Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 62
    1. #1
      TAYADI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 1,315
      Rep Power : 609
      Likes Received
      210
      Likes Given
      253

      Default Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
      (i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
      (ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
      (iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
      (iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
      (v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!
      Uliza_Bei likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Naunga mkono hoja.
      TAYADI likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #3
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,893
      Rep Power : 26887
      Likes Received
      4390
      Likes Given
      4662

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Mi sijaelewa vizuri serikali tatu ni mzigo kivipi..
      Naomba anae pinga serikali tatu anieleweshe
      TAYADI likes this.
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    5. #4
      armanisankara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 273
      Rep Power : 677
      Likes Received
      43
      Likes Given
      108

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Quote By TAYADI
      Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
      (i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
      (ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
      (iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
      (iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
      (v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!
      we ni mjinga tanganyika tuko mil zaidi ya 40 zanzibar wapo zaiidi ya mil 3 sasa ukisema tugawane 50/50 ni sawa......

    6. #5
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,437
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      4802
      Likes Given
      2863

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
      Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

      Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?
      Jasusi and JokaKuu like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Falconer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Posts : 267
      Rep Power : 594
      Likes Received
      49
      Likes Given
      28

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      At long last munaanza kuona mwangaza. Na wazanzibari walikuwa na kilio hiki kwa muda wa miaka 48. Lakiini kulingana na wakati tulio nao, serikali tatu ni gharama kubwa sana. Bora tugawane mbao. Kila mmoja aendeshe jahazi lake ki vyake.
      JokaKuu and TAYADI like this.

    9. #7
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3073
      Likes Given
      463

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Quote By TAYADI
      Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
      (i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
      (ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
      (iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
      (iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
      (v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!


      NA JE, Kutengana na kuwa Nchi Mbili tofauti Gharama zake si ndio zitakuwa pungufu mara dufu?

      Kwanini tuwe na Serikali tatu wakati Mmoja wetu hata hataki kutuona HAI? Wanaona VIONGOZI wetu kama WALAFI

      SIJUI NYERERE alibeba nini toka ZANZIBAR chenye UMARUMARU... Sidhani aliibia Zanzibar zaidi ya Alhaj Mohammedraza

      JokaKuu and TAYADI like this.

    10. #8
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,832
      Rep Power : 1866
      Likes Received
      939
      Likes Given
      367

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Quote By TAYADI
      Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
      (i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
      (ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
      . SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!
      WanaJF,
      Mimi nafikiri kuwa Mwalimu Nyerere alitusaidia dawa ya matatizo ya (usanii)Muungano wa Tanzania kupitia hotuba yake bungeni na kupitia hiki kitabu chake.

      Vyenginevyo ni kutafuta kuvurugana tu na kulikoroga zaidi.

      Mwalimu alisema mengi na haya yakiwa baadhi yake.

      Basi na tutafute mfumo ambao utaiondolea Zanzibar hofu hii ya kumezwa, bila kuibebesha Tanganyika mzigo wa kuendesha Serikalli mbili zenye uzito unaolingana.

      Labda ni vizuri kukumbusha kwamba shabaha ya baadhi yetu ilikuwa nikuunganisha nchi za Afrika Mashariki ziwe nchi moja. Na wakati Zanzibar na Tanganyika zinaungana, Kenya, Uganda na Tanganyika zilikuwa katikati ya mazungurnzo ya kutafuta uwezekano, wa kuungana. Kama jambo hilo, lingetokea, nina hakika kabisa kwamba mfumo wa nchi mpya ambayo ingezaliwa ungelikuwa ni Shirikisho.

      Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.

      Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)

       
      Je tumeshapata sababu ya kuimeza Zanzibar?

      Je tumeshapata sababu ya kuanzisha ubeberu (ukoloni) mpya?

      Je Shirikisho la Afrika la Mashariki la kisiasa( kuunganisha nchi za Afrika Mashariki) liko njiani kuja/ kuundwa?

      Nani kati yetu anapinga kuwa Mwalimu Nyerere alishatuonesha njia kufikia kule tunapotaka, Shirikisho la nchi moja kubwa yenye wanachama wengi?

      Nani atamfunga paka kengele?

      Ni wakati muafaka kwa CCM kuona upepo unakoelekea na kufanya maamuzi magumu.Hapa nimesema CCM kwa sababu ndio wanaoongoza serikali/ nchi.

      Au nini maana ya kauli hizo za Mwalimu?

    11. #9
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,421
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      785
      Likes Given
      1800

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Serikali mbili zinatosha ila muundo ubadilishwe kidogo! Tuwe na rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania akisaidiana na mawaziri wakuu kutoka Tanganyika na Zanzibar ambao ndiyo watendaji wakuu wa kila upande na wenye mamlaka ya kuwa na mabaraza yao mawaziri. Mambo mengine uliyosema hapo juu yanabaki kama yalivyo.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    12. #10
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,704
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      678

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Quote By zomba
      Naunga mkono hoja.
      Muungano huo ulioasisiwa na vyama vilivyozaa Hichi Chama cha mabwepande uvunjwe

    13. #11
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Selikali moja ndiyo suluhisho.

    14. #12
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Hayo ndiyo maneno, nakuunga mkono 100%
      TAYADI likes this.

    15. #13
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Quote By Precise pangolin
      Muungano huo ulioasisiwa na vyama vilivyozaa Hichi Chama cha mabwepande uvunjwe
      Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono. Muungano ulioshinikizwa na Nyerere na Karume usio na faida kwa pande zote, sioni sababu ya kuwepo.
      TAYADI likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    16. #14
      TAYADI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 1,315
      Rep Power : 609
      Likes Received
      210
      Likes Given
      253

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      [QUOTE=Nguruvi3;4420336]Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
      Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

      Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?[/QUOTE]



      (i) Fuatilia kwenye thread hizo uone michango yetu!
      (ii) Itashughulikia mambo ya muungano kama yalivyoainishwa na katiba ya sasa. Kwa sasa mambo ya muungano yanashughulikiwa na serikali inayoitwa ya muungano - kwa gharama za Tanganyika iliyofichwa kapuni. Mimi ninaamini tukiwa na shirikisho hatuwezi kujiingiza katika kujaza wabunge toka zanzibar kwenye serikali ya MUUNGANO.

    17. #15
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,437
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      4802
      Likes Given
      2863

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      [QUOTE=TAYADI;4421568]
      Quote By Nguruvi3
      Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
      Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

      Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?[/QUOTE]



      (i) Fuatilia kwenye thread hizo uone michango yetu!
      (ii) Itashughulikia mambo ya muungano kama yalivyoainishwa na katiba ya sasa. Kwa sasa mambo ya muungano yanashughulikiwa na serikali inayoitwa ya muungano - kwa gharama za Tanganyika iliyofichwa kapuni. Mimi ninaamini tukiwa na shirikisho hatuwezi kujiingiza katika kujaza wabunge toka zanzibar kwenye serikali ya MUUNGANO.
      Hujajibu swali na kama umejibu basi kuna vitu huvijui.

      Moja ya mambo ya muungano ni ushirikiano wa kimataifa. Sasa ZNZ inataka kiti UN, hilo unasemaje nalo ni la muungano tena ikifika hapo.

      Ulinzi na usalama: Gharama za jeshi zinalipwa na Tanganyika 100, bajeti ya jeshi ni zaidi ya bajeti ya ZNZ, sasa ZNZ itachangia nini?

      Hilo la wabunge ni dogo sana, angalia mambo kwa upana. Bajeti ya ZNZ ni bilioni 600, pungufu kuliko bajeti ya afya ya muungano. ZNZ ikitaka muungano huo haitakuwa na cha kuchangia kwasababu bajeti yake hairuhusu kutoa hata senti tano, infact haina bajeti yake ina bajeti kutokana hazina Dar! kuanzia msihahara ya wafanyakazi hadi vibili vya umeme.

      Fikiria kidogo, bilioni 50 ZNZ haiwezi kulipa, itapata wapi bilioni 400 za ulinzi na usalama! c'mon think about it.
      Hii thread yako nakushauri uifunge, ni too low ndugu yangu! ninakusaidia sikukashifu.
      Jasusi and JokaKuu like this.

    18. #16
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,372
      Rep Power : 761
      Likes Received
      233
      Likes Given
      39

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Ni wazo zuri la kuwa na Serikali tatu(3). Vile vile, Mihimili iwe 4: Bunge,Serikali, Mahakama na Wananchi!

    19. #17
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Serikali tatu ndo nzuri bana maana kwa sasa Muungano huu unagharamiwa pakubwa na Tanganyia. TAYADI nakuunga mkono.
      Quote By Mwali
      Mi sijaelewa vizuri serikali tatu ni mzigo kivipi..
      Naomba anae pinga serikali tatu anieleweshe

    20. #18
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      50% kwa 50% ktk muungano wa Serikali tatu ndo sahihi kwa7bu itatupunguzia gharama bara na itaongeza Uhuru wa Znz kujiendesha na kujiamulia mambo yake yenyewe hivyo kupunguza hasira za makundi kama uamsho.
      Quote By armanisankara
      we ni mjinga tanganyika tuko mil zaidi ya 40 zanzibar wapo zaiidi ya mil 3 sasa ukisema tugawane 50/50 ni sawa......

    21. #19
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,051
      Rep Power : 611
      Likes Received
      444
      Likes Given
      1354

      Default Re: Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

      Tuendelee tu na serikali hizi mbili zilizopo au tuunde serikali moja tu, tuachane na interest za wanasiasa
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    22. #20
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By WA-UKENYENGE
      Serikali mbili zinatosha ila muundo ubadilishwe kidogo! Tuwe na rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania akisaidiana na mawaziri wakuu kutoka Tanganyika na Zanzibar ambao ndiyo watendaji wakuu wa kila upande na wenye mamlaka ya kuwa na mabaraza ya mawaziri.
      Tanganyika ipi?. Ile iliyokufa 1964?. Bila kuirejesha Serikali ya Tanganyika bado wazo lako halijatimia mkuu. Serikali3 haziepukiki kabisa.
      Last edited by Sipendi Ubepari; 13th August 2012 at 18:51.
      WA-UKENYENGE likes this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...