Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      igwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 220
      Rep Power : 451
      Likes Received
      69
      Likes Given
      44

      Default Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Ndugu wa JF

      Naomba mnisaidie kufikisha taarifa hizi kwa viongozi wa Taifa CDM (MBowe na Slaa) kuwa kuna Kaimu mwenyekiti wa wilaya Tarime anahujumu CDM kwa masilahi ya CCM kwa kuzuia mikutano ya kujenga CDM kufanyika .

      Ilikuwa mwenyekiti wa BAVICHA HECHE afanye mikutano katika wilaya ya tarime akazuiliwa na POLICE kwa maelezo kwamba wamepewa barua na mwkt wa CDM kuwa mikutano ya Heche ina agenda binafsi au hajui Heche anataka kufanya mikutano kwa masilahi ya nani? (attached barua), kwa taarifa niliyoipata Heche alikuwa ameandaa mikutano iliyoombewa kibali na katibu wa CDM wilaya (attached) ,Heche alifanikiwa kufanya mkutano mmoja maeneo ya SIRARI Baada ya mabishano makali ya POLICE wilayani humo

      Inasemekana mwenyekitu huwa anafanya kazi ya CCM ya kuua chama jimboni humo alioianza kabla ya uchaguzi mkuu 2010 na anaendelea na kwa kuhakikisha CDM hairejeshi halmashauri na jimbo.

      Alivyohojiwa mwkt wa wiliya Tarime alisema kuwa HECHE amekuja tarime kwa mapumziko haruhusiwi kufanya mikutano (Je hili ni sahihi kumzuia Mheshimiwa kufanya kazi ya kujenga chama? alitaka Heche akacheze disco ndo arizike?)

      Nimeambatanisha barua za kibali cha kufanya mikutano na barua ya mwkt wilaya cha kuzuia mikutano hiyo
      Attached Thumbnails    

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kite Munganga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 836
      Rep Power : 807
      Likes Received
      68
      Likes Given
      83

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Katiba ifuatwe then ushahidi ukusanywe halafu teke
      Tanzania ni Nchi ya amani iliyozeeka!

    4. #3
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Quote By Kite Munganga
      Katiba ifuatwe then ushahidi ukusanywe halafu teke
      Kite haki ya mtu huwa inacheleweshwa tu.

    5. #4
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Kikulacho .............................. ...
      "MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI ZANZIBARI, RIP TANZANIA"

    6. #5
      lutome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th April 2012
      Posts : 75
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      15

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Kwa hiyo jf kumbe kuna watoa taarifa sahihi kwa viongozi wa juu chadema? Mbona heche mwenyewe ni mjumbe wa kamati kuu anao uwezo wa kumshugulikia kaimu mkt wa wilaya,haya ni majungu ya kikie.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By lutome
      Kwa hiyo jf kumbe kuna watoa taarifa sahihi kwa viongozi wa juu chadema? Mbona heche mwenyewe ni mjumbe wa kamati kuu anao uwezo wa kumshugulikia kaimu mkt wa wilaya,haya ni majungu ya kikie.
      ukiwa na ubongo ambao upo uchi kuna madhara makubwa ya kimawazo kama haya uliyonayo ww mwndawazimu.
      MR. ABLE likes this.

    9. #7
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 456
      Rep Power : 483
      Likes Received
      120
      Likes Given
      31

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Quote By lutome
      kwa hiyo jf kumbe kuna watoa taarifa sahihi kwa viongozi wa juu chadema? Mbona heche mwenyewe ni mjumbe wa kamati kuu anao uwezo wa kumshugulikia kaimu mkt wa wilaya,haya ni majungu ya kikie.
      yangekuwa majungu asingeweka viambatanisho vya barua, angeishia kutoa hisia zake.haya yapo katika siasa mchezo mchafu upo hasa kwenye majimbo ambayo cdm anaweza kuyachukua.tuliona nccr kwenda pemba kushindania majimbo wakati haikuwa hata na shina moja.inajulikana hilo jimbo lilichukuliwa kwa hila za ccm, hivyo wanataka kuendelea kulimiliki, kwa ktumia mbinu kama hizi .huyo mdau aliyefichua ni mkereketwa wa kwli wa chama cha cdm.chama hujengwa na wanachama wote na si viongozi kama ilivyo kwa xaxa kwa chama cha ccm, kinakufa huku wanaona ati kuna safu ya viongozi wasiokuwa na dhamira maridhwa na kujenga chama wala uchungu na chama.mdau aliyeleta thread hii apongezwe
      MR. ABLE likes this.

    10. #8
      Somoche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 1,861
      Rep Power : 813
      Likes Received
      345
      Likes Given
      338

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Huyu ni wa kumtimua arudi ccm ndiko anakostahiri kuwa...lakini pia cdm inaonekana kua virusi vingi sana vya kuscan kama huyu ni mmoja wao...naamini hili ni muendelezo wa vit ya makundi iliyosababisha jimbo kubwa kama Tarime kuongozwa na mtu mwenye upeo mdogo kama Mbunge wa sasa,,,ni aibu
      MR. ABLE likes this.

    11. BAK
      #9
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,597
      Rep Power : 44964
      Likes Received
      8343
      Likes Given
      8330

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    12. BAK
      #10
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,597
      Rep Power : 44964
      Likes Received
      8343
      Likes Given
      8330

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    13. #11
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,700
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6358
      Likes Given
      2841

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Mkono wa Wassira unaonekana Live bila chenga. Ndio mpango mkakati huo aliousema kuwa cdm itakufa kabla ya uchaguzi wa 2015. Naona ameamua kuanzia na kwao.
      BAHATI MBAYA HATAWEZA, WATADHALILIKA NA MTU WAKE.

    14. #12
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,430
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      634
      Likes Given
      825

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      KUMBE KAMPENI ZIMEANZA au labda kuna kaUchaguzi kadogo ka kuziba nafasi, au ni Operation za kawaida mpaka 2016 na hta mpaka 2020
      Kwani Mwenyekiti hajui ni nini kinachotakiwa? bora alivyofanya Zitto kule Kigoma lakini kumkuta M/kiti na kutomuarifu huenda ni sawa kwa baadhi ya Vyama
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    15. #13
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,976
      Rep Power : 12008
      Likes Received
      5307
      Likes Given
      5143

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Kama kweli hiyo barua ni genuine basi huyo mwenyekiti siku zake za kuwa mwenyekiti na mwanachama wa Chadema zinahesabika.
      Atapata haki yake muda si mrefu.
      Somoche and Mikael P Aweda like this.

    16. #14
      Steven Robert Masatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2009
      Location : majita makojo
      Posts : 644
      Rep Power : 626
      Likes Received
      175
      Likes Given
      276

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      ile barua ya kusitisha mkutano naomba muisome vizuri kwa umakini, nahisi kuna vitu vinamiss na imefanywa makusudi. hii mihuli mbona sio genuine. anyway ngoja tusubirie wataalam wa forensic investgations.

    17. #15
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,180
      Rep Power : 5036
      Likes Received
      2419
      Likes Given
      2224

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Kumbe viongozi wa CHADEMA nao wananunulika! Nimekuwa nikisoma hapa kuwa CHADEMA ikipewa nchi hakutakuwa na ufisadi, maneno hayo na ninachokiona ni tofauti!!!
      "To greed, all nature is insufficient"

    18. #16
      matambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Location : malenga matitu
      Posts : 731
      Rep Power : 656
      Likes Received
      69
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      lakini isije kuwa ni vita vilevile ndani ya wanachadema vilivyosababisha jimbo kuchukuliwa na CCM 2010, maana walikuwapo Heche, Mwita Mwikabe Waitara na kwa mbali kambi ya Mwera, sasa isijekuwa huyo jamaa hamtaki heche anawalinda hao wengine, na kama mnakumbuka iliwahi kuwepo thread hapa kuhusu kwa nini chadema ilishindwa tarime, na ikaonekana hawa watu watatu mgawanyiko wao ndio uliochangia kushindwa!!

      it is just a thought!! mnapofanya uchunguzi broaden your possibilities kwa jicho la tatu!!
      A life lived in love will never be dull

    19. #17
      Anko Sam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2010
      Posts : 1,947
      Rep Power : 841
      Likes Received
      304
      Likes Given
      12

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      huyu hatekelzi ile slogan ya "HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE".

      Hata kama Henche amekwenda likizo, kufanyakazi za Chama kwa manufaa ya watanzania ni halali. Huyo mwenyekiti anataka Henche alale ili kisieleweke-aonyeshwe mlango wa kutokea aende Magambani!
      IF NOT US, WHO? IF NOT NOW, WHEN?

    20. #18
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,836
      Rep Power : 6548
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2215

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Quote By ZeMarcopolo
      Kumbe viongozi wa CHADEMA nao wananunulika! Nimekuwa nikisoma hapa kuwa CHADEMA ikipewa nchi hakutakuwa na ufisadi, maneno hayo na ninachokiona ni tofauti!!!
      Mkuu viongozi wa Chadema si malaika, ni wanadamu na ni watz kama wengine. Tofauti ya Chadema na CCM ni kwamba ikithibitika kuwa xyz ni fisadi, tunachukulia hatua za kinidhamu badala ya kufunika kama ccm. That is the main difference mkuu wangu.

      ZeMarcopolo likes this.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    21. #19
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 745
      Rep Power : 551
      Likes Received
      76
      Likes Given
      216

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Pengine ugomvi umeanzia hapa:

      Heche kugombea ubunge Tarime



      na Sitta Tumma, Tarime

      MWENYEKITI wa Baraza la Vijana (Bavicha) Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche ameweka wazi dhamira yake ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la Tarime mkoani Mara, mwaka 2015.
      Heche alisema kuwa, iwapo dhamira yake hiyo itapewa baraka na chama chake, kwa kupitisha jina lake, atahakikisha anapigania maendeleo makubwa ya wananchi wa Tarime, ikiwa ni pamoja na kuwanusuru na umasikini uliokithiri.
      Kada huyo aliyasema hayo juzi wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara, uliofanyika viwanja vya sokoni, Sirari, ambapo pamoja na mambo mengine, aliirushia kombora Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa imehindwa kutumia vizuri rasilimali za nchi kuleta maendeleo.
      Alisema, msukumo wa kutaka kugombea ubunge unatokana na uchungu alio nao wa kutaka kuweka chemichemi kubwa ya mabadiliko ya kimaendeleo kwa wananchi wa wilaya hiyo, pamoja na kuhakikisha rasilimali zilizopo zinawanufaisha wakazi wa Tarime na Watanzania wote.
      "Huu ni wakati wa ukombozi wa nchi hii. Maana Serikali hii ya CCM imeshindwa kabisa kuwasaidia wananchi wake!. Rasilimali za kila aina, zipo hapa Tanzania, lakini zinawanufaisha watu wa nje ya nchi.
      "Kwa maana hiyo, mwaka 2015 kama Mungu ataniweka hai nitagombea ubunge Tarime. Kama chama changu kitanipitisha, nimejipanga vizuri kuhakikisha ninaleta mabadiliko ya kimaendeleo hapa," alisema Heche.
      Kuhusu matumizi mabaya ya rasilimali za taifa, mwenyekiti huyo alimshutumu Rais Jakaya Kikwete kwa madai kwamba serikali yake imeshindwa kujenga uchumi wa ndani ya nchi kwa kutumia rasilimali zilizopo, badala yake rasilimali hizo zinayanufaisha wageni.
      Alisema, licha ya kuwepo kwa madini ya almasi, dhahabu, makaa ya mawe, nyuklia, gesi na madini yanayotengeneza ndege na kompyuta, maziwa, bahari, mbuga za wanyama na milima mikubwa, watanznaia wanazidi kuteseka kwa umasikini wa kutupwa.
      "Tanzania ina kila aina ya madini, lakini umasikini ndiyo unazidi kuota mizizi na kuwatesa Watanzania. CHADEMA hatukubaliani na hali hii, tujiandaeni tuiondoe CCM kupitia sanduku la kura mwaka 2015," alisema Heche.
      Source: Heche kugombea ubunge Tarime

      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    22. #20
      Naytsory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 721
      Rep Power : 759
      Likes Received
      127
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Wanachadema wanafahamu malengo ya mikutano inayoendelea nchi nzima kuwa ni kutoa elimu kwa umma. Sasa huyu BUNJU asiyejua nini kinaendelea ametokea wapi kwenye hiyo nafasi. Yawezekana ndiyo chanzo cha Cdm kushindwa ubunge 2010 huko Tarime.
      USTAADHI likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...