Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 78 of 78
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Post Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), imepangwa kusikilizwa Septemba 20, mwaka huu, mbele ya majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa; Natalia Kimaro, Mbarouk Salim Mbarouk na Salum Massati.

      Kwa mujibu taarifa za kikao cha Mahakama ya Rufaa cha Arusha, rufaa hiyo iliyofunguliwa na Lema akipinga uamuzi uliotengua ubunge wake kufuatia shauri lililofunguliwa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, inatarajiwa kusikilizwa kwa siku moja ambapo baada ya hapo itapangwa tarehe kwa ajili ya kutoa uamuzi.

      Awali, Lema kupitia wakili wake, Method Kimomogoro, aliwasilisha kwenye mahakama hiyo hoja 18 za madai akipinga kutenguliwa kwa ubunge wake na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha Aprili 5, mwaka huu.

      Kwenye baadhi ya madai hayo, Lema aliiomba Mahakama ya Rufaa kutengua uamuzi wa Mahakama Kuu, uliotengua ubunge wake, huku akiitaka imtangaze kuwa mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini.

      Aidha, aliitaka mahakama hiyo ya juu, iwaamuru walalamikiwa katika shauri hilo walipe gharama za rufaa hiyo pamoja na zile za kesi iliyomalizika kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.

      Katika madai mengine, Lema anamlalamikia, Jaji Gabriel Rwakibarila, aliyesikiliza kesi hiyo kuwa, alitoa uamuzi wake kwa kuzingatia maneno ya uvumi, huku akipuuza ushahidi uliotolewa mahakamani hapo.

      Lema anadai kuwa, Jaji alikosea wakati alipoamua kuwa mpiga kura yeyote anaruhusiwa kupinga matokeo ya uchaguzi hata kama haki zake za msingi hazijaguswa.

      Kesi hiyo iliyotengua ubunge wa Lema, ilifunguliwa na wanachama watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM); Mussa Mkanga, Agness Mollel na Happy Kivuyo, wakidai kuwa wakati wa kampeni mbunge huyo alimdhalilisha mgombea mwezake, Dk. Batilda Burian kwa kutumia lugha za matusi.


      Source: Tanzania Daima
      Last edited by Molemo; 16th August 2012 at 07:55.
      Losomich likes this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Jaji Kihiyo wa Mahakama ya Rufaa Apangwa Rufaa ya Lema

      teh teh teh...kazi mbona tunayo. Tunakataa ukweli tunaishia kufanya vituko tu
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    4. #62
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,267
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3056
      Likes Given
      4144

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      This Country bana.......

      Read my Signature.......
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    5. #63
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,169
      Rep Power : 1960
      Likes Received
      573
      Likes Given
      426

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Mungu asaidie na awe upande wetu
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    6. #64
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 245
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By Precise pangolin
      Yule jaji aliyetoa hukumu nasikia yupo India kapooza na ameshakua kichaa.

      Hilo ni somo muhimu sana kwa wakina jaji
      Natalia Kimaro, Mbarouk Salim Mbarouk na Salum Massati kuwa Lema yupo pale kwa matakwa ya wananchi kwahiyo laana za wananchi huwa hazichelewi kupatiwa majibu na Mungu
      nimependa kwenye red...........
      liwe liwalooo
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    7. #65
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 245
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By Mikael P Aweda
      Mkuu naunga mkono hoja ila Mbarouk 30% namwamini. Huyu yuko kwenye orodha ya Tundu Lissu.
      uaminifu wako unatia shaka........... unatumaini vp kwa mtu asie kuwa na vigezo...?
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 245
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By Prince Hope
      Kwishnei, tutegemee nini tena kutoka kwenye hiyo diploma?
      tegemea abunuwasi...........
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    10. #67
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,128
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3274

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By Gagnija
      Hivi Lema akishinda rufaa baadaye CCM wakaipinga kwa kigezo cha jopo la majaji ku- include mtu ambaye si jaji itakuwaje? Technically huyu mzanzibar si jaji.
      Hivi unaweza kukata rufa tena baada ya hii...?
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    11. #68
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Crashwise
      Hivi unaweza kukata rufa tena baada ya hii...?
      Ndiyo unaweza kuomba mapitio ikasikilizwa na majaji saba

    12. #69
      wade kibadu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 380
      Likes Received
      5
      Likes Given
      11

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      What i need through that is right of our love lema to take place.

    13. #70
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,210
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Bora wamrudishe, anateseka sana kwa sasa. Anaishi kwa posho ya M4C. Mikutano ikisimama anakufa njaa.

    14. #71
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 600
      Likes Received
      140
      Likes Given
      121

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      namtakia kila la heri Kamanda Lema. Mungu ni mwema.

    15. #72
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Huyo jaji kilaza hapo ni janga hilo!
      Hebu wana sheria mtusaidie kama hauna imani na jaji hatua gani unafanya???
      Maanake hapa Lema anaweza kuwekwa kati tena!

    16. #73
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 499
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By mopaozi
      Subirini atakavyoumbuliwa na rufaa yake angeenda zake tu Kaloleni kuuza mbege
      Anapiga M4C sasa hivi..........

    17. #74
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 499
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      akishinda ataenda bungeni akishindwa ataendelea na M4C so magamba kazi kwao kuchuga M4C au aende bungeni its a win win situation.

    18. #75
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 710
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Quote By gagnija
      hivi lema akishinda rufaa baadaye ccm wakaipinga kwa kigezo cha jopo la majaji ku- include mtu ambaye si jaji itakuwaje? Technically huyu mzanzibar si jaji.
      so painful, kachaguliwa kuwa jaji kabla ya kwenda shule! Inaniuma saaaana!
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    19. #76
      Mdundulizaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 456
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default

      Asante sana kwa update hii muhimu!

    20. #77
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Mdundulizaji
      Asante sana kwa update hii muhimu!
      Nakushukuru Mkuu.Tuzidishe maombi...

    21. #78
      Epuka's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th December 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu Rufaa ya Godbless Lema yaiva

      Hello, Jambo?

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...