Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 23 of 23
    1. #1
      igwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 221
      Rep Power : 451
      Likes Received
      69
      Likes Given
      44

      Default Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Ndugu wa JF

      Naomba mnisaidie kufikisha taarifa hizi kwa viongozi wa Taifa CDM (MBowe na Slaa) kuwa kuna Kaimu mwenyekiti wa wilaya Tarime anahujumu CDM kwa masilahi ya CCM kwa kuzuia mikutano ya kujenga CDM kufanyika .

      Ilikuwa mwenyekiti wa BAVICHA HECHE afanye mikutano katika wilaya ya tarime akazuiliwa na POLICE kwa maelezo kwamba wamepewa barua na mwkt wa CDM kuwa mikutano ya Heche ina agenda binafsi au hajui Heche anataka kufanya mikutano kwa masilahi ya nani? (attached barua), kwa taarifa niliyoipata Heche alikuwa ameandaa mikutano iliyoombewa kibali na katibu wa CDM wilaya (attached) ,Heche alifanikiwa kufanya mkutano mmoja maeneo ya SIRARI Baada ya mabishano makali ya POLICE wilayani humo

      Inasemekana mwenyekitu huwa anafanya kazi ya CCM ya kuua chama jimboni humo alioianza kabla ya uchaguzi mkuu 2010 na anaendelea na kwa kuhakikisha CDM hairejeshi halmashauri na jimbo.

      Alivyohojiwa mwkt wa wiliya Tarime alisema kuwa HECHE amekuja tarime kwa mapumziko haruhusiwi kufanya mikutano (Je hili ni sahihi kumzuia Mheshimiwa kufanya kazi ya kujenga chama? alitaka Heche akacheze disco ndo arizike?)

      Nimeambatanisha barua za kibali cha kufanya mikutano na barua ya mwkt wilaya cha kuzuia mikutano hiyo

    2. Miaka 50

    3. #21
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,600
      Rep Power : 767
      Likes Received
      244
      Likes Given
      39

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Kwenye msafara wa mamba kenge wapo

    4. #22
      igwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 221
      Rep Power : 451
      Likes Received
      69
      Likes Given
      44

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      Quote By BAK
      M/kit Wilaya Anasema anasitisha mkutano coz hana Taarifa? (c barua ya kuomba kibali iliandikwa na katibu,CDM Tarime ndo taarifa hiyo) Ni sahihi mwkt wa wilaya kuzuia Mikutano ya mjumbe wa kamati kuu CDM? YEYE NI Mwkt Taifa? hata Mbowe hajui mikutano yote inayofanywa na MAKAMANDA? PILI ,kuwa hajui kiini na malengo!! ANAZANI HECHE ALIKUWA ANANADI CCM AU CDM?

      Nazani kama kulikuwa na tatizo au na utaratibu wake mwkt wilaya angemfuata Heche na kumwelekeza cha kufanya au chakuongea kama anahisi Heche hakuwa na cha kuzungumzia na yeye ndo angekuwa mwenyeji wake hata kumpa directives za jimbo na kero za kuzungumzia. WHO IS BEHIND HIM?

    5. #23
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Mwenyeketi wilaya CDM anunuliwa na CCM, aanza kuhujumu cdm

      wabunge wengi wa ccm ni waumini wa waganga wa kienyeji ndio maana wamempenyeza professor maji marefu kuwa mbunge kwa sababu viongozi wengi wa ngazi za juu walikuwa wateja wake hivyo nchi hii haiongozwi kwa taaluma bali ni nguvu za giza,yakiwemo majini ,mashetani na mapepo mabaya mengi yanayowafanya watumishi wake kumfanyia hata mtetetzi wa madaktari dr ulimboka ndio maana mbunge 1 wa chadema anauwezo wa kuongoza safu za wabunge 50 wa ccm kwa sababu wao wengi wao wanaongozwa na mapepo na si taaluma.

    6. RukaaJuu Final
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...