Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

    Report Post
    Page 9 of 9 FirstFirst ... 789
    Results 161 to 175 of 175
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,403
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3780
      Likes Given
      426

      Post Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Kiongozi wa upinzani nchini ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Dr Wilbroad Slaa amefanyiwa hujuma kubwa mkoani Morogoro kwa kufukuzwa chumba cha kulala wageni ndani ya chuo cha ufundi VETA, Mikumi Kilosa.

      Kiongozi huyo ambaye alikabidhiwa chumba hicho na viongozi wa CHADEMA kikiwa kimelipiwa kila kitu na akaingia lakini ghafla akaja Meneja wa hoteli hiyo Jacob Sumary na kumtaka Kiongozi huyo wa upinzani nchini kuondoka mara moja kwenye hoteli hiyo kwa sababu tayari ilishalipiwa na mtu mwingine.

      Kwa ustaarabu mkubwa na kutokutaka mabishano Dr Slaa aliondoka.

      Pia katika hatua nyingine umeme ulizimwa mji mzima wa Mikumi jana kuanzia asubuhi hadi usiku katika kile kilichoonekana ni hujuma ya Tanesco ili Dr Slaa ashindwe kuhutubia,hata hivyo mbali na kukosekana umeme mikutano ya Dr Slaa ilifurika umati mkubwa wa watu huku kiongozi huyo akiwaambia maelfu ya watu atawahutubia hata bila vipaza sauti.

      Vitendo hivyo vya kihuni alivyofanyiwa Dr Slaa viliwachukiza wananchi wengi wa Mikumi na kusema watalipa kisasi kwa kuindoa CCM madarakani kupitia sanduku la kura.

      Source: Nipashe/Mwananchi




    2. Study Abroad

    3. #161
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,403
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3780
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By chuki
      Watamkata lini ule mkono wake wenye kansa?
      Tuntemeke bana!

    4. #162
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 437
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Mbinu za kishamba, kufukuza mtu mahali pa kulala ndiyo utazuia mabadiliko?, kwa hiyo kwa kufanya hiyo Dr hakulala? si alilala na kazi ikaendelea. Kichwa cha huyo meneja kina matope, kama kungekuwa na ubongo asingefanya kitendo cha namna hiyo.

    5. #163
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 674
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By theone
      dah!!!! Tanzania ni zaidi uijuavyo aisee.!!!!!
      jamani the one picha yako inanikwaza kweli tena plse plse i beg ooooh itoe.yaani nalegea nikiiiona naishiwa nguvu

    6. #164
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By Man 4 M4C
      Hakika mambo haya yanaumiza sana,ila Mungu alimpa Mfalme Daudi nguvu hata akampiga Farao kwa jiwe na Kombeo. Ipo siku ccm watashangaa,wananchi wanaona! Wameona msitu wa mabwepande,vifo vya watu mbalimbali,manyanyaso ya walimu na madaktari,na wafanyakazi. Mungu atawasimamia wote wanaopigania haki. Mtawaliwa wa leo ndiye mtawala wa kesho.
      ni Goliath hapo mkuu.....
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    7. #165
      Steven Robert Masatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2009
      Location : majita makojo
      Posts : 637
      Rep Power : 625
      Likes Received
      166
      Likes Given
      267

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By JOYCE PAUL
      jamani the one picha yako inanikwaza kweli tena plse plse i beg ooooh itoe.yaani nalegea nikiiiona naishiwa nguvu

      HAHAHHAAA acha kunichekesha. anyway naitoa sasa hivi utakuta kwenye my profile. sahv naweka picha yangu na jina langu halisi

    8. Miaka 50

    9. #166
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 681
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By Ritz
      Nimeangalia huo umati unaosemwa na Molemo kwenye gazati la Nipashe imenibidi nicheke mkutano wa Dr Slaa anahotubia watoto wadogo...halafu umeme kukatika hakuna uhusiano wowote na mkutano wa Dr Slaa unataka kutuambia Mikumi umeme uwa haukatiki, mbona jana baadhi ya maeneo ya Kawe kulikuwa hakuna umeme napo kulikuwa na mkutano wa Dr Slaa.

      kama ni watoto na hawakulazimishwa kuvaa nguo za shule wameenda wenyewe Kusikiliza ndio kabisa inaonyesha kifo cha CCM
      kwani keshokutwa ndo wapiga kura hawa.... tatizo CCM bado mnaamini wapiga kura ni wazee tu ndo maana bado mna mawazo ya kizamani kudanganya kwenu kwa kizamani... mnahisi kuzuia migomo ndo kuleta woga kwa wananchi, mnahisi ku ULIMBOKA ndo kuweka uwoga wa watu kutokusema kweli...... Mnahisi kupiga makofi Bungeni ndo kuwaonyesha wananchi mnafanya kazi... n mnakubalika.....

    10. #167
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,701
      Rep Power : 716
      Likes Received
      288
      Likes Given
      258

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Hizi hila kwa upinzani watu wanashindwa kujua kuwa hata TANU/CCM walikuwa pia ni upinzani. Waelewe kwamba ipi siku watakosa kuongoza dola, hapo ndipo watakapotia akili!

    11. #168
      NKANOELI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Location : MSAKUZI
      Posts : 88
      Rep Power : 357
      Likes Received
      19
      Likes Given
      143

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Hao magamba wanajichosha tuu,saa ya ukombozi ni sasa we subiri ..............mhmhm

    12. #169
      Unstoppable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 938
      Rep Power : 611
      Likes Received
      330
      Likes Given
      2041

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By OTIS
      Hujui lolote kijana.
      ungejua sababu ya kumfukuza wala usingetema povu
      Kwanza mimi sio kijana kutokana na "definition ya kijana" ninavyoielewa mimi. Pili nime-respond kutokana na report niliyosoma/iliyobandikwa hapa; nje ya hapo sifahamu-labda wewe ututajie sababu tofauti na hiyo iliyo-repotiwa hapo kwenye hii habari. Sina haja yakutema povu ndugu, nime-respond kutokana na jinsi nilivyo-view hii issue. Unaweza ukai-view differently pia; ni sawa, sio kila mwenye mtizamo tofauti anatema povu. Ingekuwa busara zaidi ungeelezea mtizamo wako, na kusema hicho unachokijua ambacho hakiko kwenye hiyo habari.

    13. #170
      OTIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,918
      Rep Power : 772
      Likes Received
      477
      Likes Given
      202

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By Unstoppable
      Kwanza mimi sio kijana kutokana na "definition ya kijana" ninavyoielewa mimi. Pili nime-respond kutokana na report niliyosoma/iliyobandikwa hapa; nje ya hapo sifahamu-labda wewe ututajie sababu tofauti na hiyo iliyo-repotiwa hapo kwenye hii habari. Sina haja yakutema povu ndugu, nime-respond kutokana na jinsi nilivyo-view hii issue. Unaweza ukai-view differently pia; ni sawa, sio kila mwenye mtizamo tofauti anatema povu. Ingekuwa busara zaidi ungeelezea mtizamo wako, na kusema hicho unachokijua ambacho hakiko kwenye hiyo habari.
      sasa usipende kushadadia yale usiyokuwa na uhakika nayo.
      Ngoja nkusanye data nije kuweka hapa JF juu ya kufukuzwa kwa slaa
      ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED
      (OTIS)

    14. #171
      Unstoppable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 938
      Rep Power : 611
      Likes Received
      330
      Likes Given
      2041

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Quote By OTIS
      sasa usipende kushadadia yale usiyokuwa na uhakika nayo.
      Ngoja nkusanye data nije kuweka hapa JF juu ya kufukuzwa kwa slaa
      Sielewi unamaana gani unavyosema kushadadia. Post ikiwekwa hapa kila mtu ana haki yakutoa mtizamo wake na jinsi alivyoielewa/soma post ile. Kwavile mawazo ya mtu hayaendani na ya kwako; does not mean someone is wrong au sijui ndio kushadadia. Watu wataamini vipi wewe ndio mwenye uhakika wakati so far; umeishia kutoa ahadi za kuja na data mpaka sasa. Afterall mtu mwenye data huwa hana maneno mengi. Naona wewe nikupuuzie post zako tu from now on-mipasho mingi bila substance huwa nikupotezeana muda- binafsi huwa napuuzia.

    15. #172
      king kong's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 412
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Haki itashinda maovu

    16. #173
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,403
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3780
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By king kong
      Haki itashinda maovu
      Pamoja sana mkuu....

    17. #174
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      172

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Tutaanza na huyo manager wa hotel tukiingia ikulu mwambieni aanze kujiandaa tunaweka record za wajinga wajinga kama hawa

    18. #175
      Mwlmgomaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd August 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 348
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afanyiwa hujuma Morogoro

      Inawezekana tunako elekea machafuko yatatokea. Hapa JF watu mna tofautiana je ingekuwa tupo mtaani tunafahamiana si pange nuka. Mie naona kuna haja wana jamii tufunguke tuwe na mitazamo ya kubali upepo wa siasa na kuweka demokrasia nzuri itayo wavutia watanzania wengi kujituma na kuwajibika.

    19. FemaTV & Radio
    Page 9 of 9 FirstFirst ... 789

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...