Leo katika kipindi cha maswali na majibu kwa waziri mkuu bungeni, waziri mkuu aliharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kufanya kazi za kukiimarisha chama hasa katika majimbo ambayo yanamilikiwa na wapinzani.
kauli hii ameitoa baada ya kuulizwa swali na mh. wenje kwa swali lilo hoji kama kuna uhalali wa mkuu wa mkoa au wilaya kufanya kazi na kusema yeye ametumwa na mkuu wa nchi kuhakikisha chama kina simama.
Nawasilisha.

Reply With Quote


Follow Us Here