Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 73
    1. #1
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 435
      Rep Power : 459
      Likes Received
      115
      Likes Given
      112

      Default Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Wakati nchi yetu ikiwa na Mikoa kibao yenye kutoa matunda mbalimbali yanayoozea shambani kwa kukosa soko, Rais wetu ametembelea shamba la mananasi huko Ghana baada ya kuonana na Raisi mpya wa Ghana.

      Kwa mtazamo wangu, ziara hii ingefanywa na wakulima wa Chalinze ambao ndio wakulima wakubwa wa mananasi wakiongozana na Katibu wa wizara na maofisa wengine wa Kilimo, kuliko kufanywa na watu waliokwenda msibani ambapo sina hakika kama yupo mtaalamu wa kilimo miongoni mwao.

      Rais wetu analitembelea shamba hilo ambalo Mwalimu Nyerere aliwahi kulitembelea katika miaka ya 1980, lakini hata hivyo hakuna jipya lililofanyika na ndio maana ziara kama hizi zinapaswa kufanywa na wahusika wa kilimo hicho pamoja na wataalamu badala ya wanasiasa.

      source: Michuzi Blog.
      Mo-TOWN and Mbaha like this.


    2. #2
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,302
      Rep Power : 673
      Likes Received
      287
      Likes Given
      117

      Default

      Huyu baba jamani
      Yo Yo likes this.

    3. #3
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      666
      Likes Given
      0

      Default re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Nakumbuka sana alipotembelea shamba la nyanya Brasil,nilitegemea sana angetembelea kiwanda cha ndege za Brasil ili apate challenge ya kuagiza ndege mpya hata 5 hivi......lakini si nyanya!
      Yo Yo likes this.

    4. #4
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,755
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      993
      Likes Given
      787

      Default re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      bado anaendelea kujifunza! anafahamu kuwa amebakisha miaka miwili na nusu tu kuondoka madarakani?
      Father of All and TAYADI like this.
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    5. #5
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1394
      Likes Received
      977
      Likes Given
      182

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Dhaifu
      TAYADI likes this.


    6. #6
      SURUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,582
      Rep Power : 734
      Likes Received
      384
      Likes Given
      490

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Kuna hatua mtu anafikia inabidi UMSAMEHE BURE......Kama miaka 7 hajaweza kusikia ushauri wa wataalam wake; wa wananchi wake na hata huko anakozurura kila siku kujifunza wenzake walivyo makini, huwezi kutegemea mabadiliko kwa sasa!!!! TUVUMILIE KIPINDI KIISHE; tumalize dozi yetu japo ndiyo hivyo ni CHUNGU!!!
      Mtego wa Noti and Jamaa2 like this.

    7. #7
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,866
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      1527
      Likes Given
      638

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Bila shaka anatamani abaki huko huko
      G
      H
      A
      N
      Aendeleze ufisadi wake aliouzoea ila huko Nchi za magharibi hawawataki kutokana historia yake mbaya!

    8. #8
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,953
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      531
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Duh! what a costly journey. Si angetembelea Del Monte plantations Kenya.

    9. #9
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,532
      Rep Power : 18655
      Likes Received
      3624
      Likes Given
      2380

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      What a shame!

    10. #10
      DR. RICHARD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 377
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Msibani kkwenyewe kaenda yeye pamoja na membe, mi najiuliza kwani asingeweza kwenda mmojawapo na mwingine akabaki anfanya majukumu mengine ya ndani, mbona Obama alibaki anapiga kazi huku Clintony akiwa msibani?
      TAYADI likes this.

    11. #11
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,439
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      1290
      Likes Given
      397

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Kuna siku alisafiri katika moja ya nchi za kusini mwa Afrika, akatembelea 'ranchi' za ng'ombe akashangaa sana ukubwa wa ng'ombe wale aliowaona, akasema, namnukuu, 'sijawahi kuona ng'ombe wakubwa kiasi hiki' na akauliza jinsi wanavyowatunza. Kwa tukio zuri alikuwa na mmoja wa wataalaamu wa mifugo akamwambia mzee Iringa kuna ng'ombe wakubwa kuliko hawa. Mkuu akabaki anashangaa hana cha kusema kusikia nchini kwake kuna ng'ombe wakubwa kuliko wale.

      Yaani mkuu anajua shughuli zinazofanywa na nchi za watu kuliko nchini mwake. Ningemsifu kama angekuwa anavaa viatu vya tope kama mwalimu na kutembelea mashamba ya nyanya ya Iringa, mashamba ya mpunga ya Ifakara, sio kwenda nchi za watu kutumia kodi nyingi bila tija yoyote.

      JK uone aibu sasa, umeshatalii vya kutosha hebu miaka iliyobaki tulia nyumbani, sio utoke ikulu ukiwa hujatuachia hata vijisenti kidogo vya kuendesha nchi.
      mwaJ, Asante and Mbaha like this.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    12. #12
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,474
      Rep Power : 19244
      Likes Received
      4193
      Likes Given
      3374

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      kuna hatari siku moja atahudhuria msiba wa mbwa wa kibaki..
      Gwaje and TAYADI like this.

    13. #13
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 435
      Rep Power : 459
      Likes Received
      115
      Likes Given
      112

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Picha za mashamba aliyotembelea

      Click image for larger version. 

Name:	ga4.jpg 
Views:	0 
Size:	221.6 KB 
ID:	61600

      Click image for larger version. 

Name:	ga5.jpg 
Views:	0 
Size:	274.4 KB 
ID:	61601

      Click image for larger version. 

Name:	ga6.jpg 
Views:	0 
Size:	319.3 KB 
ID:	61603

      Click image for larger version. 

Name:	ga5.jpg 
Views:	0 
Size:	274.4 KB 
ID:	61601

    14. #14
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 435
      Rep Power : 459
      Likes Received
      115
      Likes Given
      112

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Yanafanana kila kitu na haya ya hapa kwetu, hata pale Chalinze -Bagamoyo yapo mengi tu. Au mzee anahitaji kuwa mwekezaji mkubwa wa mananasi so amekwenda kupata maujuzi.

    15. #15
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,564
      Rep Power : 785
      Likes Received
      274
      Likes Given
      51

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Wivu wa kike

    16. #16
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,780
      Rep Power : 730
      Likes Received
      482
      Likes Given
      356

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Angekuja hata huku kwetu Katavi eneo la maji moto ashangae kilimo cha mpunga, hata huo mpunga unaoskia wanauuita eti wa Mbeya unalimwa hapa kwetu Katavi eneo la Majimoto na kupelekwa Mbeya maana ndo hivo tulishacream kuwa mchele mzuri unatokea Mbeya.WanaKatavi tuamke sasa tulitangaze soko la mpunga wetu ili Rais wetu asije siku moja akaenda Uganda kushangaa kilimo ambacho hata hapa kwetu tunakifanya tena kwa ustadi
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    17. #17
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,160
      Rep Power : 643
      Likes Received
      201
      Likes Given
      31

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Quote By simplemind View Post
      Duh! what a costly journey. Si angetembelea Del Monte plantations Kenya.
      kenya akafanye nini na wao wametudharau kumbuka wale waliopata ajali juzi wameshachukuliwa kwa amri ya raisi wao kwa ndege ya jeshi kama vile huku hakuna hospital fikiria mtu amevunjika lakini wamemchukuwa utafikiri hatuna hospital .
      wakati huo kumbuka walikuwa hospital kuu muhumbili.....hizo gharama za kwenda kuzika misiba yote aliohudhuria zingejenga au kununua x-rays ngapi?

      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    18. #18
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      666
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Ana heka 100 ya mananasi labda kama anataka mbegu!
      TAYADI likes this.

    19. #19
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,402
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2738

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Halafu ndio hela zaku za nssf/ppf zikae miaka 30 wazitumie kwa style hii? Nope!!

    20. #20
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,880
      Rep Power : 2982
      Likes Received
      484
      Likes Given
      320

      Default Re: Rais Jakaya Kikwete atembelea mashamba ya mananasi Ghana

      Jamani mwacheni mkulu atengeneze allowance
      Just a charcoal, don't expect anything white

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...