Re: 51% ya wabunge wa JMT hawana shahada [Degree]
Hatuhitaji kubagua watu wenye elimu ya kawaida lakini pia ni ukweli usiofichika kuwa Elimu haiwezi kubezwa kama tunataka kuendelea. Tatizo la baadhi ya wasomi kushindwa ku deliverer ni sawa na wale wasio na elimu ambao pia wanashindwa ku deliver. Wananchi tuna nafasi mbili kubwa katika hii hoja: 1. Katika kupendekeza sifa za wabunge kwenye marekebisho ya katiba 2. Wananchi wanapofanya maamuzi ya kuchagua Mbunge anayefaa ambapo si tu kuwa huwa wanaangalia kiwango cha elimu bali sifa nyingine nyingi.
Have you ever wondered which hurts the most: saying something and wishing you had not, or saying nothing, and wishing you had?
Follow Us Here