January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
Wana JF,
Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.
Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
inawezekana alikuwa na nia njema lakini utendaji kazi ndani ya CCM ni mgumu mno, sikia tu Mess ni ngumu ngumu ngumu, kila unapotaka kufanya move unakutana na vikwazo vingi sana. hivyo wananchi ndio waamuzi
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
Yeye mwanyewe aliingia kwa mlungula wa wawekezaji kupitia kwa dada yake na dada yake huyo huyo ni mwajiriwa wa kampuni ya simu ambao niwawekezaji tena anasimamia sijui uhusiano sasa hapo unategemea nini? Inawezekana alipotamka tu hilo dada mtu akamtumia msg, "kaka umeanza, naye atakuwa alijibu nilikuwa nawashtua tu ili wanijue teh teh teh!
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
By Adharusi
ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
Mimi message zinaenda kwa watu kuwa mwenye namba hii alitakupigia muda fulani mabyo ni message kama huna pesa hiyo nayo sijaomba mt atumiwe kwa nini mnamtumia? Tigo kama mtu anaongea na simu ukimpigia simu inakwambia hapatikani. message zinaingia bila mpango na wezi hawa mara umeshinda droo mara nini basi tuwe tuna subscribe kwenye hizo jumbe openly
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
By Mess
Wana JF,
Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.
Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?
Naomba kujuzwa
Bunge la bajeti limeisha jana. Tumpe muda wa utekelezaji!
"If men can not live as men, they must atleast die as men" J.K. Nyerere.
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
By Escobar
Yeye mwanyewe aliingia kwa mlungula wa wawekezaji kupitia kwa dada yake na dada yake huyo huyo ni mwajiriwa wa kampuni ya simu ambao niwawekezaji tena anasimamia sijui uhusiano sasa hapo unategemea nini? Inawezekana alipotamka tu hilo dada mtu akamtumia msg, "kaka umeanza, naye atakuwa alijibu nilikuwa nawashtua tu ili wanijue teh teh teh!
Hizi ni habari za vijiweni tu! look for facts sio hisia za watu mkuu.
"If men can not live as men, they must atleast die as men" J.K. Nyerere.
Nasikia wametupandishia zaidi gharama! Huyo kijana vijana wenzie wanamwita 'maghumashi'
Jana mimi MAGAMBA yaliniuzi sasa kukataa hoja ya Ezekiel Wenje (CDM) aliyotaka kutopandisha gharama za simu. Ingawa pia Makinda alionesha udhaifu mkubwa kwani sauti za NDIYO na HAPANA zilikuwa sawa, kuna mbunge mmoja akasema zipingwe kura lakini li-Makinda likalazimisha eti waliosema NDIYOOO wameshinda.
Hivi kwanini haya magamba hayana huruma na sisi Watanzania?
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
By Mess
Wana JF,
Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.
Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?
Naomba kujuzwa
Mkuu, mimi ni mmoja wa vijana ambao wanaamini, kijana hawezi kubadilisha utendaji kazi wa serikali ya CCM akiwa humohumo ndani. huo ujanja atauotoa wapiii??? uwakute kina Msekwa wametuna halafu uharibu mianya yao ya ulaji eti kisa unataka kuleta mabadiliko!!!??? THUBUTU, kama kweli vijana tunataka hatima njema ya hii nchi, tuachaneni na CCM, ili tujipange upya kwenye chama kingine. vijana wanaoingia CCM, hawana uwezo wa kuwabadilisha hao wazee wao, kwanza ni baba zao, hapo unategemea nini??? hizo kero alizozitaja, ndo zinawaingizia pesa chafu, na wao wapo kwa ajili ya kuhakikisha mtanzania ananyonywa kwa kadri inavyowezekana, unadhani january tu atawaweza??? kama alikuwa na nia ya dhati kuwasaidia watanzania, ahame hicho chama, ndo ataweza kuwa huru na kuyakemea hayo mambo, si tunawaona kina Msigwa, Lissu, Zitto, Mnyika, hivi unadhani kama kweli wangekuwa CCM, wangekemea hayo mambo???
Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?
By Adharusi
ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
hao ndo wanachosha mimi wanakataka pesa mara caller tune wakati sijawahi jiunga, nachoka kabisa
Follow Us Here