Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,805
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      497

      Default Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      CHADEMA KUWASHA MOTO KATIKA MJI WA READING SIKU YA TAREHE 26/08/2012



      LONDON
      Ili kufikia malengo yetu ya kuzunguka kwenye Miji mbalimbali ya UK kuhamasisha Watanzania waishio uk kujiunga na Chadema, kueneza kampeni ya m4c na kufungua matawi mengine, Tawi la Chadema London linapenda kuwatangazia Watanzania wote waishio katika Mji wa Reading na maeneo ya jirani kuwa kutakuwa na mkutano mkubwa wa M4C UK utakao fanyika Tarehe 26/08/2012 siku ya Bank holiday.

      Dhumuni la mkutano huo ni kuwahamasisha Watanzania waishio UK kujiunga na chama, kushiriki katika harakati za mabadiliko, kusajili wanachama wapya, kuchagua wawakilishi wa muda kutoka mji wa Reading pamoja na kuanzisha mfuko wa kufa na kuzikana kwa manufaa ya watanzania wote.

      Tumekusudia kuanzisha Mfuko wa kufa na kuzikana kwa sababu mpaka hivi sasa Mtanzania akifariki akiwa UK hakuna taasisi wala ofisi yoyote inayotoa msaada. Jukumu ambalo kwa muda mrefu Serikali yetu kupitia ubalozi umelipuuzia na kushindwa kulisimamia na kulishughulikia.

      Mfuko huu utasaidia katika kumsafirisha Marahemu na Mfiwa pamoja na kusaidia kushughulikia matatizo na usumbufu utakaojitokeza baada ya mtu kufariki dunia na kusaidia matatizo mbalimbali yakiwemo majanga ya dharura.


      Pia katika mkutano huo wanachama mbalimbali wa CCM walio na uchungu na nchi yetu na wanaopenda maendeleo na mabadiliko ya kweli watapewa nafasi ya kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo kama sehemu moja wapo ya kampeni yetu ya Kuvua Gamba na Kuvaa Gwanda ukiwa Ughaibuni.


      Mkutano utafanyika siku ya Tarehe 26/08/2012, Kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi na mbii jioni.

      Risc Reading International Solidarity Centre,
      35-39 London Street,
      Reading, RG1 4PS



      Watanzania wote, marafiki na wadau mbali mbali wa maendeleo na mabadiliko ya kweli mnakaribishwa sana.
      Huu ndio wakati wa mabadiliko, kusimama na kusema tumechoka!

      KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA;

      MWENYEKITI: Chris Lukosi 07903828119,



      HATULALI MPAKA KIELEWEKE!!!!!!!!!!!

      Peooooople's Power

      Kidatu likes this.


    2. #2
      mbaraka mohahed's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd March 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 366
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      mbarikiwe sana makamanda aluta continua

    3. #3
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,752
      Rep Power : 4693
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      913

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      go go go CDM.

    4. #4
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,285
      Rep Power : 0
      Likes Received
      334
      Likes Given
      114

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Hivi na hao wa UK wanapigia kura wapi, kurudi bongo yenyewe ni tabu,si unajua tena visa za magumashi. Mimi naona CCM na CDM wanapoteza wakati tu na hao jamaa. Kwanza hata mchango wao ni michuma ilio zidi miaka 10. Ushuru wake ni mkubwa kuliko uzima wa gari.

    5. #5
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,143
      Rep Power : 12757
      Likes Received
      6403
      Likes Given
      980

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Chilisosi naweza kupata friji za mitumba na vijiko huko uingereza nipe bei zake kwa jumla.


    6. #6
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,805
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      497

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Quote By Ritz
      Chilisosi naweza kupata friji za mitumba na vijiko huko uingereza nipe bei zake kwa jumla.
      Ritz wee rudisha kadi usiogope kijana. mie nina uhakika mdingi hata mind

    7. #7
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 418
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Huku TZ tunajiandaa kuingia Magogoni 2015. Vilevile tunapanga kuweka mifumo bora ya Sheria 2016 kabla ya kuwatia mbaroni Kikwete, Chenge, Rostam, Mkapa, Karamagi, Mkullo, Ritz, Rejao na Mafisadi Wengine Wote.
      Quote By Ritz
      Chilisosi naweza kupata friji za mitumba na vijiko huko uingereza nipe bei zake kwa jumla.

    8. #8
      frema 120's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,131
      Rep Power : 1023
      Likes Received
      289
      Likes Given
      70

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Mpaka wajibebe miccm
      mwaka huu.....

      peoplesssssss....... power

      V
      SENGEREMA

    9. #9
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 987
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Safii, safi sana. Mwaka huu mpaka Nape atuongezee posho vijana wake wa Lumumba, maana harakati za M4C zinapiga kotekote.
      Chilisosi likes this.

    10. #10
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,805
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      497

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Quote By Concrete
      Safii, safi sana. Mwaka huu mpaka Nape atuongezee posho vijana wake wa Lumumba, maana harakati za M4C zinapiga kotekote.
      Nimepata habari ambazo bado hazijathibitishwa kuwa Ritz na NAPE wameamua kuja kuhudhuria huu mkutano na watarudisha kadi zao za CCM

    11. #11
      Muke Ya Muzungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1,905
      Rep Power : 3860
      Likes Received
      180
      Likes Given
      31

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Quote By Chilisosi
      Nimepata habari ambazo bado hazijathibitishwa kuwa Ritz na NAPE wameamua kuja kuhudhuria huu mkutano na watarudisha kadi zao za CCM
      aibu sana kwa chama chetu. gamba kubwa ndani ya ccm ni NAPE. huyu mtu ndiye anayekivuruga chama chetu

    12. #12
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,357
      Rep Power : 988
      Likes Received
      634
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz
      Chilisosi naweza kupata friji za mitumba na vijiko huko uingereza nipe bei zake kwa jumla.
      RITZ ,mmebanwa na MBEKO hamna pa kupumulia wala pa kukimbilia.na bado mtaongea kila lugha

    13. #13
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,357
      Rep Power : 988
      Likes Received
      634
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Chilisosi
      Nimepata habari ambazo bado hazijathibitishwa kuwa Ritz na NAPE wameamua kuja kuhudhuria huu mkutano na watarudisha kadi zao za CCM
      hiyo post ilikuwepo humu naona imepotezwa na wazee wa mabwepande

    14. #14
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,805
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      497

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Nasikia Ni kwelli nape anawatafuta waandaaji wa mkutano ili akaribishwe

    15. #15
      KIJOME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,488
      Rep Power : 651
      Likes Received
      274
      Likes Given
      251

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      nepi hana ujanja ataolewa na nguvu ya umma cku c nyingi..

    16. #16
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,805
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      497

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      Quote By KIJOME
      nepi hana ujanja ataolewa na nguvu ya umma cku c nyingi..
      Yeye mwenyewe analijua hilo
      KIJOME likes this.

    17. #17
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 331
      Rep Power : 413
      Likes Received
      44
      Likes Given
      65

      Default Re: Mkutano wa chadema reading, wanachama wengi wa ccm kurudisha kadi

      viva m4c....go go go

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...