaya wa mtutu,
      na madhara yake kijamii.

      Quote By Jackbauer View Post
      hata israeli walipigana vita ili kujikomboa.

    19. #19
      andate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 674
      Likes Received
      456
      Likes Given
      2324

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Quote By Micro E coli View Post
      Bunduki muhimu usitegemee magamba wataachia nchi kilaini hilo sahau kabisa mkuu
      Ni kweli magamba hawawezi kuiachia nchi kirahisi. Sidhani kama raia wanajua kua katika kila uchaguzi mkuu magamba wanahakikisha silaha na risasi lukuki zimesambazwa kwa kila afisa wa jeshi kuwa tayari kwa lolote, na hapo achilia mbali kwa wanajeshi wa kawaida ambao wao hutii amri tu kutoka kwa mkuu wao ambaye pia ni gamba.

    20. #20
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Mabadiliko makubwa ktk uchumi na siasa za Tanzania 2015-

      Ni jambo ambalo kila mtanzania mwenye mapenz mema na taifa hili anayasubiria.

      Leo napenda kuandika juu ya mabadiliko makubwa ktk siasa za tanzania hasa pale chama tawala cc kitashindwa ktk uchaguzi wa urais baada ya uchaguzi kurudiwa. Watanzania tutegeme mabadiliko makubwa ktk uchumi wa Taifa hili maana ndipo ule wakati wa kila mtu kula kwa jasho lake, kutakuwa na ajira zakutosha,mfumuko wa bei utashuka.

      Na kila mtanzania atapata staiki ya jasho lake. 2016, kutakuwa na kupandishwa mahakaman kwa watawala wengi kutokana nakutumia viti vyao vibaya.

      Kwakweli ni mabadiliko makubwa sana Mungu atutangulie.
      a daydreamer.................... ................lakini endelea kuota hizi njozi bila ya kuziwekea minofu......................ja ribu kujibu swali la "how" cdm itaweza kutafuna mfupa uliomshinda mzee fisi ambaye ni ccm?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...