Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      change is must's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 347
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      Leo katika kipindi cha maswali na majibu kwa waziri mkuu bungeni, waziri mkuu aliharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kufanya kazi za kukiimarisha chama hasa katika majimbo ambayo yanamilikiwa na wapinzani.
      kauli hii ameitoa baada ya kuulizwa swali na mh. wenje kwa swali lilo hoji kama kuna uhalali wa mkuu wa mkoa au wilaya kufanya kazi na kusema yeye ametumwa na mkuu wa nchi kuhakikisha chama kina simama.
      Nawasilisha.
      Deo likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,607
      Rep Power : 2889
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      12193

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      Usiwe na wasiwasi. Waache wapambane na M4C

    4. #3
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      siana tatizo na mutuuu,

    5. #4
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,678
      Rep Power : 22518
      Likes Received
      6327
      Likes Given
      2831

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      MOTTO, MISSION NA VISION ya ccm ni kuvitumia Bunge, Serikali n Mahakama kuhakikisha kuwa vyote vinakuwa mawakala wa ccm!
      HIvyo Pinda anamaanisha!

    6. #5
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,909
      Rep Power : 11993
      Likes Received
      5244
      Likes Given
      5096

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      We subiri tu tutatumia M4C kuwa-Fatma Kimario. Na asije akatokea mtu akalalamika!

    7. Study Abroad

    8. Deo
      #6
      Deo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2008
      Posts : 518
      Rep Power : 639
      Likes Received
      88
      Likes Given
      7

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      Quote By Jasusi
      Usiwe na wasiwasi. Waache wapambane na M4C
      Hizo ofisi au taasisi za wakuu wa mikoa na wiliya imeshakosa umaarufu zamani, wananchi siku hizi wanawaona kama nyumba kumi vile. Tena siku hizi wanakunywa na kufanya besara na walala hoi. Wengine hata gongo wanamitambo nayo.
      Jasusi likes this.

    9. #7
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1206
      Likes Given
      1253

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      usiogope kivuli chao...........
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    10. #8
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 278
      Rep Power : 445
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default Re: Kauli ya Pinda yaharalisha wakuu wa mikoa na wilaya kuanza kampeni ya CCM za kukiimarisha chama.

      M4C haiwezi kumalizwa nguvu na wakuu wa wilaya na mkoa; hata ikulu haiwezi kupambana na M4C!!

    11. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...