Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 87
    1. #1
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Awali ya yote, nikiwa kama Mwana CCM, naongozwa na kanuni muhimu sana ya chama inayosema:
      Kukosoa na Kukosoana Ndio Silaha ya Mapinduzi.

      Vile vile tuna kanuni nyingine muhimu sana ndani ya Chama chetu inayosema:
      Nitasema Ukweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko.

      Moja ya mambo ambayo yamekuwa yanakivuruga chama chetu ni tabia ya viongozi na wanachama kuwa na unafsi, ambao ni ugonjwa mbaya sana. Hata Mwalimu Nyerere aliwahi kulizungumzia tatizo hili ndani ya kitabu chake cha TANU na Rais (1962) ambapo alikemea sana tabia za unafiki, fitina, uwoga na unafsi miongoni mwa viongozi na wanachama wa TANU.


      Kwa mfano, Mwalimu anatamka kwamba:

      “Makosa yetu mengine hutokana na woga; woga unaotuzuia kumlaumu mkubwa japo tunajua kuwa kakosa, au kumtetea mdogo anayelaumiwa na wakubwa japo tunajua hana makosa. Na msingi wa woga pia ni unafsi. Pengine huwa tunaogopa sisi wenyewe kulaumiwa au kupata hasara fulani. Pengine twaweza kuwa hatuna cheo chochote ambacho tunaogopa kupoteza; pengine hatuna wala tamaa yoyote ya kupata cheo fulani. Lakini woga unaweza kutokana na tamaa ya kila binadamu kupendwa na binadamu wenzake. Sisi wote tunayo tamaa hii, au sivyo tusingekuwa binadamu. Woga huu huweza ukamfanya mtu kuvumilia maovu, hasa kama maovu yale yanatendwa na walio wengi kwa walio wachache, au yanatendwa na wakubwa kwa wadogo. Kwa kuogopa kuwaudhi wengi tunaacha watende makosa bila kuwasahihisha, wasije wakatuchukia. Huu ni unafsi mbaya sana. Ni kweli kwamba demokrasia haiwezi kudumu ikiwa wachache hawatakubali matakwa ya wengi. Lakini matakwa ya wengi hujulikana katika majadiliano au mazungumzo ya wazi wazi.”


      J.K Nyerere, TANU na Raia (1962, pp2-3).
      ----------------------------------------------------

      Katika siku za hivi karibuni, Nape kama kiongozi wa chama chetu amekuwa anatuchanganya sana sisi vijana wenzake ambao bado tuna mapenzi na CCM, na maoni haya sio yangu tu bali ya vijana wengi tuliopo site. Tumekuwa tunamtetea kwa nguvu zetu zote kwenye mijadala yetu vijiweni lakini kila siku zinavyozidi kwenda mbele, tunazidi kuishiwa na ammunition za kutumia kupambana kwa hoja. Kwa mfano, karibia mwezi mmoja uliopita, Nape alitoa tamko kwenye vyombo vya habari kwamba yeye haoni tatizo lolote Mzee Mustapha Sobodo kuchangia fedha Chadema. Lakini jambo la kushangaza na linalotufanya sasa tukimbie vijiwe ili kuficha nyuso zetu ni hili:

      Mzee Sobodo ni mtanzania kama watanzania waliokusanyika Serena Hotel na kuichangia Chadema milioni 70 hapo kwa papo (huku nyingine zikiwa ni ahadi/pledges). Kitendo hiki hakikumfurahisha Nape, ingawa ukweli ni kwamba ni kiwango kidogo kuliko kile alichotoa mtanzania mwingine – Mzee Sobodo ambacho nadhani ilikuwa ni fedha taslimu shilling milioni 100. Sasa iweje suala la Mzee Sobodo (mtanzania kutoa fedha taslimu milioni 100 kwa Chadema) lisiwe tatizo lakini watanzania wengine pale Serena kutoa fedha taslimu milioni 70 iwe tatizo? Yupo kijana mmoja wa chama cha upinzani ambae huwa tupo pamoja kijiweni kwetu alitoa kauli moja ambayo kidogo iliharibu hali ya hewa, na binafsi nisingependa kuamini kwamba yupo sahihi. Kijana huyu alitamka kwamba:

      ----
      “huyo Nape wenu anawachanganya tu, ‘inawezekana’ (akasisitiza tena ‘inawezekana’) suala la mzee Sobodo analiunga mkono kwa nia ya kujijenga na Mzee huyu mzalendo ili aje kumsaidia apate jimbo moja la ubunge mwaka 2015 huko kusini kwani Mzee Sobodo na Nape wote wanatokea mkoa wa Lindi. Isitoshe, ndoto za Nape ubungo zimemalizwa na John Mnyika.”
      ----

      Maneno haya yalinishtua sana na nisingependa kuamini kwamba hii ndio dhamira kuu ya Nape kuwa na msimamo tofauti na suala la harambee ya chadema pale serena (milioni 70 fedha taslimu) vis a vis suala la Mzee Sobodo (milioni 100 fedha taslimu). Isitoshe, sina uhakika kama kweli mzee Sabodo anatokea Kusini.

      Haya ndio maoni yangu kama mwana CCM bila ya unafiki, fitina wala woga, na napata ujasiri wa kunena haya kwani hata Mwalimu Nyerere kama tulivyokwisha ona anahimiza kwamba kufanya hivyo ndio kukijenga chama, na kinyume chake ni kukibomoa chama. Hii ndio dhana nzima kanuni ya “Kukosoa na Kukosoana Ndio Silaha ya Mapinduzi.”


      Vijana wengi waliopo ‘site’ hawana access yoyote kwa Nape, na pia hawamjui in person, hivyo ni vigumu kwao kumpatia mawazo yao yenye lengo la kujenga chama ndani ya misingi niliyokwisha ijadili. Mitandao kama JamiiForums ndio huwa tegemeo la wengi towards that end. Isitoshe, Nape ni mtumiaji mzuri wa mtandao huu kwani tumemuona mara kwa mara akijibu hoja mbali mbali kwa uvumilivu wa hali ya juu. Vinginevyo, katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni, Nape amekuwa anatoa kauli ambazo sisi watetezi wake huku vijiweni mara nyingine inabidi tukimbie ili kuficha nyuso zetu – kwa mfano kauli dhidi ya wanachama wa CCM wanaohamia upinzani n.k. Kila kukicha, vijana wengi ambao bado wana mapenzi na CCM licha ya Chama chetu kukosa (au pengine niseme kukoseshwa) mwelekeo, huwa wanasali sana Nape arudie katika hali yake ya zamani alipokuwa UVCCM kwani vijana wengi walikuwa wanajidai na kujivunia sana kuwa na kiongozi wa aina yake, na kijana mwenzao ndani ya Chama ambae hakika alikuwa makini sana kwa kila jambo.

      Nawakilisha.
      Last edited by Mchambuzi; 14th August 2012 at 23:40.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.


    2. #61
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      69
      Likes Given
      82

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      it'll be when he'll know that he's a dunce man!

    3. #62
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By JAPHETtumpa View Post
      upo sahihi viongozi ni kila kitu taasisi yeyote hutengenezwa na watu, namna gani vingozi wanapatikana ni kitu muhimu sana. shida ni mmoja ndani ya chama tawala ili uwe kiongozi inabidi ama utumie fedha au uwe ni mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi wa juu ndani ya chama kama sio hivyo uwe umekubali kutumikia matakwa ya watu fulani lakini kamwe sio uwezo wa mtu hapo ndipo unapowapata kina mukama kina nape na wengine, unaweza kuona ccm haijakosa watu makini wa kuwa viongozi shida ni kwa watu hawa wazuri hawawezi kupenya nguvu za watu wanaolinda maslahi yao kwa nguvu zote, kitu ambacho kinaweza kupambana na watu hawa ni nguvu ya umma peke yake sio wanaccm wenzao
      Ni kweli, tatizo hili ni kubwa CCM, kwani chama kinaegemea zaidi on LEADERSHIP SUCCESSION badala ya RECRUITMENT OF LEADERS.

      L
      eadership succession ni hali ya watu kupewa madaraka kwa sababu baba alifanya kazi na mkubwa huyu au yule, au kupata madaraka kwa kujikomba (upambe); in the long run, hii huleta matatizo ya kiuongozi na kiutendaji.

      Recruitment of leaders
      ni kitu ambacho mwalimu alijaribu sana kukijenga. Mchakato huu involves ‘identification’, ‘nurturing’, ‘educating’ and ‘training’, hasa vijana. Kunakuwepo mazingira ambayo ni enabling na vile vile kunakuwepo taasisi ambazo zinatoa a guidance jinsi gani mchakato huu ufanyike – rules, principles, codes of conduct ambazo zinasaidia system to identify potential leaders, attract them, nurture them, train them etc. Uwepo wa such an enabling environment inavuta kwa urahisi sana young- independent individuals wenye talent, elimu, and well informed, na wenye uwezo wa kuja na vision au ideas mbalimbali zenye kuweza kusogeza taifa mbele kimaendeleo/kwa faida ya wengi. Na sio lazima vijana wa namna hii wawe wanasiasa au wanachama kutoka chama fulani, hawa wanaweza kuwa just ordinary citizens ambao mazingira yaliyopo yanawapa hamasa ya kujihusisha na masuala ya umma kwa ujumla.

      CCM ingeendelea kuwekeza katika hili i.e. kuwa na such an enabling environment, ingefanikiwa sana kuvuta talents and skills inazozikosa hivi sasa, pia ingeleta enthusiasm na kukusanya a lot of experienced individuals; In the process, CCM ingekuwa na pool of resources ambapo vijana mbalimbali wangeweza kutumika kwa ajili ya sasa na baadae. In return, hata vijana wengine kwenye jamii wangehisi kwamba kumbe fursa zipo kwa kijana yoyote mwenye kuweka bidii na mwenye ku sustain tabia ya uadilifu.

      Hivi sasa ndani ya CCM, huu mchakato ni wa ovyo; Kwanza hauzingatii merit of the individuals, ndio maana tunapata viongozi wa ovyo ovyo tu ambapo kipindi hiki wanaletwa fulani na fulani kumtumikia fulani, mkubwa huyo akiondoka, wanakuja wengine, na wale wa zamani wanapoteza ajira zao. Pili, mchakato wa kupata viongozi hauna ushindani ulio fair and open/ transparent. Badala yake ni kwamba utapata madaraka kama una hawara wako kwenye ngazi husika, au baba au mama ana ukaribu na mkubwa fulani. Ndio maana tunaona watu wengi wanaangushwa katika mazingira ya kidemokrasia kabisa kwenye nafasi za udiwani (kura za maoni - CCM) na nafasi nyingine, lakini kwa vile wana ukaribu na wakubwa fulani fulani, wanabebwa. Mara nyingine pia, kama umeamua kuwa na independent thoughts na unakosoa chama hapa na pale, hata kama unafuata kanuni zilizopo, kama wenye chama hawapendi, sahau kabisandoto zozote za kisiasa kama unazo, kwani jina lako litakatwa kwa msumeno wa 'fitina' kwenye vikao vyao. Ndio maana vijana wengi wanakimbilia chadema, na wengi zaidi wataenda huko uchaguzi wa 2015.
      Last edited by Mchambuzi; 18th August 2012 at 02:58.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    4. #63
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,973
      Rep Power : 761
      Likes Received
      284
      Likes Given
      147

      Default

      dk. kigwangala ni mfano wa waliobebwa 2010!

      Quote By Mchambuzi View Post
      Kuhusu suala la uongozi,
      kweli CCM ina tatizo kwani chama kinaegemea zaidi on LEADERSHIP
      SUCCESSION
      badala ya RECRUITMENT OF LEADERS. Leadership
      succession
      ni hali ya watu kupewa madaraka kwa sababu baba alifanya
      kazi na mkubwa huyu au yule, au kupata madaraka kwa kujikomba (upambe);
      in the long run, hii huleta matatizo ya kiuongozi na kiutendaji.
      Recruitment of leaders ni kitu ambacho mwalimu alijaribu sana
      kukijenga.

      Leadership recruitment inafuata mchakato wa ‘identification’,
      ‘nurturing’, ‘education’ and ‘training’, hasa vijana. Kunakuwepo
      mazingira ambayo ni enabling na vile vile kunakuwepo taasisi ambazo
      zinatoa a guidance jinsi gani mchakato huu ufanyike – rules, principles,
      codes of conduct ambazo zinasaidia system to identify potential
      leaders, attract them, nurture them, traine them etc. Uwepo wa such an
      enabling environment inavuta kwa urahisi sana attracts young independent
      individuals wenye talent, elimu, and well informed, na wenye uwezo wa
      kuja na vision au ideas mbalimbali zenye kuweza kusogeza taifa mbele
      kimaendeleo/kwa faida ya wengi. Na sio lazima vijana wa namna hii wawe
      wanasiasa au wanachama kutoka chama fulani, hawa wanaweza kuwa just
      ordinary citizens ambao mazingira yaliyopo yanawapa hamasa ya
      kujihusisha na masuala ya umma kwa ujumla.

      CCM ingeendelea kuwekeza katika hili i.e. kuwa na such an enabling
      environment, ingefanikiwa sana kuvuta talents, skills, enthusiasm na
      experience kutoka kwa vijana wengi sana. Mazingira haya yangejenga a
      pool of resources for CCM ambapo vijana mbalimbali wangeweza kutumika
      kwa ajili ya sasa na baadae. In return, hata vijana wengine kwenye jamii
      wangehisi kwamba kumbe fursa zipo kwa kijana yoyote mwenye kuweka bidii
      na mwenye ku sustain tabia ya uadilifu. Kwa bahati mbaya CCM haina
      muundo wa namna hii, na mbaya zaidi, hakuna mchakato au ushindani wa
      kupata viongozi haupo fair, open wala transparent. Kinachotokea sasahivi
      ni kwamba kama baba au mama ana ukaribu na mkubwa, hata ukiangushwa
      kura za maoni za udiwani au ubunge na ukawa wa tano, utabebwa tu. Ndio
      maana vijana wengi wanakimbilia chadema, na wengi zaidi wataenda huko
      uchaguzi wa 2015.

    5. #64
      JAPHETtumpa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 381
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      inasikitisha kuona kwamba ndani ya chama hicho bado kuna watu vijana kwa wazee wanaoweza kubeba hadhi na historia ya chama lakini hawapewi nafasi. chama kwa sasa hakiwezi kutoka kilipo kirahisi, bahati mbaya wamejikuta hapo naamini ni kwa bahati mbaya wa sababu haiwezeani kufika mahali chama kilipo kwa kukusudia.
      unaangalia secretariet ya chama unakosa kuona uhuru na mamlaka yake ni nini.
      lakini tatizo kubwa sana la nchi hii ni aina ya watu(raia ), hawajawa tayari kuwawajibisha wanasiasa mtu anaamua uwa mfia chama, hata kama wakifanya makosa ya aina gani watapata kura hii inawaondolea wanasiasa uwezo wa kufikiria. wanasiasa na vyama vyao wanapaswa upewa likizo( kupigwa chini ) kila wanapoosea hasa makosa ya wizi wa mali za umma haiwezekani watu waibe mabilioni ya fedha kupitia njia mbalimbali kama epa mikataba mibovu ya madini, watoroshe maliasili kama za taifa hata kwa njia za aibu kama ndege ya jeshi ya nchi ingine kutua nchini na kubeba wanyama halafu tuzungumzie uwezekzno wa watu walewale kuendelea kushika dola.
      namini juu ya mabadiliko uionda ccm madarakani ni mabadiliko ya kimsingi jwa taifa hili. bila hivyo hakuna kitakachofanyika.chama kipo compromised kimetekwa nyara kuanzia kwenye mizizi mpaka juu, hakitabiriki, kila kitu kinaweezekana ndani ya CCM
      Watanzania wenye ni njema na taifa hili twendeni tukatafute mabadiliko kupitia njia zingine, twendeni tukajenge vyama vya upinzani ili tuing'oe CCM, watoto vijana na wazee kina mama wenye uchungu na nchi hii hima twendeni bila hivyo tutaendelea kutawalia na watu hawa hawa
      FURAHA YA WENGI DALILI ZIPO WAZI ZA KUONDOKA, ANGALIA WALIVYOJIPANGA, SIKILIZA WANAVYOZUNGUMZA, ANGALIA AINA YA WABUNGE WAO NA JINSI WANAVYOJIBU, MASWALI MAZITO YANAOHUSU HATIMA YA CNHI HII UTAGUNDUA WAMECHOKA
      KAMA UNA NJA INGINE ZAIDI YA HIYO PENDEKEZA
      Mchambuzi likes this.

    6. #65
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By JAPHETtumpa View Post
      inasikitisha kuona kwamba ndani ya chama hicho bado kuna watu vijana kwa wazee wanaoweza kubeba hadhi na historia ya chama lakini hawapewi nafasi. chama kwa sasa hakiwezi kutoka kilipo kirahisi, bahati mbaya wamejikuta hapo naamini ni kwa bahati mbaya wa sababu haiwezeani kufika mahali chama kilipo kwa kukusudia.
      Hivi kwa mfano CCM ingekuwa hakina matatizo uliyo orodhesha kama vile ufisadi, mikataba ya ovyo n.k, na badala kuendelea kuwa na viongozi bora, wazalendo, waadilifu n.k, lakini huku watanzania wengi (hasa vijijini) wakiwa katika hali ya umaskini walionayo leo, ungetumia hoja zipi kuelezea umma kwamba CCM ndio chanzo cha maisha yenu duni? Au kwa mtazamo wako umaskini wa watanzania unatokana tu na ufisadi, rushwa... na mikataba isiyo na maslahi kwa taifa?

      lakini tatizo kubwa sana la nchi hii ni aina ya watu(raia ), hawajawa tayari kuwawajibisha wanasiasa mtu anaamua uwa mfia chama, hata kama wakifanya makosa ya aina gani watapata kura hii inawaondolea wanasiasa uwezo wa kufikiria.
      Je hakuna uwezekano kwamba pengine wananchi wengi hawaoni mbadala wa kweli wa ki-itikadi ambao unaweza kuzaa sera zenye potential ya kuwaletea ahueni ya maisha?

      namini juu ya mabadiliko uionda ccm madarakani ni mabadiliko ya kimsingi kwa taifa hili. bila hivyo hakuna kitakachofanyika.chama kipo compromised kimetekwa nyara kuanzia kwenye mizizi mpaka juu, hakitabiriki, kila kitu kinaweezekana ndani ya CCM;
      Ni kweli lakini katika zama hizi ambapo it is no longer as easy kuchota fedha serikalini, hakuna chama cha siasa ambacho kitaingia madarakani na kufanikiwa kukwepa kuwatumikia tycoons na matapeli kuliko wananchi kwani hiyo ndio njia pekee ya kujipatia fedha za kujiendesha kwa haraka na urahisi unless reforms nzuri on financing political parties zije; vinginevyo kutegemea fedha za wanachama (ada ya uanachama) ni almost a non-starter kutokana na umaskini wa kipato miongoni mwa watanzania wengi, ndio maana vyama vingi vinagawa kadi za uanachama bure;

      Watanzania wenye ni njema na taifa hili twendeni tukatafute mabadiliko kupitia njia zingine, twendeni tukajenge vyama vya upinzani ili tuing'oe CCM, watoto vijana na wazee kina mama wenye uchungu na nchi hii hima twendeni bila hivyo tutaendelea kutawalia na watu hawa hawa FURAHA YA WENGI DALILI ZIPO WAZI ZA KUONDOKA, ANGALIA WALIVYOJIPANGA, SIKILIZA WANAVYOZUNGUMZA, ANGALIA AINA YA WABUNGE WAO NA JINSI WANAVYOJIBU, MASWALI MAZITO YANAOHUSU HATIMA YA CNHI HII UTAGUNDUA WAMECHOKA...
      Ni kweli watanzania wanastahili kulilia mabadiliko kwani wengi wanahisi chama tawala kimeishiwa ubunifu wa kuwatatulia matatizo yao ya msingi, na pengine kinahitaji kupumzika na kujipanga upya kwani ni vigumu kujipanga kikiwa madarakani; lakini je, Chadema watafanikiwa kuvuka uchaguzi wa 2020 iwapo watashinda 2015? Mimi sidhani unless waje na Project kama vile Reconstruction and Development of Tanzania...2015 and Beyond, vinginevyo sehemu kubwa sana ya umma inaamini kwamba development itakuja almost immediately after 2015 and this is a timing bomb for Chadema; na hata viongozi wengi wa Chadema kwenye ziara zao za M4C wanatoa perception ya namna hiyo; Muda kuelekea 2015 unazidi kuisha na Chadema walijisahau kufanya kazi muhimu ya kuambia umma kwamba matunda ya ushindi wa 2015 hayatakuja haraka kwa lugha nyepesi tu kama vile...we first need to reconstruct our country kutokana na damages zilizojitokeza chini ya CCM and then ndio tuanze kuendeleza nchi, so ni wajukuu zenu ndio watafaidika na matunda ya ukombozi mtakaouleta kupitia sanduku la kura uchaguzi wa mwaka 2015, vinginevyo faida mtakayopata nyinyi hakuna zaidi ya "an immediate stoppage" ya mambo haya, haya na haya yanayowagharimu kisiasa, kiuchumi na kijamii (in other words things wont get worse, but also wont get better immediately until we finish the reconstruction phase in so and so years, and after so and so period ndio mtaanza kuona improvements na Chadema wawe specific kwamba improvement zitaanza kwenye haya, haya, na haya...); Otherwise ndio maana nina amini kabisa kwamba Chadema ikishinda 2015, CCM itarudi madarakani 2020 or even earlier than that;
      Last edited by Mchambuzi; 22nd August 2012 at 00:42.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.


    7. #66
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 858
      Rep Power : 709
      Likes Received
      291
      Likes Given
      295

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mchambuzi View Post
      Otherwise ndio maana nina amini kabisa kwamba Chadema ikishinda 2015, CCM itarudi madarakani 2020 or even earlier than that;
      This has never occured anywhere in Africa since the fall of communism that established multi partism in africa. This is fear mongering on your part to wananchi.
      I take it personal with Mafisadi.

    8. #67
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Kwame Nkrumah View Post
      This has never occured anywhere in Africa since the fall of communism that established multi partism in africa. This is fear mongering on your part to wananchi.
      I am not talking to wananchi; najadili hoja iliyo mbele yetu and I think I am entitled to my own opinion, and ofcourse not my own facts; and that was nothing than my opinion about the matter at hand; my reasoning and conclusion ime base on circumstantial evidence, not necessarily inference au direct observation kwa mfano suala kama ulilozungumzia i.e kutotokea kwa hali hiyo anywhere in africa since the fall of communism; binafsi sidhani kama ni busara kujifunga na mambo yaliyotokea tu;

      Mimi nina amini katika uhuru wa mawazo, especially kwenye majukwaa kama haya ambapo tunapimana/challenge each other, badilishana mawazo, shauriana n.k; mambo mengine hayahusiani na presenting the case kwa wananchi/umma; now that being said, i am still convinced kwamba kama Chadema hawajajipanga kwa kuelimisha umma kwamba mabadiliko ni incremental, not radical, na pia kama wasipo lay out their plan, time frame etc, especially in the context of what i suggested i.e. kuja na kitu kama kuwa na phase mbili ya their project in political office, ya kwanza reconstruction, ya pili ndio development, bila ya kufanya hivyo, wananchi wataichoka Chadema haraka sana; ningependa kusikia mawazo yako on that nje ya hoja kwamba haijawahi kutokea anywhere in Africa since the fall of the berlin wall au hoja ya kuwatisha wananchi; tujadiliane kwa manufaa ya taifa kwani mawazo haya hata wanachadema wanayaona, na yapo wanayoona ni ya maana, lakini vile vile yasiokuwa na maana; nia yetu ni kubadilishana mawazo ili kujenga demokrasia imara regardless ya nani ataingia ikulu kwani nchi yetu comes first before siasa;
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    9. #68
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 858
      Rep Power : 709
      Likes Received
      291
      Likes Given
      295

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mchambuzi View Post
      I am not talking to wananchi; najadili hoja iliyo mbele yetu and I think I am entitled to my own opinion, and ofcourse not my own facts; and that was nothing than my opinion about the matter at hand; my reasoning and conclusion ime base on circumstantial evidence, not necessarily inference au direct observation kwa mfano suala kama ulilozungumzia i.e kutotokea kwa hali hiyo anywhere in africa since the fall of communism; binafsi sidhani kama ni busara kujifunga na mambo yaliyotokea tu;

      Mimi nina amini katika uhuru wa mawazo, especially kwenye majukwaa kama haya ambapo tunapimana/challenge each other, badilishana mawazo, shauriana n.k; mambo mengine hayahusiani na presenting the case kwa wananchi/umma; now that being said, i am still convinced kwamba kama Chadema hawajajipanga kwa kuelimisha umma kwamba mabadiliko ni incremental, not radical, na pia kama wasipo lay out their plan, time frame etc, especially in the context of what i suggested i.e. kuja na kitu kama kuwa na phase mbili ya their project in political office, ya kwanza reconstruction, ya pili ndio development, bila ya kufanya hivyo, wananchi wataichoka Chadema haraka sana; ningependa kusikia mawazo yako on that nje ya hoja kwamba haijawahi kutokea anywhere in Africa since the fall of the berlin wall au hoja ya kuwatisha wananchi; tujadiliane kwa manufaa ya taifa kwani mawazo haya hata wanachadema wanayaona, na yapo wanayoona ni ya maana, lakini vile vile yasiokuwa na maana; nia yetu ni kubadilishana mawazo ili kujenga demokrasia imara regardless ya nani ataingia ikulu kwani nchi yetu comes first before siasa;
      If JF is quoted in parliament, with more than 70k registered members, then who are you talking to kama sio wananchi?
      Anyways kila kitu kina mwanzo. Endapo CHADEMA watajipambanua vilivyo kwa wananchi na kukabidhiwa dola, watakuwa wamechaguliwa kwa kukubaliwa sera zao, mipango yao na uwajibikaji wao. And if they fall short on their contract with the people,off course they will be let go. Kwa sababu hii ndiyo sababu pia inayofanya CCM ielekee kushindwa 2015, wameshindwa kufanya yaliyo wazi kufanywa na waliyoahidi.
      Ninachopinga mimi ni dhana kwamba kutakua na chaos, or sort of, eti kwa sababu ni mara ya kwanza. Kama nchi hii ilisimama wakati wa chaos za zama za Rukhsa basi we will also survive, thrive and emerge even stronger baada ya CDM kuchukua nchi.
      Na pia sijakuelewa, unaposema mabadiliko ni incremental, what exactly do you mean? Wachukue kwanza nusu nchi watawale na wakiweza ndiyo tuwape nchi nzima? Wachukue bunge kwanza?
      Mchambuzi likes this.
      I take it personal with Mafisadi.

    10. #69
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 776
      Rep Power : 559
      Likes Received
      239
      Likes Given
      3

      Default

      Aisee laiti kama wahusika wangepata na kuyafanyia kaz4 maneno haya naamini Ccm ingetawala milele. Vijana wengi tulioenda shule na baadhi wenye talent na msukumo wa uongozi kwakweli wanaichukia sana ccm. Sababu kubwa ni kwamba haina dalili za kumkumbatia kijana anaetoka huko anakokujua yeye bila kuwa na mtu wa kumshika mkono, mbaya zaidi inakera sana kuona watu ambao walikuwa na uwezo mdogo kielimu na kiungozi ghafla wakipata ulaji kimsingi wasiostahili na matokeo yake wanashindwa kudeliver. Ccm si chama tena cha kukulea na kukupa nafasi ya kuonyesha umahiri wako kama humjui mtu. Hasira ya vijana hawa na ule msemo wa kuona mwanga mwisho wa tunnel unakuwa upinzani, hii ni kwasbb kwanza bado kuna nafasi nyingi vacant na pili hata kama hawa wapinzani hawatadeliver yet wanahubiri mambo yanayowaumiza rohoni vijana hawa. Kwa Dsm watoto wengi wa mjini aka wazee wa kuungaunga, wajanjajanja wengi wako ccm, why? they r making life out of it kiujanjaujanja coz ukimjua mtoto wa mkubwa flani basi utapata dili na ukipata janga ni rahisi kusaidiwa. Leo utashangaa proffesor anaweza kusotea appoitment ya mkuu wakati Steve Nyerere akakupigia plug and play. Matokeo yake wajinga, sory nimekosa neno la kutumia wanakuwa karibu na mamlaka wakati wenye upeo wanakuwa mbali. Na tatizo lakuwa na wrong person karibu ni kwamba siku zote atakusifia na katu hatakueleza ukweli akiogopa either kukutisha au kujiharibia nafasi yake ya ukaribu na wewe. Matokeo yake ukiwa kama kiongozi hutapata right info wala ushauri mzuri. Na haya ndo yanayoendelea sasa, vijana wasomi ndani na nje ya serikali wasio na magodfather wanaichukia ccm balaa. This is the ignored majority, what do u expect then?
      Mchambuzi likes this.

    11. #70
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Kwame Nkrumah View Post
      If JF is quoted in parliament, with more than 70k registered members, then who are you talking to kama sio wananchi?
      Anyways kila kitu kina mwanzo. Endapo CHADEMA watajipambanua vilivyo kwa wananchi na kukabidhiwa dola, watakuwa wamechaguliwa kwa kukubaliwa sera zao, mipango yao na uwajibikaji wao. And if they fall short on their contract with the people,off course they will be let go. Kwa sababu hii ndiyo sababu pia inayofanya CCM ielekee kushindwa 2015, wameshindwa kufanya yaliyo wazi kufanywa na waliyoahidi.
      Ninachopinga mimi ni dhana kwamba kutakua na chaos, or sort of, eti kwa sababu ni mara ya kwanza. Kama nchi hii ilisimama wakati wa chaos za zama za Rukhsa basi we will also survive, thrive and emerge even stronger baada ya CDM kuchukua nchi.
      Na pia sijakuelewa, unaposema mabadiliko ni incremental, what exactly do you mean? Wachukue kwanza nusu nchi watawale na wakiweza ndiyo tuwape nchi nzima? Wachukue bunge kwanza?
      Kuhusu 'chaos', kwenye hoja yangu sikumaanisha kwamba mabadiliko yakitokea 2020 or even before that, basi yatatokana na chaos; what i actually meant ni mabadiliko ya hali ya kisiasa kama sasahivi ambapo ingawa CCM ndio ipo madarakani, tayari kuna upepo wa mabadiliko, na wengi wanachosubiri 2015 ni kukamilisha hilo; Chadema wasipokuwa makini, anywhere between 2015 and 2020, upepo wa mabadiliko unaweza kuvuma tena but this time in favour of CCM;

      Kuhusu suala la 'incremental' and not 'radical' - maana yangu ni kwamba, iwapo chadema watashinda 2015, wananchi wasitegemee any radical or abrupt changes in their daily livelihoods bali incremental/additive changes (rejea my discussion on reconstruction and development) kwani kuna so many factors that are in play zinazosababisha hali zao kuwa duni, huku utawala wa CCM ukiwa only a fraction of that;
      Kwame Nkrumah likes this.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    12. #71
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 776
      Rep Power : 559
      Likes Received
      239
      Likes Given
      3

      Default

      Bahati mbaya japo sikuona recomendtns za mkama kukipj mvuto hili sidhani kama lilikuwa detailed naona emphasis ilikuwa kuvua gamba ambalo naona limeishia kiunoni


      [QUOTE=Mjenda Chilo;4475137]Aisee laiti kama wahusika wangepata na kuyafanyia kaz4 maneno haya naamini Ccm ingetawala milele. Vijana wengi tulioenda shule na baadhi wenye talent na msukumo wa uongozi kwakweli wanaichukia sana ccm. Sababu kubwa ni kwamba haina dalili za kumkumbatia kijana anaetoka huko anakokujua yeye bila kuwa na mtu wa kumshika mkono, mbaya zaidi inakera sana kuona watu ambao walikuwa na uwezo mdogo kielimu na kiungozi ghafla wakipata ulaji kimsingi wasiostahili na matokeo yake wanashindwa kudeliver. Ccm si chama tena cha kukulea na kukupa nafasi ya kuonyesha umahiri wako kama humjui mtu. Hasira ya vijana hawa na ule msemo wa kuona mwanga mwisho wa tunnel unakuwa upinzani, hii ni kwasbb kwanza bado kuna nafasi nyingi vacant na pili hata kama hawa wapinzani hawatadeliver yet wanahubiri mambo yanayowaumiza rohoni vijana hawa. Kwa Dsm watoto wengi wa mjini aka wazee wa kuungaunga, wajanjajanja wengi wako ccm, why? they r making life out of it kiujanjaujanja coz ukimjua mtoto wa mkubwa flani bas

    13. #72
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 858
      Rep Power : 709
      Likes Received
      291
      Likes Given
      295

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mchambuzi View Post
      Kuhusu 'chaos', kwenye hoja yangu sikumaanisha kwamba mabadiliko yakitokea 2020 or even before that, basi yatatokana na chaos; what i actually meant ni mabadiliko ya hali ya kisiasa kama sasahivi ambapo ingawa CCM ndio ipo madarakani, tayari kuna upepo wa mabadiliko, na wengi wanachosubiri 2015 ni kukamilisha hilo; Chadema wasipokuwa makini, anywhere between 2015 and 2020, upepo wa mabadiliko unaweza kuvuma tena but this time in favour of CCM;

      Kuhusu suala la 'incremental' and not 'radical' - maana yangu ni kwamba, iwapo chadema watashinda 2015, wananchi wasitegemee any radical or abrupt changes in their daily livelihoods bali incremental/additive changes (rejea my discussion on reconstruction and development) kwani kuna so many factors that are in play zinazosababisha hali zao kuwa duni, huku utawala wa CCM ukiwa only a fraction of that;
      I beg to differ here, sidhani kama CDM per se kitaanguka au kitatereka sana. Nakubaliliana na wewe kidogo kwamba kutakua na mtikisiko kidogo , hii ni kutokana na historia kwamba viongozi wengi wanaoongoza mapinduzi au [ mabadilliko makubwa ya kijamii ]huwa hawakai madarakani, kwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia haya huko Russia na Gorbachev, Poland na Walesa, Ukraine na Kirilenko au hata Zambia na Chiluba. Lakini vyama bado vipo, ni aghalabu sana kwa vyama, au mabadiliko waliyoyaleta kufutika. Kwa hiyo siyo ajabu kwa Slaa, au Mbowe, au Zitto kuiingiza CDM madarakani na kupoteza umaarufu baada ya muda mfupi tu.
      Na hii inatokana na kwamba CDM has no place to practise power, i dont think analysts like yourself has come out with a way to do that in a lab. Ndiyo wana Umeya wa Mwanza sijui na wapi tena, lakini umeya hauna jeshi, hauna majaji wala hauna ministry of foreigh affairs.Its a challenge that CDM will overcome.
      Mchambuzi likes this.
      I take it personal with Mafisadi.

    14. #73
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Kwame Nkrumah View Post
      I beg to differ here, sidhani kama CDM per se kitaanguka au kitatereka sana. Nakubaliliana na wewe kidogo kwamba kutakua na mtikisiko kidogo , hii ni kutokana na historia kwamba viongozi wengi wanaoongoza mapinduzi au [ mabadilliko makubwa ya kijamii ]huwa hawakai madarakani, kwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia haya huko Russia na Gorbachev, Poland na Walesa, Ukraine na Kirilenko au hata Zambia na Chiluba. Lakini vyama bado vipo, ni aghalabu sana kwa vyama, au mabadiliko waliyoyaleta kufutika. Kwa hiyo siyo ajabu kwa Slaa, au Mbowe, au Zitto kuiingiza CDM madarakani na kupoteza umaarufu baada ya muda mfupi tu.
      Na hii inatokana na kwamba CDM has no place to practise power, i dont think analysts like yourself has come out with a way to do that in a lab. Ndiyo wana Umeya wa Mwanza sijui na wapi tena, lakini umeya hauna jeshi, hauna majaji wala hauna ministry of foreigh affairs.Its a challenge that CDM will overcome.
      Sijamaanisha kwamba Chadema kitapotea katika political landscape ya nchi (ni mapema kuja na conclusion hiyo),maana yangu ilikuwa simply kukatisha wananchi tamaa iwapo akitajipanga in the phases i discussed i.e reconstruction and development, na hivyo umma kurudisha matumaini yake tena kwa CCM; ni vizuri unapotumia experiences za nchi nyingine lakini history doesnt always repeat itself; kwa mfano dynamics zilizokileta MMD zambia madarakani haziwezi linganishwa na CCM Tanzania kwani; nchini zambia, wimbi la mageuzi ya kisiasa lilifuata a bottom - up approach na uchaguzi kufanyika muda mfupi saana after mfumo wa vyama vingi kuingia; Tanzania Nyerere alisoma all these developments, ikateuliwa tume ya nyalali huku vyombo vya habari vikiwa bado vimedhibitiwa kwa kiasi fulani watanzania wasione kinachoendelea nje, then kura ya maoni ikapigwa na wengi kupendelea mfumo wa chama kimoja kiendelee, but Nyerere (CCM) wakaamua kuchukua mawazo ya wachache; huu ulikuwa ni mchezo mzuri sana wa kisiasa kwa CCM kwani in the end, unlike bottom-up changes kuelekea demokrasia, Tanzania ended up taking a top-bottom route whereby CCM ended up owning the political reforms agenda, na ikapata muda wa kujipanga (three years) before the fist multi party elections in 1995; it is for such reasons CCM hata ikiondoka madarakani itabakia kuwepo kwa muda mrefu sana (ofcourse kuna sababu nyingine nyingi on that);

      Chadema sina uhakika na longevity yake, especially because ki-itikadi (in practice) hakipo tofauti na CCM, NCCR Mageuzi au vyama vingine vingi; Whats giving this party an edge at the moment ni youthfulness miongoni mwa viongozi wake ambao pia wapo vizuri kichwani kutumia mwanya uliojitokea wa madhaifu ya CCM; Nguvu ya Chadema inatokana na personalities za some of its leaders na pia creativity ya Chadema to exploit madhaifu ya CCM, hasa katika kuletea mabadiliko wananchi ambao wengi ni maskini huku baadhi ya wanasiasa wakizidi kuwa matajiri; vijana (ambao ndio wengi in the population) wanazidi kushuhudia vyama tawala/vikongwe kwingine na vile vile madikteta wa muda mrefu wakiporomoka; Chadema needs to differentiate itself from CCM ki-itikadi (in practice kwani difference iliyopo ni ya kwenye katiba zao tu), kwani as we speak, ikienda Ikulu 2015, itaenda kutekeleza yale yale donor-led, ndio maana donors hawajali sana who goes to Ikulu, all they care about ni amani na utulivu ili economic interests zao zisije pata madhara; in actual fact, donors are undergoing a 'democracy fatigue';
      Kwame Nkrumah likes this.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    15. #74
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mjenda Chilo View Post
      Aisee laiti kama wahusika wangepata na kuyafanyia kaz4 maneno haya naamini Ccm ingetawala milele. Vijana wengi tulioenda shule na baadhi wenye talent na msukumo wa uongozi kwakweli wanaichukia sana ccm. Sababu kubwa ni kwamba haina dalili za kumkumbatia kijana anaetoka huko anakokujua yeye bila kuwa na mtu wa kumshika mkono, mbaya zaidi inakera sana kuona watu ambao walikuwa na uwezo mdogo kielimu na kiungozi ghafla wakipata ulaji kimsingi wasiostahili na matokeo yake wanashindwa kudeliver. Ccm si chama tena cha kukulea na kukupa nafasi ya kuonyesha umahiri wako kama humjui mtu. Hasira ya vijana hawa na ule msemo wa kuona mwanga mwisho wa tunnel unakuwa upinzani, hii ni kwasbb kwanza bado kuna nafasi nyingi vacant na pili hata kama hawa wapinzani hawatadeliver yet wanahubiri mambo yanayowaumiza rohoni vijana hawa. Kwa Dsm watoto wengi wa mjini aka wazee wa kuungaunga, wajanjajanja wengi wako ccm, why? they r making life out of it kiujanjaujanja coz ukimjua mtoto wa mkubwa flani basi utapata dili na ukipata janga ni rahisi kusaidiwa. Leo utashangaa proffesor anaweza kusotea appoitment ya mkuu wakati Steve Nyerere akakupigia plug and play. Matokeo yake wajinga, sory nimekosa neno la kutumia wanakuwa karibu na mamlaka wakati wenye upeo wanakuwa mbali. Na tatizo lakuwa na wrong person karibu ni kwamba siku zote atakusifia na katu hatakueleza ukweli akiogopa either kukutisha au kujiharibia nafasi yake ya ukaribu na wewe. Matokeo yake ukiwa kama kiongozi hutapata right info wala ushauri mzuri. Na haya ndo yanayoendelea sasa, vijana wasomi ndani na nje ya serikali wasio na magodfather wanaichukia ccm balaa. This is the ignored majority, what do u expect then?
      Upo sahihi, lakini ujue tu kwamba sio Tanzania tu bali hata elsewhere in Africa, siasa zipo less driven by ideological or policy differences/fundamental issues that affect the electorate, bali zaidi by distribution of patronage kwani as you rightly put it, its all about the know - who when it comes to kupitishwa jina kuwa mgombea ubunge au kuteuliwa na rais kuwa mbunge, mshauri au msaidizi wa viongozi wa nchi, kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, katibu wa CCM wilaya/mkoa, uongozi wa UVCCM ngazi mbalimbali n.k; political favours are granted kwako and in return you have to give waliokuteua 'unconditional political support'; na wengi wanaingia kwenye mtego kwani wengi ya wanaoteuliwa wanachukulia nafasi zao za uongozi kama ajira ya kujinufaisha wao na familia zao (sio wananchi), ndio maana ni mara chache sana kwa kiongozi kuamua kujiuzulu kwa heshima pale inapotokea anapingana na msimamo au uchwara wa chama chake au viongozi/wakubwa wake katika masuala yenye maslahi kwa taifa, na badala yake anaangalia maslahi ya tumbo lake, mamlaka yake ya uteuzi, au chama chake; lakini ingekuwa tunapo teuliwa tunaweka maslahi ya umma kwanza, tungeweza kujipatia viongozi wazuri sana; but hili sio tatizo la CCM tu bali utamaduni wetu wa-afrika, na inawezekana utamaduni huu ukaendelea hata chama kingine kikija kutwaa madaraka;
      Last edited by Mchambuzi; 22nd August 2012 at 04:06.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    16. #75
      Kingcobra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 713
      Rep Power : 567
      Likes Received
      129
      Likes Given
      14

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Tukisema VUVUZELA mara mseme oooohhh mnamwonea kijana wa watu!!! Sasa vijana wa ccm tulieni muendelee kubomolewa chama chenu na hili VUVUZELA la wakubwa fulani.
      Mchambuzi likes this.

    17. #76
      ungonella wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 2,676
      Rep Power : 900
      Likes Received
      371
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Ili ccm kirudi kwenye mstari ulionyooka ni lazime kisimame kwa muda kupanga ikulu angalau kwa miaka 5, bila hivyo ccm will die soon! Nape yuko peke yake na kinachomweka pale ni zile milioni anazolipwa na si vinginevyo!

    18. #77
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 858
      Rep Power : 709
      Likes Received
      291
      Likes Given
      295

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mchambuzi View Post
      Sijamaanisha kwamba Chadema kitapotea katika political landscape ya nchi (ni mapema kuja na conclusion hiyo),maana yangu ilikuwa simply kukatisha wananchi tamaa iwapo akitajipanga in the phases i discussed i.e reconstruction and development, na hivyo umma kurudisha matumaini yake tena kwa CCM; ni vizuri unapotumia experiences za nchi nyingine lakini history doesnt always repeat itself; kwa mfano dynamics zilizokileta MMD zambia madarakani haziwezi linganishwa na CCM Tanzania kwani; nchini zambia, wimbi la mageuzi ya kisiasa lilifuata a bottom - up approach na uchaguzi kufanyika muda mfupi saana after mfumo wa vyama vingi kuingia; Tanzania Nyerere alisoma all these developments, ikateuliwa tume ya nyalali huku vyombo vya habari vikiwa bado vimedhibitiwa kwa kiasi fulani watanzania wasione kinachoendelea nje, then kura ya maoni ikapigwa na wengi kupendelea mfumo wa chama kimoja kiendelee, but Nyerere (CCM) wakaamua kuchukua mawazo ya wachache; huu ulikuwa ni mchezo mzuri sana wa kisiasa kwa CCM kwani in the end, unlike bottom-up changes kuelekea demokrasia, Tanzania ended up taking a top-bottom route whereby CCM ended up owning the political reforms agenda, na ikapata muda wa kujipanga (three years) before the fist multi party elections in 1995; it is for such reasons CCM hata ikiondoka madarakani itabakia kuwepo kwa muda mrefu sana (ofcourse kuna sababu nyingine nyingi on that);

      Chadema sina uhakika na longevity yake, especially because ki-itikadi (in practice) hakipo tofauti na CCM, NCCR Mageuzi au vyama vingine vingi; Whats giving this party an edge at the moment ni youthfulness miongoni mwa viongozi wake ambao pia wapo vizuri kichwani kutumia mwanya uliojitokea wa madhaifu ya CCM; Nguvu ya Chadema inatokana na personalities za some of its leaders na pia creativity ya Chadema to exploit madhaifu ya CCM, hasa katika kuletea mabadiliko wananchi ambao wengi ni maskini huku baadhi ya wanasiasa wakizidi kuwa matajiri; vijana (ambao ndio wengi in the population) wanazidi kushuhudia vyama tawala/vikongwe kwingine na vile vile madikteta wa muda mrefu wakiporomoka; Chadema needs to differentiate itself from CCM ki-itikadi (in practice kwani difference iliyopo ni ya kwenye katiba zao tu), kwani as we speak, ikienda Ikulu 2015, itaenda kutekeleza yale yale donor-led, ndio maana donors hawajali sana who goes to Ikulu, all they care about ni amani na utulivu ili economic interests zao zisije pata madhara; in actual fact, donors are undergoing a 'democracy fatigue';
      Longetivity ya CCM katika nchi hii inatokana na mabavu, nafikiri utakubaliana na mimi hapo. CDM ikiingia madarakani ni wazi kuwa siasa za mabavu zitakua hazina nguvu tena, kwa chama chochote kile. Kwa hiyo kama nchi inaendeshwa kwa demokrasia ya kweli ni dhahiri kuwa itakua vigumu kwa chama chochote kile kuhodhi madaraka.
      It is also my opinion that CCM na CDM wana itikadi tofauti, sana. Itikadi za CCM ni UMANGIMEZA, itkadi za CDM ni za utetezi wa wale aliokuwa anawaita Nyerere MAKABWELA. Na maadam makabwela ndiyo walio wengi nchi hii, basi ni dhahiri CDM is here to stay. Kitu wanachoweza kufanana labda ni miundo [structure] ambayo hata hivyo CDM kwa sababu ni chama cha makabwela ni more accessible and open kuliko CCM.
      Mchambuzi likes this.
      I take it personal with Mafisadi.

    19. #78
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 858
      Rep Power : 709
      Likes Received
      291
      Likes Given
      295

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Mchambuzi View Post
      Kuhusu 'chaos', kwenye hoja yangu sikumaanisha kwamba mabadiliko yakitokea 2020 or even before that, basi yatatokana na chaos; what i actually meant ni mabadiliko ya hali ya kisiasa kama sasahivi ambapo ingawa CCM ndio ipo madarakani, tayari kuna upepo wa mabadiliko, na wengi wanachosubiri 2015 ni kukamilisha hilo; Chadema wasipokuwa makini, anywhere between 2015 and 2020, upepo wa mabadiliko unaweza kuvuma tena but this time in favour of CCM;

      Kuhusu suala la 'incremental' and not 'radical' - maana yangu ni kwamba, iwapo chadema watashinda 2015, wananchi swasitegemee any radical or abrupt changes in their daily livelihood bali incremental/additive changes (rejea my discussion on reconstruction and development) kwani kuna so many factors that are in play zinazosababisha hali zao kuwa duni, huku utawala wa CCM ukiwa only a fraction of that;
      Nafikiri wewe una mawazo makubwa zaidi ya matarajio ya wananchi kwa CDM kuliko matarajio ya wananchi wenyewe. Watu hatutegemei CDM ikiapishwa asubuhi basi mchana kila kijana awe na kazi, tupeleke chombo Mars baada ya mwezi, barabara za lami kila kona baada ya miezi 3, treni ya Umeme kwenda Kigoma baada ya wiki, soko letu la hisa liwe na thamani kama NYSE, ATC irudi angani next day n.k.....haiwezekani.
      Lakini wakati huohuo watu hawategemei kuambiwa mtu aliyeiba pesa za EPA hajulikani, kwamba Sheraton Hotel itauzwa kila baada ya miaka mitano kukwepa kodi, dhahabu yao kuchukuliwa basically for free. Kuambiwa kila siku kwamba Rwanda is better than your country,tume zisizo na matokeo kila siku, hospitali kuu ya TAIFA kukosa MRI kwa miezi na miezi ....nk...haya ndiyo matarajio ya wananchi wa TZ kwa serikali yao, hawataki makuu. imeishasemwa sana wananchi wa leo siyo wale wa zamani...wanajua nini serkali yao inaweza kufanya na nini haiwezi.
      To move this countryforward radical changes, in these parameters, are possible, and is what we except in the coming CDM govt. We expect nothing less.
      Mchambuzi likes this.
      I take it personal with Mafisadi.

    20. #79
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 5,125
      Rep Power : 6961
      Likes Received
      1169
      Likes Given
      162

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Nape kavimbiwa magamba

    21. #80
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

      Quote By Kwame Nkrumah View Post
      Nafikiri wewe una mawazo makubwa zaidi ya matarajio ya wananchi kwa CDM kuliko matarajio ya wananchi wenyewe. Watu hatutegemei CDM ikiapishwa asubuhi basi mchana kila kijana awe na kazi, tupeleke chombo Mars baada ya mwezi, barabara za lami kila kona baada ya miezi 3, treni ya Umeme kwenda Kigoma baada ya wiki, soko letu la hisa liwe na thamani kama NYSE, ATC irudi angani next day n.k.....haiwezekani.
      Kimsingi naelewa hoja yako lakini nadhani hoja yangu haujaielewa vizuri; Nadhani hata wewe your thinking, hopes and expectations zipo way off na zile za wananchi wengi ambao kwa bahati mbaya hawajajaliwa upeo, elimu na uwezo wa kuchambua mambo hence be in a better position to make sense of issues kama hizi; sasa pale Chadema wanapokuwa na udhaifu kidogo wa kurekebisha hali hii, it makes matters worse, na kwa kweli hii ni 'timing bomb' kama nilivyokwishajadili elsewhere;

      Mimi sizungumzii suala la mabadiliko ya usiku na mchana bali udhaifu wa Chadema kutoyaeleza au kufafanua mbele ya umma/electorate same issues unazozizungumza; Kama upo Tanzania, tafuta muda wa kuzunguka 'site'/vijiweni, hasa maeneo nje ya mji na kudadisi matarajio ya wengi kwa Chadema ni yepi, kwani very shortly utaelewa ninazungumza kitu gani;
      Last edited by Mchambuzi; 22nd August 2012 at 19:09.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...