Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 56
    1. #1
      Makutano Show's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd August 2012
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 21
      Rep Power : 347
      Likes Received
      65
      Likes Given
      81

      Default Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Wana-JF

      Kwenye Makutano Jumamosi hii atakuwepo katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye na baadae mkurugenzi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba.

      Moja ya vitu atakavyoiongelea Nnape ni kuhusu kauli yake ya kuwa CHADEMA ina wafadhili nje ya nchi na kuwa harambee ya M4C Jumamosi Serena hoteli ilikuwa ya kisanii. Pia atazungumzia mambo mbalimbali ya ndani ya chama.

      Ruge Mutahaba ambaye nilifanya nae kazi wakati nikiwa Clouds FM atazungumza kuhusu maisha yake binafsi na ya kazi na changamoto walizokutana nao hadi kuufikisha Muziki wa bongo hapo ulipo.

      Kama kawaida nitapenda kupata maswali toka kwa wanajamvi hapa ambayo watayajibu moja kwa moja kwenye kipindi.

      Na pia sasa tutapatikana online kupitia
      http://www.ustream.tv/channel/makutanoshow kuanzia saa tisa hadi kumi na mbili jioni na kipindi kitakuwa www.youtube.com/makutanoshow saa moja jioni.

      Karibu.
      Janjaweed, 'TF', Fang and 1 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,279
      Rep Power : 969
      Likes Received
      618
      Likes Given
      0

      Default re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Amwambie Ruge mimi ni mpenzi sana sana wa clouds wa vipindi vyote kasoro Jahazi ya Kibonde, na yafaa jahazi kiitwe CCM time.

      Maswali kwa Nape:

      Alitueleza kuwa wanaotoka CCM ni oil chafu je, wale mapacha watatu ni oil safi?
      Anakubaliana na maelezo ya serikali kuwa kashfa ya rada hakuna mtanzania aliyehusika na mjadala umefungwa?

    4. #22
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,999
      Rep Power : 12012
      Likes Received
      5321
      Likes Given
      5154

      Default re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Hii ''mixture ratio'' ya Nape na Ruge haijakaa sawa.

      Jitahidi next time uwakutanishe watu walio katika tasnia moja. Kwa mfano hapa walipaswa kuwa Nape na Mnyika, au Nape na Mtatiro, au Ruge na Kipanya, au Ruge na mtu mwingine yeyote wa entertainment industry!

    5. #23
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,057
      Rep Power : 0
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1

      Default re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Muulize Nape:

      Kwa uelewa wake anadhani ni kwanini kundi kubwa la vijana hivi linaipinga CCM na linaona upinzani ndio mkombozi pekee aliyebaki? Ni juhudi gani chama kinafanya kurudisha imani yake kwa vijana hapa nchini?

    6. #24
      Rufiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2006
      Posts : 1,592
      Rep Power : 980
      Likes Received
      287
      Likes Given
      53

      Default re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Swali langu la mwisho, namwomba mwulize mheshimiwa Nape:

      Mwalimu Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Je yeye anadhani uongozi bora ni tatizo katika nchi yetu? Na kama jibu ni ndio, kwa nini wananchi waendelee kukichagua chama ambacho kimeshika hatamu kwa zaidi ya miongo mitatu sasa?
      Dark City likes this.

    7. #25
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Kaswali kadogo kwa NAPE:

      Je, yeye kama katibu mwenezi amesaidia kuleta mafanikio au anguko kwa chama chake toka yeye awe katibu mwenezi?


    8. #26
      Escobar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 455
      Likes Received
      201
      Likes Given
      146

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Dada yangu inabidi ungalie sana aina za watu wa kutuletea humu, mtu kama Ruge ni mjasiriamali wa kawaida sana tena mwenye mlengo flan. Hana mamlaka kitaifa so he is just like any businesman anayemiliki kituo cha mafuta kule Ngara so you better stop this maana utafanya kipindi chako kiwe ni kijiwe cha vijana flani flani kuja kupiga porojo.

      Nape ni sawa maana ni mtu ambaye tunahitaji kuongea naye na matamshi yake yana impact kubwa kitaifa! Kwangu mimi ni bora zaidi kama ungeleta mmachinga yeyote hapo toka mtaa wa kongo au kwingineko atueleze changamoto wanazokumbana nazo na anadhani wanahitaji kusaidiwa vipi ili atoke kimaisha!

      Yaani kumualika Ruge hapo haina tofauti sana na kumualika Papaa Msofe aje atueleze mafanikio yake!
      kanga, omujubi and Matoo like this.
      The only white man you can trust is a dead white man, "ROBERT MUGABE"


    9. #27
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 805
      Rep Power : 556
      Likes Received
      270
      Likes Given
      0

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Nnape:-

      Anajisikiaje kukosoa utaratibu wa CHADEMA, wakati yeye aliteuliwa(hakuchaguliwa) kuwa katibu mwenezi akiwa hana kadi chama na hadi sasa hajawahi kuwa nayo!!?

    10. #28
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,992
      Rep Power : 1648
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Quote By Makutano Show
      Wana-JF

      Kwenye Makutano Jumamosi hii atakuwepo katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye na baadae mkurugenzi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba.

      Moja ya vitu atakavyoiongelea Nnape ni kuhusu kauli yake ya kuwa CHADEMA ina wafadhili nje ya nchi na kuwa harambee ya M4C Jumamosi Serena hoteli ilikuwa ya kisanii. Pia atazungumzia mambo mbalimbali ya ndani ya chama.

      Ruge Mutahaba ambaye nilifanya nae kazi wakati nikiwa Clouds FM atazungumza kuhusu maisha yake binafsi na ya kazi na changamoto walizokutana nao hadi kuufikisha Muziki wa bongo hapo ulipo.

      Kama kawaida nitapenda kupata maswali toka kwa wanajamvi hapa ambayo watayajibu moja kwa moja kwenye kipindi.

      Na pia sasa tutapatikana online kupitia
      MakutanoShow on USTREAM: Magic FM test. kuanzia saa tisa hadi kumi na mbili jioni na kipindi kitakuwa www.youtube.com/makutanoshow saa moja jioni.

      Karibu.

      Swali kwa Nape Nnauye Jr:

      1. Hakuna shaka kwamba CCM ipo katika siku zake za mwisho za kuishi. Anaizungumziaje kauli ya marehemu Horace Kolimba kwamba 'CCM imepoteza mwelekeo"? Ni unabii unaotimia?

      2. Chadema tumejipanga kuchukua nchi mwaka 2015. Anajiandaaje?
      Dark City likes this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    11. #29
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      naomba nitoe angalizo kwako ''mtangazaji'' nape ana tabia akiulizwa swali huwa anazunguka sana mbuyu ..yaani anaanzia mbali sana katika kujibu..lengo likiwa ni kupoteza mda...naomba usimpe air time ya iana hiyo .. hakikisha anakuwa specific kwenye majibu....kuna member humu tayari wameshauliza maswali niliyotaka kuyaauliza
      I'm Naturaly Evasive..

    12. #30
      Informer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 239
      Rep Power : 503
      Likes Received
      354
      Likes Given
      69

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Naamini sijachelewa, nina swali 1 kwa kwa kila mmoaja wa hawa wahusika.

      Nape:

      Jengo la UVCCM - Nakumbuka ulilipigia kelele haswa mwanzoni mwa mradi; je, kuna marekebisho yalifanyika kulingana na mapendekezo yako na tume iliyoundwa? Kama ndiyo, umeridhika na marekebisho hayo? Watu walidhani ulipinga mradi mzima, una nafasi leo, wafafanulie!

      Ruge:
      Kuna taarifa kwamba Clouds imeuzwa kwa 'wafanyabiashara flani' wenye tuhuma za ufisadi, una kauli yoyote kuhusu hili?
      Aidha, kuna taarifa kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Bima ndg Octavian Temu ana hisa katika kampuni yenu, ni kweli?

      Yangu ni haya kwa sasa
      ~~~Mjumbe hauawi!~~~

    13. #31
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 548
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      kwa kuwa baba yake alikuwa katibu mwenezi ccm enzi za nyuma awaeleze watanzania alipataje nafasi ya katibu mwenezi ccm .

    14. #32
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Muulize Nape...
      Haoni kama serikali yake ni dhaifu kutokana na migomo isiyo kwisha???

      Ruge:
      yeye anawapaje support wasanii wanao ibiwa haki zao kupitia ring tone???
      Halafu kwa nini clouds hawapigi nyimbo za sugu wakati bif lilisha kwisha???

    15. #33
      nziriye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 559
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By HUGO CHAVES
      kwa kuwa baba yake alikuwa katibu mwenezi ccm enzi za nyuma awaeleze watanzania alipataje nafasi ya katibu mwenezi ccm .
      Jibu simple-like faza,like san...hyo ndo s.s.m bhana kama huamini cheki mjengoni utaona majina yale yale ya mashujaa wa tz tunaowasoma ktk history ndo wamejaa

    16. #34
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 669
      Likes Received
      128
      Likes Given
      133

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      muulize ruge je kuna ukweli kiasi gani juu ya tuhuma huku mtaani kwamba vituo vyao(clouds fm n tv) vimejaa mashoga??

    17. #35
      nziriye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 559
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      kwa nape-naomba aulizwe analichukuliaje swala la mtanzania mmoja kuwa na vyeo viwili,anaweza akawa mbunge wakati huo huo ni mkuu wa wilaya ?je hapo kuna ufanisi wowote?
      kwa ruge-naomba mtwange swali mbna anawalea watu wanaoharibu clouds fm kama kina kibonde.

    18. #36
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 548
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      kwa kuwa amepata nafasi hiyo kwa mgongo wa baba yake brigedia nape nnauye anawaeleza nini watanzania anawatumikiaje na anajisikia vipi kuendeleza yale mzazi wake aliokuwa ameacha

    19. #37
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 548
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      kwa kuwa ameshindwa majukumu yake kama katibu mwenezi haoni ni aibu kuchafua jina la mzee wake aliyetumikia taifa hili kwa unyenyekevu mkubwa akiwa ndani ya chama na serikalini kwa ujumla .

    20. #38
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 548
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      ruge vipi ile studio ya wasanii umeshawarudishia au bado usanii unaendelea na nini kilikuvuta hadi ukaikumbatia ni tamaa za pesa au nini

    21. #39
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,583
      Rep Power : 23558
      Likes Received
      6996
      Likes Given
      11355

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Naomba uulize haya maswali yafuatayo:

      Nape
      1. CCM tuluyoijua sisi toka inaanzishwa 1977, ilikuwa na sera ya ujamaa na kujitegemea (na hili halikuwa na ubishi wa aina yoyote). Kutokana na mabadiliko yaliyojitokeza toka mwanzoni mwa mika ya 1990, sera ya CCM (kinadharia na vitendo, theoretically and practically) ni ipi?
      2. Alama za bendera ya CCM zililenga kuonesha wigo wa wanachama na wamiliki wa chama (wakulima na wafanyakazi. Je, Nape anaamini bado hao ndio wamiliki wa chama?
      3. Ndugu Nape, siku zote muungwana uhukumiwa kwa maneno anayaoyasema (especially anapotoa ahadi) na huokolewa na matendo yake...Kwa ahadi zako kuhusu kauli mbiu ya kujivua gamba, Nape haoni kwamba umeshapoteza uhalali wa kuendelea kuwa Katibu mwenezi wa chama? Do you think you still have any piece of moral authority to sit on this Nobel post?

      Ruge

      Kila chombo cha habari hutakiwa kutangaza ama kwa kutoa maelezo rasmi au kwa mfumo wa uendeshaji wake mrengo ambao kinauunga mkono (ama ni partial au impartial) katika kushirikiana na serikali iliko madarakani pamoja na chama tawala. Je anaweza kutueleza kama Clouds ina mrengo (wa kisiasa) ambao kinauunga mkono? Na je, Clouds ina sera gani katika kuhudumia vyama vya siasa? Inaweza kuacha milango wazi kwa chama chochote iwe ni CCM, CHADEMA, TLP, NCCR-MAGEUZI au CUF? Kama jibu ni hapana, kwa nini? Kama jibu ni ndiyo, je Clouds haijawahi kutoa habari kwa ushabiki wa wazi kwa chama chochote cha siasa nchini?

      Natanguliza shukrani!
      Edson and Narubongo like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    22. #40
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Exclusive Interview: Waulize maswali Nape Nnauye na Ruge Mutahaba

      Je Nape ana lolote la kuzungumza kuhusu vijisent vilivyofichwa uswis na kwingineko na watu ambao bila shaka ni makada wa CCM?
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...