Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

    Report Post
    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast
    Results 101 to 120 of 128
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,413
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3795
      Likes Given
      426

      Default Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Vuguvugu la M4C linaloongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA limeonekana kutikisa chama cha wananchi CUF wilayani Kilosa ambapo mbali ya wanachama wengi sana wa CUF kujiunga CHADEMA pia Mjumbe wa mkutano Mkuu CUF Taifa Bwana Wille Lemi alijitoa rasmi katika CUF na kukabidhiwa kadi na Kiongozi wa upinzani nchini ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa.

      Katika mkutano huo Dr Slaa aliwataka wananchi wa vyama vyote kuunganisha nguvu kwa pamoja chini ya vuguvugu la M4C ili kuhakikisha katika uchaguzi mkuu ujao wananchi wanapata serikali itakayojali maslahi yao chini ya CHADEMA.

      Dr Slaa pia alishukuru mwitikio wa wanakilosa kutokana na mkutano huo kufurika umati mkubwa wa watu.Mbali na CUF kupoteza wanachama wengi pia mamia ya wanaCCM walikihama chama chao na kujiunga rasmi CHADEMA kuunganisha nguvu katika vuguvugu la M4C.Idadi ya wanachama wapya waliojiunga CDM katika mkutano wa Kilosa ulikuwa zaidi ya elfu moja.
      Kilosa ilikuwa ni mojawapo ya maeneo yenye wanachama wengi wa CUF lakini inaonekana ziara ya Dr Slaa imesimika rasmi CHADEMA kama chama kinachopendwa zaidi Kilosa.


      Last edited by Molemo; 17th August 2012 at 11:31.

    2. FemaTV & Radio

    3. #101
      mzalendokimathi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 345
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      sababu watu wa vijijini hawapati story nyengine badala ya kunywa gongo na chadumu hivyo lazima kwenye mabasi wazungumze hicho chama.

    4. #102
      mzalendokimathi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 345
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      waangalie wasije wakageuzwa kondoo wa bwana tu, manake hicho chadumu ni chaka katoliki so they should be careful .

    5. #103
      mzalendokimathi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 345
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      mali na ghana hazikuwahi kuwa empire wewe umejifunza wapi historia au ndio makombo ya nyerere UPE?

    6. #104
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Dr Slaa na CHADEMA ni lulu iwamulikayo watanzania wote nchini !

    7. #105
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,949
      Rep Power : 752
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By Molemo
      CUF siyo chama cha upinzani ni CCM B.Umekosea sana!
      CUF ni CCM B zanzibar siyo bara a.k.a. tanganyika

    8. Miaka 50

    9. #106
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 430
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Dr Slaa kiboko yao ,endelea kumponda nyoka kichwani.

    10. #107
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,417
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      782
      Likes Given
      1785

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      He is the hero of our country, Dr. W.P. Slaa (Ph.D), Na asiyesikia na asikie sasa vinginevyo anyamaze huku akisubiri kibunga chake.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    11. #108
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,949
      Rep Power : 752
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By Mbozib
      Dr Slaa kiboko yao ,endelea kumponda nyoka kichwani.
      mpaka kieleweke!

    12. #109
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,604
      Rep Power : 1124
      Likes Received
      1381
      Likes Given
      1533

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      kumbe cuf ilikuwepo kilosa... LOL
      Mtumishi Wetu likes this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    13. #110
      makundi4619's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Posts : 485
      Rep Power : 442
      Likes Received
      135
      Likes Given
      388

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By Crashwise
      Kilosa wachaga wengi sana ndiyo maana...hahahahahahahahaha...M 4C mwanzo mwisho
      Ukabila utakuua

    14. #111
      makundi4619's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Posts : 485
      Rep Power : 442
      Likes Received
      135
      Likes Given
      388

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By mzalendokimathi
      waangalie wasije wakageuzwa kondoo wa bwana tu, manake hicho chadumu ni chaka katoliki so they should be careful .
      Kwa hiyo CCM ni chama cha waislam kwa kuwa mwenyekiti ni mwuislam? Acha upuuzi! Unataka kutuambia kuwa viongozi wa vyama vya siasa hapa nchini wanatakiwa wasiwe na dini? Fikiri kabla ya kuropoka.

    15. #112
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,252
      Rep Power : 2622
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      834

      Default

      Quote By Jibaba Bonge
      Kama Chemical Ally vile!!!!
      ni comical ally

    16. #113
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 871
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By Junius
      Chadema bado hakijawa chama cha upinzani hasa...hebu kuna walau nukata moja ya sheria za nchi hii mumeshawishi kubadilishwa walau iwemo katika sehemu ya mafanikio yenu...naona mnapwaga tu!
      haya mabadiliko ya katiba yalikumo kwenye ilani ya ccm???
      nani aliye sababisha kubalika kwa sheria ya mabadiliko ya sheria ??
      kwa hali hii nadhani upo busy mno hata siasa huzijui nakushauri endelea na jukwaa lako la MMU
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    17. #114
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 871
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By kookolikoo
      CUF ni CCM B zanzibar siyo bara a.k.a. tanganyika
      ok kumbe kuna CUF mbili ni bora ututajie na viongozi wake pia

      yaani wa bara na visiwani hasa wale wakuu wa kitaifa
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    18. #115
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,413
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3795
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Duble Chris
      ok kumbe kuna CUF mbili ni bora ututajie na viongozi wake pia

      yaani wa bara na visiwani hasa wale wakuu wa kitaifa
      Umemuuliza swali zuri sana mkuu...

    19. #116
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,841
      Rep Power : 3544
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5148

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By njiwa
      hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !

      Wewe njiwa ndiye utakaye zimia, hatuhitaji ufe ili uweze kuona M4C inavyo songa mbele kumkomboa Mtanzania!!! Naona hata Nape atakuona mzigo hataweza tena kukulipa!!!!


    20. BBA
      #117
      BBA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 356
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Jaman kuna watu wanajifanya hawajui nguvu za chadema, ukweli moyoni inawauma sana siku moja nmeongea na MWENYEKITI WA COUNCIL Mmoja ambaye ni CCM alikiri sa iv hawana pa kushika, anasubiri muda ili aangalie ustarabu mwingine. Alisema watu sasa hawadanganyiki na yeye anaongoza kata ya kijijin kabsa

    21. #118
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,413
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3795
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By BBA
      Jaman kuna watu wanajifanya hawajui nguvu za chadema, ukweli moyoni inawauma sana siku moja nmeongea na MWENYEKITI WA COUNCIL Mmoja ambaye ni CCM alikiri sa iv hawana pa kushika, anasubiri muda ili aangalie ustarabu mwingine. Alisema watu sasa hawadanganyiki na yeye anaongoza kata ya kijijin kabsa
      Asante mkuu kwa kuuweka ukweli hadharani...Huu ni ukweli ulio uchi...

    22. #119
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,078
      Rep Power : 538
      Likes Received
      261
      Likes Given
      393

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      ni kiama cha mafisadi na vibaraka wao wakiwemo cuf

    23. #120
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,954
      Rep Power : 2367
      Likes Received
      954
      Likes Given
      172

      Default Re: Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

      Quote By Mtumishi Wetu
      Wewe njiwa ndiye utakaye zimia, hatuhitaji ufe ili uweze kuona M4C inavyo songa mbele kumkomboa Mtanzania!!! Naona hata Nape atakuona mzigo hataweza tena kukulipa!!!!

      hahaha! ... wacha habari za kusadikika mkuu

      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...