Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      SonGod emo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 365
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Kwa watu wengine inaweza kuwa kama tuko ndotoni lakini huwezi kuamini kama nchi hii kuna watu wanaishi kama wakimbizi .Inasikitisha sana kuona kiongozi anaamuru polisi kuchomea wananchi nyumba zao kisa eti wamejenga kwenye hifadhi wakati wanajenga mlikuwa wap? Mmechoma nyumba zao isitoshe na vyakula walivyokuwa wamehifadhi kweli hii ni Tanzania au ndo tunaelekea kuwa kama Somalia au Eritrea maana na hao walianza hivi hivi kwa kweli inauma kuona mtu kwenye bchi yako unafukuzwa kama mbwa koko asiye na mwenyeji upinzani wakiliongelea eti wanavuruga Aman ya nchi sasa imefika mahali pa kusema imetosha kunyanyaswa .


    2. #2
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,886
      Rep Power : 1548
      Likes Received
      832
      Likes Given
      460

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Anatekeleza SERA za....
      mpigauzi likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    3. #3
      Mr.Busta's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 593
      Rep Power : 0
      Likes Received
      88
      Likes Given
      1

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      ucjali M4C itakujakutoa elimu huko

    4. #4
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Anahakikisha Chama cha CCM Hakitoki madarakani.

      Source: Pinda

    5. #5
      frema 120's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,140
      Rep Power : 1025
      Likes Received
      289
      Likes Given
      70

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Ukifatilia elimu za wakuu wa wilaya ni viio weng plus magumashi tu, kwahiyo wanakulupukaga na present tense tu
      past na future tense hakunaga kwa hawa watu...

      Nakingine utumwa kufanya hivyo sasa lazima wafate waliowaweka bila kuchanganya naza kwake ( a.k.a kama KOVA), poleni mangosha wenzangu wote mliochomewa.... vuteni subira T2015CDM inakuja kuwapa amani na maisha safi.

      V
      SENGEREMA


    6. #6
      KALOGI MUGETA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 345
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      kha kwani kule kagera wale ng'ombe waliopigwa risasi jana,MR DHAIFU AMEANZA U DICTATOR,ANAJUA HANA JINSI LIWALO NA LIWE,ILA 2015 C MBALI,PANAPOTOKA MOSHI.......
      NAMI NAENDA KUSALI NIMECHELEWA SANA LEO SABATO JUMAMOSI.
      mpigauzi likes this.

    7. #7
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 443
      Likes Received
      63
      Likes Given
      126

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Huyo kada wa ccm dawa yake ni kuchoma na yeye nyumba yake halafu tuone atajisikiaje, ndipo kitakapoeleweka.

    8. #8
      KAVYINABHUHIYE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      11

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Kwa nini wananchi walijenga ktk hifadhi hawajui au ni viburi ili wapate kulaumu serikali. Mimi siamini kama Mwanza viwanja vimekuwa adimu kiasi hicho mpaka kujenga kwenye hifadhi. watanzania tuache tabia ya kuwa tegemezi

    9. #9
      KAVYINABHUHIYE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      11

      Default Re: Hivi hii serikali ya CCM inachukuliaje swala hili la mkuu wa wilaya huko Mwanza?

      Kwa hiyo unamaanisha M4C Itaruhusu watu kujenga kwenye hifadhi/ Kama unawapenda watanzania wenzako toa elimu kuhusu umuhimu wa kutojenga kwenye hifadhi na si kuleta ushabiki humu JF

    10. #10
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By Lyimo View Post
      Anatekeleza SERA za....
      ccm za mwaka 2010

    11. #11
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By KAVYINABHUHIYE View Post
      Kwa nini wananchi walijenga ktk hifadhi hawajui au ni viburi ili wapate kulaumu serikali. Mimi siamini kama Mwanza viwanja vimekuwa adimu kiasi hicho mpaka kujenga kwenye hifadhi. watanzania tuache tabia ya kuwa tegemezi
      Kwani kama walivamia wangefanya kubomoa wasingehama? Pia serikali ilikuwa wapi mpaka wanajenga na kuishi? Tatizo ulegelege umezidi kwa serikali yetu

    12. #12
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By KAVYINABHUHIYE View Post
      Kwa hiyo unamaanisha M4C Itaruhusu watu kujenga kwenye hifadhi/ Kama unawapenda watanzania wenzako toa elimu kuhusu umuhimu wa kutojenga kwenye hifadhi na si kuleta ushabiki humu JF
      nikutoa elimu ya kutovamia hifadhi zetu na kutunza mazingira

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...