Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape kanusha na hili.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      Mr.Busta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 572
      Rep Power : 527
      Likes Received
      85
      Likes Given
      1

      Default Nape kanusha na hili.

      ITV katika taarifa ya habari jana saa 2 usiku.wameonyesha wenyeviti wa kijiji wa ccm akikiri kwamba M4C inawapa wakati mguu na kushindwa kuongozo.NAPE KANUSHA AU UNASEMAJE KWA HII?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 555
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Wapi huko mkuu? Hata kama ni kweli, huyo Nape hawezi kukanusha kuhusu hao wenyeviti ila atakanusha huu uzi wako!

    4. #3
      Mr.Busta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 572
      Rep Power : 527
      Likes Received
      85
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By msnajo
      Wapi huko mkuu? Hata kama ni kweli, huyo Nape hawezi kukanusha kuhusu hao wenyeviti ila atakanusha huu uzi wako!
      vijijini huko kilosa.akikaa kimya anakubaliana na hali halisi.tunataka kauli yake mbna wanawategemea sana hawa wenyeviti wa vijiji katika kush4nda uchaguzi

    5. #4
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Quote By Mr.Busta
      vijijini huko kilosa.akikaa kimya anakubaliana na hali halisi.tunataka kauli yake mbna wanawategemea sana hawa wenyeviti wa vijiji katika kush4nda uchaguzi
      Nini significance ya kauli yake ikiwa kweli hao wenyeviti wameona bora waseme kweli ya hali halisi inayowakabili?
      Who Jah bless, No one Curse!

    6. #5
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,764
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      210
      Likes Given
      9

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Huyu nape mpaka amekimbia jf?!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,235
      Rep Power : 961
      Likes Received
      605
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Jile79
      Huyu nape mpaka amekimbia jf?!!
      hajakimbia ila anatumia ID nyingine na ni katika magamba machache sana yaliyosalia hapa jamvini
      asigwa likes this.

    9. #7
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 555
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default

      Quote By Jile79
      Huyu nape mpaka amekimbia jf?!!
      Amekimbia wapi!! Si ndo akina Zomba? Anatumia ID nyingine humu!

    10. #8
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,138
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Nyiye hammjui Nape huwa hana msimamo, ana damu na akili za kinyonga.
      Akija humu atakwambia kuwa hao ni maji taka, au sio wenyevit wa CCM bali ni CDM wanajifanya CCM.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    11. #9
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By msnajo
      Amekimbia wapi!! Si ndo akina Zomba? Anatumia ID nyingine humu!
      Lakini bado ana chezea za uso tu!

    12. #10
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      huwezi kumuona humu....... anaingia kama guest.
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    13. #11
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,870
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      802
      Likes Given
      228

      Default

      Quote By Mr.Busta
      ITV katika taarifa ya habari jana saa 2 usiku.wameonyesha wenyeviti wa kijiji wa ccm akikiri kwamba M4C inawapa wakati mguu na kushindwa kuongozo.NAPE KANUSHA AU UNASEMAJE KWA HII?
      Baada ya kupinga kumalizika wabunge wa magamba wameagizwa waende kukanusha yote yaliyokuwa yanasemwa kwenye M4C.kwasasa Nape yupo busy kuona ni jinsi gani wataratibu mikutano katika maeneo ambayo m4c wamepita ikiwa ni kujaribu kuweka mambo sawa.

    14. #12
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 983
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Narudia kusema tena, sisi tuliopo Lumumba tunafuatilia kila kitu kinachoendelea kuhusu M4C kuanzia kule Lindi, Mtwara, London, USA, Dar, Mara, Morogoro, Arusha nk.

      Kifupi tupo kwenye wakati mgumu sana kuliko wakati mwingine wowote toka mfumo wa vyama vingi umeingia tena nchini.

      Taarifa za makada wetu kutoka sehemu mbalimbali ni za kukatisha tamaa tu kila siku.

      Hii ni baadhi ya mikakati tulioianza na ambayo tunairatibu siku kwa siku.

      *Mpango wa NAPE;
      kupiga propaganda na kuiga operation za M4C (Propaganda ni rahisi kufanya na ndio msingi wa siasa za chama chetu lakini kwa sasa hazina nguvu kwa sababu ya utandawazi na kukua kwa uelewa kwa watu,
      kufanya zile operation ulikuwa mpango mzuri lakini shida ni:
      1/Unakigawa chama
      2/Ni gharama kubwa (chama kina ukata na haukutengewa fungu maalum)
      3/Ungehalalisha harakati za M 4C.
      4/Hatuna uzoefu wowote wa siasa za kiharakati kwa sababu hatukuwahi kuwa chama cha upinzani toka tumepata uhuru)

      *Mpango wa PINDA;
      kutumia Dola ie Polisi, DC, RC, Tendwa (Lakini pia anaogopaogopa kwa sababu aliratibu mpango wa polisi kule Arusha na suala la Ulimboka halafu mambo yakamtokea puani, hivyo ni bora awatumie Tendwa,DC,RC zaidi kuliko polisi)

      *Mpango wa WASIRA: kupandikiza mamluki ili wawavuruge(hili linahitaji usiri na pesa, ni kama kucheza kamari)

      *Mpango wa MWIGULU; Kutumia pesa na ahadi za kuwapa vyeo ili kuwanunua makamanda wao ili wahamie CCM (Mchezo wa kitoto sana, bahati mbaya hata Mukama anauunga mkono, Makamba Senior alifanyaga hivyo na ukazaa matatizo makubwa sana ndani ya chama)

      *Mpango wa JK;
      Kutumia mahakama na Bunge kuzima harakati zao(Ni mkakati wa hila tu, matokeo mazuri yanadumu kwa muda mfupi sana, lakini unazaa athari mbaya kwetu kwa muda mrefu)

      *Mkakati maalum wa IKULU; kutumia usalama wa taifa na vyombo vya habari kuwasambaratisha kwa gharama yoyote (Tatizo ya mbinu hii inahitaji usiri mkubwa sana, na kwa sasa hakuna siri tena!)

    15. #13
      Moitalel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2010
      Posts : 60
      Rep Power : 471
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Ngoja niondoke ukumbini- manake kipigo kingine huwezi kutarajia mtu kuamka labda kama atakuwa Uli.

    16. #14
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Nape ndio inampa wakati mgumu maaana anaropoka sana!

    17. #15
      yaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 676
      Rep Power : 535
      Likes Received
      210
      Likes Given
      67

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Quote By mmbangifingi
      Nini significance ya kauli yake ikiwa kweli hao wenyeviti wameona bora waseme kweli ya hali halisi inayowakabili?
      Mkuu, si ilishasemwa na Mhe. Nape kwamba ni "oili chafu"!!!???

    18. #16
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default

      Quote By Marire
      hajakimbia ila anatumia ID nyingine na ni katika magamba machache sana yaliyosalia hapa jamvini
      Wapi Maralia Sugu jamani

    19. #17
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      yupo hapa kivingine.. Anakuja kwa kuibiaibia

    20. #18
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,464
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      457
      Likes Given
      938

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      haiwezi kukanusha maana hii ni live na atakachokuja nacho ni kubwabwaja tu wala hatakuja na point bali pumba

    21. #19
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,234
      Rep Power : 655
      Likes Received
      271
      Likes Given
      117

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      nina uhakika nafasi ya Nape kama wangekuwa watu wanaanyiwa interview basi isingeweza kupita hata kidogo
      Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....

    22. #20
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: Nape kanusha na hili.

      Quote By Concrete
      Narudia kusema tena, sisi tuliopo Lumumba tunafuatilia kila kitu kinachoendelea kuhusu M4C kuanzia kule Lindi, Mtwara, London, USA, Dar, Mara, Morogoro, Arusha nk.

      Kifupi tupo kwenye wakati mgumu sana kuliko wakati mwingine wowote toka mfumo wa vyama vingi umeingia tena nchini.

      Taarifa za makada wetu kutoka sehemu mbalimbali ni za kukatisha tamaa tu kila siku.

      Hii ni baadhi ya mikakati tulioianza na ambayo tunairatibu siku kwa siku.

      *Mpango wa NAPE;
      kupiga propaganda na kuiga operation za M4C (Propaganda ni rahisi kufanya na ndio msingi wa siasa za chama chetu lakini kwa sasa hazina nguvu kwa sababu ya utandawazi na kukua kwa uelewa kwa watu,
      kufanya zile operation ulikuwa mpango mzuri lakini shida ni:
      1/Unakigawa chama
      2/Ni gharama kubwa (chama kina ukata na haukutengewa fungu maalum)
      3/Ungehalalisha harakati za M 4C.
      4/Hatuna uzoefu wowote wa siasa za kiharakati kwa sababu hatukuwahi kuwa chama cha upinzani toka tumepata uhuru)

      *Mpango wa PINDA;
      kutumia Dola ie Polisi, DC, RC, Tendwa (Lakini pia anaogopaogopa kwa sababu aliratibu mpango wa polisi kule Arusha na suala la Ulimboka halafu mambo yakamtokea puani, hivyo ni bora awatumie Tendwa,DC,RC zaidi kuliko polisi)

      *Mpango wa WASIRA: kupandikiza mamluki ili wawavuruge(hili linahitaji usiri na pesa, ni kama kucheza kamari)

      *Mpango wa MWIGULU; Kutumia pesa na ahadi za kuwapa vyeo ili kuwanunua makamanda wao ili wahamie CCM (Mchezo wa kitoto sana, bahati mbaya hata Mukama anauunga mkono, Makamba Senior alifanyaga hivyo na ukazaa matatizo makubwa sana ndani ya chama)

      *Mpango wa JK;
      Kutumia mahakama na Bunge kuzima harakati zao(Ni mkakati wa hila tu, matokeo mazuri yanadumu kwa muda mfupi sana, lakini unazaa athari mbaya kwetu kwa muda mrefu)

      *Mkakati maalum wa IKULU; kutumia usalama wa taifa na vyombo vya habari kuwasambaratisha kwa gharama yoyote (Tatizo ya mbinu hii inahitaji usiri mkubwa sana, na kwa sasa hakuna siri tena!)
      namba 4 nimeipenda sana, hii ni mtaji wa mfumo wa vyma vingi nchini. upinzani kuchukua nchi ni lazima, hata ikiwa miaka50 ijayo
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...