Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      mikonomiwili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 451
      Likes Received
      27
      Likes Given
      201

      Default JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Kauli iliyotolewa na Membe na Lowasa kua Tanzania ipo tayari kuingia vitani na Malawi ina zidi kuwaumbua wawili hawa

      Mwanzoni ilionekana kama vile Malawi wamekaidi makubaliano yaliyowekwa na kulikua hakuna njia nyingine isipokua kujiandaa kwa vita. Kitu ambacho kilizua hofu kubwa ndani nanje yanchi yetu.

      Jamani vita si kitu rahisi kama Membe na Lowasa wanavyofikiri, ni jambo linalohitaji busara ya hali ya juu na njia zote ziwe zimeshindikana

      Ona sasa swala linaonekana very simple kiasi kwamba JK anaamua kumwalika rais wa Malawi atembelee Tanzania
      Lakini ile kauli ilikua inaonyesha kama kulikuwa na chuki kubwa na isiyoweza vumilika tena.

      Hapa membe na lowasa wanajifunzanini? Na je wanatuonyesha nini kwenye hizi mbiozao?

      Je siku huyu Raisi wamalawi akija Tanzania membe ataendakumpokea?

      Tuachanena siasa sikipuuzi kama nimbio za urahisi watafutenjia nyingine na tena hapa ndo wametuthihirishia kua urahisi hawauwezi

      Kwani kama ingekua ni Lowasa ama membe alikua raisi kwa wakati huu tungepigana na malawi wakati hakuna ulazima huo.
      Luwasa na membe achenikukurukuka


    2. #2
      Phillemon Mikael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2006
      Location : mwanza,/uk/santa clara
      Posts : 4,819
      Rep Power : 1617
      Likes Received
      988
      Likes Given
      29

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Quote By mikonomiwili View Post
      Kauli iliyotolewa na Membe na Lowasa kua Tanzania ipotayari kuingia vitani na Malawi ina zidi kuwaumbua wawili hawa

      Mwanzoni ilionekana kama vile Malawi wamekaidi makubaliano yalio wekwa na kulikua hakuna njia nyingine isipokua kujiandaa kwavita
      Kitu ambacho kilizua hofukubwa ndani nanje yanchiyetu

      Jamani vita sikiturahisi kama membe na lowasa wanavyofikiri nijambo linalohitajibusara ya hali yajuu na njia zote ziwe zimeshindikana

      Ona sasa swala linaonekana very simple kiasikua JK anaamua kumwalika rais wamalawi atembelee Tanzania
      Lakini ile kauli ilikua inaonyesha kama vilikunachuki kubwa na isiowezavumilika tena

      Hapa membe na lowasa wanajifunzanini? Na je wanatuonyesha nini kwenye hizi mbiozao?

      Je siku huyu Raisi wamalawi akija Tanzania membe ataendakumpokea?

      Tuachanena siasa sikipuuzi kama nimbio za urahisi watafutenjia nyingine na tena hapa ndo wametuthihirishia kua urahisi hawauwezi

      Kwani kama ingekua ni Lowasa ama membe alikua raisi kwa wakati huu tungepigana na malawi wakati hakuna ulazima huo.
      Luwasa na membe achenikukurukuka

      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani...

      3. Msimamo waliochagua Tanzania in this case unafanana na huo hapo....juu ...wasaidizi wa Rais ...nikimaanisha hata kinda membe na Lowassa walichukuaa msimamo Mkali sana...na kwa msiojuwa wakati wakitoa msimamo Mkali ...tayari Jeshi Letu la wananchi...lilishajipanga kimapigano...na vifaru,mizingaa na Zana zilishategwa kuelekea Malawi,ndege zilikuwa katikaa Hali ya tahadhari morogoro .....huku boti za kijeshi zikiwa tayari zimejipanga ziwani...kusubirii..Amri ya kupigaa...hiki ndicho kilisaidia kumaliza mgogoro(mkwaraa)....

      MATOKEO yalikuwa positive ...Jeshi la Malawi liliondoa boti ziwani...na likarudi nyuma...,hata baadhi ya wananchi wa mpakani Malawi wakaaanza kukimbiaa....,Ndege za uchunguzi zikaacha kuruka...,Rais wa Malawi akaanza juhudi za kumtafuta Kikwete kupitia UN na mataifa mengine....,na ikafuatia na yeye mwenyewe kutoa tamko...kuwa Malawi haitapigana.

      Tahadhari...kivita Malawi wanawaza kuwa wamefanya hivyo ...kwa kuhofia nguvu kubwa ya majeshi yetu waliyoiona mpakani....na mikakati wa kivita hapa ni kulia diplomasia ili nao wapange vikosi vyao....kinachotakiwa hapa ni JWTZ kutolegeza Tactical position...Yao ...na zaidi waimarishe na kuwaachia wanasiasa kazi ya manenoo...

      Kwa vyovote haya niliyoyaelezea hapo juu yalikuwa ni sehemuu ya diplomasia...ya hii vita....,na kwa kiasi kikubwa..yamempa Rais wetu uraisi wa kazi kwenye mazungumzo ......yote hii ilikuwaa sehemu ya mikakati wa Tanzania...Rais wetu unaweza kumnyima maksi Zote Lakini he is good in diplomacy..with his good sense of harmor...

    3. #3
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,452
      Rep Power : 709
      Likes Received
      359
      Likes Given
      0

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Membe,lowasa na watanzania wengi nikiwemo na mimi tumejitutumua kwa sababu nchi tuliyoingia nayo mgogoro ni ndogo na inatuogopa.Laiti kama ingekuwa kenya au uganda naamini watanzania wengi ikiwemo viongozi wangetokwa kijasho chembamba mpaka kwenye masaburi.Hata malawi woga wao 2 wangekomaa kwamba liwalo na liwe hawaachi kufanya utafti wangejizolea ziwa lote.Mfano saa hz wabongo wamekimbilia msumbiji kabla hata ya vita kunukia,je ingenukia ingekuwaje? Je ingeanza? Ingekuta watu wa mwanza,kagera,kigoma n.k wanaanza kukimbilia nchi jirani wakt vita iko mpakani na malawi

    4. #4
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Huyo Rais wa malawi akija hapa atapewa shimo pale mererani la tanzanite atulizane.. Atuachie sehemu yetu pale lake nyasa basi everyone is happy.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    5. #5
      khamsa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 122
      Rep Power : 373
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani......
      Mkuu umezungumza vyema sana. Heshima kwako.
      Ndumbayeye likes this.


    6. #6
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7413
      Likes Given
      5746

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Wakwere kwa unafiki ni namba wani

    7. #7
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      baba mwanahasha bana nilitegemea sana hii kitu kotokea...
      Hivi huyu mama hana mume?? maana mkulu naye yumo............
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    8. #8
      Mlengo wa Kati's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,382
      Rep Power : 0
      Likes Received
      197
      Likes Given
      11

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Kama hukuelewa strategy za Lowassa na Membe basi hauta elewa kamwe! Nakushauri uachane na siasa na hata JF huiwezi!
      mkada likes this.

    9. #9
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,866
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      1527
      Likes Given
      638

      Default

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani......
      Nimeipenda hii!
      Ndumbayeye likes this.

    10. #10
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,554
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2288

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Quote By mikonomiwili View Post
      Kauli iliyotolewa na Membe na Lowasa kua Tanzania ipotayari kuingia vitani na Malawi ina zidi kuwaumbua wawili hawa

      Mwanzoni ilionekana kama vile Malawi wamekaidi makubaliano yalio wekwa na kulikua hakuna njia nyingine isipokua kujiandaa kwavita
      Kitu ambacho kilizua hofukubwa ndani nanje yanchiyetu

      Jamani vita sikiturahisi kama membe na lowasa wanavyofikiri nijambo linalohitajibusara ya hali yajuu na njia zote ziwe zimeshindikana

      Ona sasa swala linaonekana very simple kiasikua JK anaamua kumwalika rais wamalawi atembelee Tanzania
      Lakini ile kauli ilikua inaonyesha kama vilikunachuki kubwa na isiowezavumilika tena

      Hapa membe na lowasa wanajifunzanini? Na je wanatuonyesha nini kwenye hizi mbiozao?

      Je siku huyu Raisi wamalawi akija Tanzania membe ataendakumpokea?

      Tuachanena siasa sikipuuzi kama nimbio za urahisi watafutenjia nyingine na tena hapa ndo wametuthihirishia kua urahisi hawauwezi

      Kwani kama ingekua ni Lowasa ama membe alikua raisi kwa wakati huu tungepigana na malawi wakati hakuna ulazima huo.
      Luwasa na membe achenikukurukuka
      1. Kwanini wabongo tunakuwa wepesi sana kusahau? Membe na Lowassa wakati wanapiga beat kulikuwa na ndege za watafiti za wawekezaji wa Malawi zinazoingia katika mipaka ya Tanzania bila ruhusa. Sasa hivi ndege hizo zimeondolewa. Ingekuwa ndege hizo bado zinaingia Tanzania kihuni, hata Kikwete asingetabasamu mbele ya Rais wa Malawi.

      2. Kumualika Tanzania Rais wa Malawi kipindi ambacho kuna mgogoro kinaweza kwa haraka haraka kuonekana ni jambo la kufurahia, lakini it is very risky. Huyu Rais akipatwa na lolote kwenye safari yake itaonekana Tanzania ndio iliyohusika. Just imagine, kwa bahati mbaya tu ndege ya Rais huyo imeanguka en route to Tanzania, si zitaanza hadithi za Mabwepande tena? Vilevile wabaya wetu wanaweza kutumia mwanya huo kutugombanisha kwa kuleta hitilafu kwenye safari ya Rais wa Malawi. In summary mimi nisingeshauri kumkaribisha Rais wa Malawi, akitaka kuja aje katika ratiba zake za kawaida au akutane na Rais wa Tanzania katika shughuli nyingine kama walivyokutana Nchumbiji.
      "To greed, all nature is insufficient"

    11. #11
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani........
      PM ni kweli kabisa...wale wamesaidia kazi ya Rais kuwa nyepesi bila hata kutambua.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #12
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 872
      Rep Power : 973
      Likes Received
      619
      Likes Given
      615

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Mpaka wa Malawi na Tanzania unapita pwani ya mashariki ya Ziwa Malawi. Hiyo ndiyo hoja kuu.

      Kama mlifuatilia speech ya Joyce Banda majuzi alisema yeye mwenyewe kwamba ndiye atayeongea na Kikwete kwenye SADC summit kwamba hoja za Tanzania ni nini kwa maana Ziwa lote ni la Malawi.

      mambo ya kukaribishana wala si tabu, hata Idi Amin aliwahi kuvamia kikao cha Mulungushi club kilichofanyika Mwanza kati ya Nyerere na Kaunda.

      Hoja, ni je Tanzania imeshapata hata tone moja la Ziwa Malawi?
      Jasusi likes this.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    13. #13
      Highlander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 1,796
      Rep Power : 730
      Likes Received
      560
      Likes Given
      640

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      ... membe na Lowassa walichukuaa msimamo Mkali sana...na kwa msiojuwa wakati wakitoa msimamo Mkali ...tayari Jeshi Letu la wananchi...lilishajipanga kimapigano...na vifaru,mizingaa na Zana zilishategwa kuelekea Malawi,ndege zilikuwa katikaa Hali ya tahadhari morogoro .....huku boti za kijeshi zikiwa tayari zimejipanga ziwani...kusubirii..Amri ya kupigaa...hiki ndicho kilisaidia kumaliza mgogoro(mkwaraa)....
      I LIKE THIS...labda tu neno Mkwara ndo kidogo sijalipenda. Ujumbe wa wazi wa utayari wa kutenda si lazima uwe mkwara. Ukiwaza katika terms za Mikiwara unaweza kumis-interpret intentions za adui ukapigwa. Nimeipenda sana hoja yako. Pamoja na imani yangu kuwa Malawi na Tanzania ni ndugu wa karibu mno kupigana, hakuna ubaya kuendelea kuonesha utayari wa kulinda mipaka tunayoitambua. Good presentation!

    14. #14
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,284
      Rep Power : 5419
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      1731

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      In a way Membe and Lowasa ware completely right!

      Tamko la vita hata sikumoja haiwezi kuwa ndio vita! Vita havpigwani kwa matamko. Hayo matamko ni psychological re/adjustment ... and make the other side just be alert ..of what might come if the deal dallying ... turn out to be a game or hidden motive!!!

      NB.

      Don't underestimate my personal friend Joyce, The President ... She might also be playing the seduction game with ever smiling JK (Tanzania)! You cant tell for sure what is exactly on her mind ... Remember The search of oil/gas and all the plan is still going on! Planes flying up and down over Tanzania borders etc ... You wan tell the TPDF to relax and go parting? Because she charmingly told JK that She is Sister and we are Brothers? ...!! Hah hah things never work this way!!

      She needed those Strong and firm statements of WAR ... That if the delaying tacks and feminine game don't work ... Our JET FIGHTERS will fly over her State house and within a second a parachute operation will take place and miraculously she will be in one of the plane.. bring her with them ... and surely .. IT WONT BE PLEASANT!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    15. #15
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,129
      Rep Power : 576
      Likes Received
      307
      Likes Given
      211

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Membe alitoa msimamo wa serikali, Lowasa alizungumzia msimamo wa kamati husika ya Bunge. Kwa hiyo hakuna cha kuwafanya wajisikie vibaya maana kauli zao zimesaidia hayo matokeo yote yanayochukua nafasi sasa.

    16. #16
      Mnyamwezi wa Urambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 364
      Likes Received
      66
      Likes Given
      250

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Bila mkwara wa Lowasa na Membe unafikiri hao wamalawi wako wangekubali kukaa kwenye meza ya mazungumzo?Mimi naona Lowasa na Membe walifanyakazi nzuri juu ya kauli zao.

      Hata hivyo tunawasingizia hakuna hata mmoja kati yao aliyesema anataka vita na Malawi,Membe aliwakataza Malawi kuendelea na uchunguzi wa mafuta ktk eneo lenye mgogoro mara moja (Ambapo kila mtanzania mzalendo anakubaliana na onyo hilo) na Lowasa akasema njia ya mazungumzo ni bora zaidi na asingependa tufike vitani lakini kama njia zote zikikwama basi jeshi lipo tayari ki-akili,kitechnolojia kwaajili ya vita,sasa hapo kakosea nini?hata mimi naunga mkono kauli yake.

    17. #17
      gwacha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 424
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      Hatujapata wala wao hawajapata ndio maa tunazungumza.

    18. #18
      mikonomiwili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 451
      Likes Received
      27
      Likes Given
      201

      Default

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani...
      3.msimamo waliochagua Tanzania in this case unafanana na huo hapo....juu ...wasaidizi wa Rais ...nikimaanisha hata kinda membe na Lowassa walichukuaa msimamo Mkali sana...na kwa msiojuwa wakati wakitoa msimamo Mkali ...tayari Jeshi Letu la wananchi...lilishajipanga kimapigano...na vifaru,mizingaa na Zana zilishategwa kuelekea Malawi,ndege zilikuwa katikaa Hali ya tahadhari morogoro .....huku boti za kijeshi zikiwa tayari zimejipanga ziwani...kusubirii..Amri ya kupigaa...hiki ndicho kilisaidia kumaliza mgogoro(mkwaraa)....
      MATOKEO yalikuwa positive ...Jeshi la Malawi liliondoa boti ziwani...na likarudi nyuma...,hata baadhi ya wananchi wa mpakani Malawi wakaaanza kukimbiaa....,Ndege za uchunguzi zikaacha kuruka...,Rais wa Malawi akaanza juhudi za kumtafuta Kikwete kupitia UN na mataifa mengine....,na ikafuatia na yeye mwenyewe kutoa tamko...kuwa Malawi haitapigana.
      Tahadhari...kivita Malawi wanawaza kuwa wamefanya hivyo ...kwa kuhofia nguvu kubwa ya majeshi yetu waliyoiona mpakani....na mikakati wa kivita hapa ni kulia diplomasia ili nao wapange vikosi vyao....kinachotakiwa hapa ni JWTZ kutolegeza Tactical position...Yao ...na zaidi waimarishe na kuwaachia wanasiasa kazi ya manenoo...

      Kwa vyovote haya niliyoyaelezea hapo juu yalikuwa ni sehemuu ya diplomasia...ya hii vita....,na kwa kiasi kikubwa..yamempa Rais wetu uraisi wa kazi kwenye mazungumzo ......yote hii ilikuwaa sehemu ya mikakati wa Tanzania...Rais wetu unaweza kumnyima maksi Zote Lakini he is good in diplomacy..with his good sense of harmor...
      Umejibiu vyema mkuu lakini nisingeshauri JK amwalike huyu raisi wakati huu kwani nikama ana waaibisha akina lowasa kua haikua ishu sana

      na wala si vizuri kwanchi ambayo isha tamka atharani hata kama nikwamkwara kua tupotayari kupigana na malawi halafu uje sikia raisi wake kaalikwa nailenchi. Ambayo ilisema ipo tayari kupigana nae

      Mfano rahisi wewe jirani yako kakukosea kiasikwamba mnachukuliana mapanga naukatangaza nikimwona lazima nimtwange mapanga , wakati huohuo mkewako anamwalika nyumbani kujakukutembelea utajisikiaje?

    19. #19
      HIPPO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 365
      Likes Received
      1
      Likes Given
      8

      Default Re: JK kumkaribisha raisi wa Malawi kutembelea Tanzania, Membe na Lowasa wanajisikiaje?

      piga ua membe rais 2015,

    20. #20
      Maendeleo tu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 77
      Rep Power : 456
      Likes Received
      8
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Phillemon Mikael View Post
      Kwenye Sanaa ya Negotiation walichofanya Lowassa na Membe ....kinaweza kukubalika na hata kwenye War Strategies ..ni sawa....,kulikuwa na mikakati miiwili kwenye hili ambapo yote ingeweza kuwa sawa.

      1. Membe na Lowassa ...wangeweza kushukua msimamo baridi ...Alafu Kikwete angekuja na msimamo Mkali zaidi
      2. kwenye meza ya mazungumzo baadhi ya wajumbe wanawaza wakafanya. Storming...kubwa na hata..kutoka nje ya chumba ....ili kulainisha msimamo wa wapinzani...

      3. Msimamo waliochagua Tanzania in this case unafanana na huo hapo....juu ...wasaidizi wa Rais ...nikimaanisha hata kinda membe na Lowassa walichukuaa msimamo Mkali sana...na kwa msiojuwa wakati wakitoa msimamo Mkali ...tayari Jeshi Letu la wananchi...lilishajipanga kimapigano...na vifaru,mizingaa na Zana zilishategwa kuelekea Malawi,ndege zilikuwa katikaa Hali ya tahadhari morogoro .....huku boti za kijeshi zikiwa tayari zimejipanga ziwani...kusubirii..Amri ya kupigaa...hiki ndicho kilisaidia kumaliza mgogoro(mkwaraa)....

      MATOKEO yalikuwa positive ...Jeshi la Malawi liliondoa boti ziwani...na likarudi nyuma...,hata baadhi ya wananchi wa mpakani Malawi wakaaanza kukimbiaa....,Ndege za uchunguzi zikaacha kuruka...,Rais wa Malawi akaanza juhudi za kumtafuta Kikwete kupitia UN na mataifa mengine....,na ikafuatia na yeye mwenyewe kutoa tamko...kuwa Malawi haitapigana.

      Tahadhari...kivita Malawi wanawaza kuwa wamefanya hivyo ...kwa kuhofia nguvu kubwa ya majeshi yetu waliyoiona mpakani....na mikakati wa kivita hapa ni kulia diplomasia ili nao wapange vikosi vyao....kinachotakiwa hapa ni JWTZ kutolegeza Tactical position...Yao ...na zaidi waimarishe na kuwaachia wanasiasa kazi ya manenoo...

      Kwa vyovote haya niliyoyaelezea hapo juu yalikuwa ni sehemuu ya diplomasia...ya hii vita....,na kwa kiasi kikubwa..yamempa Rais wetu uraisi wa kazi kwenye mazungumzo ......yote hii ilikuwaa sehemu ya mikakati wa Tanzania...Rais wetu unaweza kumnyima maksi Zote Lakini he is good in diplomacy..with his good sense of harmor...
      Tatizo la watz hatufanyi analysis na huwa tunakurupuka kuchangia. Mikaeli nimeyapenda majibu yako. Membe na Lowasa walitimiza wajibu wao ambao pia umetupa heshima kama nchi

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...