Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 650
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Wana JF,

      Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.

      Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?

      Naomba kujuzwa

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Johnsecond's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Posts : 933
      Rep Power : 650
      Likes Received
      152
      Likes Given
      65

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      inawezekana alikuwa na nia njema lakini utendaji kazi ndani ya CCM ni mgumu mno, sikia tu Mess ni ngumu ngumu ngumu, kila unapotaka kufanya move unakutana na vikwazo vingi sana. hivyo wananchi ndio waamuzi

    4. #3
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,851
      Rep Power : 814
      Likes Received
      527
      Likes Given
      8

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Amechanganyikiwa baada ya tender yake ya kuuza matairi tanesco kupigwa chini na prof.muhogo
      Mess likes this.

    5. #4
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 755
      Rep Power : 553
      Likes Received
      82
      Likes Given
      216

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Nasikia wametupandishia zaidi gharama! Huyo kijana vijana wenzie wanamwita 'maghumashi'
      Mess likes this.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    6. #5
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 675
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      January mchapakazi mwacheni kwa raha zake atimize wajibu wake
      Mess likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 591
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By JOYCE PAUL
      January mchapakazi mwacheni kwa raha zake atimize wajibu wake
      Wajibu gani au matakwa ya watu flanflan

    9. #7
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 518
      Rep Power : 473
      Likes Received
      69
      Likes Given
      298

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
      Mess likes this.
      Kama si mimi ni nani?,kama si leo ni Lini?

    10. #8
      Escobar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 455
      Likes Received
      201
      Likes Given
      146

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Yeye mwanyewe aliingia kwa mlungula wa wawekezaji kupitia kwa dada yake na dada yake huyo huyo ni mwajiriwa wa kampuni ya simu ambao niwawekezaji tena anasimamia sijui uhusiano sasa hapo unategemea nini? Inawezekana alipotamka tu hilo dada mtu akamtumia msg, "kaka umeanza, naye atakuwa alijibu nilikuwa nawashtua tu ili wanijue teh teh teh!
      Mess and nyabhingi like this.
      The only white man you can trust is a dead white man, "ROBERT MUGABE"


    11. #9
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 650
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By JamboJema
      Nasikia wametupandishia zaidi gharama! Huyo kijana vijana wenzie wanamwita 'maghumashi'
      ni kweli na yeye alikuwepo bungeni
      JamboJema likes this.

    12. #10
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 650
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Adharusi
      ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
      Mimi message zinaenda kwa watu kuwa mwenye namba hii alitakupigia muda fulani mabyo ni message kama huna pesa hiyo nayo sijaomba mt atumiwe kwa nini mnamtumia? Tigo kama mtu anaongea na simu ukimpigia simu inakwambia hapatikani. message zinaingia bila mpango na wezi hawa mara umeshinda droo mara nini basi tuwe tuna subscribe kwenye hizo jumbe openly

    13. #11
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 650
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By JOYCE PAUL
      January mchapakazi mwacheni kwa raha zake atimize wajibu wake
      kwa hiyo unatuambia tuvute subira?

    14. #12
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      bado anakula good tyme kufurahia cheo kipya......
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    15. #13
      Ground Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 307
      Rep Power : 485
      Likes Received
      84
      Likes Given
      49

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Mess
      Wana JF,

      Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.

      Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?

      Naomba kujuzwa
      Bunge la bajeti limeisha jana. Tumpe muda wa utekelezaji!
      "If men can not live as men, they must atleast die as men" J.K. Nyerere.

    16. #14
      Ground Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 307
      Rep Power : 485
      Likes Received
      84
      Likes Given
      49

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Escobar
      Yeye mwanyewe aliingia kwa mlungula wa wawekezaji kupitia kwa dada yake na dada yake huyo huyo ni mwajiriwa wa kampuni ya simu ambao niwawekezaji tena anasimamia sijui uhusiano sasa hapo unategemea nini? Inawezekana alipotamka tu hilo dada mtu akamtumia msg, "kaka umeanza, naye atakuwa alijibu nilikuwa nawashtua tu ili wanijue teh teh teh!
      Hizi ni habari za vijiweni tu! look for facts sio hisia za watu mkuu.
      "If men can not live as men, they must atleast die as men" J.K. Nyerere.

    17. #15
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By JamboJema
      Nasikia wametupandishia zaidi gharama! Huyo kijana vijana wenzie wanamwita 'maghumashi'
      Jana mimi MAGAMBA yaliniuzi sasa kukataa hoja ya Ezekiel Wenje (CDM) aliyotaka kutopandisha gharama za simu. Ingawa pia Makinda alionesha udhaifu mkubwa kwani sauti za NDIYO na HAPANA zilikuwa sawa, kuna mbunge mmoja akasema zipingwe kura lakini li-Makinda likalazimisha eti waliosema NDIYOOO wameshinda.

      Hivi kwanini haya magamba hayana huruma na sisi Watanzania?

    18. #16
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,109
      Rep Power : 17239
      Likes Received
      1624
      Likes Given
      1125

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      labda washaweka kenye akaunti... kalainika... ngoja tuone muda bado upo
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    19. #17
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Ground Zero
      Hizi ni habari za vijiweni tu! look for facts sio hisia za watu mkuu.

      we utakuwa mgeni hapa jamvini..hili nalo hulijui lilivyokuwa na dada mtu alivyoshughulika!!!
      nyabhingi likes this.
      I'm Naturaly Evasive..

    20. #18
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Mess
      Wana JF,

      Labda mimi nipo nyuma ya wakati, huyu kijana aliahidi kushughulikia kero za simu kwa watumiaji. Ikiwamo message zinazoingia bila mpango, charges za simu, kutopatikana kwa simu wakati iko on, muingiliano wa mawasiliano, huduma za kutuma pesa na vitu vinginevyo.

      Hivi amefikia wapi? Au ile ilikuwa ndo style ya kuingilia kula pesa kwa makampuni ya simu?

      Naomba kujuzwa
      Mkuu, mimi ni mmoja wa vijana ambao wanaamini, kijana hawezi kubadilisha utendaji kazi wa serikali ya CCM akiwa humohumo ndani. huo ujanja atauotoa wapiii??? uwakute kina Msekwa wametuna halafu uharibu mianya yao ya ulaji eti kisa unataka kuleta mabadiliko!!!??? THUBUTU, kama kweli vijana tunataka hatima njema ya hii nchi, tuachaneni na CCM, ili tujipange upya kwenye chama kingine. vijana wanaoingia CCM, hawana uwezo wa kuwabadilisha hao wazee wao, kwanza ni baba zao, hapo unategemea nini??? hizo kero alizozitaja, ndo zinawaingizia pesa chafu, na wao wapo kwa ajili ya kuhakikisha mtanzania ananyonywa kwa kadri inavyowezekana, unadhani january tu atawaweza??? kama alikuwa na nia ya dhati kuwasaidia watanzania, ahame hicho chama, ndo ataweza kuwa huru na kuyakemea hayo mambo, si tunawaona kina Msigwa, Lissu, Zitto, Mnyika, hivi unadhani kama kweli wangekuwa CCM, wangekemea hayo mambo???

    21. #19
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,747
      Rep Power : 726
      Likes Received
      292
      Likes Given
      267

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Hana ubavu wa kuwakoromea waliomweka madarakani, unacheza na rushwa nini!

    22. #20
      annalolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 397
      Likes Received
      14
      Likes Given
      40

      Default Re: January Makamba, vipi ile ahadi juu ya makampuni ya simu?

      Quote By Adharusi
      ILO unalosema ndio mimi linaniumiza,mimi kuna namba hii 15556,tokea olimpiki ilivyoanza wanakata fedha yangu,nikiwapigia voda wanalazimisha kuwa nimejiunga katika hii huduma,wanasema niandike neno ONDOA,au ZIMA kwenda 15556,nikituma yanakuja majibu kuwa SAMAHAN UJASAJILIWA,sasahivi wanatuma msg za lig kuu ya ENGLAND
      hao ndo wanachosha mimi wanakataka pesa mara caller tune wakati sijawahi jiunga, nachoka kabisa

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...