Bongo is still surviving - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 8th June 2009, 04:06 PM   #1
Bongo is still surviving
Whisper Whisper is offline 8th June 2009, 04:06 PM

Omar Bongo wa Gabon "bado mzima"

Imeandikwa na Mwandishi wa BBC



Gabon imekuwa katika uhusiano mzuri wa kiuchumi na Ufaransa Serikali ya Gabon imekanusha vikali taarifa zilizoendezwa na vyombo vya habari vya Ufaransa kwamba Rais wa nchi hiyo Omar Bongo amefariki dunia.
Waziri Mkuu wa Gabon Jean Eyeghe Ndong amesema Bwana Bongo mwenye umri wa miaka 73 ambaye iliarifiwa ana maradhi ya saratani, "yu hai na mwenye afya".
Serikali ya Hispania ambako kiongozi huyo mwenye muda mrefu madarakani barani Afrika anatibiwa katika kliniki moja, pia imesisitiza kiongozi huyo yu hai.
Bwana Bongo ameiongoza Gabon tangu mwaka 1967, lakini mwezi wa Mei akasitisha kazi zake. Anakabiliwa na uchunguzi wa Ufaransa kuhusiana na tuhuma za madai ya rushwa.
Mwandishi wa BBC mjini Libreville Linel Kwatsi amesema mji huo inaonekana upo kimya kama ilivyo kawaida, hata hivyo baadhi ya watu wameanza kukusanya chakula kwa wingi nyumbani, iwapo maduka yatafungwa kama kifo cha rais kitathibitishwa.
Serikali ya Gabon yenye utajiri wa mafuta imewataka watu kuwa watulivu.
Shirika la habari la Ufaransa-AFP lilitangaza kifo cha kiongozi huyo wa Gabon baada ya kunukuu rubaa za serikali na pia tovuti ya gazeti moja la Ufaransa la magazine Le Point, zikikariri taarifa kutoka kwa walio katika msafara wa Bwana Bongo.

Whisper
Member
Points: 74,952, Level: 100 Points: 74,952, Level: 100 Points: 74,952, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jun 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 1 Post
Views: 111
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
bongo, surviving


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Bongo Mix 2007/2008: FREE LISTENING marcel1983 Sports & Entertainment Forum 0 14th March 2008 05:34 AM
Hoja Nzito: Makala mbalimbali maggid Jukwaa la Siasa 17 13th June 2007 08:55 AM
Mambo ya Bongo sasa hivi kiboko Shemzigwa Jokes/Utani + Udaku/Gossips 14 22nd May 2007 11:59 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:49 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com