Yeah, Ila rais atakuwa kakosea kwa kufanya "one man show" katika haya masuala.Rais anaweza kuwa kaomba kwa stail ambayo jamaa pia wanaweza tuona kuwa tupo chini sana na hivyo hatuhitaji trainers wa calibre ya juu.So watatuma vijana au walimu wa kawaida tuu kuja kutupa elimu ya kawaida tuu, na wengine kujikuta wanakutana na vijana wazuri katik hesabu na maeneo ya calculation kiasi cha kuwatisha hata wenyewe.Kumbe wengi wa vijana wetu huwa wana miss uelewa wa Misingi ya sayansi, na freedom of mind katika kucheza na hiyo misingi kiasi cha kuja na mawazo mapya, mawazo yatakayaopelekea kuwa wagunduzi.
Rais anaweza kuwa alikosea kufanya mambo kinvyake, au alikosea kuchukua washauri wabaya wa kumuongoza kujua hata hao walimu wa sayansi wawe wa namna gani na uwezo gani.Na je hunahitajika kuwa na vifaa maalumu?kama vipo basi ingebidi nayo aviombe .Pia rais alihitaji kujua kama kweli hawa walimu wanafikia viwango vya juu ,kiasi cha kuwafanya walimu wabongo wapatwe mwamko na kujifaunza mengi.
Kuna mifano mingi ya hawa wataalamu ambao huja na kufundisha vitu vya kawaida sana, ila kwa kelele nyingi sana.Wakijagundua kuwa kuna zaidi yao basi huamisha sababu kuwa wamekuja kwa ajili watoto wasiobahatika kutapa nafasi.
Palikuwa na kelele si muda mrefu kuwa jamaa wa IBM wamekuja bongo kusaidia Utalii,na waliondoka kimyakimya sijui kam wamecha kichu cha kujivunia hivyo.Zaidi ya website iliyochoka na hata hawakuanzia from the scratch ,walitumia tempalte ya Joomla.Hapa nilitegemea Rais angeomba IBM hata wafungue kakiwanda kadogo kwa ku asseble computer na kupaki angalau in the future wangeweza kiongezea uwezo na mwisho kifanye mambo mengi yatakayofanya technologia ihame n akuwa local computer manufacturers wenye brnd zao.Nilitegemea akina microsoft, google na wengine anaoongea na kwa marefu ili wawe na vitega uchumi vya maana hata kama mwanzoni hawatawatumia watanzania,ila baadaye watanzania watajua nini cha kusoma ili waweze ingia katika hizo nafasi.
Rais angeshauriwa vizuri angeomba wastaafu katik vyuo kama MIT na wengine ili waje toa seminar kwa wanavyuo,tehcnology centers kwa wanafunzi walihitimu ili kupata faida kubwa kwa muda mfupi.Mtu aliyehitimu chuo kumfundisha vitu ambavyo asingeweza jifunza popote Tanzania, na makampuni makubwa hayawezi achia access kwa wahitimu kujifunzia,anapata misingi na mwangaza kwa taaluma laizokuwakiziona tuu katika internet na kuzitumia km use wa kawaida katika bidhaa .Yaani Hawa jamaa wanaaweza pia kuwa volunteers.nchi pia iwe na mfumo wa kubakisha elimu na kuieneza na baadaye kuindeleza ili kuja kitu kipya kitakachofikia pa kushindana nao.SASA WAO WANPOTEZA MUDA FUNDISHA MBWA WAZEE NEW TRICKS PALE UDSM,waadhiri wengine wanakaribia kustaafu, wahadhiri wengi pale wameanzia fani tofauti na kila degree wamesoma kitu tofauti na simwendelezo wa kijuacho.Ni ngumu hawa jamaa kubuni kitu au kuhamisha elimu kwa kizazi kipya achilia mbali kuelewa vitu vinavyohitaji young minds na strong previous backgrounds.Hawa jamaa wamejaa kiburi na tabia nyingine za kirasimu.
President anaweza kuwa na nia nzuri katika hili ila akakosa mwelekeo katika kulifanikisha.Kuna mambo ya kuchambua vitu vinavyobanwa na copyright, patent etc ahalafu akawafuta wahusika wa technology akiwa na mapango mzima aombe nini,na awe keshaweka mazingira ya kusaidia zoezi.Yaani kukwepa mammbo ya kisheria, kuwapa uwekezaji wa unaoanzia level fulani amabyo itawafanya baada ya kukaa hapa nchini kwa muda watanzania watakuwa wamejifunza hayo maendeo kwa kiasi cha kuwafanya hawa jamaa wawatumie hata kwa office za nchi nyingine, na baadaye hawa watanzania wajifunze kuanzisha brand zao.Japani walianza unda pikipiki kwa kununua ya Mzungu, baadaye wakaza unds parts,kiasha nzima, na baadaye wakaanza buni zao.Hivyo hivyo kwa magari.
Mkampuni huwa wakifikia mahalia wakagundua kuwa kuna aiana ya bidhaa inapenda ukanda huu sana huamua kulocalize services, baadaye huanza leta mitambo ya kutengeneza parts, baadaye hujikuta asilimia zinapanda hadi kufikia asilimia za kuamua kila kitu kitengenezewe hapo.Na kwa huu mwendo wa uchumi kuyumba huw apia huuza share hadi kuuza kampuni.Huwa kampunni huuzwa na tehcnoogia zake.Mazingira kama haya ndio huweza vushs mataifa n akuwapeleka juu kitechologia.Na mara kampun ikiw ana wazawa kama wamiliki, na teknologia wenye uhuru nayo ni rahisi wazawa wakapata kujikomaza na pa kusambazia tehcnologia,mwsiho wake wataibuka watu kibao na lebo za ambazo nazo mitaji ikikomaa wataingia katika ubora wa kimataifai
Follow Us Here