Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 118
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Nikiwa naelekea ofisini asubuhi hii Radio Clouds wakiwa wanapitia habari za kwenye magazeti ya leo wamesoma gazeti moja likisema JWTZ limemkanya Edward Lowassa kwa kauli yake aliyotoa hivi karibuni kwamba amethibitishiwa kwamba Jeshi letu liko imara na Tayari kwa vita.

      JWTZ wanadai kauli ya namna hiyo ilipaswa kutolewa na Amiri Jeshi Mkuu peke yake.

      SOMO LA LEO
      1. Lowassa bado anamahaba na Urais,
      2. Jeshi linatumika kumpunguza speed ya uroho wake wa madaraka
      3. Kikwete ni dhaifu kweli kwa kushindwa kuzuia watu kuingilia madaraka yake
      4. Jeshi letu linaendeshwa kiprofessional
      5. Jeshi letu linaelewa madhara ya vita, na lisingependelea kulazimishwa kuingia vitani bila sababu za msingi kama kwenye ka issue ka ziwa nyasa.
      6. Intelligencia za Jeshi letu hazijaona likelyhood ya vita dhidi ya Malawi so far. NO POINT FOR WAR.
      7. Ujumbe huu uwafikia SITTA NA MEMBE AS WELL.
      8. Ni fundisho kwa wanasiasa wote wa CCM wanaoropoka bila kufikiria na kuthibitisha uwezo mdogo sana wa uongozi, na kwamba wananchi tuendelee kusimamia imani yetu kwamba CHAMA hiki hakifai, sababu baada ya kutusukumiza kwenye umasikini wa kututosha sasa ni wazi wako tayari kumwaga na damu zetu.

      Asante JWTZ kwa kuweka mambo sawa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Nahisi kama hapa Lowassa kapigwa ngumi ya mbavu, haamki tena huyu fisadi.

    4. #3
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      No comment, despite several attempts of re-reading your contents. I understand your intents tho.

    5. #4
      odinyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Posts : 232
      Rep Power : 414
      Likes Received
      39
      Likes Given
      10

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      sioni ttz kwa mh Lowasa kutoa remark hiyo kwani hata sisi raia wa kawaida tulifurahi kuona jinsi JWTZ walivyoreact na kuonyesha ukomavu na utayari wao kikazi, Mh ametoa tamko hilo kwa mapenzi yake na TZ na hiyo unavyofikiria ww ndivyo hivyo hivyo na itatimia
      Eric Mallo likes this.

    6. #5
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 6,424
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Kama ni kweli basi jeshi limejipenyeza kwenye makundi yanayohasimiana Magambani

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Hume's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2007
      Posts : 315
      Rep Power : 658
      Likes Received
      33
      Likes Given
      14

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Kwa hiyo jeshi linataka kusema halijajiandaa wala haliko tayari kwa vita?

      Incase tukivamiwa ndo hapo wataanza mafunzo ya kujiweka tayari kwa vita?
      Makanyaga and Prisoner 46664 like this.

    9. #7
      Tuyuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 559
      Likes Received
      139
      Likes Given
      16

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Lowasa alisema kama mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama
      Prisoner 46664 and Bondpost like this.

    10. #8
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Hivi hamjui Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Tanzania ni nani?

      Hakuna Mwanajeshi wa chini yake anaeweza kuliongelea taifa kisiasa bila amri na au idhini yake.
      genekai likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #9
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Tuyuku
      Lowasa alisema kama mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama
      Ambaye ana authority ipi over JWTZ?

    12. #10
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,002
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Sangarara
      Ambaye ana authority ipi over JWTZ?
      huyo mwenye mamlaka yupo wp?

    13. #11
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By zomba
      Hivi hamjui Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Tanzania ni nani?

      Hakuna Mwanajeshi wa chini yake anaeweza kuliongelea taifa kisiasa bila amri na au idhini yake.
      Okay. So you mean kwamba Jakaya kaliinstruct Jeshi lim-burst lowasa? kama ni kweli safi sana na ninawithdrawal kauli yangu ya udhaifu, lakini kwanini asifanye hivyo mwenyewe? ataendelea kujificha nyuma ya wasaidizi wake mpaka lini?

    14. #12
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By ALEYN
      huyo mwenye mamlaka yupo wp?
      Mwenyemamlaka kuwa weak sio sababu ya every one and everybody kuassume powers zake.

    15. #13
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Sangarara
      Ambaye ana authority ipi over JWTZ?
      kusema jeshi lipo fit kwa kupigana, wanakanusha nini kwani hawako fit? JK anawaza safari, bora EL amedhubutu hata kuwatishia no matter tuna nguvu ana la!

      Amiri Jeshi mkuu hatakiwi kusema tupo tayari ni kusema vijana kazi ianze!

    16. #14
      omujubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Bumbire Island
      Posts : 1,570
      Rep Power : 690
      Likes Received
      629
      Likes Given
      1622

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      baadhi wali comment hapa jamvini na kusema vita sio wazo zuri na hivyo haikuwa vizuri pia kuitumia kama ngazi ya kisiasa
      “those who are so ready to take what is not theirs must be ready to loose what is theirs”

    17. #15
      Sooth's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 922
      Rep Power : 697
      Likes Received
      313
      Likes Given
      200

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      ... "Jeshi letu linaendeshwa kiprofessional". Hii ni kweli, isipokuwa wakati wa uchaguzi mkuu!
      "There is a very thin line between inflation and extortion."-Sooth.

    18. #16
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,675
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Mbio za URAITHI tabu kweli kweli

    19. #17
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 6,424
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Sangarara
      Ambaye ana authority ipi over JWTZ?
      Kwani Sitta naye ana mamlaka gani na JWTZ? Mbona na yeye alipokuwa anakaimu nafasi ya pinda aliyasema kama hayo ya EL?

    20. #18
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1978
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Tuyuku
      Lowasa alisema kama mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama
      KATIBA ya JMT haimtambui mtu huyu. Niliyasema haya kwenye ile thread ya Mwanakijiji aliokuwa akidadisi uwezo na utayari wetu kwa vita. Lowasa ameishi serikalini kwa muda mrefu. Alipaswa kulifahamu hili. Sio kukurupuka kutamka yale maneno eti kwa kuwa mahasimu wake akina Membe na Sitta wametangulia kuyasema!

    21. Paw
      #19
      Paw's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 1,546
      Rep Power : 2844
      Likes Received
      613
      Likes Given
      2049

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      If this is true, basi katiba imevunjwa....
      (BADILIKA, bofya hapa ===> ####)

    22. #20
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 476
      Rep Power : 454
      Likes Received
      102
      Likes Given
      24

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Mkianzisha iyo vita yenu akyamungu sie wapemba hatuji,vita muanze nyinyi mbele mtuweke sie!
      ngwendu likes this.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...