Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

    Report Post
    Page 9 of 10 FirstFirst ... 78910 LastLast
    Results 161 to 180 of 183
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,332
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5859
      Likes Given
      775

      Default Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Wanabodi,

      Watanzania 27 wakiwamo wanasiasa na wafanya biashara, imebainika kuwa ndio wameficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi, huku mmoja wao akiwa anamiliki Dola za Marekani milioni 56 (sawa na Sh89.6 bilioni).

      Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo wengine wanne, ambapo anayefuatia anamiliki Dola 30 milioni (Sh48 bilioni) mwingine Dola 20 milioni (Sh32 bilioni) na wengine wawili kila mmoja anamiliki Dola 10 milioni (Sh16 bilioni). Katika orodha ya walioweka fedha nchini humo, pia wamo wawili waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere, ambao wanamiliki Dola 500,000 kwa kila mmoja.

      Miongoni mwa wanaomiliki fedha hizo ni kiongozi wa juu nchini pamoja na aliyepata kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa.

      SOURCE: MWANANCHI AGOSTI 18 2012

    2. Miaka 50

    3. #161
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By JokaKuu
      Bulesi,

      ..hivi waziri mkuu ana mamlaka ya kutuma watu kwenda nyumbani kwa waziri yeyote yule na kumsachi??

      ..mimi nadhani mwenye mamlaka hayo alikuwa ni Raisi, na alipaswa kufanya hivyo baada ya kumfuta kazi waziri wake.

      ..Raisi akiamua kumsachi waziri yeyote yule maana yake amepoteza imani naye. waziri huyo pia anapaswa kujiuzulu nafasi yake in protest ikiwa Raisi hatamfuta kazi.
      jokaKuu,
      Nadhani point zako hapo ndizo zilizompelekea Mwalimu kumzuia Sokoine asifanye msako nyumbani kwa Msuya.
      kiplagati26 likes this.

    4. #162
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By Bukyanagandi
      Mkuu hii ya kuhusu Mh.Msuya kutaka kupekuliwa nyumbani kwake na Sokoine iliandikwa kwenye gazeti gani au ilitangazwa katika Redio gani? Pili ni zababu zipi zilizo sababisha Mh.Barongo kuwekwa korokoroni wakati wa wimbi la kamata kamata wahujumu uchumi. Nani alitoa amri ya kumuachia huru Mzee Barongo?
      Soma bandiko la Bulesi. Na kuhusu Barongo labda tumtafute Pasco atusaidie.

    5. #163
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 707
      Likes Received
      344
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By Mingoi
      4.Pesambili Mramba
      5.Mgonja
      6.Jeetu Patel
      Benjamin Mkapa
      Daniel Yona
      Jakaya Kikwete

    6. #164
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Ritz,
      Wale waliokutwa na 500,00 wakiwa mawaziri enzi ya Nyerere hukusema kwamba waliendelea kuwa ktk maradaka ya juu hadi wakati wa Mwinyi na Mkapa...mbona tunajua toka zamani kuhusu Ufisadi huu lakini tukisema mnataka ushahidi..

      Well itapita karne na karne maana walikuwepo wengi tu na upepo ulishapita. hata wa majuzi kina Maige upepo umeshapita hatuwazungumzii tena kwa sababu hatuna ushahidi.
      Ndahani likes this.
      Exploration of reality

    7. UNO
      #165
      UNO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 170
      Rep Power : 403
      Likes Received
      16
      Likes Given
      18

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Maskini.....watazila hizo fedha lini??? Wawekeni hapa jamvini tuwajue. Hizo fedha haziwezi kurudishwa????

    8. RukaaJuu Final

    9. #166
      wa kupuliza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 50
      Rep Power : 360
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      kwny habar ka hz ndo huwa namkumbuka kubenea na m/halis yake

    10. #167
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 803
      Rep Power : 541
      Likes Received
      140
      Likes Given
      56

      Default

      shamba la bibi hili,hata mtoto wa kigogo aliyemtaja rage kwenye sakata la mbuyu twite ukute naye ana trilioni zake kadhaa za ngada huko

    11. #168
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 551
      Likes Received
      80
      Likes Given
      63

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      baadhi ya wafanyakazi wa mabenki ya uswiss siku hizi wanauza taarifa za kibenki, bora tu ufike dau.
      wajerumani wamenunua hizi taarifa kuhusu raia wao wanaokwepa kodi na juzi tu wamedai wataendelea
      kununua hizo taarifa japokuwa mabenki ya kiswiss yanawalalamikia wajerumani.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    12. #169
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,189
      Rep Power : 41583
      Likes Received
      6082
      Likes Given
      1065

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By GodfreyTajiri
      baadhi ya wafanyakazi wa mabenki ya uswiss siku hizi wanauza taarifa za kibenki, bora tu ufike dau.
      wajerumani wamenunua hizi taarifa kuhusu raia wao wanaokwepa kodi na juzi tu wamedai wataendelea
      kununua hizo taarifa japokuwa mabenki ya kiswiss yanawalalamikia wajerumani.
      Serikali ya Marekani imeibana Credit Suisse mpaka Credit Suisse imetoa majina ya wateja wake raia wa Marekani waliokwepa kodi Marekani na kulimbikiza hela zao Uswizi.

      Waswizi wamebadilisha sheria zao hivi karibuni, hasa baada ya kuona aibu kuhusu swala la viongozi wa nchi masikini kuiba fedha na kuzilimbikiza huko.

      Siku hizi ukiwa na sababu nzuri, Waswizi wanaingilika na wanatoa habari za kibenki za walioweka hela kwao.

      A Swiss bank account is not what it used to be. Wajanja wanapeleka kwingine.
      Ndahani likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #170
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By Kiranga
      Serikali ya Marekani imeibana Credit Suisse mpaka Credit Suisse imetoa majina ya wateja wake raia wa Marekani waliokwepa kodi Marekani na kulimbikiza hela zao Uswizi.

      Waswizi wamebadilisha sheria zao hivi karibuni, hasa baada ya kuona aibu kuhusu swala la viongozi wa nchi masikini kuiba fedha na kuzilimbikiza huko.

      Siku hizi ukiwa na sababu nzuri, Waswizi wanaingilika na wanatoa habari za kibenki za walioweka hela kwao.

      A Swiss bank account is not what it used to be. Wajanja wanapeleka kwingine.
      Hakuna kwingine Kiranga...yote ni suala la muda tu. Hata huko Dubai nako taarifa zitatoka kama Uswisi.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    14. #171
      Unstoppable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 940
      Rep Power : 613
      Likes Received
      330
      Likes Given
      2041

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By Mbugi
      Du kutokuwa mzalendo si kosa!!! Wala kupeleka fedha nje??? hakika uko sahihi lakini hata "Daktari kula wagonjwa wake si kosa !!!!!!!"
      Mbugi; unataka kusema kukosa uzalendo ni illegal? Hebu nipe mfano wa mtu aliyewahi kushtakiwa kwaajili yakukosa uzalendo e.g. kuweka fedha halali nje ya nchi, kuajiri mkenya au raia wa nje na kumwacha mtanzania etc etc. Kula mtu ni illegal, regardless awe Daktari or not. Sioni unawezaje kufananisha hivyo vitu viwili-unaweza ukanifafanulia hapo?.

    15. #172
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 719
      Rep Power : 527
      Likes Received
      76
      Likes Given
      31

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      acheni wivu kumbe zinamilikiwa na watanzania tatizo liko wapi? mlitaka nani amiliki kama c watanzania?

    16. #173
      Elly_jm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 353
      Likes Received
      0
      Likes Given
      6

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Hi ndo tanzania third world country? Liwalo na liwe

    17. #174
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 586
      Rep Power : 458
      Likes Received
      62
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Makupa
      mkuu wewe ndio mchochezi kwa kuleta udakau wa kwenye magazeti hapa jamvini
      rits v/s makupa, rits lazima uibuke mshindi kwa sababu kwa hili umeamua kuacho posho na kusimamia ukweli naamini makupa bado anapokea kutoka kwa magamba. Umefungua vizuri sana na eid hongera mwenyezi mungu0 akujaarie afya fikra njema tuiokoe nchi insharal

    18. #175
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Hizo ni uswisi tu, sasa tujuwe na offshore wana ngapi? Wenye assets kama majumba na mahoteli nje ya Tanzania na ambao sio wafanya biashara au wazee wao walikuwa watumishi wa serikalini wakawaachia majumba ya urithi nje, wote hao waanikwe.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #176
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 551
      Likes Received
      80
      Likes Given
      63

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By zomba
      Hizo ni uswisi tu, sasa tujuwe na offshore wana ngapi? Wenye assets kama majumba na mahoteli nje ya Tanzania na ambao sio wafanya biashara au wazee wao walikuwa watumishi wa serikalini wakawaachia majumba ya urithi nje, wote hao waanikwe.
      jamaa mmoja wa nje alipata niuliza "hivi pesa zote za misaada mmepeleka wapi?" naoana likifanyika hilo usemalo zomba jibu litapatikana.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    20. #177
      hodogo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 235
      Rep Power : 410
      Likes Received
      90
      Likes Given
      59

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By Cha Moto
      Wapi majina???
      Jembe, Kubenea anayajua! Msingepata shida angekuwepo ulingoni!
      kiplagati26 likes this.

    21. #178
      kiplagati26's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Location : Nanchang
      Posts : 211
      Rep Power : 386
      Likes Received
      63
      Likes Given
      76

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Shame on you ccm muda wenu umefika kuondoka kwa nguvu za umma leteni majuna bwana kama journalist investigator KUBENEA nimemiss sana news zake tuko nawe siku zote mbaka kieleweke
      Ikumbukwe kuwa hata wanyonge na waoga, hufika wakati wakasema “sasa basi” pale wanapodhalilishwa na kufedheheshwa kupita kiasi.

    22. #179
      kisimani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Posts : 415
      Rep Power : 475
      Likes Received
      119
      Likes Given
      97

      Default Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Saeed Kubenea, we are really missing u on this,

    23. #180
      kiplagati26's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Location : Nanchang
      Posts : 211
      Rep Power : 386
      Likes Received
      63
      Likes Given
      76

      Default Re: Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

      Quote By Bukyanagandi
      Mimi nilimsikia kwa masikio yangu RADIONI Nyerere akitoa mfano huo wa gari kwenda mwendo wa kasi kwenye mashimo. Hebu twambie wahandishi wa habari walipo mzonga Baba wa Taifa kuhusu kuachiliwa huru Barongo, Nyerere alijibu nini? - na kumbuka alikuwa amekasirishwa na maswali kuhusu Barongo. Mimi siwezi kujuwa unataka kupre-empty kitu gani au kuna kitu gani kimakukera.

      Sikuwahi kusikia Mh. Msuya amewekwa kuzuizini/kufungwa wakati wa operation ya kukamata wahujumu uchumi - sasa hapo sijuhi anaye TUNGA ni nani kati yako na mimi?

      Unaweza kweli kuthibitishia wana JF kwamba Mh.Msuya aliwahi kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi? au kuthibitisha kwamba Nyerere aliwahi kuzungumza chochote kuhusu Mh.Msuya na kashifa HIZO, zaidi ya the late Barongo?
      Nasaidia tuu ,,,, nadhani ni Mzee Balongo lakini mwalimu alijibu kwa jeuli sana pale msasani from my dady history sijasahau
      Bukyanagandi likes this.
      Ikumbukwe kuwa hata wanyonge na waoga, hufika wakati wakasema “sasa basi” pale wanapodhalilishwa na kufedheheshwa kupita kiasi.

    Page 9 of 10 FirstFirst ... 78910 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...