Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 56 of 56
    1. #1
      Makutano Show's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd August 2012
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 21
      Rep Power : 347
      Likes Received
      65
      Likes Given
      81

      Default Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Wana-JF

      Kwenye Makutano Jumamosi hii atakuwepo katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye na baadae mkurugenzi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba.

      Moja ya vitu atakavyoiongelea Nnape ni kuhusu kauli yake ya kuwa CHADEMA ina wafadhili nje ya nchi na kuwa harambee ya M4C Jumamosi Serena hoteli ilikuwa ya kisanii. Pia atazungumzia mambo mbalimbali ya ndani ya chama.

      Ruge Mutahaba ambaye nilifanya nae kazi wakati nikiwa Clouds FM atazungumza kuhusu maisha yake binafsi na ya kazi na changamoto walizokutana nao hadi kuufikisha Muziki wa bongo hapo ulipo.

      Kama kawaida nitapenda kupata maswali toka kwa wanajamvi hapa ambayo watayajibu moja kwa moja kwenye kipindi.

      Na pia sasa tutapatikana online kupitia
      http://www.ustream.tv/channel/makutanoshow kuanzia saa tisa hadi kumi na mbili jioni na kipindi kitakuwa www.youtube.com/makutanoshow saa moja jioni.

      Karibu.
      Janjaweed, 'TF', Fang and 1 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 548
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      nape amepwaya katika nafasi yake hiyo yeye binafsi analizungumziaje hilo ,na kuwajibika haitoshi kwanini asitumie nafasi hiyo kuwaomba radhi wana ccm kwa yote aliyofanya ama kwa kuelekezwa au kujituma

    4. #42
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      u stream inakwamakwama sana, am sure network yangu iko bomba, sijui wengine kama wanaipata vizuri!!!
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    5. #43
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2664
      Likes Given
      1584

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Naomba umuulize ruge ni kitu gani kipo kati yake na vinega? na ni nini mtazamo wake kwa siku za mbeleni kuhusu uhusiano wake na kundi la mziki wa bongo(vinega)?. mia

    6. #44
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,582
      Rep Power : 667
      Likes Received
      200
      Likes Given
      33

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      swal kwa nape! Alitembelea chuo cha udom anacho kiita mradi wa ccm na kubain majengo mengi ambayo hata miaka 3 hayana yamepasuka pasuka na mengne yamepinda na kukaa kimia..sijui alimaansha nn

    7. #45
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,057
      Rep Power : 0
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Swali kwa nape moses nnauye.Kwanini katika ccm ni vigumu vijana wadogo kupata nafasi kugombea nafasi za ubunge?ukiacha wa kuteuliwa kupitia uvccm.tunaona upinzani vijana wanafanya vizuri mfano nasari,yule wa mbozi cdm na akina machali na mkosamali wa nccr,

    8. Miaka 50

    9. #46
      Shigyole's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 362
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Nape ni miongoni mwa wanasiasa wazuri, namshauri aachane na propaganda/siasa za maji taka hizo ni siasa za kizamani enzi za chama kimoja. Sasa hivi ni siasa za kisasa zinazoenenda na utafiti, ukweli, utashi wa kisiasa na uzalendo wa kweli kwa taifa na watu wake ndicho kilichomfanya awe katika nafasi aliyonayo sasa. Kuanziasha chama kingine ni namna nzuri aloionyesha kuchukizwa na siasa sizizo za kimaadili. "nape Usijichafue jitazame, urejee ktk misingi yako ya awali, daima utakuwa ni tunu ya taifa la Tanzania" .

    10. #47
      Malata Junior's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 404
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      muulize nape mbona maagizo yake anayoyatoa kwa watendaji wa serikali hayatekelezwi na kuna maana gani kuendelea kutoa maagizo au ni kuwahadaa wananchi?
      kwa mfano,
      1.huko iringa aliliagiza jeshi la magereza kufungua njia waliyokuwa wameifunga ili wananchi wasizunguke umbali mrefu lakini mpaka leo wannchi wanalalamika
      2.Huko singida aliagiza hospitali ya mkoa inayojengwa ianze kutumika hata kama haijakamilika lakini watendaji wamempuuza
      3.huko kigoma yeye na mwanri waliigiza manispaa ya kigoma waache mara moja kuwatoza ushuru wafanyabiashara wadogo kwenye masoko ya manispaa lakini juzi tulimuona mbunge wa kigoma mjini akilalamika bungeni kuwa ushuru unaendelea kutozwa.

    11. #48
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,541
      Rep Power : 807
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Nasikia Nape anavyoangaika na tafsiri ya Ujamaa wa kiafrika.

    12. #49
      nziriye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 559
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Makutano Show
      Wana-JF

      Kwenye Makutano Jumamosi hii atakuwepo katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye na baadae mkurugenzi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba.

      Moja ya vitu atakavyoiongelea Nnape ni kuhusu kauli yake ya kuwa CHADEMA ina wafadhili nje ya nchi na kuwa harambee ya M4C Jumamosi Serena hoteli ilikuwa ya kisanii. Pia atazungumzia mambo mbalimbali ya ndani ya chama.

      Ruge Mutahaba ambaye nilifanya nae kazi wakati nikiwa Clouds FM atazungumza kuhusu maisha yake binafsi na ya kazi na changamoto walizokutana nao hadi kuufikisha Muziki wa bongo hapo ulipo.

      Kama kawaida nitapenda kupata maswali toka kwa wanajamvi hapa ambayo watayajibu moja kwa moja kwenye kipindi.

      Na pia sasa tutapatikana online kupitia
      MakutanoShow on USTREAM: Magic FM test. kuanzia saa tisa hadi kumi na mbili jioni na kipindi kitakuwa www.youtube.com/makutanoshow saa moja jioni.

      Karibu.
      urgently-matangazo yamekatika ndugu.fina mbna mwatunyima uhondo,mtulipe dk. zetu bhana

    13. #50
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 717
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      161
      Likes Given
      334

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      vipi mbona radio imetoweka hewani baada ya kuanza kujibu kuhusu kauli yake kuhusu pesa chafu za CHADEMA kama anavyodai yeye,ambapo ameanza kwa kujikanyaga baada ya kuulizwa kama alishaurian na uongozi wa juu wa CCMkabla ya kutoa kauli hiyo,amejibu ya kua anaomba asijibu swala hilo kama alishauriana au la!!!!

    14. #51
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Quote By Kassim Awadh
      Muulize Ruge vp mwenendo wa Clouds FM, maana imeshatokea mara kadhaa baadhi ya watangazaji wake kuweka ushabiki wa vyama vya siasa hususani chama tawala wakati wa matangazo; yao mfano Kibonde katika kipindi chake cha Jahazi. Ndio msimamo wa redio?
      Quote By Mjenda Chilo
      MUHIMU: Muulize Ruge kuhusu Kibonde, kwanza ni mjua vyote wakati hajui, pili ule ukada wake wa Ccm ambao hata akiongelea mpira lazima atangulize maslahi ya chama chake kwa kweli inaboa sana.

      Je Ruge haoni umuhimu wa kuanzisha kipindi cha comedy kitakachoongozwa na Kibonde na Jahazi amuachie kijana mwenye upeo na mpenda kujifunza Anold Kayanda?


      Muulize Nape:

      1. Kama akipata nafasi ya kuzungumza na Dr steven Ulimboka mazungumzo yake yatakuwa juu ya nini???
      2. Kama akipewa nafasi ya kumuuliza maswali mawili tu mwandishi mahili wa habari za kiuchunguzi ndg Kubenea,atauliza maswali gani??

      Quote By Marire
      Amwambie Ruge mimi ni mpenzi sana sana wa clouds wa vipindi vyote kasoro Jahazi ya Kibonde, na yafaa jahazi kiitwe CCM time.
      Quote By nziriye
      kwa ruge-naomba mtwange swali mbna anawalea watu wanaoharibu clouds fm kama kina kibonde.
      Kweli huyu Mnyakyusa anawaumiza kichwa sana wanazi wa CHADEMA.

    15. #52
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 717
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      161
      Likes Given
      334

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Katika mahojiano yake na majibu yake ni kinyume na matarajio yetu tuliokua tunafuatilia katika maswali aliyotumwa kupitia JF.Hakuna chochote cha maana alichojibu au kuzungumzia mbali na porojo NAUJUTIA MUDA WANGU!MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    16. #53
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      649
      Likes Given
      500

      Default

      Quote By Advocate Jasha
      Katika mahojiano yake na majibu yake ni kinyume na matarajio yetu tuliokua tunafuatilia katika maswali aliyotumwa kupitia JF.Hakuna chochote cha maana alichojibu au kuzungumzia mbali na porojo NAUJUTIA MUDA WANGU!MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      hicho kipindi hamna kitu mkuu,kinaboa tu..

    17. #54
      nziriye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 559
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      ndio naungana na wadau hapo juu,fina kaanza boa mapema maana anaomba maswali jamvini lakini anauliza maswali yake ya kichwani inakera kweli kweli,hasa kaboa alipokuwa ana muhoji ruge wa klauz as if alikuwa anaogopa kuuliza maswali yanayolenga moja kwa moja kumfukuzisha kazi kibonde na mengneyo,ngoja wiki ijayo ifikapo ijumaa mtamuona tu anaomba maswali halafu hayaulizi,inaboa aaaarghhhh...

    18. #55
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2664
      Likes Given
      1584

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      fina umeniangusha. ndo maana mara ya kwanza tulikuuliza;
      utaweza kuuliza maswali ya jf? ukasema ndiyo. Sasa kulikoni leo? Wewe bado rongorongo. kesho saa mbili kaangalie wenzako startv wanavyo endesha kipindi. Waweza kujifunza. Jipange. mia

    19. #56
      malaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 998
      Rep Power : 644
      Likes Received
      237
      Likes Given
      66

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Muulize ruge
      1. Vipi makubaliano yake na sugu na vinega? Nini kipya?
      2. Haoni kama kibonde anazidi kupunguza idadi ya wasikilizaji wake?

      Kwa nape
      1. Vp wale mafisadi na siku zao 90?
      2. Hajashtuka kuwa chama chake kimepoteza mvuto?

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...