Last edited by kinepi_nepi; 17th August 2012 at 21:42.
"Power never takes a back step only in the face of more power. Nobody can give you freedom, equality or justice or anything. If you're a man, you take it."
Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.
Ngug RITZ naomba nikujibu suala lako kuhusu sensa, zoezi la sensa halimzuii mtu kufanya shughauli zake za kila siku mahali popote anapotaka na isitoshe cha muhimu ni kwamba taarifa sahihi ndo kitu cha muhim kuachwa nyumbani sio lazima mkuu wa kaya awepo PHISICALLY.
Huyu ritz sio wa kubishana naye .akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.wadau mnatakiwa kumjua huyu ritz ni nani ,upeo wake.inawezekana hapa mnampa darasa kumbe alikwenda shule hakueleika au ndio hakuna kitu kichwani.sasa tahadhari husipoteze muda ukiona post yake wewe cheka au andika nenda shule ukaelimike
Mkuu, umeongea kama mtu ambaye hujui sensa ni kitu gani? Sensa siyo uchaguzi ambao kila mtu anatakiwa kuwepo kituoni physically.
Hivi unadhani katika madodoso ya sensa kila mtu katika familia yako atahojiwa? Mtu mmoja anatosha kutoa taarifa ya familia nzima kama anazijua vyema.
Tafadhali usijiabishe kwa upofu wa mapenzi kwa chama chako na kutaka kuleta lawama zisizo msingi kwa hawa waheshimiwa wawili na wengine wote ambao siku ya sensa watakuwa safarini ndani na nje ya TZ.
all the best.
Follow Us Here