Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana
Angekuja hata huku kwetu Katavi eneo la maji moto ashangae kilimo cha mpunga, hata huo mpunga unaoskia wanauuita eti wa Mbeya unalimwa hapa kwetu Katavi eneo la Majimoto na kupelekwa Mbeya maana ndo hivo tulishacream kuwa mchele mzuri unatokea Mbeya.WanaKatavi tuamke sasa tulitangaze soko la mpunga wetu ili Rais wetu asije siku moja akaenda Uganda kushangaa kilimo ambacho hata hapa kwetu tunakifanya tena kwa ustadi
There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".
Follow Us Here