Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

    Report Post
    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456
    Results 101 to 118 of 118
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Nikiwa naelekea ofisini asubuhi hii Radio Clouds wakiwa wanapitia habari za kwenye magazeti ya leo wamesoma gazeti moja likisema JWTZ limemkanya Edward Lowassa kwa kauli yake aliyotoa hivi karibuni kwamba amethibitishiwa kwamba Jeshi letu liko imara na Tayari kwa vita.

      JWTZ wanadai kauli ya namna hiyo ilipaswa kutolewa na Amiri Jeshi Mkuu peke yake.

      SOMO LA LEO
      1. Lowassa bado anamahaba na Urais,
      2. Jeshi linatumika kumpunguza speed ya uroho wake wa madaraka
      3. Kikwete ni dhaifu kweli kwa kushindwa kuzuia watu kuingilia madaraka yake
      4. Jeshi letu linaendeshwa kiprofessional
      5. Jeshi letu linaelewa madhara ya vita, na lisingependelea kulazimishwa kuingia vitani bila sababu za msingi kama kwenye ka issue ka ziwa nyasa.
      6. Intelligencia za Jeshi letu hazijaona likelyhood ya vita dhidi ya Malawi so far. NO POINT FOR WAR.
      7. Ujumbe huu uwafikia SITTA NA MEMBE AS WELL.
      8. Ni fundisho kwa wanasiasa wote wa CCM wanaoropoka bila kufikiria na kuthibitisha uwezo mdogo sana wa uongozi, na kwamba wananchi tuendelee kusimamia imani yetu kwamba CHAMA hiki hakifai, sababu baada ya kutusukumiza kwenye umasikini wa kututosha sasa ni wazi wako tayari kumwaga na damu zetu.

      Asante JWTZ kwa kuweka mambo sawa.

    2. Miaka 50

    3. #101
      Kidzude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 965
      Rep Power : 590
      Likes Received
      115
      Likes Given
      19

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Mazee mi nitaomba tenda ya kusauply wese. vita ikkisha matumizi trilion 10, ooh hamjui kuwa hata mgawo wa umeme feki upo ili tuuze wese.

    4. #102
      kyelatz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 354
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      wa arabu wasitudanganye wenzetu

    5. #103
      oyaoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 194
      Rep Power : 402
      Likes Received
      32
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Tume ya Katiba
      Mbio za URAITHI tabu kweli kweli
      Facebook...!!! Mwe!!!

    6. #104
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,203
      Rep Power : 649
      Likes Received
      264
      Likes Given
      117

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Nchi ina rais dhaifu unategemea nini!
      Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....

    7. #105
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,477
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3044
      Likes Given
      1017

      Default

      Quote By asungwilemwaifunga
      kama Membe alikwisha toa kauli ya serikali kulikuwa na haja gani ten EL kurudia kauli ileile? Mjukumu ya mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Bunge hayajulikani? Kama yanajulikana, na kama amevuka mipaka ni nani wa kumuonya dhidi ya upotofu huo? Kamati hiyo inawajibika kwa nani? EL hajaliamrisha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenda vitani, kwa nini JWTZ wanaona wajibu kabla kuulizwa au kuelekezwa chochote? Kusema Jeshi letu ni imara kunawza kufanywa na mtu yeyote hata asiye na madaraka yoyote wala uhakika wowote wa kauli hiyo, je ni kosa? Je ikiwa atasema Jeshi letu ni dhaifu atakuwa sahihi?
      Kauli hiyo ikisemwa na EL au JK kutabadili ukweli wa hali halisi ya Jeshi lilivyo?
      Jeshi letu ni Imara.Tuna vijana imara ambao wako tayari kuilinda mipaka ya nchi yetu. Naamini sijakosea. Sijui shida iko wapi ukiamua kujivunia jeshi lako.

    8. FemaTV & Radio

    9. #106
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Nadhani Jeshi lishajifunza kukaa kimya kwao Kunawakera Wadau...

      Tatizo Jeshi limekaa ki siasa zaidi Shimbo yupo wapi siku hizi? au hadi wakati wa uchaguzi tu? Bwana Matrillion

    10. #107
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 886
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Hivi Lowassa ana uhusiano gani na Masaburi? Naona anamtumia mwenzake kuwaza

    11. #108
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By THE GREAT CAMP
      Good, hebu mwambie huyo mnafiki aliyetumwa na CCM. Mkwara wa Lowasa umesaidia sana. Wewe unategemea JK angesema, angesubiri mpaka watu wachukue Ruvuma yote, Iringa, Mbeya, labda wangeanza kutaka kuiteka Morogoro ndiyo angewaita Wazee wa DSM kuwaeleza msimamo wa serikali.Si ndivyo anavyofanya. Acheni unafiki enyi vibaraka wa JK, TZ ina watu makini wengi sana. Yaani EL, Membe na Sitta wameleta heshima ya nchi.Acheni ubishi wa kijinga.
      Agree with you Mkuu, dhaifu anaweza kupewa safari USA, EU akawa anachekacheka tu...Joyce Banda akaingia as you said, mpaka Magogoni ndio dhaifu angestuka

    12. #109
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,002
      Rep Power : 580
      Likes Received
      122
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Kimbunga
      Jeshi letu ni Imara.Tuna vijana imara ambao wako tayari kuilinda mipaka ya nchi yetu. Naamini sijakosea. Sijui shida iko wapi ukiamua kujivunia jeshi lako.
      Jeshi hatuna kama hatutaweza kulinda mpaka huu.

    13. #110
      Eliphaz the Temanite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,171
      Rep Power : 713
      Likes Received
      151
      Likes Given
      29

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Lowasa amefanya dhambi gani kuongea kama raia mwema! Mimi naishangaa sana mitanzania inayopiga kelele na kufyata mikia ooh hakuna haja ya vita......... sasa wachukue ziwa lao!! Hakuna anayetaka vita. Wamalawi wanatuprovoke na wanataka 100% ziwa! Kuna watz zaidi ya 600000 wanapata riziki zao ziwa nyasa!
      Tunababaishwa na mipaka feki ya wakoloni hapa
      Kikwete kasema nini so far? MiTZ bwana uzalendo wenu uko wapi
      Be Proactive controlling a situation by causing something to happen rather than waiting to respond to it after it happens

    14. #111
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,002
      Rep Power : 580
      Likes Received
      122
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Eliphaz the Temanite
      Lowasa amefanya dhambi gani kuongea kama raia mwema! Mimi naishangaa sana mitanzania inayopiga kelele na kufyata mikia ooh hakuna haja ya vita......... sasa wachukue ziwa lao!! Hakuna anayetaka vita. Wamalawi wanatuprovoke na wanataka 100% ziwa! Kuna watz zaidi ya 600000 wanapata riziki zao ziwa nyasa!
      Tunababaishwa na mipaka feki ya wakoloni hapa
      Kikwete kasema nini so far? MiTZ bwana uzalendo wenu uko wapi
      walikuwa wanamkandia sana EL leo hii Jk anasema utumbo tu.

    15. #112
      kiplagati26's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Location : Nanchang
      Posts : 211
      Rep Power : 385
      Likes Received
      63
      Likes Given
      76

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Mmmmh kazi kweli JWTZ nao ni wana siasa

    16. #113
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Eliphaz the Temanite
      Lowasa amefanya dhambi gani kuongea kama raia mwema! Mimi naishangaa sana mitanzania inayopiga kelele na kufyata mikia ooh hakuna haja ya vita......... sasa wachukue ziwa lao!! Hakuna anayetaka vita. Wamalawi wanatuprovoke na wanataka 100% ziwa! Kuna watz zaidi ya 600000 wanapata riziki zao ziwa nyasa!
      Tunababaishwa na mipaka feki ya wakoloni hapa
      Kikwete kasema nini so far? MiTZ bwana uzalendo wenu uko wapi
      Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa ugomvi ni nani?

    17. #114
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,265
      Rep Power : 891
      Likes Received
      774
      Likes Given
      1461

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Sangarara
      Ambaye ana authority ipi over JWTZ?
      Observation yako nzuri kuhusu mamlaka yake maana ifike mahala watu waelewe kamati imeundwa kufanya kazi zipi kwani kamati zinawajibika kwa bunge na si kutoa taarifa kwa wananchi
      Sangarara likes this.

    18. #115
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 437
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      hii ni ngumi ya mdomo kwa Lowasa, pole mzee.
      Sangarara likes this.

    19. #116
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Kimbunga
      Jeshi letu ni Imara.Tuna vijana imara ambao wako tayari kuilinda mipaka ya nchi yetu. Naamini sijakosea. Sijui shida iko wapi ukiamua kujivunia jeshi lako.
      Usifanye upotoshaji wa makusudi, lowasa alisema Jeshi limemthibitishia kwamba liko tayari kwa lolote, akiwa kama anamaanisha kwamba amelikagua na viongozi wajuu wa jeshi wakamthibitishia uimara wa jeshi. yeye kama nani?

    20. #117
      Eliphaz the Temanite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,171
      Rep Power : 713
      Likes Received
      151
      Likes Given
      29

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Sangarara
      Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa ugomvi ni nani?
      Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa kufyata mkia ni nani?

      Uliza wakati wa JKN walijibiwaje hao wanyasa
      Be Proactive controlling a situation by causing something to happen rather than waiting to respond to it after it happens

    21. #118
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,306
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kauli dhidi ya Malawi: JWTZ wamshushua Lowassa!

      Quote By Eliphaz the Temanite
      Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa kufyata mkia ni nani?

      Uliza wakati wa JKN walijibiwaje hao wanyasa
      Good. Walijibiwa sio kupigwa.

    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...