Ni jambo ambalo kila mtanzania mwenye mapenz mema na taifa hili anayasubiria.
Leo napenda kuandika juu ya mabadiliko makubwa ktk siasa za tanzania hasa pale chama tawala cc kitashindwa ktk uchaguzi wa urais baada ya uchaguzi kurudiwa. Watanzania tutegeme mabadiliko makubwa ktk uchumi wa Taifa hili maana ndipo ule wakati wa kila mtu kula kwa jasho lake, kutakuwa na ajira zakutosha,mfumuko wa bei utashuka.
Na kila mtanzania atapata staiki ya jasho lake. 2016, kutakuwa na kupandishwa mahakaman kwa watawala wengi kutokana nakutumia viti vyao vibaya.
Kwakweli ni mabadiliko makubwa sana Mungu atutangulie.

Reply With Quote
Follow Us Here