Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Akizungumzia hitimisho la bunge lililopita ameainisha mambo mbalimbaliambayo hakika yamepambanua upeo wake kisiasa

      1.amezungumzia utoro wa wabunge unavyowakosesha umakini wa kufuatilia hoja na uhalali wao wa kuwawakilisha wananchi

      2.amezungumzia majibu ya mawaziri..hayalengi uhalisia wa mifumo ya nchi yetu bali yapo kibinafsi mno na kizimamoto zaidi ,amemchana naibu waziri wa Elimu mh Mulugo kwa namna anabyoyafanyia kazi matattizo ya walimu

      3.Ameupongeza upinzani kwa hoja zao..hususani Mh Tundu lissu kuwa japo hoja yake ilipingwa lakini ina ukweli.hoja ilikuwa ni udhaifu katika uteuzi wa majaji ambao ni nguzo katika muhimili wa tatu wa dola,hili halina ubishi kuwa nguzo hii si imara tena kwani nondo zilizotumika kuijenga ni dhaifu,pia amepongeza hoja ya Zitto na na Chenge katika marekebisho ya vifungu vya bajeti ya wizara ya fedha,ambavyo waziri na naibu walishavifumbia macho licha ya kujadiliwa na kamati ya fedha na kutolewa maamuzi

      4.amezungumzia tuhuma za rushwa kwa wabunge na kampeni za kukwamisha bajeti ya wizara ya nishati na madini kuwa ni jambo baya sana kwa bunge,japo tunasubiri taarifa ya kamati ya maadili iliyowahoji tayari ni dosari kubwa kwa watunga sheria

      5.amezungumzia upimaji wa uwajibikaji wa wa maamuzi ya bunge..yaani maazimio na utekelezaji.yaani maazimio wanayopitisha hayafuatiliwi utekelezaji wake,na wanapoanza kikao kingine hakuna tathmini ya ya kuangalia milestone na waliyokubaliana awali

      6.Ametoa rai yake kuwa kero yake kuu bungeni ni ileile tunayolia nayo hapa jf ya wabunge na mawaziri kupoteza muda wa bunge kutoa pongezi hadi kwa beki tatu na drivers na kuacha hoja za msingi

      Pia kazungumzia mfumo wa uhitimishaji budget ya fedha kuwa mwishoni ili kuchambua wizara nyingine vizuri..haina maana kupinga wakati mlishakubaliana katika overall budget ya fedha

      bravo Benson,kwa mtazamo huu umejipambanua
      Source:clouds FM PB on saturday


    2. #2
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Jambo ambalo naona mr Benson amelisahau na taaisii yake ya REDET hulifanya ni upigaji kura...upigaji wakura wa bunge kupitisha vifungu ni OVYO sana
      Sangarara likes this.

    3. #3
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,361
      Rep Power : 5154
      Likes Received
      3333
      Likes Given
      2738

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Posho wamemcheleweshea nini?

    4. #4
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,402
      Rep Power : 771
      Likes Received
      238
      Likes Given
      39

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Hakika leo kwa mara ya kwanza(kwa maoni yangu) ameongea kitu chenye mbolea kuhusu mkutano wa Bunge uliomalizika tarehe 16/8/2012.Kabla ilikuwa nibadilishe stesheni!

    5. #5
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,059
      Rep Power : 845
      Likes Received
      505
      Likes Given
      987

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Nmemskia aisee kafunguka vizuri sana. Kama utakumbuka Mh Mbilinyi wa Mbeya aliwahi kusema mawaziri wanatoa majibu ya mazoea na rejareja kwa maswali yote.
      Kaizungumzia OPRAS, ni kweli watendaji wengi hawaipendi!
      Inkoskaz likes this.
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki


    6. #6
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1678
      Likes Received
      920
      Likes Given
      1673

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By King Kong III View Post
      Posho wamemcheleweshea nini?
      aaah kweli aisee hayupo hivyo huyu!
      Inkoskaz likes this.
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    7. #7
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,526
      Rep Power : 779
      Likes Received
      737
      Likes Given
      33

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Nimemsikiliza Mnafiki huyu. Alichozungumza ni Facts ambazo mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana nazo. Pamoja na Ukibaraka wake kwa CCM ameshindwa kuwatetea kwa hayo ya Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Mawaziri kutumia muda mrefu kuwataja Ma-girl friends zao.
      Inkoskaz likes this.

    8. #8
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By Sometimes View Post
      Hakika leo kwa mara ya kwanza(kwa maoni yangu) ameongea kitu chenye mbolea kuhusu mkutano wa Bunge uliomalizika tarehe 16/8/2012.Kabla ilikuwa nibadilishe stesheni!
      Amesoma upepo
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    9. #9
      Trustme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 529
      Likes Received
      94
      Likes Given
      27

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      huwa wanasema, kama unaona huwezi kumshinda adui wako basi ungana nae! Sasa hata kwa akili ya mlevi hayo mambo yanaonekana, hawezi kuyatetea hata kwa chembe. Mimi siwezi kumwamin huyu jamaa hata kidogo inawezekana kweli hajalipwa posho zake, kwa sababu akili zake huwa hazitambui kosa na ubabaishaji unaofanywa na CCM
      Inkoskaz likes this.
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
      A successful woman is one who can find such a man.

    10. #10
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,230
      Rep Power : 714
      Likes Received
      222
      Likes Given
      185

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Benson bana ni mjanja sana, anasoma upepo. Akiona jambo litamuharibia maslahi yake ya kinafiki huwa anauma na kupuliza.
      Inkoskaz likes this.
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    11. #11
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,663
      Rep Power : 1273
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1707

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By Inkoskaz View Post
      Jambo ambalo naona mr Benson amelisahau na taaisii yake ya REDET hulifanya ni upigaji kura...upigaji wakura wa bunge kupitisha vifungu ni OVYO sana
      Na hili ndio lingedhihirisha upeo wake kweli, japo nalo na moja kati ya hayo yote aliyoyataja ambayo UMA wa watanzania unayafahamu kabla yake. hana lolote huyu chumia tumbo.
      Inkoskaz likes this.

    12. #12
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,524
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      8

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Benson Bana amesomea wapi Masters yake na PhD yake?
      Inkoskaz likes this.

    13. #13
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5982
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By Inkoskaz View Post
      Akizungumzia hitimisho la bunge lililopita ameainisha mambo mbalimbaliambayo hakika yamepambanua upeo wake kisiasa

      1.amezungumzia utoro wa wabunge unavyowakosesha umakini wa kufuatilia hoja na uhalali wao wa kuwawakilisha wananchi

      2.amezungumzia majibu ya mawaziri..hayalengi uhalisia wa mifumo ya nchi yetu bali yapo kibinafsi mno na kizimamoto zaidi ,amemchana naibu waziri wa Elimu mh Mulugo kwa namna anabyoyafanyia kazi matattizo ya walimu

      3.Ameupongeza upinzani kwa hoja zao..hususani Mh Tundu lissu kuwa japo hoja yake ilipingwa lakini ina ukweli.hoja ilikuwa ni udhaifu katika uteuzi wa majaji ambao ni nguzo katika muhimili wa tatu wa dola,hili halina ubishi kuwa nguzo hii si imara tena kwani nondo zilizotumika kuijenga ni dhaifu,pia amepongeza hoja ya Zitto na na Chenge katika marekebisho ya vifungu vya bajeti ya wizara ya fedha,ambavyo waziri na naibu walishavifumbia macho licha ya kujadiliwa na kamati ya fedha na kutolewa maamuzi

      4.amezungumzia tuhuma za rushwa kwa wabunge na kampeni za kukwamisha bajeti ya wizara ya nishati na madini kuwa ni jambo baya sana kwa bunge,japo tunasubiri taarifa ya kamati ya maadili iliyowahoji tayari ni dosari kubwa kwa watunga sheria

      5.amezungumzia upimaji wa uwajibikaji wa wa maamuzi ya bunge..yaani maazimio na utekelezaji.yaani maazimio wanayopitisha hayafuatiliwi utekelezaji wake,na wanapoanza kikao kingine hakuna tathmini ya ya kuangalia milestone na waliyokubaliana awali

      6.Ametoa rai yake kuwa kero yake kuu bungeni ni ileile tunayolia nayo hapa jf ya wabunge na mawaziri kupoteza muda wa bunge kutoa pongezi hadi kwa beki tatu na drivers na kuacha hoja za msingi

      Pia kazungumzia mfumo wa uhitimishaji budget ya fedha kuwa mwishoni ili kuchambua wizara nyingine vizuri..haina maana kupinga wakati mlishakubaliana katika overall budget ya fedha

      bravo Benson,kwa mtazamo huu umejipambanua
      Source:clouds FM PB on saturday
      Yawezekana ni maoni yaliyosukumwa na hisia na hasira ya kukosa kitu flan.gud analysis but why now?
      Inkoskaz likes this.

    14. #14
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      MKUU kombaJR watu wengi utawajua malengo yao 2015
      Quote By KOMBAJR View Post
      Yawezekana ni maoni yaliyosukumwa na hisia na hasira ya kukosa kitu flan.gud analysis but why now?
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    15. #15
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By Janatu Firdaus View Post
      Benson Bana amesomea wapi Masters yake na PhD yake?
      Kuna thread ilikuwa inamzungumzia humu..alipata umaarufu uchaguzi uliopita wakati wa kura za maoni zilizoratibiwa na Redet na taasisi nyingine ya Synovate
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    16. #16
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By Sangarara View Post
      Na hili ndio lingedhihirisha upeo wake kweli, japo nalo na moja kati ya hayo yote aliyoyataja ambayo UMA wa watanzania unayafahamu kabla yake. hana lolote huyu chumia tumbo.
      Suala la maamuzi ya kura katika bunge letu hunifanya nimtazame spika kwa jicho la husda sana...hivi ni kweli watz tunaburuzwa kikondoo hivyo? hapana!
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    17. #17
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By LE GAGNANT View Post
      Benson bana ni mjanja sana, anasoma upepo. Akiona jambo litamuharibia maslahi yake ya kinafiki huwa anauma na kupuliza.
      Huyo ndiye Bunsen Burner!
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    18. #18
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,495
      Rep Power : 7372
      Likes Received
      1103
      Likes Given
      1165

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Quote By Trustme View Post
      huwa wanasema, kama unaona huwezi kumshinda adui wako basi ungana nae! Sasa hata kwa akili ya mlevi hayo mambo yanaonekana, hawezi kuyatetea hata kwa chembe. Mimi siwezi kumwamin huyu jamaa hata kidogo inawezekana kweli hajalipwa posho zake, kwa sababu akili zake huwa hazitambui kosa na ubabaishaji unaofanywa na CCM
      Matatizo ni elimu kwa ubongo...ufumbuzi huja baada ya mkwamo na wala si wakati wa tambarare
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    19. #19
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,550
      Rep Power : 1065
      Likes Received
      1285
      Likes Given
      619

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      Amezaliwa upya??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    20. #20
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,914
      Rep Power : 1702
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default Re: Benson Bana kwa hili Umejipambanua

      ni unafiki kulalamikia system inayokulisha au kukuvisha.toka 2010 hakujua haya yataweza kutokea?kama hakuyaona haya ambayo wasomi wengi waliyaona basi hafai kuitwa dr na pia asitafute huruma yetu sasa wakati mambo yanaenda mrama.
      Narudia bana ni mnafiki na hata aseme nini hakiwezi kuniingia akilini.
      Inkoskaz likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...