Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      Imebidi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 354
      Likes Received
      64
      Likes Given
      0

      Default Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      CHADEMA wana kazi kubwa huku Iramba Magharibi. Miezi miwili iliyopita Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA alibambikiziwa uchawi nyumbani kwake huko Kijijini Kisana. Wanakijiji wakakusanyika na kutaka kumpiga akakimbia. Tangu kipindi hicho amekuwa akijificha. Watu walidai kipindi hicho kwamba mpango ulisukwa na Mwigulu ili kumchafua na kuharibu taswira ya CHADEMA kwa kuonyesha kwamba viongozi wa CHADEMA ni wachawi! Watu hawakuamini sana.

      Sasa mhe Mwigulu amerudi juzi Bungeni na ameanza mikutano katika Jimbo lake. Juzi Mwenyekiti aliitwa akaambiwa kama anataka atulie nyumbani aache kutangatanga kama kunguru arudishe majeshi na yeye Mwigulu atamsafisha kwa sababu mpango mzima anaujua. Kweli, kijana wa watu amejisamisha leo kwenye mkutano na kutangaza kwamba, kwa maneno yake, 'anarudi kwa baba'. Kwa hivyo Mwenyekiti wa Wilaya wa Iramba Magharibi, Bwana Sembe, leo amesalimu amri kwa vitimbi vya Mwigulu na kukamata kadi ya magamba.

      Nawapa angalizo CHADEMA: Katibu wenu wa wilaya pia yupo njiani. Actually huyu alikuwa CCM siku zote na amekuwa akitumiwa kuwachota CHADEMA. Sasa inasemekana CHADEMA wamesimamisha ruzuku kwa muda kwenda wilayani, na leo ameripoti kwa mabosi wa CCM hapa wilayani akidai kwamba kama ruzuku hamna hana haja ya kuendelea kubaki CHADEMA. Anasema bora yeye aondoke arudi rasmi na kuwazika CHADEMA hapa wilayani. Hii nimeipata mwenyewe kwa viongozi wa CCM waliokuwa wanaongea kwa kucheka na kutusema sisi tunaoshabikia CHADEMA hapa Kiomboi.

      Kwa kifupi: CHADEMA ina watu wengi sana hapa Iramba Magharibi lakini haina VIONGOZI. Viongozi wengi wilayani wapo mfukoni wa Mwigulu na anawakatia kila akija. Ni vizuri kumuwahi huyu katibu mkampiga chini kabla Mwigulu hajamrudisha rasmi. Ni ushauri tu.
      Jasusi likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Imebidi
      CHADEMA wana kazi kubwa huku Iramba Magharibi. Miezi miwili iliyopita Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA alibambikiziwa uchawi nyumbani kwake huko Kijijini Kisana. Wanakijiji wakakusanyika na kutaka kumpiga akakimbia. Tangu kipindi hicho amekuwa akijificha. Watu walidai kipindi hicho kwamba mpango ulisukwa na Mwigulu ili kumchafua na kuharibu taswira ya CHADEMA kwa kuonyesha kwamba viongozi wa CHADEMA ni wachawi! Watu hawakuamini sana.....
      Chadema can fix that by electing a real an m4c guy na inakuwa jibu kamili am sure wako wengi wanajuana so go Iramba go

    4. #22
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,895
      Rep Power : 5958
      Likes Received
      806
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By Imebidi
      CHADEMA wana kazi kubwa huku Iramba Magharibi. Miezi miwili iliyopita Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA alibambikiziwa uchawi nyumbani kwake huko Kijijini Kisana. Wanakijiji wakakusanyika na kutaka kumpiga akakimbia. Tangu kipindi hicho amekuwa akijificha. Watu walidai kipindi hicho kwamba mpango ulisukwa na Mwigulu ili kumchafua na kuharibu taswira ya CHADEMA kwa kuonyesha kwamba viongozi wa CHADEMA ni wachawi! Watu hawakuamini sana......
      Mkuu Mwigulu kazi yake ni kusafisha wachawi?

    5. #23
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Quote By asigwa
      duh...si utani ..mwigulu kweli ni mwigulu
      Mkuu, haya tuliyategemea. kilichopo ni kwamba, tutakula nao sahani moja mpaka kieleweke. huu upuuzi wa mwigulu wala hata usikubabaishe, tunamlia timing, muda ukifika huyu jamaa ni mwepesi mno. acha abwate na hizo pesa zake za kifisadi, atawahonga mpaka lini??? halafu ajue huwezi kununua roho ya mtu, hao wanazitumbua tu, ila nyoyoni mwao wapo na CDM.

    6. #24
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,200
      Rep Power : 870
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Mwigulu atakuwa amepewa mbinu na Maji Marefu.......kuhusu uchawi
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    7. #25
      malaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 998
      Rep Power : 644
      Likes Received
      237
      Likes Given
      66

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Mwana gwanda wa kweli hanunuliwi na pesa za ufisadi. Bora alivyojionyesha mapema kama yeye ni gamnba. Watu kama hao hawatakiw I cdm.cdm sio ya maslai binafsi ni ya nguvu ya umma. Mwambieni aendeeee hatuhitaji watu kama hao.

    8. Miaka 50

    9. #26
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 477
      Rep Power : 455
      Likes Received
      102
      Likes Given
      24

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Quote By Nyakageni
      huyu Chemba ni mpuuzi saaana! Ngoja niku PM namba za viongozi
      Mkuu tatizo sio CHEMBA,tatizo ni wana ilamba bado wanaitaji kuelimishwa waichukie RUSHWA waipende TANGANYIKA yao.Huu ni UDHAIFU mkubwa kwa wana ilamba kuendelea kurubuniwa na hii ni ishara kwamba mapambano yakulikomboa taifa letu kutoka mikononi mwa WAKORONI weusi nikubwa.Mungu ibariki TANGANYIKA.

    10. #27
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,455
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      639
      Likes Given
      829

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Du hii mbinu kali ngoja Josephine aje atajua km IMEBIDI ni Mwigulu mwenyewe,
      Pili nachosema huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote iko siku watakudanganya na hutaamini kuwa wameku-kula KISOGO
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    11. #28
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Huyu mwingilu anatakiwa azibitiwe na watu wasio ogopa vitisho vya aina yoyo kama marehem Chacha Wangwe(R.I.P)

    12. #29
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Achana nae huyo Katibu,,kama c nafsi inayomtuma kuwa CDM bali mambo ya pesa hawafai CDM na wapenda mabadiliko wote!
      Who Jah bless, No one Curse!

    13. #30
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Hapo ndio mjifunze kuwa watanzania ni walewale na usitegemee kuna chama cha siasa kitakachokomboa maisha yako. Kazi ya chama cha siasa ni kujenga mazingira ili wewe uchakarike na utoke. Kama huoni mazingira ya kutoka wakati wenzako wanayaona basi ujue mwenye tatizo ni wewe sio chama cha siasa.
      "To greed, all nature is insufficient"

    14. #31
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      najua hii m4c iliyopo moro itafika tena hadi pande hizo na mambo yatakuwa shwari
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    15. #32
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 561
      Rep Power : 470
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Huyo mwenyekiti na katibu wake bora wakaondoka kuna team mpya iliyokaa sawa from ARUSHA inakuja kukaba hapo Mwigulu kaa tayari kama unaweza kweli coz umewezeshwa tu wewe

    16. #33
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,989
      Rep Power : 12010
      Likes Received
      5319
      Likes Given
      5144

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Watu wa aina hiyo wako wengi na ndio sababu mojawapo ya Chadema kuja na utaratibu mpya wa kusimamia na kuendesha zoezi la uchaguzi waq viongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa ya misingi. Sitarajii kuona hawa waganga njaa wakiendelea kupata nafasi za uongozi.

    17. #34
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Waanze na MUNGU na watamaliza kwa kishindo na MUNGU.

    18. #35
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,359
      Rep Power : 18617
      Likes Received
      3523
      Likes Given
      1722

      Default

      Quote By Mwita Maranya
      Watu wa aina hiyo wako wengi na ndio sababu mojawapo ya Chadema kuja na utaratibu mpya wa kusimamia na kuendesha zoezi la uchaguzi waq viongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa ya misingi. Sitarajii kuona hawa waganga njaa wakiendelea kupata nafasi za uongozi.
      Hata mimi naamini hivyo. Lakini bado najiuliza Nchemba amerithi wapi uwezo wa kumsafisha mtu mwenye tuhuma za uchawi!?

    19. #36
      yaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 677
      Rep Power : 535
      Likes Received
      211
      Likes Given
      67

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      Quote By kanal gadafi
      Tusimlaumu mwigulu ambaye kazi yake ni siasa,tumlaumu mwenyekiti alieamua kwa akili yake mwenyewe kurudi kundini.
      Mkuu, mimi niko tofauti kidogo na wewe. Nadhani si vema kumlaumu huyu mwenyekiti na huyo mwingine anayesemekana anataka kurejea CCM.
      Ni swala la kushukuru kwamba wamejipambanua wenyewe mapema kabla hawajaleta madhara makubwa kwa CDM katika kipindi nyeti kama za uchaguzi mkuu wa 2015.

      Wapenda CDM halisi ni wale ambao badala ya kupokea pesa kutoka CDM wao huchangia japo Tsh. 350/= kwenye M4C, au wale ambao japo hawana kitu cha kuchangia lakini wanayaona machungu ya umaskini wao ambao wanajua chanzo chake ni nini.

    20. #37
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,483
      Rep Power : 1116
      Likes Received
      470
      Likes Given
      962

      Default Re: Vitisho vya Mwigulu vyamng'oa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya

      tusitishike na kishindo cha mwingulu hana jipya ila kikubwa ni kusonga mbele

    21. #38
      investa.tz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st October 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 378
      Likes Received
      65
      Likes Given
      28

      Default

      Askari na usalama wa Taifa wanashindwa kuunganisha dots kwamba mwigulu ni mtu wa namna gani? Kama wameweza kutumia video clip iliyotundikwa you-tube wanashindwa kutumia social media kama Facebook, JF, you-tube, twiter na TV kujua mwigulu ni mtu wa namna gani!
      Quote By Imebidi
      CHADEMA wana kazi kubwa huku Iramba Magharibi. Miezi miwili iliyopita Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA alibambikiziwa uchawi nyumbani kwake huko Kijijini Kisana. Wanakijiji wakakusanyika na kutaka kumpiga akakimbia. Tangu kipindi hicho amekuwa akijificha. Watu walidai kipindi hicho kwamba mpango ulisukwa na Mwigulu ili kumchafua na kuharibu taswira ya CHADEMA kwa kuonyesha kwamba viongozi wa CHADEMA ni wachawi! Watu hawakuamini sana.

      Sasa mhe Mwigulu amerudi juzi Bungeni na ameanza mikutano katika Jimbo lake. Juzi Mwenyekiti aliitwa akaambiwa kama anataka atulie nyumbani aache kutangatanga kama kunguru arudishe majeshi na yeye Mwigulu atamsafisha kwa sababu mpango mzima anaujua. Kweli, kijana wa watu amejisamisha leo kwenye mkutano na kutangaza kwamba, kwa maneno yake, 'anarudi kwa baba'. Kwa hivyo Mwenyekiti wa Wilaya wa Iramba Magharibi, Bwana Sembe, leo amesalimu amri kwa vitimbi vya Mwigulu na kukamata kadi ya magamba.

      Nawapa angalizo CHADEMA: Katibu wenu wa wilaya pia yupo njiani. Actually huyu alikuwa CCM siku zote na amekuwa akitumiwa kuwachota CHADEMA. Sasa inasemekana CHADEMA wamesimamisha ruzuku kwa muda kwenda wilayani, na leo ameripoti kwa mabosi wa CCM hapa wilayani akidai kwamba kama ruzuku hamna hana haja ya kuendelea kubaki CHADEMA. Anasema bora yeye aondoke arudi rasmi na kuwazika CHADEMA hapa wilayani. Hii nimeipata mwenyewe kwa viongozi wa CCM waliokuwa wanaongea kwa kucheka na kutusema sisi tunaoshabikia CHADEMA hapa Kiomboi.

      Kwa kifupi: CHADEMA ina watu wengi sana hapa Iramba Magharibi lakini haina VIONGOZI. Viongozi wengi wilayani wapo mfukoni wa Mwigulu na anawakatia kila akija. Ni vizuri kumuwahi huyu katibu mkampiga chini kabla Mwigulu hajamrudisha rasmi. Ni ushauri tu.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...